Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Mkuu Mkandara 'jeuri na ujasiri' wa kukacha posho ndicho chanzo cha neno unafiki

1. Alikwenda mahakamani kulinda Ubunge wa BMLK. Kuna jeuri gani hapo?
Walipotoka nje akasema wamefanya kosa, kumbe kosa ni kwenda kinyume na lengo la kubaki BMLK. Mkuu huoni unafiki hapo?

Siku za mwanzo za BMLK alichukua tu kama wabunge wengine kwa kukaa. Ndani ya Bunge la JMT anasema hawezi kulipwa kwa kukaa. Mkuu mbona kuna doubel std? Au tunaona vitu tofauti

2. Kuna yale ya TANAPA, hakuna ufafanuzi hadi sasa. Kuna jeuri gani hapo

3. Kuna yale ya kukodi ndege, hayajafafanuliwa hadi sasa, kuna jeuri gani hapo

4. Je,aliwahi kukataa posho za PAC? Tunajua kazi za PAC ni sehemu ya kazi za bunge
Mkuu mimi hata siku moja hutanikuta katika tuhuma hizi nikizipa sura. Kwani mangapi yameandikwa kuhusu Mbowe au Slaa sii basi tu watu hatutaki kuyaendekeza kwa sababu hatuna ushahidi na ni ujinga kutumia dhana kumkashifu mtu kwa sababu amefanikiwa. Jenga hoja kwa ushahidi hayo ya kusema tumesikia alifanya hivi ndio hayo kila siku mnatuletea sisi wengine hatuna ulevi huo.

Hii ni tabia ya Kimaskini naijua maana kila siku wao hawapendi wafanikio ya mtu. Ukipata watakushusha, ukifanikiwa zaidi watakutafutia mchawi au mfadhili....
 
Mkuu mimi hata siku moja hutanikuta katika tuhuma hizi nikizipa sura. Kwani mangapi yameandikwa kuhusu Mbowe au Slaa sii basi tu watu hatutaki kuyaendekeza kwa sababu hatuna ushahidi na ni ujinga kutumia dhana kumkashifu mtu kwa sababu amefanikiwa. Jenga hoja kwa ushahidi hayo ya kusema tumesikia alifanya hivi ndio hayo kila siku mnatuletea sisi wengine hatuna ulevi huo.

Hii ni tabia ya Kimaskini naijua maana kila siku wao hawapendi wafanikio ya mtu. Ukipata watakushusha, ukifanikiwa zaidi watakutafutia mchawi au mfadhili....
Mkuu kwani si kweli kuwa alikwenda mahakamani kulinda Ubunge wa BMLK?
Ujasiri wa kukataa posho upo wapi?
Mkuu kwani si kweli siku za kwanza za BMLK alivuta mshiko kama ule alioukataa Bunge la JMT?

Kama sivyo, supreme alikwenda mahakamani kwa lipi?

Mkuu hapa hatujadili mafanikio yake, tunajadili unafiki, ulaghai na siasa muflisi za supreme leader
 
Mkuu kwani si kweli kuwa alikwenda mahakamani kulinda Ubunge wa BMLK?
Ujasiri wa kukataa posho upo wapi?
Mkuu kwani si kweli siku za kwanza za BMLK alivuta mshiko kama ule alioukataa Bunge la JMT?

Kama sivyo, supreme alikwenda mahakamani kwa lipi?

Mkuu hapa hatujadili mafanikio yake, tunajadili unafiki, ulaghai na siasa muflisi za supreme leader
Tupe ushahidi basi maana mnasema nyie kwamba Zitto alifukuzwa tu pale alipokwenda mahakamani ina maana alikuwa bado mwanachama kama angekubali kupoteza vyeo vyake na kutokwenda mahakani?. Sasa unaponambia alikwenda mahakamani kwa sababu ya kulinda Ubunge wa BMLK ina maana basi kumbe aliisha fukuzwa toka siku ya kwanza.

Mnachokataa kipi na mnafanya nini ndio maana mimi nagombana na Chadema. Waseme ukweli. Alifukuzwa kabla ya kwenda mahakamani au alijifukuza baada ya jkwenda mahakamani na kama ndivyo kwa nini alivnyimwa right yake kikatiba kusikilizwa na baraza kuu.

kama walimfukuza Zitto toka siku ile na kina Kitila walivunja Kanuni lakini kwa ujanja ujanja wakasema hawakumfukuza ila alipokwenda mahakamani kajifukuza. Jamani, jamani kama wameweza kumfukuza Kitila ambaye yupo pale kisheria na hawakuita baraza kuu wangeshindwa nini na Zitto ambaye ndiye alikuwa adui mkubwa.

Kwa hiyo siasa ni ulaghai na unafiki mtupu, maana Zitto aliomba ajieleze na hukumu yake itolewe na baraza kuu, viongozi wa kamati kuu wakasema maamuzi yao ni final tena Dr. Slaa akaja humu na kutuambia swala la Zitto lisiongelewe tena amepiga marufuku kwa wana Chadema wote.. sasa ulitaka Zitto afanye nini wakati anaijua sheria na haki yake.. Anyway tuyaache wewe una mtazamo wako, niache mimi na mtazamo wangu maana unazidi kunitia machungu tu.
 
Tupe ushahidi basi maana mnasema nyie kwamba Zitto alifukuzwa tu pale alipokwenda mahakamani ina maana alikuwa bado mwanachama kama angekubali kupoteza vyeo vyake na kutokwenda mahakani?. Sasa unaponambia alikwenda mahakamani kwa sababu ya kulinda Ubunge wa BMLK ina maana basi kumbe aliisha fukuzwa toka siku ya kwanza.

Mnachokataa kipi na mnafanya nini ndio maana mimi nagombana na Chadema. Waseme ukweli. Alifukuzwa kabla ya kwenda mahakamani au alijifukuza baada ya jkwenda mahakamani na kama ndivyo kwa nini alivnyimwa right yake kikatiba kusikilizwa na baraza kuu.

kama walimfukuza Zitto toka siku ile na kina Kitila walivunja Kanuni lakini kwa ujanja ujanja wakasema hawakumfukuza ila alipokwenda mahakamani kajifukuza. Jamani, jamani kama wameweza kumfukuza Kitila ambaye yupo pale kisheria na hawakuita baraza kuu wangeshindwa nini na Zitto ambaye ndiye alikuwa adui mkubwa.

Kwa hiyo siasa ni ulaghai na unafiki mtupu, maana Zitto aliomba ajieleze na hukumu yake itolewe na baraza kuu, viongozi wa kamati kuu wakasema maamuzi yao ni final tena Dr. Slaa akaja humu na kutuambia swala la Zitto lisiongelewe tena amepiga marufuku kwa wana Chadema wote.. sasa ulitaka Zitto afanye nini wakati anaijua sheria na haki yake.. Anyway tuyaache wewe una mtazamo wako, niache mimi na mtazamo wangu maana unazidi kunitia machungu tu.
Hapana ! wala usiingie machungu. Mkuu hayo ya ugomvi wako na CDM mtamaliza wenyewe

Sisi tunasimama katika ukweli. Ni ukweli usiopingika kuwa supreme alifahamu matokeo yoyote ya mahakamani yasingebadilisha matokeo kwa namna yoyote. Supreme alikuwa naibu katibu mkuu, alijua hilo na alisimamia hilo kwa wakati wote.
Kwenda mahakamani ni zao la kulinda Ubunge.

Wenzake akina Kitila na Mwigamba hawakwenda kwasababu hawakuwa na cha kupoteza

Pale UKAWA walipotoka, deal nzima ikawa haina maana, supreme akasema walifanya makosa kutoka
Baada ya muda karudi kuwaita wasaka tonge kwa kutoka nje, na sasa anasema anaweza kufanya nao kazi

Ukiangalia mlolongo huo ambao tuliuonyesha mwanzo hadi mwisho kabla haujatokea, huwezi kuja na sentensi za ujasiri wa kukacha posho ikiwa tunajua vema ujasiri huo ni cover up, haupo.

Na kwavile unafanyika nyuma ya pazia huo ndio unafiki mkuu. Kwamba unatenda usichoamini! Unafiki wa supreme

Tunafahamu watu hawapendi kusikia habari zake zikiwekwa hadharani.

Wakati wanaunda mitandao ya CCM mwaka 2005 tulionya kuwa huo si utamaduni mzuri na unaharibu taifa.
Angalia sasa hivi hakuna mtu anayejenga hoja wala kueleza sera, kilichopo ni kuunda makundi ya kuchafuana.

Hali ni kama hiyo, nadhani umesoma email ya supreme iliyowekwa jana hapa jamvini.

Tukiacha utapeli na uhuni uendee mwisho wa siku utakuwa utamaduni.

Tukiacha utapeli uguse tunu za taifa kama umoja na utaifa kwasababu ya kukidhi haja ya mtu, tutakuwa wasaliti zaidi
Tukiacha ACT na supreme walimege taifa vipande vipande tutakuwa watovu wa maadili kuliko wao

Hatuna tatizo kama mtu atatengewa nafasi au kupewa hadhi alipo, tuna tatizo kama mtu huyo atatumia hadhi kuvuruga taifa.

Hapo ndipo tulipo mkuu, wala usijisikie uchungu
 
Hapana ! wala usiingie machungu. Mkuu hayo ya ugomvi wako na CDM mtamaliza wenyewe

Sisi tunasimama katika ukweli. Ni ukweli usiopingika kuwa supreme alifahamu matokeo yoyote ya mahakamani yasingebadilisha matokeo kwa namna yoyote. Supreme alikuwa naibu katibu mkuu, alijua hilo na alisimamia hilo kwa wakati wote.
Kwenda mahakamani ni zao la kulinda Ubunge.

Wenzake akina Kitila na Mwigamba hawakwenda kwasababu hawakuwa na cha kupoteza

Pale UKAWA walipotoka, deal nzima ikawa haina maana, supreme akasema walifanya makosa kutoka
Baada ya muda karudi kuwaita wasaka tonge kwa kutoka nje, na sasa anasema anaweza kufanya nao kazi

Ukiangalia mlolongo huo ambao tuliuonyesha mwanzo hadi mwisho kabla haujatokea, huwezi kuja na sentensi za ujasiri wa kukacha posho ikiwa tunajua vema ujasiri huo ni cover up, haupo.

Na kwavile unafanyika nyuma ya pazia huo ndio unafiki mkuu. Kwamba unatenda usichoamini! Unafiki wa supreme

Tunafahamu watu hawapendi kusikia habari zake zikiwekwa hadharani.

Wakati wanaunda mitandao ya CCM mwaka 2005 tulionya kuwa huo si utamaduni mzuri na unaharibu taifa.
Angalia sasa hivi hakuna mtu anayejenga hoja wala kueleza sera, kilichopo ni kuunda makundi ya kuchafuana.

Hali ni kama hiyo, nadhani umesoma email ya supreme iliyowekwa jana hapa jamvini.

Tukiacha utapeli na uhuni uendee mwisho wa siku utakuwa utamaduni.

Tukiacha utapeli uguse tunu za taifa kama umoja na utaifa kwasababu ya kukidhi haja ya mtu, tutakuwa wasaliti zaidi
Tukiacha ACT na supreme walimege taifa vipande vipande tutakuwa watovu wa maadili kuliko wao

Hatuna tatizo kama mtu atatengewa nafasi au kupewa hadhi alipo, tuna tatizo kama mtu huyo atatumia hadhi kuvuruga taifa.

Hapo ndipo tulipo mkuu, wala usijisikie uchungu
Mbona unajijibu mwenyewe, sasa kama Zitto alijua matokeo ya mahakamani yasingebadisha hukumu kwa nini alikwenda maana huwezi kununua muda kwa jambo ambalo unajua ilitabuya wakait wowote. haya nambie imekuwaje yule hakimu kahamishwa na baada ya kuhamishwa tu aliokuja katoa maamuzi? au utasema hakimu wa kwanza alihongwa na Zitto asitoe hukumu. maana nakumbuka alisema wazi mkayamalize wenyewe haya Chadema imekiuka kanuni zake. Mnyika akaja humu na kutupa katiba ilofanyiwa marekebisho ambayo kina Zitto ndio waliipinga. Jamani.. Weka nakala ya Dr.Slaa alipotangaza kufukuzwa kwa kina Kitila na Mwigamba nikuonyehse kitu..Ebu niache bana please tuongee mengine ukweli wako bakia nao.
 
Nadhani hujawahi kuniona mimi nikilalamikia wabunge wa Chadema kuchukua Posho isipokuwa pale wanapomdhihaki Zitto ambaye alikuwa na ujeuri na Ujasiri wa kuacha kuchukua posho hiyo.

Huwa nashindwa kuelewa mtu aloacha kuchukua leo atafutiwe sababu ya Unafiki wakati kaonyesha mfano mzuri kwetu kwamba inawezekana hawa wabunge kugomea fedha hizo na wasivunje sheria. Kama wao wanachukua bora wakae kimya sio kumdhihaki aloacha, yeye akirudi na majibu mazito wanamchukia zaidi..

Swala la Wabunge kutochukua mishahara mikubwa haliwezi kuepukwa ikiwa wao ndio wapangaji wa mishahara hiyo na nadhani turudi nyuma kujiuliza wakati wa Nyerere wabunge walipataje mishahara yao. Kuna vigezo gani zilitumika na leo hii tuna vigezo gani baada ya kuacha siasa za chama kimoja. Ikiwa CEO wa Shirika au Bank hapati Millioni 10 iweje mbunge awe na paycheck ya kiasi hicho hawa wabunge wanatumia vigezo gani na kwa nini wajipangie mishahara wao bungeni!.

Na moja ya sababu kubwa niloiona miye wanaitumia sana ni maisha magumu lakini hutokana na makazi ya wabunge. hawa wabunge wote wanaishi nje ya majimbo yao hutemebela tu wanapohitajika. Wanataka kuishi Hotelini japo zipo nyumba za serikali Dodoma.wanataka kujenga majumba yao Dar maana ndio makzi yao ambapo gharama zake ni kubwa na wakitazama ukali wa maisha ya Dar kwenda Majimboni na Dodoma, huku kuna kuhudumia chama yote haya ni vigezo vyao.

Ndio maana nikasema ili uwe mbunge ni lazima uwe mkazi wa sehemu fulani na kuwepo kiwango cha mishahara kulingana na maisha ya sehemu husika, ndivyo ubepari unavyokwenda kama kipima joto. Wahamie Dodoma wakati wa Bunge wanaishi katika nyumba za serikali au lijengwe jengo la kuwalaza ikiwa tumeweza nunua nyumba za mabolozi je tunashindwa nini kujenga nyumba ya wabunge Dodoma wahamie pale na familia zao.

Kuhusu Mikopo Zitto amekopesha NCCF au NBC ni shirika la Umma lazima arudishe kama vile Mbowe anavyotakiwa kurudisha. Kwa nini watu wanashadadia Mkopo wa Zitto wakati Mbowe naye kakopa na wala sio kosa ikiwa una mpango ulokubalika na kuidhinishwa na viongozi wa NCCF. UJAMAA haukatazi kukopesha isipokuwa unapingana na kupangiwa masharti magumu yasokhusiana na fedha hizo. Kama masharti yako ni kulipa asilimia 20 ya interest utalipwa ila usinipangie kwamba siruhusiwi urafiki wa kuzungumza na Juma wala Hassan. Ni alzima nitumie shirika lako ktk ujenzi wa jambo niloomba, haya ndio mambo alokutana nayo Mwalimu. lakini mikopo ya Maendeleo haikatazwi iwe katika Ujamaa ama maisha ya mtu binafsi..

Kuhusu Uzalendo, Uzalendo hauna kipimo wala vigezo isipokuwa uwezo wako wa kusimamia haki na wajibu kwa wananchi na nchi yako tofauti na Utaifa (Nationalism) ambayo wengi ndio huitumia kuitaka Tanganyika wakadai ni Patriotism maana vitu hivi vinafanana ila kuna uzito tofauti. Sasa ikiwa leo ACT inadai Uzalendo kuwa sura ya chama chake na kuwataka wafuasi wake kuwa wazalendo halafu nyie mkaanza kumpima anayetaka Uzalendo yeye ana Uzalendo gani wakati hamjui Uzalendo una vipimo gani hapo ndipo mnaponishangaza. Mapenzi kwa Nchi yetu utayapima vipi na kwa vitendo gani? maana hata JK anayekwenda kutafuta wawekezaji nje atadai ni Uzalendo maana akiwaacha wakati hamna fedha hamtapata Maendeleo.
- Uzalendo ni nini kwenu!

Mkandara:

Kila nikiwauliza characteristics za mzalendo, wanapiga chenga. Hii ni sawa na miaka ya zamani mtu anaitwa kupe, bepari, nyang'au hili kumchafulia mtu jina. Lakini ukiwauliza maana ya maneno hawana la kujibu

Wanasema Zitto ni mnafiki. Who isn't? On the paper CDM is a center right party. They align their ideologies to those of conservative party in the UK and Republican in the US. As matter of fact it has become a tradition for top brass to come to the US every four years to attend Republic Party conventions. However, on the campaign trails, they change their faces and go farther to the left to attract voters. If this isn’t unafiki, then I don’t what is.

If politics is about believing one thing and telling people something else in order to gain their votes, then Zitto is doing exactly just that.
 
Zakumi;12651715]Mkandara;12649473]

If politics is about believing one thing and telling people something else in order to gain their votes, then Zitto is doing exactly just that
Sir,
Incendiary, inflammatory and divisive sentiments are not party of politics.
These are sign and symptom of immaturity, social and moral decay

''Discipline is the bridge between goals and accomplishment''
 
Swali la kwanini Chadema wanapambana na Zitto, hilo siwezi kulijibu maana mie si msemaji wa Chadema.. Bali ni mpenda mageuzi na ni mwanachama wa kawaida kabisa.. Ila nafikiri viongozi wa chadema wanafanya makosa na kujibizana na Zitto maana yeye ndicho anachopenda.. Na ukiangalia si chadema "wanaochokonolewa na ZIttotu, bali hata NCCR rejea kauli yake za KIgoma na Mkosamali alivyomtolea uvivu, Cuf imechokonolewa ila wao walimu-ignore, njoo Ukawa hapa alipambana na Mtatiro kule facebook. Kwa hiyo utaona Zitto ndo mpenda chokochoko sasa inategemea na mtu na mtu kuna atayemjibu na kujaribu kuonyesha kuwa huko siko na kuna wale wanaomdharau....

Mimi kama mimi sipendi siasa za ulaghai, maana siasa za ulaghai ndo zimetufikisha hapa tulipo, zile siasa za Kigoma kuwa Dubai, au Meli katika ziwa Victoria zikome..

Na tunazikomesha kwa kuwambia wanasiasa ukweli, kuwambia kwa sasa tumechoka na siasa za kilaghai, hatuwezi kupiga hatua kama tukiwaacha wanasiasa wakaongopa mchana kweupe huku tukishangilia kwa kibwagizo cha "mbona hata Pro.Lipumba au Dr. Slaa nao ni walaghai" Ulaghai wa Slaa haumfanyi Zitto naye kuongopa, kutomwambia Slaa kuwa hapa umesema uongo hakumfanyi Zitto kutohojiwa.
TZof K5k1AAAAABJRU5ErkJggg==

Tujifunze kuhoji, tuwakosoe wanasiasa maana wao si malaika, tujenga kizazi chenye kuhoji, tuwe wajasili pale unapoona kosa tulikemea kwa nguvu zote sio kuanza na "mbona fulana.." Tukifanya hivi tutapumguza ulaghai wa kisiasa, wanasiasa hawatajiona ni miungu watu, tatawajengea watoto wetu,wajukuu zetu ujasiri ili wasiwe watawaliwa katika nchi yao kama sisi bali wapate viongozi wa kuwaongoza..

Pia Zitto ni msomi kuliko "vilaza wa Chadema" sasa huyu msomi kwanini afanye siasa kama za vilaza? nini tofauti ya msomi na kilaza Mbowe?? Tunataka kuona siasa za kisomi si siasa za kilaghai.

Kwanini tunajadili kauli za Zitto? nafikri ungerejea "kichwa cha habari" basi usingeuliza ili swali bali ungetupa pongezi pamoja na kufika pg. no.29 tumebaki kwenye hoja ya msingi ambayo ni ..

Alinda.

Awali ya yote nilitaka nikupe kiduchu kuhusu nia na madhumuni ya chama chochote cha siasa duniani ni KUTAKA KUCHUKUA MADALAKA YA KUONGOZA DOLA. Hilo si kwa Tz tu bali ni kwa dunia nzima.

Sasa ili kichukue madaraka hayo ya kuongoza Dola kuna mbinu mbalimbali zinatumika katika ilani zao na hata kauli zao. Kwa upande wa Tz ulaghai na ghilba ndio zimeshika chati kubwa kwa kutumia ignorance ya wananchi wake. Ilmu ya uraia na uchumi zimewapiga chenga wengi sana huko na hivyo wanasiasa kutumia mwanya huo kuongopa na kulaghai ili kupata kura nyingi ambazo zitawafanya waweze kuchukua madaraka ya uongozi wa nchi.

Mimi kama mchumi niliyesheheni nakwambia CHUKUA ILANI YA CHAMA CHOCHOTE HUKO TZ itazame kwa jicho la kiuchumi utaona hakuna ilani inayoweza kutekelezeka kwa kipindi cha miaka mitano kutokana na mfumo wenu wa bajeti (Cash Budget), mfumo wenu wa kodi na makusanyo yake, mipango na mikakati ya nchi ikiwemo seriousness ya watawala katika kuinua uchumi na mwisho UZALENDO wa wananchi na viongozi katika kulinda rasilimali za nchi yenu Na tatizo sugu la ubinafsi na RUSHWA.

Labda nikwambie ukisema Zitto msomi unakosea Zitto si msomi katika wasomi na wala si mwanasiasa bora miongoni mwa wanasiasa bora huko Tz. Zito ni mchanga sana kielimu na hata Degree zake bado hazijakauka wino uliosainiwa na mtoto mchanga sana katika siasa.

Kama ukizungumzia Ulaghai na Ghilba hizi zilianza toka enzi za Nyerere na wengine walifuata. Kumbuka Nyerere aliwaambia wananchi wake wafunge mikanda ya kiuchumi kwa miezi 18 baada ya vita ya Uganda. Jiulize je ilipofika miezi 18 aliwaambia wafungue? je unajuwa kwanini?

Kifupi tatizo la Tz ni kuwa Siasa ndio zimeshika hatamu za uongozi hata katika mambo ya kitaalamu kama uchumi. Viongozi wengi sana huko wanatumia siasa katika mambo ya uchumi matokeo yake ni kuikwamisha nchi. Hata huo mgomo wa madereva utaona wanatatua kisiasa tu wakati ni jambo serious linalohusu maisha ya watu.

Ombi langu kwa wa Tz ili waweze kuendelea wanahitajika kwanza kuwa WAZALENDO wa kuipenda na kulinda rasilimali za nchi yenu, Kuacha siasa katika mambo ya msingi ya maendeleo ya nchi yenu.

Na mwisho katika uchaguzi wenu MCHAGUE KIONGOZI SAHIHI na SIO KIONGOZI BORA. Kwani kiongozi sahihi ni yule anayefanya maamuzi sahihi yenye manufaa kwa nchi japo maamuzi hayo sometimes hayatawapendeza baadhwi ya watu. Kiongozi Bora ni yule anayefanya maamuzi yake ili kufurahisha watu japo maamuzi hayo yanaweza kuwa na athari kubwa katika maendeleo ya nchi.

Hizo ndio siasa zenu. Zito yupo correct kufuata nyayo za waliomtangulia na waliopo katika medani hiyo huko Tz.

Tuwaseme wote tusimkazie pekee Zitto. Tuuangalie mfumo mzima na sio mtu mmoja mmoja tutaonekana wabaguzi na kuacha ushabiki wa vyama.

 
Sir,
Incendiary, inflammatory and divisive sentiments are not party of politics.
These are sign and symptom of immaturity, social and moral decay

‘’Discipline is the bridge between goals and accomplishment’’

Sir;

Why don’t you quote my entire post? You call Zitto mnafiki, but what you have just done is exactly the same. It seems to me you want to take my words out of context.

Politics is about taking a position and sometimes it entails incendiary, inflammatory and divisive rhetoric. When you call Zitto Supreme Leader, you engage in incendiary, inflammatory and divisive sentiments. So you think its ok for you to do that.

What about top government officials, top party officials, business owners who practice nepotism in workplaces? What do you say about them?
 
Mkandara, Waberoya, Zakumi, Ritz, Adharusi. Nawaombeni tuache siasa za kinafiki na kishabiki, nawaombeni msuze nyuso zenu zilizojaa masizi hivyo kutoweza kuona jinsi gani Zitto ni tapeli na mlaghai mkubwa kwa wananchi. Tutafafanua hoja kwa hoja:

Katika uzinduzi wa ACT Wazalendo kufuatia ZItto na akina kitila mkumbo kuwapora watanzania wengine chama chao cha ACT Tanzania, Zitto alitamka kwamba amejiunga na chama cha ACT Wazalendo kwa kuwa chama hicho ndiyo chama pekee nchini kinachokubaliana na itikadi ya ujamaa na kinaamini katika falsafa ya Nyerere. Ndugu zangu, sijui kwanini hamtaki kukubali kwamba hakuna ukweli wowote katika kauli hizi za supreme leader zitto. Zitto analenga kutapeli na kudanganya umma kwa maslahi binafsi. Kwanza, Zitto sio mjamaa, na pili, hakuna jambo hata moja ambalo tunaweza kumfananisha Zitto na Mwalimu Nyerere. Hakuna! Kwa mfano:

· Tofauti na zitto, nyerere alikuwa na maono; zitto hana maono.
· Tofauti na zitto, nyerere hakuwa msaliti; zitto ni msaliti,
· Tofauti na zitto, nyerere alitenganisha maisha yake binafsi na uongozi; zitto anatumia uongozi wake kujikweza na kujinufaisha kibinafsi.
· Tofauti na zitto, kwa Mwalimu uongozi ulikuwa ni utumishi kwa wananchi, uongozi haukuwa ni kujikweza, kujinufaisha binafsi, na kujitafutia sifa kwa nguvu;
· Tofauti na zitto, Mwalimu hakuwa kujiingiza katika mgongano wa maslahi;
· Tofauti na Zitto, Mwalimu, aliweka taifa lake mbele kwanza;
· Tofauti na zitto, mwalimu hakuwahi kugonganisha wanachama wa chama chake cha CCM kwa maslahi ya watu wengine waliopo nje ya chama.

Tukiangalia hata kwa macho ya usingizi, ni rahisi sana kubaini kwamba hakuna ujamaa katika Zitto, na hakuna Azimio la Arusha katika ACT. Zitto ni tapeli na mlaghai mkubwa kwa wananchi. Cha ajabu ni kwamba hata nyinyi mmeamua kwa akili zenu timamu kabisa kujiunga na utapeli huu na ulaghai huu. Mnautetea usiku na mchana.

Tulitazame kwa undani kidogo Azimio la Arusha. Azimio la Arusha katika sehemu inayozungumzia viongozi linasema yafuatayo:

1. "Kiongozi wa TANU au wa Serikali sharti awe mkulima aumfanyakazi na asishiriki katika jambo lo lote la kibepari au kikabaila."

· Je Zitto anatosha hapa? Kati ya ubepari na ujamaa, Zitto anaishi maisha ya namna gani zaidi?

2. "Asiwe na hisa katika makampuni yo yote".

Je, zitto anatosha katika hili? Tusisahau sakata la Leka Tukige Limited na Gombe Advisors Limited.

3. "Asiwe mkurugenzi katika kampuni ya kikabaila au kibepari".

Rejea hoja ya hapo juu.

4. "Asiwe na mishahara miwili au zaidi".

Je, zitto anatosha katika hili? Tusisahau ulaghai wake katika sakata la posho za wabunge. Vile vile, tusisahau jinsi gani ametuhumiwa kujinufaisha mara kwa mara na fedha za walipa kodi kupitia taasisi zilizokuwa chini ya kamati yake ya PAC, Tanapa na NSSF.

5. "Asiwe na nyumba ya kupangisha".

Je anatosha katika hili?

6. "Viongozi tunaofikiria hapa ni wajumbe wa Halmashauri Kuu
ya Taifa, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Vyama vilivyoshirikishwa na TANU, Wakuu wa Mashirika ya Kiserikali."

Je si yumo humu kama mbunge (aliyejiuzulu)?

Katika madhumuni, Azimio la Arusha linasema hivi:

· "…Kuona kwamba Serikali inatoa nafasi zilizo sawa kwa wote,
wake kwa waume, bila kujali rangi, kabila, dini au hali."

· "…Kuona kwamba Serikali inaondoa kila namna ya dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa na upotofu."

Katika haya, zitto hatoshi kwani akiwa ACT amekuwa mstari wa mbele kuwagawa watanzania kwa makabila yao na hali zao za maisha.

Kwanini tumuamini tapeli, laghai na mchonganishi Zitto kwa kumpa dhamana ya uongozi?

Tumeshuhudia jinsi gani Zitto amekuwa mstari wa mbele akihubiri siasa za kibaguzi.

Kwanini tufanye kosa la kumpa mtu hatari kama huyu dhamana ya uongozi?

Pia zitto ametuhumiwa kujipatia fedha kutoka TANAPA na NSSF kwa njia za rushwa na ujanja ujanja. Hajawahi kukanusha tuhuma hii kwa hoja,

Azimio la Arusha pia linasema haya kuhusiana na Siasa ya Ujamaa, siasa ambayo Zitto analaghai wananchi kwamba yeye na ACT ndio inafuata misingi yake:

"Katika nchi ya Ujamaa kamili mtu hamnyonyi mtu, bali kila awezaye kufanya kazi hufanya kazi, na kila mfanya kazi hupata pato la haki kwa kazi aifanyayo na wala mapato ya wafanyakazi mbali mbali hayapitani mno."

Hii ndio Tanzania ambayo tuliiona kupitia Azimio la Arusha, Tanzania ambayo Mwalimu alipigana usiku na mchana kuijenga kwa maslahi ya watanzania wote. Tofauti na hayo, tumeona jinsi gani Zitto amekuwa akilaghai watanzania kwa kuleta takwimu zilizojaa upotoshaji kwamba ipo baadhi ya mikoa ambayo inanyonya mikoa mingine. Kupitia takwimu za kodi ya mapato nchini, tumeona kwamba mikoa ambayo zitto amekuwa akiichonganisha na mikoa mingine kwa viel tu imepiga hatua kimaendeleo, kumbe ni mikoa ambayo imekuwa inapata mgao kutokana na jasho la wananchi wa mikoa hiyo (Makusanyo ya Kodi).

Azimio la arusha linazidi kulinda wananchi wa mikoa ya Kilimanjao na Arusha inayobaguliwa na ZItto pale linaposema kwamba:

MASHARTI YA MAENDELEO:

1. Juhudi:
"Kila mwananchi anataka maendeleo, lakini si kila mwananchi
anaelewa na kukubali masharti ya maendeleo. Sharti moja
kubwa ni JUHUDI".

2. Maarifa:
"Sharti la pili la maendeleo ni MAARIFA. Juhudi bila maarifa haiwezi
kutoa matunda bora kama juhudi na maarifa."

Nguruvi3 na wengine wamejadili suala hili kwa kina pale walipokuwa wanapingana na hoja za zitto za kuwabagua wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro. Hoja ya msingi ya Nguruvi3 katiak suala hili imekuwa kwamba maendeleo ya wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ni matokeo ya "juhudi" na "maarifa" yao, kama jinsi azimio la arusha linavyoelekeza.

Tutazidi kuonyesha kwa hoja jinsi gani supreme leader Zitto ni tapeli na laghai wa kisiasa na kwamba, kama hatajirekebisha, basi huu ni wakati kwa watanzania kukaa mbali nae kama ukoma.
 
Mkandara, Waberoya, Zakumi, Ritz, Adharusi. Nawaombeni tuache siasa za kinafiki na kishabiki, nawaombeni msuze nyuso zenu zilizojaa masizi hivyo kutoweza kuona jinsi gani Zitto ni tapeli na mlaghai mkubwa kwa wananchi. Tutafafanua hoja kwa hoja:

Katika uzinduzi wa ACT Wazalendo kufuatia ZItto na akina kitila mkumbo kuwapora watanzania wengine chama chao cha ACT Tanzania, Zitto alitamka kwamba amejiunga na chama cha ACT Wazalendo kwa kuwa chama hicho ndiyo chama pekee nchini kinachokubaliana na itikadi ya ujamaa na kinaamini katika falsafa ya Nyerere. Ndugu zangu, sijui kwanini hamtaki kukubali kwamba hakuna ukweli wowote katika kauli hizi za supreme leader zitto. Zitto analenga kutapeli na kudanganya umma kwa maslahi binafsi. Kwanza, Zitto sio mjamaa, na pili, hakuna jambo hata moja ambalo tunaweza kumfananisha Zitto na Mwalimu Nyerere. Hakuna! Kwa mfano:

· Tofauti na zitto, nyerere alikuwa na maono; zitto hana maono.
· Tofauti na zitto, nyerere hakuwa msaliti; zitto ni msaliti,
· Tofauti na zitto, nyerere alitenganisha maisha yake binafsi na uongozi; zitto anatumia uongozi wake kujikweza na kujinufaisha kibinafsi.
· Tofauti na zitto, kwa Mwalimu uongozi ulikuwa ni utumishi kwa wananchi, uongozi haukuwa ni kujikweza, kujinufaisha binafsi, na kujitafutia sifa kwa nguvu;
· Tofauti na zitto, Mwalimu hakuwa kujiingiza katika mgongano wa maslahi;
· Tofauti na Zitto, Mwalimu, aliweka taifa lake mbele kwanza;
· Tofauti na zitto, mwalimu hakuwahi kugonganisha wanachama wa chama chake cha CCM kwa maslahi ya watu wengine waliopo nje ya chama.

Tukiangalia hata kwa macho ya usingizi, ni rahisi sana kubaini kwamba hakuna ujamaa katika Zitto, na hakuna Azimio la Arusha katika ACT. Zitto ni tapeli na mlaghai mkubwa kwa wananchi. Cha ajabu ni kwamba hata nyinyi mmeamua kwa akili zenu timamu kabisa kujiunga na utapeli huu na ulaghai huu. Mnautetea usiku na mchana.

Tulitazame kwa undani kidogo Azimio la Arusha. Azimio la Arusha katika sehemu inayozungumzia viongozi linasema yafuatayo:

1. “Kiongozi wa TANU au wa Serikali sharti awe mkulima aumfanyakazi na asishiriki katika jambo lo lote la kibepari au kikabaila.”

· Je Zitto anatosha hapa? Kati ya ubepari na ujamaa, Zitto anaishi maisha ya namna gani zaidi?

2. “Asiwe na hisa katika makampuni yo yote”.

Je, zitto anatosha katika hili? Tusisahau sakata la Leka Tukige Limited na Gombe Advisors Limited.

3. “Asiwe mkurugenzi katika kampuni ya kikabaila au kibepari”.

Rejea hoja ya hapo juu.

4. “Asiwe na mishahara miwili au zaidi”.

Je, zitto anatosha katika hili? Tusisahau ulaghai wake katika sakata la posho za wabunge. Vile vile, tusisahau jinsi gani ametuhumiwa kujinufaisha mara kwa mara na fedha za walipa kodi kupitia taasisi zilizokuwa chini ya kamati yake ya PAC, Tanapa na NSSF.

5. “Asiwe na nyumba ya kupangisha”.

Je anatosha katika hili?

6. “Viongozi tunaofikiria hapa ni wajumbe wa Halmashauri Kuu
ya Taifa, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Vyama vilivyoshirikishwa na TANU, Wakuu wa Mashirika ya Kiserikali.”

Je si yumo humu kama mbunge (aliyejiuzulu)?

Katika madhumuni, Azimio la Arusha linasema hivi:

· “…Kuona kwamba Serikali inatoa nafasi zilizo sawa kwa wote,
wake kwa waume, bila kujali rangi, kabila, dini au hali.”

· “…Kuona kwamba Serikali inaondoa kila namna ya dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa na upotofu.”

Katika haya, zitto hatoshi kwani akiwa ACT amekuwa mstari wa mbele kuwagawa watanzania kwa makabila yao na hali zao za maisha.

Kwanini tumuamini tapeli, laghai na mchonganishi Zitto kwa kumpa dhamana ya uongozi?

Tumeshuhudia jinsi gani Zitto amekuwa mstari wa mbele akihubiri siasa za kibaguzi.

Kwanini tufanye kosa la kumpa mtu hatari kama huyu dhamana ya uongozi?

Pia zitto ametuhumiwa kujipatia fedha kutoka TANAPA na NSSF kwa njia za rushwa na ujanja ujanja. Hajawahi kukanusha tuhuma hii kwa hoja,

Azimio la Arusha pia linasema haya kuhusiana na Siasa ya Ujamaa, siasa ambayo Zitto analaghai wananchi kwamba yeye na ACT ndio inafuata misingi yake:

“Katika nchi ya Ujamaa kamili mtu hamnyonyi mtu, bali kila awezaye kufanya kazi hufanya kazi, na kila mfanya kazi hupata pato la haki kwa kazi aifanyayo na wala mapato ya wafanyakazi mbali mbali hayapitani mno.”

Hii ndio Tanzania ambayo tuliiona kupitia Azimio la Arusha, Tanzania ambayo Mwalimu alipigana usiku na mchana kuijenga kwa maslahi ya watanzania wote. Tofauti na hayo, tumeona jinsi gani Zitto amekuwa akilaghai watanzania kwa kuleta takwimu zilizojaa upotoshaji kwamba ipo baadhi ya mikoa ambayo inanyonya mikoa mingine. Kupitia takwimu za kodi ya mapato nchini, tumeona kwamba mikoa ambayo zitto amekuwa akiichonganisha na mikoa mingine kwa viel tu imepiga hatua kimaendeleo, kumbe ni mikoa ambayo imekuwa inapata mgao kutokana na jasho la wananchi wa mikoa hiyo (Makusanyo ya Kodi).

Azimio la arusha linazidi kulinda wananchi wa mikoa ya Kilimanjao na Arusha inayobaguliwa na ZItto pale linaposema kwamba:

MASHARTI YA MAENDELEO:

1. Juhudi:
“Kila mwananchi anataka maendeleo, lakini si kila mwananchi
anaelewa na kukubali masharti ya maendeleo. Sharti moja
kubwa ni JUHUDI”.

2. Maarifa:
“Sharti la pili la maendeleo ni MAARIFA. Juhudi bila maarifa haiwezi
kutoa matunda bora kama juhudi na maarifa.”

Nguruvi3 na wengine wamejadili suala hili kwa kina pale walipokuwa wanapingana na hoja za zitto za kuwabagua wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro. Hoja ya msingi ya Nguruvi3 katiak suala hili imekuwa kwamba maendeleo ya wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ni matokeo ya “juhudi” na “maarifa” yao, kama jinsi azimio la arusha linavyoelekeza.

Tutazidi kuonyesha kwa hoja jinsi gani supreme leader Zitto ni tapeli na laghai wa kisiasa na kwamba, kama hatajirekebisha, basi huu ni wakati kwa watanzania kukaa mbali nae kama ukoma.

I think Mchambuzi has gone nuts....kumlinganisha ZZK na Nyerere ni sawa na kumlinganisha Mamba ya mjusi. Nakubaliana na yoote uliyosema lakini umejisumbua sana. Nadhani toka day one nilisema ZZK ni opportunist and selfish. He has proved me to be right.
 
I think Mchambuzi has gone nuts....kumlinganisha ZZK na Nyerere ni sawa na kumlinganisha Mamba ya mjusi. Nakubaliana na yoote uliyosema lakini umejisumbua sana. Nadhani toka day one nilisema ZZK ni opportunist and selfish. He has proved me to be right.
Bongolander,
kama umekuwa unamfuatilia supreme leader Zitto, tapeli na mlaghai wa kisiasa namba moja, tangia aweke "usaliti in practice", lugha yake ni ujamaa, azimio la arusha, wanyonge, uzalendo. ni haki yetu kama wananchi kuhoji kama kweli zitto ni mjamaa, muuminu wa azimio la arusha, na mzalendo wa taifa la tanzania. ACT wazalendo ingekuwa ni wakala wa bima, clearing and forwarding n.k, tusingekuwa na muda wa kuhoji matamshi na vitendo vya mtu aitwaye zitto kabwe. Akina Waberoya, Mkandara, Ritz, Zakumi wanatuona kama vile tunajaribu ku hoji au tunajaribu kupata hisa kwenye kampuni binafsi ya zitto kabwe. hapana, zitto anatafuta legitimacy ya electorate ya wananchi wa Tanzania. hatupo tayari kuona upuuzi wake ukifanywa kuwa halali. mtu huyu ni hatari kwa taifa letu, hafai, na hatutaacha kupiga kelele dhidi ya siasa zake za kutugawawa.

Kesho Zitto akiamua kuwa mwenyekiti wq saccos, tunaacha kumjadili right away. Lakini as long as anatafuta uhalali wa Kisiasa miongoni mwetu wananchi, hatutakubali Msaliti na mnafiki Huyu afanikiwe kusambaza sumu Ya kutugawanya.
 
Last edited by a moderator:
Bongolander,
kama umekuwa unamfuatilia supreme leader Zitto, tapeli na mlaghai wa kisiasa namba moja, tangia aweke "usaliti in practice", lugha yake ni ujamaa, azimio la arusha, wanyonge, uzalendo. ni haki yetu kama wananchi kuhoji kama kweli zitto ni mjamaa, muuminu wa azimio la arusha, na mzalendo wa taifa la tanzania. ACT wazalendo ingekuwa ni wakala wa bima, clearing and forwarding n.k, tusingekuwa na muda wa kuhoji matamshi na vitendo vya mtu aitwaye zitto kabwe. Akina Waberoya, Mkandara, Ritz, Zakumi wanatuona kama vile tunajaribu ku hoji au tunajaribu kupata hisa kwenye kampuni binafsi ya zitto kabwe. hapana, zitto anatafuta legitimacy ya electorate ya wananchi wa Tanzania. hatupo tayari kuona upuuzi wake ukifanywa kuwa halali. mtu huyu ni hatari kwa taifa letu, hafai, na hatutaacha kupiga kelele dhidi ya siasa zake za kutugawawa.

Kesho Zitto akiamua kuwa mwenyekiti wq saccos, tunaacha kumjadili right away. Lakini as long as anatafuta uhalali wa Kisiasa miongoni mwetu wananchi, hatutakubali Msaliti na mnafiki Huyu afanikiwe kusambaza sumu Ya kutugawanya.

Mchambuzi ni vizuri tukubaliane kuwa tuna uhuru wa kutokubaliana na members wenzetu. Lakini facts will always be facts. Zitto ni mbinafsi, mwenye tamaa, na sasa inaonekana wazi kabisa kuwa anataka kuumia migongo ya watu kufikia malengo yake kisiasa. Lakini kibaya zaidi ni kuwa amevuruga sana steam ya siasa za Tanzania, he was a very good member of opposition team akiwa ndani ya CDM, sasa amekuwa msaliti wa opposition yote ndani ya ACT. Either way, hawezi hata siku moja kumtumia JKN kuwafikia wananchi nchi. It is all over for him.
 
Mkandara, Waberoya, Zakumi, Ritz, Adharusi. Nawaombeni tuache siasa za kinafiki na kishabiki, nawaombeni msuze nyuso zenu zilizojaa masizi hivyo kutoweza kuona jinsi gani Zitto ni tapeli na mlaghai mkubwa kwa wananchi. Tutafafanua hoja kwa hoja:

Katika uzinduzi wa ACT Wazalendo kufuatia ZItto na akina kitila mkumbo kuwapora watanzania wengine chama chao cha ACT Tanzania, Zitto alitamka kwamba amejiunga na chama cha ACT Wazalendo kwa kuwa chama hicho ndiyo chama pekee nchini kinachokubaliana na itikadi ya ujamaa na kinaamini katika falsafa ya Nyerere. Ndugu zangu, sijui kwanini hamtaki kukubali kwamba hakuna ukweli wowote katika kauli hizi za supreme leader zitto. Zitto analenga kutapeli na kudanganya umma kwa maslahi binafsi. Kwanza, Zitto sio mjamaa, na pili, hakuna jambo hata moja ambalo tunaweza kumfananisha Zitto na Mwalimu Nyerere. Hakuna! Kwa mfano:

· Tofauti na zitto, nyerere alikuwa na maono; zitto hana maono.
· Tofauti na zitto, nyerere hakuwa msaliti; zitto ni msaliti,
· Tofauti na zitto, nyerere alitenganisha maisha yake binafsi na uongozi; zitto anatumia uongozi wake kujikweza na kujinufaisha kibinafsi.
· Tofauti na zitto, kwa Mwalimu uongozi ulikuwa ni utumishi kwa wananchi, uongozi haukuwa ni kujikweza, kujinufaisha binafsi, na kujitafutia sifa kwa nguvu;
· Tofauti na zitto, Mwalimu hakuwa kujiingiza katika mgongano wa maslahi;
· Tofauti na Zitto, Mwalimu, aliweka taifa lake mbele kwanza;
· Tofauti na zitto, mwalimu hakuwahi kugonganisha wanachama wa chama chake cha CCM kwa maslahi ya watu wengine waliopo nje ya chama.

Tukiangalia hata kwa macho ya usingizi, ni rahisi sana kubaini kwamba hakuna ujamaa katika Zitto, na hakuna Azimio la Arusha katika ACT. Zitto ni tapeli na mlaghai mkubwa kwa wananchi. Cha ajabu ni kwamba hata nyinyi mmeamua kwa akili zenu timamu kabisa kujiunga na utapeli huu na ulaghai huu. Mnautetea usiku na mchana.

Tulitazame kwa undani kidogo Azimio la Arusha. Azimio la Arusha katika sehemu inayozungumzia viongozi linasema yafuatayo:

1. “Kiongozi wa TANU au wa Serikali sharti awe mkulima aumfanyakazi na asishiriki katika jambo lo lote la kibepari au kikabaila.”

· Je Zitto anatosha hapa? Kati ya ubepari na ujamaa, Zitto anaishi maisha ya namna gani zaidi?

2. “Asiwe na hisa katika makampuni yo yote”.

Je, zitto anatosha katika hili? Tusisahau sakata la Leka Tukige Limited na Gombe Advisors Limited.

3. “Asiwe mkurugenzi katika kampuni ya kikabaila au kibepari”.

Rejea hoja ya hapo juu.

4. “Asiwe na mishahara miwili au zaidi”.

Je, zitto anatosha katika hili? Tusisahau ulaghai wake katika sakata la posho za wabunge. Vile vile, tusisahau jinsi gani ametuhumiwa kujinufaisha mara kwa mara na fedha za walipa kodi kupitia taasisi zilizokuwa chini ya kamati yake ya PAC, Tanapa na NSSF.

5. “Asiwe na nyumba ya kupangisha”.

Je anatosha katika hili?

6. “Viongozi tunaofikiria hapa ni wajumbe wa Halmashauri Kuu
ya Taifa, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Vyama vilivyoshirikishwa na TANU, Wakuu wa Mashirika ya Kiserikali.”

Je si yumo humu kama mbunge (aliyejiuzulu)?

Katika madhumuni, Azimio la Arusha linasema hivi:

· “…Kuona kwamba Serikali inatoa nafasi zilizo sawa kwa wote,
wake kwa waume, bila kujali rangi, kabila, dini au hali.”

· “…Kuona kwamba Serikali inaondoa kila namna ya dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa na upotofu.”

Katika haya, zitto hatoshi kwani akiwa ACT amekuwa mstari wa mbele kuwagawa watanzania kwa makabila yao na hali zao za maisha.

Kwanini tumuamini tapeli, laghai na mchonganishi Zitto kwa kumpa dhamana ya uongozi?

Tumeshuhudia jinsi gani Zitto amekuwa mstari wa mbele akihubiri siasa za kibaguzi.

Kwanini tufanye kosa la kumpa mtu hatari kama huyu dhamana ya uongozi?

Pia zitto ametuhumiwa kujipatia fedha kutoka TANAPA na NSSF kwa njia za rushwa na ujanja ujanja. Hajawahi kukanusha tuhuma hii kwa hoja,

Azimio la Arusha pia linasema haya kuhusiana na Siasa ya Ujamaa, siasa ambayo Zitto analaghai wananchi kwamba yeye na ACT ndio inafuata misingi yake:

“Katika nchi ya Ujamaa kamili mtu hamnyonyi mtu, bali kila awezaye kufanya kazi hufanya kazi, na kila mfanya kazi hupata pato la haki kwa kazi aifanyayo na wala mapato ya wafanyakazi mbali mbali hayapitani mno.”

Hii ndio Tanzania ambayo tuliiona kupitia Azimio la Arusha, Tanzania ambayo Mwalimu alipigana usiku na mchana kuijenga kwa maslahi ya watanzania wote. Tofauti na hayo, tumeona jinsi gani Zitto amekuwa akilaghai watanzania kwa kuleta takwimu zilizojaa upotoshaji kwamba ipo baadhi ya mikoa ambayo inanyonya mikoa mingine. Kupitia takwimu za kodi ya mapato nchini, tumeona kwamba mikoa ambayo zitto amekuwa akiichonganisha na mikoa mingine kwa viel tu imepiga hatua kimaendeleo, kumbe ni mikoa ambayo imekuwa inapata mgao kutokana na jasho la wananchi wa mikoa hiyo (Makusanyo ya Kodi).

Azimio la arusha linazidi kulinda wananchi wa mikoa ya Kilimanjao na Arusha inayobaguliwa na ZItto pale linaposema kwamba:

MASHARTI YA MAENDELEO:

1. Juhudi:
“Kila mwananchi anataka maendeleo, lakini si kila mwananchi
anaelewa na kukubali masharti ya maendeleo. Sharti moja
kubwa ni JUHUDI”.

2. Maarifa:
“Sharti la pili la maendeleo ni MAARIFA. Juhudi bila maarifa haiwezi
kutoa matunda bora kama juhudi na maarifa.”

Nguruvi3 na wengine wamejadili suala hili kwa kina pale walipokuwa wanapingana na hoja za zitto za kuwabagua wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro. Hoja ya msingi ya Nguruvi3 katiak suala hili imekuwa kwamba maendeleo ya wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ni matokeo ya “juhudi” na “maarifa” yao, kama jinsi azimio la arusha linavyoelekeza.

Tutazidi kuonyesha kwa hoja jinsi gani supreme leader Zitto ni tapeli na laghai wa kisiasa na kwamba, kama hatajirekebisha, basi huu ni wakati kwa watanzania kukaa mbali nae kama ukoma.


Mchambuzi:
Ujamaa comes in many forms and as a matter of fact a person doesn’t need to follow Azimio la Arusha to be mjamaa. So he might as well follow the Swedish or British model of socialism. Who knows?

Furthermore, Azimio la Arusha isn’t a constitutional document or the law of the land. It was an ideological document which rose to prominence during the era of the single party system. Back then, the ruling party used to align its ideologies with the business of running the government. But that practice doesn’t exist anymore, and I don’t know why you try to build your argument using irrelevant document.

Yes Zitto isn’t Nyerere. But the thing you need to understand is many Tanzanians don’t know Nyerere very well. This is because during his reign he was the real supreme leader. He controlled media outlets and every aspect of our lives. We didn’t know what was going on within our own country without his permission. So why do you want to compare him with Zitto or any modern Tanzanian politician for that matter?
 
Bongolander,
kama umekuwa unamfuatilia supreme leader Zitto, tapeli na mlaghai wa kisiasa namba moja, tangia aweke "usaliti in practice", lugha yake ni ujamaa, azimio la arusha, wanyonge, uzalendo. ni haki yetu kama wananchi kuhoji kama kweli zitto ni mjamaa, muuminu wa azimio la arusha, na mzalendo wa taifa la tanzania. ACT wazalendo ingekuwa ni wakala wa bima, clearing and forwarding n.k, tusingekuwa na muda wa kuhoji matamshi na vitendo vya mtu aitwaye zitto kabwe. Akina Waberoya, Mkandara, Ritz, Zakumi wanatuona kama vile tunajaribu ku hoji au tunajaribu kupata hisa kwenye kampuni binafsi ya zitto kabwe. hapana, zitto anatafuta legitimacy ya electorate ya wananchi wa Tanzania. hatupo tayari kuona upuuzi wake ukifanywa kuwa halali. mtu huyu ni hatari kwa taifa letu, hafai, na hatutaacha kupiga kelele dhidi ya siasa zake za kutugawawa.

Kesho Zitto akiamua kuwa mwenyekiti wq saccos, tunaacha kumjadili right away. Lakini as long as anatafuta uhalali wa Kisiasa miongoni mwetu wananchi, hatutakubali Msaliti na mnafiki Huyu afanikiwe kusambaza sumu Ya kutugawanya.

Mchambuzi:

I believe in the power of the constitution and the rule of law. So far Zitto hasn't broken anything and you should allow him to run his daily routines as the constitution or the law of the land intends. That's my position.

Yes his recent actions might have weakened the opposition and might have disappointed you. However, he's entitled to do that. He's free to switch parties and make speeches.
 
ha ha ha Mchambuzi believe me or not Zitto amekutawala kwa kila kitu!! to you CCM is no longer a problem!!!

Think big bro...kama energy yako yote unaimaliza simply kwa sababu unamchukia huyu mtu.....then he is bigger..higher...far higher than you

chuki mbaya ...majina yote muiteni; he will grow up ....atakuwa kiongozi mkubwa; just train your son aje kumzidi...ila sio wewe

post zako za mwisho umenichekesha umemuita majina yote!! umemaliza?

walisema kafa kisiasa, akiondoka cdm ndo bas tena.....yako wapi?

believe me in the next ten years utamwona akipaa sana...na utakuwa ukiandika sana . he is just himself ndio tatizo lake....wewe mchambuzi sio wewe huwezi ukajisimamia ndio maana sijui uko ccm au chadema? u used to wear ccm uniform just recently ha ha hw
 
Tupe ushahidi basi maana mnasema nyie kwamba Zitto alifukuzwa tu pale alipokwenda mahakamani ina maana alikuwa bado mwanachama kama angekubali kupoteza vyeo vyake na kutokwenda mahakani?. Sasa unaponambia alikwenda mahakamani kwa sababu ya kulinda Ubunge wa BMLK ina maana basi kumbe aliisha fukuzwa toka siku ya kwanza.

Mnachokataa kipi na mnafanya nini ndio maana mimi nagombana na Chadema. Waseme ukweli. Alifukuzwa kabla ya kwenda mahakamani au alijifukuza baada ya jkwenda mahakamani na kama ndivyo kwa nini alivnyimwa right yake kikatiba kusikilizwa na baraza kuu.

kama walimfukuza Zitto toka siku ile na kina Kitila walivunja Kanuni lakini kwa ujanja ujanja wakasema hawakumfukuza ila alipokwenda mahakamani kajifukuza. Jamani, jamani kama wameweza kumfukuza Kitila ambaye yupo pale kisheria na hawakuita baraza kuu wangeshindwa nini na Zitto ambaye ndiye alikuwa adui mkubwa.

Kwa hiyo siasa ni ulaghai na unafiki mtupu, maana Zitto aliomba ajieleze na hukumu yake itolewe na baraza kuu, viongozi wa kamati kuu wakasema maamuzi yao ni final tena Dr. Slaa akaja humu na kutuambia swala la Zitto lisiongelewe tena amepiga marufuku kwa wana Chadema wote.. sasa ulitaka Zitto afanye nini wakati anaijua sheria na haki yake.. Anyway tuyaache wewe una mtazamo wako, niache mimi na mtazamo wangu maana unazidi kunitia machungu tu.
Mkandara dhambi ya zitto kubwa kuliko zote ni ku aspire for chairman post

tangu 2009 zitto alitengwa na kunyooshewa vidole; hakukaribisha na baadhi ya vikao hakualikwa....

baadae wakijua atakuja tena kugombea uenyekiti ..walianza kumzulia tuhuma zote chafu na mbaya kwa lengo la kumuua kisiasa

walijipanga ila zitto alibaki kuwa yeye na misimamo yake na ndio kinachomfanya azidi kupaa...maana hajacopy

tuhuma kwa zitto zinabadilika badilika ssna.....mara msaliti, mara mjuaji kaanzisha chama, mara kapindua chama, mara anafadhiliwa.....na ccm ..oh no anafadhiliwa na rostam na lowassa.....hapana ACT ni usalama wa taifa

naona aibu kuwa katika kizazi kinachoandika historia kwa maandishi haya

nilimuuliza maswali kadhaa mag3 hakuweza kujibu....hataweza ila kaaminishwa kaamini!! leo utamchrka kweli anayevaa bomu na kujilipua??

siri gani zitto alizipeleka ccm? na chadema wameathirika kwa namna gani?

i see MPs wengi wa cdm wanakula lunch na kucheka na MPs wa ccm!! mbowe hata mchana huu pengine yuko BOT canteen kakaa na Lowassa wanakula chakula!!!! just dont get it

recently nimekuww natamani nimfahamu zitto zaidi kupitia maadui zake; ila naona kawaaacha wwnasiasa wenzake 50yrs from now

nchi zetu hizi siasa za ushawishi ndio mpango mzima...zito he is on the right track...hata kama kesho atachoka na akaacha siasa he has done much to be desirable...he has paved a way to many young fellas who want to be leaders and dare to do something!

His greatness at his tender age will never pass unnoticed
 
Mkandara dhambi ya zitto kubwa kuliko zote ni ku aspire for chairman post

tangu 2009 zitto alitengwa na kunyooshewa vidole; hakukaribisha na baadhi ya vikao hakualikwa....

baadae wakijua atakuja tena kugombea uenyekiti ..walianza kumzulia tuhuma zote chafu na mbaya kwa lengo la kumuua kisiasa

walijipanga ila zitto alibaki kuwa yeye na misimamo yake na ndio kinachomfanya azidi kupaa...maana hajacopy

tuhuma kwa zitto zinabadilika badilika ssna.....mara msaliti, mara mjuaji kaanzisha chama, mara kapindua chama, mara anafadhiliwa.....na ccm ..oh no anafadhiliwa na rostam na lowassa.....hapana ACT ni usalama wa taifa

naona aibu kuwa katika kizazi kinachoandika historia kwa maandishi haya

nilimuuliza maswali kadhaa mag3 hakuweza kujibu....hataweza ila kaaminishwa kaamini!! leo utamchrka kweli anayevaa bomu na kujilipua??

siri gani zitto alizipeleka ccm? na chadema wameathirika kwa namna gani?

i see MPs wengi wa cdm wanakula lunch na kucheka na MPs wa ccm!! mbowe hata mchana huu pengine yuko BOT canteen kakaa na Lowassa wanakula chakula!!!! just dont get it

recently nimekuww natamani nimfahamu zitto zaidi kupitia maadui zake; ila naona kawaaacha wwnasiasa wenzake 50yrs from now

nchi zetu hizi siasa za ushawishi ndio mpango mzima...zito he is on the right track...hata kama kesho atachoka na akaacha siasa he has done much to be desirable...he has paved a way to many young fellas who want to be leaders and dare to do something!

His greatness at his tender age will never pass unnoticed
Mkuu unajua Inasikitisha sana kuona wasomi na watu wanaoweza kujenga hoja kama hawa jamaa zetu wanazungumzia mtu kuwa ndio hoja badala ya issues maana sisi hatuhitaji majina ya watu kujenga hoja zetu isipokuwa tunasema makosa ya chama kizima cha Chadema pasipo kujua nani mhusika maana tunajua hujuma zote hizi zilifanywa na mtu au watu. lakini tuna stick na issues wao Zitto msaliti, Zitto ni Supreme leader, hivi kweli nani Mwenyekiti wa chama Tanzania sio Supreme?

Sasa kudhoofika kwa Chadema analaumiwa Zitto ambaye kusema kweli alitoa mwanya mkubwa na muda mrefu kwa chama ku tazama swala hili kwa haki na undani zaidi ujulikane. Sawa tuseme kweli Zitto ni mbinafsi lakini ubinafsi wake aliutaka ndani ya Chama kulingana na katiba na kanuni zake kama walivyotaka wengine. Na siasa za makundi zipo jamani mahala popote, leo ndani ya Demokratic wapo wanamkubali Clinton na wapo wanaompinga na kuunda kundi jingine ndani ya chama hicho hicho kutaka nafasi hiyo hiyo na siri zao za ushindani haziingiliwi maadam hawavunji sheria.

Na wanapeana support na kupingana sio dhambi maadam ni within the rules. Mipango ya Clinton haihusiani na kambi ya chama kabisa wala hareport kila anachokifanya makao makuu hapana ni yeye na kambi yake dhidi ya kambi itakayo mchallenge ndani ya chama, lakini ikifika wakati chama kimemteua yeye hapo ndipo kila mwanachama analazimika kuwa nyuma yake na mipango yote ya chama inaungana na kambi yake kufanya kampeni za Kitaifa.

Nini makosa ya Zitto? utasikia sijui alikuwa akipeleka siri za chama TISS na sinema zao mikutano yake, ilihali Slaa alikuwa na mikutano nao vile vile na hakuna nukuu hata moja ya mikutano yake na TISS. Sijui alitaka kuunda chama ndani nya chama wakati waraka unaonyesha walitaka mageuzi ya uongozi wa chama. Sijui hakutoka nje wakati JK akiapishwa ni utovu wa nidhamu haya katoka na wengine bado msaliti kwa sababu tu kasema ilikuwa kosa kutoka.

Na hata mimi nimeyazoea haya maana mara nyingi hujikuta nafikiria tofauti na Wadanganyika wengi na nimeitwa majina ya kila aina japo mwisho wa siku yanawakuta yale yale niloyasema.

Humu JF nimeeleza kwa undani zaidi juu ya serikali 3 kuwa itakuwa sababu kubwa ya CCM kutunga katiba tusoitaka, imekuwa leo wanailaumu CCM wakati mimi naamini wao ndio walosababisha kubishana juu ya serikali 2/3 kwa miezi wakait kuna mambo muhimu zaidi. sasa katiba ya wananchi kweli ni serikali 3 na takwimu sinaonyesha ni Watanzania wangapi above 18 walopendekeza serikali 3 dhidi ya 1 au 2. Hwataki hata JK alipowapa hesabu wakapinga pasipo takwimu zinazopingana naye. Hili linchi hili ni umiza kichwa, mimi nadhani bora mawazo ya kina Zitto kila mtu abebe msalaba wake maana sioni dalili za kuikomboa nchi hii pamoja ni kama vile unamuokoa mtu baharini yeye kwa kutapatapa kwake anajaribu kukuzamisha..
 
Mchambuzi:

I believe in the power of the constitution and the rule of law. So far Zitto hasn't broken anything and you should allow him to run his daily routines as the constitution or the law of the land intends. That's my position.

Yes his recent actions might have weakened the opposition and might have disappointed you. However, he's entitled to do that. He's free to switch parties and make speeches.
Yes indeed, meaningful speech not just speech

The speech must be supported by facts and data, not mere fabrications, incendiary and inflammatory rhetoric

Kuna vitu havieleweki, tuviweke sawa. Kuna sheria na kanuni. (Regulations, Law and ethics)
Kuvunja sheria ni kosa, kuvunja kanuni ni kosa lisilo la kisheria na linaegemea zaidi katika maadili

Supreme leader ana haki ya kufanya siasa kwa kutumia uhuru wake wa kutenda na kuongea.

Ana haki ya kujiunga na kambi yoyote ya kisiasa bila kuvunja sheria za nchi. Hiyo ni haki yao wewe, mimi , yule na wale pia.

Wakati anafuata sheria, akiwa kiongozi anapaswa pia kuangalia kanuni.

Uvunjaji wa kanuni unapelekea kupatikana kitu 'moral decay' ambacho ni ukosefu wa maadili.
Ukosefu wa maadili una maana pana sana

Akiwa kiongozi, supreme leader anapaswa kusimamia misingi inayotuweka pamoja kama taifa ili sote tushiriki siasa anazozifanya kwa mtazamo tofauti tukiwa kama taifa moja.

Zitto atambue, hawezi kufanya siasa akiwa jukwaani peke yake watu wakiwa na mapanga wanachinjana, au kutafuta ukimbizi

Rwanda walijaribu na matokeo yake tunayajua. Hakuna mshindi bali wote walishindwa.
Kenya wamejaribu kwa kutumia ukabila, matokeo yake tunayajua, hakuna mshindi bali wote wlishindwa

Tendo la Supreme kwenda kutoa speech Mwanza na Shinyanga halina tatizo na hajavunja sheria yoyote ya nchi.

Tendo la kutumbukiza chuki za wananchi wa Shinyanga/Mwanza kuwa masikini kwasababu wanaporwa na wananchi wa Kilimanjaro na Arusha ni la kuvunja umoja wa taifa.

Akiwa kiongozi ni tendo la kukiuka maadili lakini pia lina element za kuvunja sheria kwa uchochezi

Tumeomba data alizotumia kujenga hoja, wote mlikimbia. Mchambuzi kaweka data hapa, Mag3 kauliza mara 3 zipo wapi za Zitto tufanye comparison na kuona kama kuna mapungufu. Nyote mumekimbia mkisubiri uzi usonge mbele

Lakini pia tumeomba ninyi watetezi wa Zitto, mtuelemishe ni wapi, namna gani na njia gani mikoa ya kaskazini inapora na kuwadhulumu watu wa mikoa ya kanda aliyeosema supreme, hamna majibu bali kutueleza kuhusu uzalendo

Hivi kuna mtu anavuruga nchi yake na kubaki mzalendo, ebo ! Yaani mchonganishi anapewa nishani ya ushujaa! alaa!

Tunabaki na hoja moja, alichokifanya ni uchochezi wa kuligawa taifa.

Si ukosefu wa maadili peke yake, bali uchochezi wa kulivuruga taifa kwa njia za xenophobia kama ile ya Afrika kusini na ni tendo linalohitaji kulaaniwa na watu wanaotumia vichwa vyao sawa.

Sote tuna vichwa, tofauti ni matumizi ya vichwa vyetu.
 
Back
Top Bottom