Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Hawa watu Alinda na Nguruv wanachekesha kweli, Kauli ya Adharus kuhusu aliyoyasema Zitto WANAIKUBALI Lakini Kauli ya Ritz kuhusu aliyoyasema Zitto WANAIKATAA!

Tukiwauliza basi na nyinyi Leteni Ya Kwenu kwa Kadri mlivyomsikia Zitto Mwenyewe Akizungumza kuhusu hiyo Mikoa ya Shinyanga, Arusha, Dar es salaam HAWANA

NGOJA NIMUULIZE NGURUV, JE NI KWA NINI UNADHANI KAULI YA ADHARUS NI NUKUU HALISI YA ALIYOYASEMA ZITTO, LAKINI NUKUU YA RITZ SIYO NUKUU HALISI YA ALIYOYASEMA ZITTO, NAOMBA NA USHAHIDI WA MAJIBU YAKO
Mkuu Mag3 kwa busara za kiutu uzima alikuwahi mapema.

Kakushauri kwanza soma uelewe mjadala halafu ujipange na kujadili.


Suala la hotuba zinazotofautiana tumelieleza sana huko nyuma. Tukaonyesha jinsi hotuba ya Shinyanga na nyingine ya radio free Africana viwanja vya furahisha zilivyo na utata.

Wiki iliyopita nimezungumzia suala hilo hilo
kwa kina

Haturudi nyuma, si kwa kuwa hatupendi bali kanuni za elimu zinasema darasa haliwezi kusimamisha mtaala kwasababu kuna mwanafunzi mmoja u wawili mazezeta wasiofanya home work zao.

Na kisha niwakumbushe, rudini bandiko 1408 la Mag3 msome kwa makini hekma iliyopo ndani yake.
Kuna wakati nashangaa sijui mnasoma vipi vitu!
 
Mkuu Mag3 kwa busara za kiutu uzima alikuwahi mapema.

Kakushauri kwanza soma uelewe mjadala halafu ujipange na kujadili.


Suala la hotuba zinazotofautiana tumelieleza sana huko nyuma. Tukaonyesha jinsi hotuba ya Shinyanga na nyingine ya radio free Africana viwanja vya furahisha zilivyo na utata.

Wiki iliyopita nimezungumzia suala hilo hilo
kwa kina

Haturudi nyuma, si kwa kuwa hatupendi bali kanuni za elimu zinasema darasa haliwezi kusimamisha mtaala kwasababu kuna mwanafunzi mmoja u wawili mazezeta wasiofanya home work zao.

Na kisha niwakumbushe, rudini bandiko 1408 la Mag3 msome kwa makini hekma iliyopo ndani yake.
Kuna wakati nashangaa sijui mnasoma vipi vitu!

Nilijua tu utaleta kihoja kingine badala ya hoja.
Na hatukuachii mpaka uelewe au kama hutaki kuelewa basi tuiondoe hiyo sumu ya chuki yako dhidi ya Ukweli.
Mjadala huu nimeufuatilia toka mwanzo,naufahamu vizuri mno, na nipo hapa kuhakikisha siasa za kinafiki na majungu na uwongo na majitaka unazotaka kuwaaminisha watanzania hazifanikiwi.
Sasa mwenzako Alinda anakimbilia kuchukua nukuu za Facebook, anajenga hoja zake si kwa hotuba aliyoisikiliza Kwa Masikio yake, bali kwa Summary za Facebook. Japo wewe Nguruv kuna wakati ulionyesha kutokuipa uzito sana Facebook, Mimi binafsi Siikatai Facebook, Hata hivyo kauli ya Kirefu ya kwenye hotuba ndiyo ambayo ingetuwezesha kujua kiundani kabisa kusudio zima.

Narudia Tena na Nakupa Challenge Nguruv, TUWEKEE HAPA KIPANDE CHA HOTUBA YA ZITTO, ULICHOKISIKIA, AU HATA KUKISOMA, HOTUBA ALIYOTOA SHINYANGA AU MWANZA, KIPANDE KINACHOELEZEA SUALA HILI LA MGAWANYO WA MAENDELEO VS UCHANGIAJI KATIKA PATO LA TAIFA. ILI KILA MTU AJIONEE MWENYEWE.

Kama na wewe unafuata kama ya Alinda ya Facebook, Tuambie tu ndugu yangu, la sivyo Utaendelea Kushambulia personalities zetu huku dawa ikiendelea kukuingia taratibu, Utake Usitake!
 
Hapana usitaharuki wala kujawa na jwazba. Ukweli utasemwa hata kama una uma, ouch!. T
aifa kwanza, mtu baadaye.

Tupo bandiko 1400+. Kama hukuelewa tumefikaje hapa, kuna nafasi ya kurejea nyuma uta catch up nasimbele ya safari.


Kwamba tuanze upya, mh! Inachosha. Rudi nyuma taratibu tu, utatuelewa.

Kuhusu siasa za chuki ,hebu tuwekee chuki ilipo. Lakini pia jiulize chuki ipi zaidi ya ile ya supreme kushambulia mikoa na kuchonganisha wanachi bila sababu?

Pato la taifa lina uwiano gani na maendeleo?Kosa gani limefanywa na wananchi wa mikoahusika?
Mkoa unawezaje kuhujumu mkoa mwingine kimaendeleo?

Una haki ya kutoa dawa ituingie, vivyo hivyo tukitoa dawa kwa supreme tulieni maana yetu ni ‘holistic' kwa taifa si mtu au watu wanaotaka kulivuruga taifa!
 
Hapana usitaharuki wala kujawa na jwazba. Ukweli utasemwa hata kama una uma, ouch!. T
aifa kwanza, mtu baadaye.

Tupo bandiko 1400+. Kama hukuelewa tumefikaje hapa, kuna nafasi ya kurejea nyuma uta catch up nasimbele ya safari.


Kwamba tuanze upya, mh! Inachosha. Rudi nyuma taratibu tu, utatuelewa.

Kuhusu siasa za chuki ,hebu tuwekee chuki ilipo. Lakini pia jiulize chuki ipi zaidi ya ile ya supreme kushambulia mikoa na kuchonganisha wanachi bila sababu?

Pato la taifa lina uwiano gani na maendeleo?Kosa gani limefanywa na wananchi wa mikoahusika?
Mkoa unawezaje kuhujumu mkoa mwingine kimaendeleo?

Una haki ya kutoa dawa ituingie, vivyo hivyo tukitoa dawa kwa supreme tulieni maana yetu ni ‘holistic’ kwa taifa si mtu au watu wanaotaka kulivuruga taifa!

Tulia Usirukeruke kama kuku aliyechinjwa, LETE HOTUBA AMBAYO WEWE BINAFSIHUNA SHAKA NAYO HATA KIDOGO KWAMBA THIS IS IT,
KAMA UNABASE KWENYE VIBANDIKO VY KUTUPIA KWENYE FACEBOOK KAMA MWENZAKO ALINDA, BASI KUWA MUUNGWANA, KIRI HIVYO

LAKINI, KAMA UMEISIKIA YA SHINYANGA NA FURAHISHA KULE MWANZA TUWEKEE HAPA ILI KILA MTU AJIONEE.

Narudia tena, Usijifiche kwenye kucheza na maneno, Kama Hoja zimekuishia unaweza kuingia mitini tu kama Mchambuzi.

Hoja hujibiwa kwa hoja siyo vihoja.
WEKA HAPA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA, AMBAYO NI AUTHENTIC.

La sivyo utakuwa Unaargue vitu usivyovijua
 
Tulia Usirukeruke kama kuku aliyechinjwa, LETE HOTUBA AMBAYO WEWE BINAFSIHUNA SHAKA NAYO HATA KIDOGO KWAMBA THIS IS IT,
KAMA UNABASE KWENYE VIBANDIKO VY KUTUPIA KWENYE FACEBOOK KAMA MWENZAKO ALINDA, BASI KUWA MUUNGWANA, KIRI HIVYO

LAKINI, KAMA UMEISIKIA YA SHINYANGA NA FURAHISHA KULE MWANZA TUWEKEE HAPA ILI KILA MTU AJIONEE.

Narudia tena, Usijifiche kwenye kucheza na maneno, Kama Hoja zimekuishia unaweza kuingia mitini tu kama Mchambuzi.

Hoja hujibiwa kwa hoja siyo vihoja.
WEKA HAPA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA, AMBAYO NI AUTHENTIC.

La sivyo utakuwa Unaargue vitu usivyovijua
.Ndio maana nakuambia hivi unaturudisha page ya ‘kwanza'.

Rudi nyuma usome kwanza hizo hotuba zimeletwa hapa kwa hoja gani na nani ametoa hoja hiyo, kwanini na vigezo gani

Hapana, hatuingii mitini kwasababu tumemweka kitako supreme leader si wapambe

Supreme leader anaelewa hilo, anakabiliana na ukweli huo

Msome Mag3 1408 uelewe alimaanisha nini

Rudi nyuma, soma hoja pata ufahamu wa kutosha njoo tujadiliane.







 
Nguruvi3,

Naona kuna suala hapa umeulizwa na A Akhiy Ritz ni suala zuuri na la msingi sana kwetu sote kwani hotba utakayoiweka itatubainishia kujua nani mkweli na nani mrongo na mchakachuwaji kwani kiini cha tatizo na mtafuruku wa uzi huu ni kuhusu hizo hotba za Zitto.

Tuwekee tafadhwal.
Dr Barubaru,

Akiweka hiyo hotuba hapa ukumbini mimi najitoa JF kuanzia leo na naomba Moderator wanipige life ban.
 
Last edited by a moderator:
Narudia swali hili, kwani hizo hotuba zilizopo zimekuja kutokana na hoja gani?

Tupo kitako na supreme, wengine tusaidieni kahawa.

Huu mjadala ninaufahamu nje ndani, kwa hiyo hapa tunakwenda man to man, huchomoki, maana tumekuvumilia sana na tumekuelewesha sana, lakini kila wakati umekuwa ukiweka kichwa chako mchangani kama mbuni!

Wewe Hotuba aliyoileta Ritz Umeikataa, Mwenzako Alinda yeye anachukua vidondoo vya Facebook!.

Sasa basi ili kukata mzizi wa fitina, Narudia tena, Hebu tuwekee Hotuba halisi ya Zitto hapa, Ya shinyanga na Mwanza ,ambayo wewe Unaikubali, Tujionee hayo maneno ya Ukakasi, Ili tumhukumu ZZK kwa maneno yake halisi.

Mchambuzi amekukimbia hapa kwa sababu hojs zimemwelemea na soon Alinda na vidondoo vyake vya Facebook atakuacha peke yako!

Kama na wewe ni timu Facebook kama dada yetu Alinda, Sema , ili twende kifacebookfacebook. Lakini kama unazungumzia hotuba za kule 'site" kwa wananchi, then tuwekee hotuba za Shinyanga na Mwanza hapa.

Kama huna, then huna sababu ya msingi ya Kukataa kipande cha hotuba aliyoiweka Ritz. Na hapo vihoja vyenu vya kuungaunga vinakuwa vimesambaratishwa tikitiki!

Muungwana akivuliwa nguo huchutama.
 
..

Mkambiwa someni kabla ya kujadili hamtaki, bila kusoma na kuelewa kinachoongelewa kwa kweli mnatia aibu. maana mnapinga na sisi wakati mnaongea kitu kile kile ambacho tumeongea tangu pg.no. 15. Hakuna aliyeongea mambo ya kabila fulani, labda upande wa pili wa akina mkandara.



Kwenye msitari mmoja kuna maneno yanayopingana. Hapo kwenye nyekundu ndo hoja yetu ya msingi. na kwenye blue hivi ukianza kutoa stahiki kwa vigezo vya uchangiaji wa pato la taifa huoni kuwa kutajenga matabaka katika taifa moja? maana hapa kutakuta mikoa ya Dar, Mwanza Kil na nk ndo yenye maendeleo zaidi na mikoa kama Kigoma, Lindi na nk ni masikini wa kutupwa? Na je ikitokea mtu wa Shinyanga akakuuilza kwanini watu wa Kagera wajengewe barabara hali wanachangia kiasi kidogo katika pato la taifa na sisi tunaochangia sana hatuna umeme utawajibu je?



Hoja ya mbadala ni ipi? maana wanao pinga sijaona mtu yeyote aliyekuja na hoja badala ile bla bla za Chadema walifanya kakosa kumfukuza Zitto..




QUOTE=Gamba la Nyoka;13116459]Alinda na Nguruv, Msitake kuyapa maneno ya Zitto Tafsiri yenu mnayoipenda wenyewe!

Tupe maana ya haya maneno..

"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.
[/QUOTE]



Hivi haya maswali haukuyaona au ndo tuseme umeshindwa kuyajibu?

Husiwe na wasi wasi mie nipo sijakimbia mjadala na hakuna hoja za kunikimbiza hapa na hiyo si kawaida yangu.


Tulia Usirukeruke kama kuku aliyechinjwa, LETE HOTUBA AMBAYO WEWE BINAFSIHUNA SHAKA NAYO HATA KIDOGO KWAMBA THIS IS IT,
KAMA UNABASE KWENYE VIBANDIKO VY KUTUPIA KWENYE FACEBOOK KAMA MWENZAKO ALINDA, BASI KUWA MUUNGWANA, KIRI HIVYO

LAKINI, KAMA UMEISIKIA YA SHINYANGA NA FURAHISHA KULE MWANZA TUWEKEE HAPA ILI KILA MTU AJIONEE.

Narudia tena, Usijifiche kwenye kucheza na maneno, Kama Hoja zimekuishia unaweza kuingia mitini tu kama Mchambuzi.

Hoja hujibiwa kwa hoja siyo vihoja.
WEKA HAPA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA, AMBAYO NI AUTHENTIC.

La sivyo utakuwa Unaargue vitu usivyovijua


Baada ya hii mipasho turudi kwenye hoja ya msingi tupe maana ya haya maneno:

"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.




Swala la kusema ni Facebook au Hotuba hiyo si hoja, hoja ni kuwa haya maneno kayaandika Zitto, sasa kama kayaandika Facebook, au Jf au kaandika katika karatasi na kwenda kuyasoma Tabora au Shinyanga hilo halibadilishi ukweli kuwa kitendo cha kunyofoa mikoa minne na kupandikiza chuki baina ya watu wa mikoa hiyo ni kitendo ambacho akivumiliki na cha kukemewa na mimi na wewe..



Tunapokwambia usome na uelewe huu mjadala unahusu nini si kwamba tunakwepa hoja, la asha bali ni kutaka kukuonyesha kuwa kinachojadiliwa hapa si hotuba ya Zitto ya Mwanza au si ya Tabora (ingawaje na yenyewe hipo hapa na inamtia hatiani boss wenu) kinachojadiliwa ni "Andiko la Zitto"

Na tunachotaka kusikia kutoka upande wenu au Zitto mwenyewe, si mipasho wala vijembe ni hoja, ni hoja ya kupingana nasi kuhusu hayo maneno. Sisi au Nguvuri3 katumia hayo maneno ya Zitto kajenga hoja zake, na kufikia hitimisho kuwa hayo maneno yalikuwa ni ya kichonganishi. Hivyo basi ni wajibu wenu upande wenu kujenga hoja kumpiga Nguvuri3 si kuhamisha magoli.

Nikisoma ulichoandika sioni ni wapi unapinga hoja za Nguvur3 au Alinda, ninachoona ni mambo ya hotuba za Tabora sasa sijui hotuba ya Tabora inahusikaje hapa.

Hivyo basi leta maana ya hayo maneno hapo juu.
 
Narudia swali hili, kwani hizo hotuba zilizopo zimekuja kutokana na hoja gani?

Tupo kitako na supreme, wengine tusaidieni kahawa.
Usitake kuchomoka wewe unakesha JF pamoja na shoga ako Alinda mkisema kuwa Zitto anawagawa Watanzania.

Ndugu zetu ambao tupo nao hapa ukumbini Barubaru, Gamba la Nyoka Mkandara kiungwana kabisa wamekuomba utuwekee hiyo hotuba ya Zitto akiwagawa Watanzania huko Shinyanga tukate mzizi wa fitna.

Tupo chini ya miguu yako Nguruvi3 kwa faida ya Wanaukumbi tuwekee hiyo hotuba watanzania tumsome Zitto anavyowagawa Watanzania.

Mimi hotuba ambayo naisimamia kama ushahidi kwa Wanaukumbi hii hapa chini isome tena kiduchu.

Zitto.

Tanga ni ya 8 katika kuchangia Pato la Taifa. Pia ni mkoa wa 8 kwa kiwango cha maendeleo ya watu wake.Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7.Mikoa iliyo nyuma zaidi kimaendeleo nchini ni Kigoma, Singida, Dodoma, Kagera na Tabora. Hata hivyo Tabora ni mkoa wa 10 kwa kuchangia katika Pato la Taifa na Kagera ni mkoa wa 11 katika GDP.Mikoa yenye mchango mdogo zaidi kwenye Pato la Taifa ni Pwani (1.85%), Lindi (1.89%) na Singida (1.92%). Hata hivyo Lindi inashika nafasi ya 9 kwa Maendeleo, juu ya Shinyanga inayochangia 6% katika GDP.Dar inaongoza kwa kuchangia Pato la Taifa ambapo mchango wake kwenye pato la Taifa ni 16.9%. Inafuatiwa na Mwanza [kabla haijagawanywa] 9.2%, Mbeya 7.3%, Shinyanga 6% na Iringa 5.3%. Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia Pato la Taifa.Ndio maana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi. Huwezi kuwa na mkoa unashika namba 5 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namba 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu. Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi. Shinyanga ina Ng'ombe na Pamba.Shinyanga tarehe 17 Aprili, tujadiliane jinsi ya kufanya mapinduzi ya kiuchumi mkoani mwenu.

Mkuu wangu hauchomoki nipo pembeni hapa nimejibanza nasubiri huyo hotuba yako.
 
Last edited by a moderator:
Kawaida yao, wakiona jiko moto wanatulia.Uzi ukisonga mbele utaona wanachomoa bandiko na kuanza kulijadili kana kwamba hawakuona ya nyuma

Huyu tulikubaliana na data zake za fb, nashangaa kashidwa kusimama kuzitetea
Anasema watu wana chuki, yaani alitaka tumeze fb style
Wanaukumbi.

Hapa Nguruvi3 katukataza tusimeze Facebook style lakini cha kusikitisha Alinda anatulazimisha tumeze Facebook style Wanaukumbi mnakubali?
 
Last edited by a moderator:
My take

Kwanza ni ngumu sana kukujibu kwa vile umekiri hoja zako zinatoka facebook ya Zitto.

Huko fb tunakuachia na pengine utupe nafasi kwavile hatufiki maeneo yako. Hoja zako zinajieleza wazi ni za kifb.

Ukisoma maelezo ya Zitto hapo juu, bila kujali alisema nini katika mkutano, bila kujali ana takwimu gani, tayari umeshamtia matatani na unazidi kuueleza umma kuhusu uhuni, uchochezi na uongo wa supreme. Yaani unamwanika hasa.

1 Huwezi kuweka asilimia ukasema ni data bila kutueleza zimepatikana kwa kuangalia nini

Kuna vitu vingi sana umeshindwa kujua havipo, na supreme alijua watu wa aina yako huko fb hawawezi kuona.
Wala sitajaribu kukueleza maana nitakuwa nakutwisha mzigo mzito.


2 Soma maelezo yako ambayo unasema ni ya supreme.
Hivi kuna uhusiano gani kati ya uchangiaji wa pato la taifa, umasikini na maendeleo ya mikoa ya Shinyanga, Kilimanjaro na Arusha?

Kama Arusha ni wa 7 na K’njaro ni wa 9, kipi kilikuwa bora, kulinganisha Shinyanga na namba 1 hadi 6 au kulinganisha Shinyanga na namba 7na 9. Kuna motive gani ya kuruka mikoa iliyotangulia kimaendeleo zaidi ya Kilimanjaro na Arusha?


Tatu, Kwa maneno yako, supreme alikuwa na maana gani aliposema ‘kujenga uchumi shirikishi?
Alimaanisha nani anamyonya nani na kwanini suluhu iwe shirikishi. Wapi kuna ombwe la shirikishi.


Nadhani unaona jinsi unavyozidi kuleta ushahidi kuhusu kauli za supreme za uchochezi, kuligawa taifa na shambulio kali la kisiasa dhidi ya mikoa miwili ya K’njaro na Arusha

Kwakweli kama ni wakili, basi utakuwa umemsaidia mwendesha mashtaka kumtia hatiani supreme.
Huko fb endeleeni, mkija huku mnamtafutia matatizo.


Soma tena maneno yake mwenyewe uliyomnukuu hapo juuhalafu fikiria mtu mwenye akili timamu atafikia conclusion gani.
Ni mbaya sana ndugu yangu, umemtia pabaya bora ungekaakimya! Rejea fb na ahsante sana kwa kushiriki nasi
Wanaukumbi.

Hapa Nguruvi3 anakiri ni ngumu kujibu hoja za Facebook lakini Alinda anatulazimisha tujibu data zake Facebook baada ya kuwa hawana hotuba ya Zitto wanaosema anawagawa Watanzania.

Alinda na Nguruvi3 kaeni kikao kwanza mkubaliane kuwa mtumie data za Facebook au kama kuna mmoja wenu mwenyewe hotuba ya kuwagawa Watanzania mtuwekee jaribu kuwasiliana na Mag3 anaweza kuwa na hotuba ya Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi.

Hapa Nguruvi3 anakiri ni ngumu kujibu hoja za Facebook lakini Alinda anatulazimisha tujibu data zake Facebook baada ya kuwa hawana hotuba ya Zitto wanaosema anawagawa Watanzania.

Alinda na Nguruvi3 kaeni kikao kwanza mkubaliane kuwa mtumie data za Facebook au kama kuna mmoja wenu mwenyewe hotuba ya kuwagawa Watanzania mtuwekee jaribu kuwasiliana na Mag3 anaweza kuwa na hotuba ya Zitto.

Akiileta hiyo hotuba nitag jina langu mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Gamba la Nyoka

Nasubiri majibu..

Tupe maana ya haya maneno..

"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.



Hivi haya maswali haukuyaona au ndo tuseme umeshindwa kuyajibu?

Husiwe na wasi wasi mie nipo sijakimbia mjadala na hakuna hoja za kunikimbiza hapa na hiyo si kawaida yangu.





Baada ya hii mipasho turudi kwenye hoja ya msingi tupe maana ya haya maneno:

"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.




Swala la kusema ni Facebook au Hotuba hiyo si hoja, hoja ni kuwa haya maneno kayaandika Zitto, sasa kama kayaandika Facebook, au Jf au kaandika katika karatasi na kwenda kuyasoma Tabora au Shinyanga hilo halibadilishi ukweli kuwa kitendo cha kunyofoa mikoa minne na kupandikiza chuki baina ya watu wa mikoa hiyo ni kitendo ambacho akivumiliki na cha kukemewa na mimi na wewe..



Tunapokwambia usome na uelewe huu mjadala unahusu nini si kwamba tunakwepa hoja, la asha bali ni kutaka kukuonyesha kuwa kinachojadiliwa hapa si hotuba ya Zitto ya Mwanza au si ya Tabora (ingawaje na yenyewe hipo hapa na inamtia hatiani boss wenu) kinachojadiliwa ni "Andiko la Zitto"

Na tunachotaka kusikia kutoka upande wenu au Zitto mwenyewe, si mipasho wala vijembe ni hoja, ni hoja ya kupingana nasi kuhusu hayo maneno. Sisi au Nguvuri3 katumia hayo maneno ya Zitto kajenga hoja zake, na kufikia hitimisho kuwa hayo maneno yalikuwa ni ya kichonganishi. Hivyo basi ni wajibu wenu upande wenu kujenga hoja kumpiga Nguvuri3 si kuhamisha magoli.

Nikisoma ulichoandika sioni ni wapi unapinga hoja za Nguvur3 au Alinda, ninachoona ni mambo ya hotuba za Tabora sasa sijui hotuba ya Tabora inahusikaje hapa.

Hivyo basi leta maana ya hayo maneno hapo juu.[/QUOTE]
 
Alinda mwenzako Nguruv mambo ya Facebook hayataki, Nasubiri atuwekee speech authentic ya neno kwa neno ambayo arguments zake zimebase. Kama hana basi akiri kuwa hoja zake zote zimebase kwenye bandiko la facebook. na hapohapo atusaidie kwa nini tusimuite ndumilakuwili
 
Nimefurahi sana, nimewaeleza warudi nyuma wasome watapata majibu.
Wamerudi nyuma wanasoma na wanakutana na majibu. yes! ushahidi kuwa hamkuwahi kusoma, au kuelewa. Yes!

Nimeuliza, someni vizuri, kwani hoja ya supreme leader imeanzia wapi, imeingiaje hapa duru,hotuba zimeletwa kwa hoja za nani, na kwanini. Hapo ndipo majibu yalipo

Hapa tupo kitako na supreme leader, tena hatuongei tunamfunza adabu za kuzungumza na siasa.

Tuna mkemea asiltuletee na kupanda mbegu za 'uhutu na utusi''

Huyu ndiye anatushughulisha

Mtafanya spinning za kila aina, tukiibuka tu tunahangaika nasupreme leader
 
Alinda mwenzako Nguruv mambo ya Facebook hayataki, Nasubiri atuwekee speech authentic ya neno kwa neno ambayo arguments zake zimebase. Kama hana basi akiri kuwa hoja zake zote zimebase kwenye bandiko la facebook. na hapohapo atusaidie kwa nini tusimuite ndumilakuwili

Wakihishiwa hoja huja na Viloja by. M.M. Mwanakijiji
 
Nimefurahi sana, nimewaeleza warudi nyuma wasome watapata majibu.
Wamerudi nyuma wanasoma na wanakutana na majibu. yes! ushahidi kuwa hamkuwahi kusoma, au kuelewa. Yes!

Nimeuliza, someni vizuri, kwani hoja ya supreme leader imeanzia wapi, imeingiaje hapa duru,hotuba zimeletwa kwa hoja za nani, na kwanini. Hapo ndipo majibu yalipo

Hapa tupo kitako na supreme leader, tena hatuongei tunamfunza adabu za kuzungumza na siasa.

Tuna mkemea asiltuletee na kupanda mbegu za 'uhutu na utusi''

Huyu ndiye anatushughulisha

Mtafanya spinning za kila aina, tukiibuka tu tunahangaika nasupreme leader

Hoja hawana wamebaki na viloja...Kwenye huo mtengo hatuingii kamwe. Tutaingia kujibu pale watakapokuja na hoja.
 
Back
Top Bottom