Swali lenu nireference za hotuba ya supreme leader. Mumeuliza sana na mara nyingi.
Tuliwajibu kiutu uzima tukidhani mna ufahamu, Sasa mnaona hoja zenu wenyewe zinawanyanyasa mnabadili goli.
Anayehamisha goli ni nani kama sio huyu hapa chini?
Eti mnataka hotuba aliyosema maneno hayo.
Hatuwezi kusoma maneno ya supreme kama msahafu au bibilia au kasuku.
Miezi miwili baada ya mjadala ndio unakiri kuwa hoja sio Zitto aliongea hivyo(kiutu uzima hapa unakiri kuwa msingi wa hoja hii sio hotuba ya ZItto kwa maana hakusema).
Lakini kwani basi hukusema mapema?maana muda wote unabase kwenye ubaguzi, umejikita ZITTO KASEMA, ombeni basi msamaha kwa kuwa-mislead watu kwenye hili.
Ajabu, baada ya kujitoa kuwa issue sio Zitto kasema,unarudi tena
Maana ya mjadala ni kutafuta ukweli wa maneno. Msihamishe goli subirini ni wape reference muonekane viumbe fulani. .
Kuutafuta ukweli wa maneno yepi tena?juu umesema issue sio Zitto kasema nin, hapa tena (kwa lugha yako mwenye unahamisha tena goli), unasema kuutafuta ukweli wa maneno(bila shaka ya Zitto tena juu ya ubaguzi).
Ndio maana nikakwambia kwa kuwa umebase kwenye maneno ya Zitto kueneza chuki kwa mkoa wa Kilimanjaro(kwa lugha yako kama msahafu, kwa reference kuwa Zitto kasema), basi unapaswa ufanye haya ili hoja zako ziwe na nguvu.
1.Thibitisha kuwa Zitto kasema mkoa wa Shinyanga/Tabora unanyonywa na mkoa wa Kilimanjaro.
2. Thibitisha kuwa Zitto kasema umaskini wa Shinyanga/Tabora unatokana na mkoa wa Kilimanjaro.
3. Thibitisha kuwa Zitto kasema kuwa mkoa wa Kilimanjaro unapendelewa.
4. Thibitisha kuwa Zitto kasema mgawanyo wa mapato ya serikali ndio MSINGI PEKEE WA MAENDELEO YA WATU.
KEY HAPA NI PEKEE,huko nyuma umejibu swali hili bila kulielewa.Hakuna sehemu Zitto aliposema kuwa MGAWANYO WA MAPATO YA SERIKALI NDIO MSINGI PEKEE WA MAENDELEO, huu ni mfano wa propaganda mbovu zilizojengwa humu..
Haya hayakwepeki maana ndio reference yako wakati wote.
Najua umeshindwa kuthibitisha maana hakuna yeyote aliyesema hayo, badala ya kukiri hilo unaanza story ndeefu ili kuchanganya watu ili wasijue kuwa umeshindwa kuthibitisha.
Note, Point namba 4: Hii haihusiani na hoja za Mchambuzi na Barubaru na wengine juu ya takwimu na maendeleo, hivyo usije ukasumbuka kuleta data zilizohusika, shika hili neno MGAWANYO WA MAPATO NI MSINGI WA PEKEE WA MAENDELEO?rudia PEKEE, Zitto hajasema hilo.
Ni hivi
Hoja imeanzia jukwaa la siasa. Ikazungumzwa kwa kina duru zasiasa.
Mchambuzi akaleta credible information zake kutoka katika hotuba ya supreme
Mchambuzi kaleta data za uhakika (Bandiko 427)
Mkandara akaunga hoja tena akimlaani supreme kwa kauli chafu(Bandiko433)
Mkandara kaendelea na hoja bandiko 439, 443 akionyesha kutokubaliana na supreme
Mkandara kaja na data zake kutoka serikalini
Zakumi akachangia akilaani maneno ya supreme leader kutokanana vigezo.
Tena akaenda mbali na kuonyesha kwanini mkoa wa KM umeendeleatofauti na kauli za supreme leader
Waberoya katetea hotuba ya supreme leader na kufafanua
Wakuu wafuatao wamechangia hoja na kuchambua data zikihusisha mjadala wa maneno ya supreme.
Nawaomba waje hapa wanisute kama ninawasingizia
Mag3 gfsonwin Waberoya Jasusi JokaKuu Zakumi Alinda TUJITEGEMEE King Suleiman Barubaru
Adharusi kaja na takwimu namaelezo. Ritz kaunga mkono hoja yaAdharusi.
Story zote hizi niliishakujibu kwenye post yangu ile, kama ungeielewe usingerudi tena kujibu kwa story, nilikwambia haya.
Narudia tena, kumbuka wakati wote kuwa msingi wa mjadala huu sio Kapwela kasema nin,sio Mkandara kasema nin, sio Barubaru na sio Ritz kasema nini bali msingi wa thread hii ni either of the two, ACT IMESEMA NINI au ZITTO KASEMA NIN,kutolitambua hilo ni kuzidi kuthibitisha kuwa huna msingi wa hoja.
Hizo story kila mtu humu anazijua, huwezi kuthibitisha Zitto kasema kwa Fulani kasema, out of scope.Kama great thinker unabidi ujue hiyo first principle.
Sisi ni watu wazima, tupo katika jukwaa tunachambua kauli, takwimu na kila jambo. Hatumezi kama wengine.
Kutokana na upuuzi wa kumeza maneno bila kuyachauja, ndio maana watu walikubali katiba iandikwe kwa jina la mtu.
Yaani mtu awe katiba nasi watu.
Hatupendi kucheza nage na mduara wenu ili kupoteza maana ya mjadala.
Nadhani jukwaa litawapuuza si kwasababu tunasema, bali mnajidhihiri.
Msivunje hadhi ya jukwaa, kama hamna hoja kaeni kimya au nendeni mkasome mengine
Samahani wanajamvi, mjadala kuhusu ulaghai na udanganyifu wawanasiasa wa kizazi hiki unaendele.
Chama cha ACT mpini wa kumaliza upinzani
Najua huna hoja ya kujibu, sitashangaa ukikwepa maana huna ujasiri wa kukiri kuwa huna msingi wa hoja zako unazozishupalia kila siku hapa, .
Kumbuka, mjadala haujabase juu ya Uchumi na Maendeleo ujumla wake bali juu ya Zitto alichosema, ndio maana huna budi kuirejea check list ile kama bado unataka kujenga hoja zako juu ya Kilimanjaro,Kilimanjaro,Kilimanjaro.
Hoja uliyoikariri kila siku humu na kuimba kama "kasuku" na kuzifanya msingi wa shutuma zenu kwa ZItto na ACT.
Najua huwezi kuthibitisha ndio maana unajaribu kujificha kwa uwingi wa maneno, ungekuwa mkweli katika mjadala ungefanya nilichokushauri kufanya:
Kukiri udhaifu sio ujinga, kwenye hoja hii hauna msingi wa kuusimamia.
Ukiishakiri hivyo kuwa sio Zitto wala ACT wamesema ubaguzi huo, bali ni mjadala huru juu ya nchi ndipo utakuwa na authority ya kukwepa maswali yale na utatuisaidia nchi kuepukana na mbegu mbaya za Ukanda unazozipanda.
Na ukishakiri hilo tutakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kuendelea na mjadala wa wazi kama alivyoshauri Zitto kwenye hotuba yake ile kuwa
TUJADILIANE NAMNA YA KULETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI,TUJADILIANE!
Sasa hayo yako ya chuki na ubaguzi uliyospecialize nayo, yanayotokana na uzalendo wako kwa mkoa wako wa Kilimanjaro ni yako binafsi, sio ya Zitto wala ya ACT.
Nikushauri tu kuwa man enough kujionyesha wazi na sio kujificha nyuma ya migongo ya wengine.











