Duru za siasa: Gharama za muungano (siri isiyozungumzwa)

Duru za siasa: Gharama za muungano (siri isiyozungumzwa)

Nakubaliana nawe, wala sijasema wabunge (Watalii) wa nchi jirani ni haramu, la hasha.Hata kama wamechaguliwa na watu 1,500 bado wana hadhi ya ubunge.

Kutokana na kuwa na katiba mbovu, znz inapata loophole za kutengeneza ajira kwa gharama za Tanganyika.

watalii hawana kauli znz, wala katika bunge la JMT, wana kazi gani?
Tukikubaliana waendelee kupunga upepo, hoja muhimu inabaki kuwa wametumwa na Zanzibar kwa masilhai ya Znz. Katiba imewapa uwezo wa 2/3 kukataa jambo. Gharama za authority ya 2/3 znz zinapaswa kulipwa na wazanzibar.

Pili, 2/3 kwa mujibu wa katiba ya JMT haiwapi nafasi kukagua shughuli za maendeleo. Kinadharia haki hiyo wanayo, kimantiki na kiakili hawana,wao ni 2/3 ya znz.

Pia hujaelewa wakiwa ndani ya bunge la JMT wanapewa 2/3 kwa niaba ya znz.
Wakirudi znz hawana nafasi ya kufanya shughuli za maendeleo.

Kama watafanya na kumwalika PM Pinda kufuatilia waliyokubaliana Dodoma, Pinda akiteremka znz hajulikani, itabidi aombe kibali cha kazi kama mzanzibar mkazi. Hivi huoni Utalii kweli!!!

Watalii wa znz wakiwa Dodoma wanaweza kupitisha jambo kwa 2/3 wakiwakilisha znz. Huko znz hawatambui (katiba ya mwaka 2010) inasema jambo hilo lipelekwe BLW,kama kuna mgongano katiba ya znz (2010) itakuwa juu.

Kwamba huko znz hawajui kama wana watu wenye nguvu ya 2/3.
Huo kama si Utalii, wewe unaweza kuiita kitu gani.

Hata hivyo una point, kutokana na mkanganyiko huo ni vema kutenga shughuli ili kila mmoja ajue anafanya nini. Leo huwezi kuingia BLW kutalii hata kwa bahati mbaya, vipi tukiwa na Tanganyika halafu tukawa na eneo la pamoja ambalo ni shirikisho.



Mkuu Nguruv3:

Mpaka sasa unashindwa kutetea hoja zako kwa kutumia vithibitisho vyenye nguvu na badala yake unatumia jaziba. Wabunge wa JMT wanatoka katika makundi mbalimbali. Kuna kundi la kutoka katika majimbo uchaguzi ya Tanganyika. Kuna kundi la kutoka majimbo ya uchaguzi wa Zanzibar. Kuna wabunge wa kuteuliwa na vyama vilivyopo bungeni. Kuna wa kuteuliwa na rais. Wabunge wote hawa wana haki sawa. Hivyo wabunge wa majimbo ya Tanganyika wanapodai Marupurupu, ongezeko la Marupurupu litawafikiwa wabunge wa makundi mengine pia.

Pili inaonyesha hujui miundo ya katiba inayotoa uwakilishaji wa minority. Kwa mfano nchini Marekani, kila jimbo linatoa senata wawili. Hawaii inatoa wawili ikiwa na watu nusu milioni na California inatoa wawili ikiwa na watu milioni 38. Hiyo 2/3 ni kuipa Znz sauti. Tukiungana na Malawi nao itabidi tuwape sauti vilevile. Hii ni sawa na kuwapa Hawaii senata wawili na California wawili. Kuna districts zimetengwa hili waMarekani weusi na waspanish wawe na wawakilishi.

Tatu sio kazi za wabunge kufanya shughuli za maendeleo. Wabunge ni watunga sheria. Je wabunge wa kuteuliwa wanafanya kazi gani za maendeleo? Tatizo la watanzania ni mazoea ya kuona wabunge wanarudi kwenye majimbo na kujichanganya na watu hili waonekane wanafanya kazi. Ukweli wa mambo hiyo sio kazi ya wabunge. Watu wanaotakiwa kufanya kazi za maendeleo ni executives kama mkuu wa mkoa au wilaya. Wabunge kazi yao ni kutunga sheria na kufanya check and balance. Hivyo wabunge waZnz kwenda Dodoma na kufanya shughuli za bunge, wanatimiza 100% ya kazi zao. Sio kazi ya mbunge kujenga sekondari.

Katiba ya Tanzania ina kasoro zake. Na kasoro zake sio gharama Tanganyika inayotumia kuendesha muungano. Hata kama Tanganyika na Zanzibar zitatengana, Tanganyika itaendelea kutumia the same amount of money to run her government. Hii ni sawa na serikali ya Marekani inayotumia 1% ya GDP yake katika masuala ya misaada kwa nchi masikini. Nchi ikiwa na matatizo ya kiuchumi kila mwanasiasa anadai kukata misaada ya nje. Misaada inakatwa na bado matatizo ya uchumi yapo palepale kwa sababu 1% is very close to 0%.
 
Zakumi unawezaje kumkomboa masikini wakati kodi yake inaishia nchi jirani?
Mfano, wakati unamkamua mkulima kodi kwa ajili ya elimu, mtoto wake anakosa mkopo wa kodi ya baba yake kwasababu kuna watoto special wa wznz ambao wanapewa kodi hiyo tena si mkopo.

Muungano unakula sehemu kubwa ya kodi za watu. Umasikini haungaliwi kwa sheria tu unaangaliwa pamoja na maeneo yanayokwaza maendeleo. Sidhani kama muungano unaokula bilioni 600 kutoka Tanganyika ni kitu cha kudharau.

Una hoja lakini hoja yako haijakamilika kama huzungumzii matatizo kwa ujumla
 
Last edited by a moderator:
Zakumi unawezaje kumkomboa masikini wakati kodi yake inaishia nchi jirani?
Mfano, wakati unamkamua mkulima kodi kwa ajili ya elimu, mtoto wake anakosa mkopo wa kodi ya baba yake kwasababu kuna watoto special wa wznz ambao wanapewa kodi hiyo tena si mkopo.

Muungano unakula sehemu kubwa ya kodi za watu. Umasikini haungaliwi kwa sheria tu unaangaliwa pamoja na maeneo yanayokwaza maendeleo. Sidhani kama muungano unaokula bilioni 600 kutoka Tanganyika ni kitu cha kudharau.

Una hoja lakini hoja yako haijakamilika kama huzungumzii matatizo kwa ujumla

Nguruv3;

Sijuhi ni darasa gani la uchumi umechukua. Watu mnatumia hoja ya umasikini kuwapa watanganyika jaziba. Mnataka watu waone umasikini wao unasababishwa na muungano. Unajenga picha kuwa kuna watu Zanzibar wanategemea muungano hili waendeshe maisha yao. Na kwa upande wa Zanzibar kuna watu wanafikiri kuwa Zanzibar ingekuwa Dubai kama ingekuwa nchi yenye mamlaka kamili.

Je unafikiri kutakuwa hakuna gharama pale Tanganyika itajiingiza kwenye full integration ya EA? Je hizo gharama zitasaidia vipi kuondoa umasikini?

Umasikini uliopo Tanzania ulikuwepo kabla ya muungano au miaka ya 60 na 70 wakati Zanzibar ikiongoza kwa surplus na foreign reserve.

Umasikini wa watanzania unatokana economic imperatives ambazo zipo Uganda, Zambia, Malawi n.k Kusingizia muungano ni kutowajibika.
 
Nguruv3;

Sijuhi ni darasa gani la uchumi umechukua. Watu mnatumia hoja ya umasikini kuwapa watanganyika jaziba. Mnataka watu waone umasikini wao unasababishwa na muungano. Unajenga picha kuwa kuna watu Zanzibar wanategemea muungano hili waendeshe maisha yao. Na kwa upande wa Zanzibar kuna watu wanafikiri kuwa Zanzibar ingekuwa Dubai kama ingekuwa nchi yenye mamlaka kamili.

Je unafikiri kutakuwa hakuna gharama pale Tanganyika itajiingiza kwenye full integration ya EA? Je hizo gharama zitasaidia vipi kuondoa umasikini?

Umasikini uliopo Tanzania ulikuwepo kabla ya muungano au miaka ya 60 na 70 wakati Zanzibar ikiongoza kwa surplus na foreign reserve.

Umasikini wa watanzania unatokana economic imperatives ambazo zipo Uganda, Zambia, Malawi n.k Kusingizia muungano ni kutowajibika.
Zakumi,

Kwa kweli unachofanya ni kupotosha ukweli wa mambo, aidha kwa kukusudia au kutokusudia. Nguruvi3 au mwananchi wa Kasulu au Nzega hana haja ya kuwa na elimu ya uchumi to question kodi yake inatumikaje; do you know why governments tax people? Mpaka labda patokee discoveries nyingine za karne, taxation remains to be the only practical means of raising revenue to finance mahitaji ya umma (huduma na bidhaa za umma), hasa pale ambapo kuna market failures, of which is more pronounced katika nchi maskini kama Tanzania; katika muktadha huu, key is to ensure that the tax system is efficient and fair, na moja ya njia kuu za kufanikisha hili ni pamoja na fiscal devolution/decentralization; hoja yetu sisi katika muktadha wa serikali mbili ni kwamba upande mmoja hauna fiscal autonomy, hivyo unapatwa na fiscal constraints ambazo ni avoidable; kwa vile unapenda sana kutumia mifano ya marekani, nadhani umesoma katika historia yao jinsi gani confederation ya wakati ule ilikaribia kuvunjika kwa sababu hizi hizi zetu - some states kunyonya nyingine; mifano yako ya malawi, zambia ni irrelevant kwani hizi ni state moja, sisi kuna serikali mbili, moja with autonomy, nyingine bila autonomy, na isiyo na autonomy inabeba states nyingine yenye autonomy kwa fedha za walipa kodi toka state isiyokuwa na autonomy; wamalawi na wazambia wanaishi under one financial and political jurisdiction huku mfumo wao wa kodi na utawala ukiwa uniform, yani kama ambavyo ingekuwa Tanganyika iwapo muungano na zanzibar usingekuja;kwahiyo matatizo ya wamalawi na wazambia wanapambana nayo wenyewe under one jurisdiction; kama muungano umeshindikana, na sisi tupambane na matatizo yetu kivyetu;

Zakumi, pamoja a mapungufu yaliyopo katika hili, watanganyika hawasemi kwamba umaskini wao unatokana na muungano bali matumizi ya kodi zao yanafanyika visivyo, with no gain; mwenye autonomy (zanzibar) gets "handouts", asiye na autonomy (Tanzania Bara/Tanganyika) get "handcuffs";
Tatizo ni hili - mfumo wa sasa unaendekeza dependency on Zanzibar kwa walipa kodi wa Tanzania bara; hili linajadiliwa sio tu na sisi humu bali hata academicians wa nje waliobobea katika masuala ya political economy of development; hapo nyuma nilitoa takwimu za study ya malyamkono et al that quantified dependency of zanzibar kwa Tanzania bara at almost $835 Million in transfers kwa miaka miwili tu (1984-5 a 1998-99); Ukipata muda, tafuta kitabu titled "The Political Plight of Zanzibar", kina data and analysis zote muhimu hoja kuu ikiwa "zanzibar is draining the union economy";

Watafiti hawa wanasema kwamba, this transfer of cash from walipa kodi wa bara kwenda kwa wazanzibari:

is equivalent to Mainland giving every zanzibari a gift of $1,202 a year, or roughly five years of Tanzania's per capital Gross National Product.

Takwimu hizi zili based on data published awamu wa pili ya Mkapa;

Sasa hapa chuki zetu kwa wazanzibari zipo wapi? Nilikualika kwenye bandiko langu humuu juu ya "fiscal autonomy", na jinsi gani tuijadili hii kama framework of analysis, hamkutokea; mkirudi, mnarudi na hoja zile zile mufilisi;

Mwisho kuhusu zanzibar kuwa Dubai, nilishajadili hili na kuja na mifano ya mauritius, hamkujibu; mkuu Zakumi, wazanzibari hawakumwaga damu mitaani kutafuta uhuru wao ili waje kuwa tegemezi kwa Tanganyika;

Tanzania Kwanza, Tanganyika Kabla.

Cc Nguruvi3, FJM

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nguruv3;

Sijuhi ni darasa gani la uchumi umechukua. Watu mnatumia hoja ya umasikini kuwapa watanganyika jaziba. Mnataka watu waone umasikini wao unasababishwa na muungano. Unajenga picha kuwa kuna watu Zanzibar wanategemea muungano hili waendeshe maisha yao. Na kwa upande wa Zanzibar kuna watu wanafikiri kuwa Zanzibar ingekuwa Dubai kama ingekuwa nchi yenye mamlaka kamili.

Je unafikiri kutakuwa hakuna gharama pale Tanganyika itajiingiza kwenye full integration ya EA? Je hizo gharama zitasaidia vipi kuondoa umasikini?

Umasikini uliopo Tanzania ulikuwepo kabla ya muungano au miaka ya 60 na 70 wakati Zanzibar ikiongoza kwa surplus na foreign reserve.

Umasikini wa watanzania unatokana economic imperatives ambazo zipo Uganda, Zambia, Malawi n.k Kusingizia muungano ni kutowajibika.
Huhitaji darzsa la uchumi kutambua kuwa dollar milioni 450 zinakwenda znz.

Ndani ya EAC Tanzania kama Rwanda au Burundi zinachangia.
Faida zake ziwepo au zisiwepo Tanzania lazima itimize wajibu wake., imekubali uanachama

Zanzibar ikijiunga kama nchi tofauti kule EAC italipa gharama zake.
Hakuna taifa litakalosema znz ni wadogo.Integration yoyote ni lazima iwe na wajibu.

Tanzania inalipa ada UN, hilo ni sehemu ya wajibu kama mwanachama.
Kwamba, kuna Marekani basi Tanzania ikae pembeni, haipo.

Hata kama hailipi kama Marekani lakini inatimiza wajibu wake kwa kiasi ilichopangiwa.
Hilo linaondoa vipi umasikini, unaweza kutafuta jibu.

Katika muungano wetu umasikini upo na utakuwepo. Hiyo hailazimishi kuwa masikini wa Hanang au Kondoa alipe gharama zisizomhusu. Kwanini masikini wa znz asilipe gharama zake.
Kuna justification gani ya kukusanya kodi kutoka Tunduru na Mahenge na kuzielekeza znz.

Nikupe mfano, Mtanganyika analipa kodi kwa serikali yake ili iandae mazingira ya kumwezesha mtoto wake kupata elimu.

Wakati wa kutumia kodi ukifika yule mlipa kodi anabaguliwa kwa kuwekewa madaraja ili mtoto wake apate nafasi za elimu ya juu.

Wakati hayo yakitokea mtoto wa znz anasoma buree(si mkopo) kwa kodi za Mtanganyika.
Vipi Umtie mtanganyika umasikini wa kodi kwa gharama za mzanzibar.

Laiti igekuwa nchi moja tungeelewa. Ndivyo kodi za Arusha zinavyofanya kazi Morogoro.
Hawa wznz wamesema wao siyo Watanzania ni nchi jirani.

Hee! unataka kusema hata Waganda wakija wapewe tu kwasababu sisi ni masikini.
Kuna tofauti gani ya Raia wa Malawi na wznz ikiwa wote ni wa nchi jirani.
Kwanini udhani yule wa znz anapaswa kupewa kuliko Mmalawi.

Tunachosema hapa ni kuwa hatuwezi kubeba muungano kwa gharama zetu, huku wengine wakiwa busy kuvizia madaraka kama anavyodai Shivji. Huu ni utegemezi wa kumtia mwingine umasikini.

Bilioni 10 kwa mwaka zinalipa wznz 81, na milioni 500 kwa halamashuri 41 kujenga nyumba za walimu. Wewe unahitaji darasa gani la uchumi kuliona hilo.

Watu 81 hawatengenezi hata kata moja. Ni sawa na balozi za nyumba 10 nane.
Please, muungano lazima uwe wa kiuchumi, si kutegeneana huku wengine wakipiga mayowe wengine wanalipa.

Znz lazima ichangie hata kama ni senti tano. Miaka 20 iliyopita wamechota tu hawana mchango, leo unatuambia hilo haliathiri resource zetu.
 
Mkuu Mchambuzi ahsante kwa bandiko 44

Tulipoweka fiscal autonomy na kwamba ipo wapi katika muungano, wakakimbia. Baada ya mada kusonga mbele wanakuja na madai yale yale. Tunasema kuwa kama znz wana fiscal autonomy ikiwa nchi na kila kitu kwa mujibu wa katiba yao, Mtanganyika anapaswa kuwa na yake. Hatuwezi kuwa na fuko moja, lako liwe lako langu liwe letu.

Hoja ya misaada imekufa kifo cha mende baada ya kuonyesha deni na gharama za ndani anazobeba Mtanganyika.
Hakuna mahali pametumika hesabu ngumu, ni rahisi tu.

Ni hivi znz iwe na uwezo wa kukopa na kupata misaada, ni haki yao. Wanauwezo wa kufanya kila jambo , ni haki yao.
Lakini wasimtie Mtanganyika kitanzi cha kulipa gharama zao bila wao kujua gharama hizo zinatoka wapi.

At least 10 yrs hawana mchango wowote. Kutokana na data za Malyamkono wamechota dollar ambazo ni sawa na magao wa pesa maendeleo ya mikoa ya Tanganyika. Hayo yakiendelea wameendele kuchota 4% huku mabilioni 32 yakipelekwabila kujulikana ni kwa nini. Tumewabeba kila eneo la muungano, bado wanataka hawa wasichostahili.

Wengine tunasema, mambo 7 tu kila mtu ashughulike na mengine. Tusidanganyane kama Shivji alivyosema uvuvi si kjambo la muungano. Wakati akisema hivyo ukimkamata mvuvi kule ziwa Tanganyika hasemi ni mznz, anasema ni Mtanzania.
Shivji kaendelea kupotosha kwasababu hasemi elimu ya juu inayokula zaidi ya bilioni 10 kwa znz tu si suala la muungan.
Kwa maneno mengine penye manufaa na znz si suala la muungano, penye manufaa ya wznz Tanganyika ni suala la muungano hata kama halimo katika muungano.

Akina Zakumi wanaamini kabisa kuwa tunapaswa kupeleka kodi za Mtanganyika znz ili tuwe wananchi wema.
Huu uzuri wa mshumaa sasa basi jamani. Miaka 50 inatosha, ni wakati znz ijiendeshe na pale inapotaka tushirikiane basi waje na kitu mkononi si peke pke, projo na hadithi.
 
Last edited by a moderator:
Zakumi,

Kwa kweli unachofanya ni kupotosha ukweli wa mambo, aidha kwa kukusudia au kutokusudia. Nguruvi3 au mwananchi wa Kasulu au Nzega hana haja ya kuwa na elimu ya uchumi to question kodi yake inatumikaje; do you know why governments tax people? Mpaka labda patokee discoveries nyingine za karne, taxation remains to be the only practical means of raising revenue to finance mahitaji ya umma (huduma na bidhaa za umma), hasa pale ambapo kuna market failures, of which is more pronounced katika nchi maskini kama Tanzania; katika muktadha huu, key is to ensure that the tax system is efficient and fair, na moja ya njia kuu za kufanikisha hili ni pamoja na fiscal devolution/decentralization; hoja yetu sisi katika muktadha wa serikali mbili ni kwamba upande mmoja hauna fiscal autonomy, hivyo unapatwa na fiscal constraints ambazo ni avoidable; kwa vile unapenda sana kutumia mifano ya marekani, nadhani umesoma katika historia yao jinsi gani confederation ya wakati ule ilikaribia kuvunjika kwa sababu hizi hizi zetu - some states kunyonya nyingine; mifano yako ya malawi, zambia ni irrelevant kwani hizi ni state moja, sisi kuna serikali mbili, moja with autonomy, nyingine bila autonomy, na isiyo na autonomy inabeba states nyingine yenye autonomy kwa fedha za walipa kodi toka state isiyokuwa na autonomy; wamalawi na wazambia wanaishi under one financial and political jurisdiction huku mfumo wao wa kodi na utawala ukiwa uniform, yani kama ambavyo ingekuwa Tanganyika iwapo muungano na zanzibar usingekuja;kwahiyo matatizo ya wamalawi na wazambia wanapambana nayo wenyewe under one jurisdiction; kama muungano umeshindikana, na sisi tupambane na matatizo yetu kivyetu;

Zakumi, pamoja a mapungufu yaliyopo katika hili, watanganyika hawasemi kwamba umaskini wao unatokana na muungano bali matumizi ya kodi zao yanafanyika visivyo, with no gain; mwenye autonomy (zanzibar) gets "handouts", asiye na autonomy (Tanzania Bara/Tanganyika) get "handcuffs";
Tatizo ni hili - mfumo wa sasa unaendekeza dependency on Zanzibar kwa walipa kodi wa Tanzania bara; hili linajadiliwa sio tu na sisi humu bali hata academicians wa nje waliobobea katika masuala ya political economy of development; hapo nyuma nilitoa takwimu za study ya malyamkono et al that quantified dependency of zanzibar kwa Tanzania bara at almost $835 Million in transfers kwa miaka miwili tu (1984-5 a 1998-99); Ukipata muda, tafuta kitabu titled "The Political Plight of Zanzibar", kina data and analysis zote muhimu hoja kuu ikiwa "zanzibar is draining the union economy";

Watafiti hawa wanasema kwamba, this transfer of cash from walipa kodi wa bara kwenda kwa wazanzibari:



Takwimu hizi zili based on data published awamu wa pili ya Mkapa;

Sasa hapa chuki zetu kwa wazanzibari zipo wapi? Nilikualika kwenye bandiko langu humuu juu ya "fiscal autonomy", na jinsi gani tuijadili hii kama framework of analysis, hamkutokea; mkirudi, mnarudi na hoja zile zile mufilisi;

Mwisho kuhusu zanzibar kuwa Dubai, nilishajadili hili na kuja na mifano ya mauritius, hamkujibu; mkuu Zakumi, wazanzibari hawakumwaga damu mitaani kutafuta uhuru wao ili waje kuwa tegemezi kwa Tanganyika;

Tanzania Kwanza, Tanganyika Kabla.

Cc Nguruvi3, FJM

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


Mchambuzi:

Bado mnapiga longolongo. Kwenye maoni ya mwaka 1983-1984 waZanzibar kwa wingi walikataa muundo wa serikali mbili kwa sababu ulikuwa unawarudisha nyuma kiuchumi. Kwa mfano kuna mwaka serikali ya Zanzibar ilipitisha bajeti, wiki mbili au tatu zilizofuatia bunge la JMT lilipitisha bajeti na kushusha thamani ya shilingi. Bajeti nzima ya Zanzibar ikawa haina maana. Hivyo kusema kuwa waznz wanafaidika na serikali mbili ni mtazamo wako tu. Wazanzibar don't see that way.

Unasema 1984-85 transfer kutoka bara kwenda visiwani ilikuwa $835 milioni. In 1984-985, Tanzania was on the verge of economic collapse. Hiyo pesa ilitoka wapi?

Unasema kuwa bara inampa mZnz $1,202 kwa mwaka. Ningeomba utoe hizo hesabu na kuonyesha hizo pesa zinakwenda wapi. Kama kweli tunawapa pesa hizo basi per capital income ya Zanzibar ingekuwa zaidi ya $1,200. Data zote zinaonyesha kuwa per capital yao ipo daraja moja na ya Tanzania bara.

Nguruvi anasema kuwa tunatumia $450 millioni kwa mwaka. Ina maana per capital tunatumia $10 au sawa na shillingi 15,000. Hii ni pesa ndogo sana kwa uchumi wenye idadi ya watu, rasimali na ukubwa kama Tanganyika. Hivyo tatizo sio gharama za muungano. Tatizo ni muundo wa uchumi ambao hauna ufanisi. Ukiwa na uchumi ambao hauna ufanisi ata kununua chumvi itakuwa ni gharama.
 
Mchambuzi:

Bado mnapiga longolongo. Kwenye maoni ya mwaka 1983-1984 waZanzibar kwa wingi walikataa muundo wa serikali mbili kwa sababu ulikuwa unawarudisha nyuma kiuchumi. Kwa mfano kuna mwaka serikali ya Zanzibar ilipitisha bajeti, wiki mbili au tatu zilizofuatia bunge la JMT lilipitisha bajeti na kushusha thamani ya shilingi. Bajeti nzima ya Zanzibar ikawa haina maana. Hivyo kusema kuwa waznz wanafaidika na serikali mbili ni mtazamo wako tu. Wazanzibar don't see that way.

Kwanza nafurahi kwamba angalau unakubali kwamba muungano wowote ule, nguzo yake ni uchumi; na ndio maana nikakupa na mfano wa taifa unalopenda kulitaja kama mfano (USA), ambapo nikakueleza kwamba "the confederation of states" almost collapsed kutokana na some states kuhisi hazifaidiki kiuchumi na muungano ule; moja ya solutions ikawa ni vitu vitatu - devolution, devolution and devolution; leo hii, mfumo wa marekani (shirikisho) upo so elaborate and efficient kiasi kwamba ni rahisi kujua kwa mfano, the state of california ikitengwa peka yake in fiscal terms ni taifa lenye uchumi mkubwa kiasi gani;kwa mfano, leo hii, california as a stand alone state ni taifa la sita duniani kwa uchumi mkubwa;tunataka muungano wetu uwe na sura hiyo - kujua kila state ina mchango gani katika uchumi wa taifa badala ya hali ya sasa ambapo kuna:
1. Mambo ya Tanzania bara.
2.Mambo ya muungano.
3. Mambo mchanganyiko.

Ukiwauliza serikalini wakupe mchanganuo wa namba mbili na tatu hapo juu, hata wao hawana jibu.

Kwa michango yako humu ndani, inaonekana una uelewa kidogo juu ya masuala ya uchumi aidha kikazi au just out of interest; lakini cha ajabu ni kwamba hauoni jinsi gani the union economy inakuwa drained na zanzibar; kwa nafasi yako, najua unaweza ukafanya utafiti wa haraka tu na kubaini hilo, hasa kwa kuangalia intergovernmental fiscal relations between Znz na Tanzania bara;usiwe mgumu kukubalo ukweli;

Unasema 1984-85 transfer kutoka bara kwenda visiwani ilikuwa $835 milioni. In 1984-985, Tanzania was on the verge of economic collapse. Hiyo pesa ilitoka wapi?

Unasema kuwa bara inampa mZnz $1,202 kwa mwaka. Ningeomba utoe hizo hesabu na kuonyesha hizo pesa zinakwenda wapi. Kama kweli tunawapa pesa hizo basi per capital income ya Zanzibar ingekuwa zaidi ya $1,200. Data zote zinaonyesha kuwa per capital yao ipo daraja moja na ya Tanzania bara.
Sijasema mimi bali watafiti ambao study yao ipo cited all over the developing world on intergovernmental fiscal relations;

Nguruvi anasema kuwa tunatumia $450 millioni kwa mwaka. Ina maana per capital tunatumia $10 au sawa na shillingi 15,000. Hii ni pesa ndogo sana kwa uchumi wenye idadi ya watu, rasimali na ukubwa kama Tanganyika. Hivyo tatizo sio gharama za muungano. Tatizo ni muundo wa uchumi ambao hauna ufanisi. Ukiwa na uchumi ambao hauna ufanisi ata kununua chumvi itakuwa ni gharama.
Utasemaje kwamba tatizo sio gharama za muungano, bali muundo wa uchumi ambao hauna ufanisi; are you serious? Hauoni kwamba ukiweka maneno hayo kinyume nyume tutakuwa on the same page? i.e muundo wa uchumi hauna ufanisi kwa sababu ya mfumo wa muungano. Ningependa tulijadilo hili katika muktadha wa "fiscal autonomy" kwani hapo ndio mahala pake; nilikualika humu tujadili hilo, hadi leo unakimbia;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu Mchambuzi ahsante kwa bandiko 44

Tulipoweka fiscal autonomy na kwamba ipo wapi katika muungano, wakakimbia. Baada ya mada kusonga mbele wanakuja na madai yale yale. Tunasema kuwa kama znz wana fiscal autonomy ikiwa nchi na kila kitu kwa mujibu wa katiba yao, Mtanganyika anapaswa kuwa na yake. Hatuwezi kuwa na fuko moja, lako liwe lako langu liwe letu.

Hoja ya misaada imekufa kifo cha mende baada ya kuonyesha deni na gharama za ndani anazobeba Mtanganyika.
Hakuna mahali pametumika hesabu ngumu, ni rahisi tu.

Ni hivi znz iwe na uwezo wa kukopa na kupata misaada, ni haki yao. Wanauwezo wa kufanya kila jambo , ni haki yao.
Lakini wasimtie Mtanganyika kitanzi cha kulipa gharama zao bila wao kujua gharama hizo zinatoka wapi.

At least 10 yrs hawana mchango wowote. Kutokana na data za Malyamkono wamechota dollar ambazo ni sawa na magao wa pesa maendeleo ya mikoa ya Tanganyika. Hayo yakiendelea wameendele kuchota 4% huku mabilioni 32 yakipelekwabila kujulikana ni kwa nini. Tumewabeba kila eneo la muungano, bado wanataka hawa wasichostahili.

Wengine tunasema, mambo 7 tu kila mtu ashughulike na mengine. Tusidanganyane kama Shivji alivyosema uvuvi si kjambo la muungano. Wakati akisema hivyo ukimkamata mvuvi kule ziwa Tanganyika hasemi ni mznz, anasema ni Mtanzania.
Shivji kaendelea kupotosha kwasababu hasemi elimu ya juu inayokula zaidi ya bilioni 10 kwa znz tu si suala la muungan.
Kwa maneno mengine penye manufaa na znz si suala la muungano, penye manufaa ya wznz Tanganyika ni suala la muungano hata kama halimo katika muungano.

Akina Zakumi wanaamini kabisa kuwa tunapaswa kupeleka kodi za Mtanganyika znz ili tuwe wananchi wema.
Huu uzuri wa mshumaa sasa basi jamani. Miaka 50 inatosha, ni wakati znz ijiendeshe na pale inapotaka tushirikiane basi waje na kitu mkononi si peke pke, projo na hadithi.

Nguruvi:

Hakuna sehemu niliyodai serikali mbili. Hila sioni hoja ya kutumia gharama za muungano kama msingi wa serikali tatu. Hatuwezi kujenga nchi kwa kuangalia nani ametoa nini. Tutajenga nchi kwa kuangalia common values.

Muundo wa sasa wa serikali haungalii common values za watanzania. Toka nchi ipate uhuru ni wakina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete wanaotuhamulia mambo ya nchi. Umefika wakati wananchi wawe ndio wenye kutoa mawazo ya mwelekeo wa nchi yao.

Watanzania wengi wanataka serikali tatu. Hata kama muundo huu utakuwa na gharama kubwa, wasikilizwe. Gharama zisiwe hoja katika muundo wa serikali.

Gharama kubwa zilizopo sasa ni za kutetea status quo ambazo waZnz and watanganyika wengi hawazitaki.
 
Nguruvi:

Hakuna sehemu niliyodai serikali mbili. Hila sioni hoja ya kutumia gharama za muungano kama msingi wa serikali tatu. Hatuwezi kujenga nchi kwa kuangalia nani ametoa nini. Tutajenga nchi kwa kuangalia common values.

Muundo wa sasa wa serikali haungalii common values za watanzania. Toka nchi ipate uhuru ni wakina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete wanaotuhamulia mambo ya nchi. Umefika wakati wananchi wawe ndio wenye kutoa mawazo ya mwelekeo wa nchi yao.

Watanzania wengi wanataka serikali tatu. Hata kama muundo huu utakuwa na gharama kubwa, wasikilizwe. Gharama zisiwe hoja katika muundo wa serikali.

Gharama kubwa zilizopo sasa ni za kutetea status quo ambazo waZnz and watanganyika wengi hawazitaki.

Mkuu Zakumi,
Mbona kama vile unayumba ki-hoja?

Na hoja yako kwamba "hatuwezi kujenga nchi kwa kuangalia nani ametoa nini", ingekuwa vizuri kama ungetaja nchi unayomaanisha.




Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nafurahi kwamba angalau unakubali kwamba muungano wowote ule, nguzo yake ni uchumi; na ndio maana nikakupa na mfano wa taifa unalopenda kulitaja kama mfano (USA), ambapo nikakueleza kwamba "the confederation of states" almost collapsed kutokana na some states kuhisi hazifaidiki kiuchumi na muungano ule; moja ya solutions ikawa ni vitu vitatu - devolution, devolution and devolution; leo hii, mfumo wa marekani (shirikisho) upo so elaborate and efficient kiasi kwamba ni rahisi kujua kwa mfano, the state of california ikitengwa peka yake in fiscal terms ni taifa lenye uchumi mkubwa kiasi gani;kwa mfano, leo hii, california as a stand alone state ni taifa la sita duniani kwa uchumi mkubwa;tunataka muungano wetu uwe na sura hiyo - kujua kila state ina mchango gani katika uchumi wa taifa badala ya hali ya sasa ambapo kuna:
1. Mambo ya Tanzania bara.
2.Mambo ya muungano.
3. Mambo mchanganyiko.

Ukiwauliza serikalini wakupe mchanganuo wa namba mbili na tatu hapo juu, hata wao hawana jibu.

Kwa michango yako humu ndani, inaonekana una uelewa kidogo juu ya masuala ya uchumi aidha kikazi au just out of interest; lakini cha ajabu ni kwamba hauoni jinsi gani the union economy inakuwa drained na zanzibar; kwa nafasi yako, najua unaweza ukafanya utafiti wa haraka tu na kubaini hilo, hasa kwa kuangalia intergovernmental fiscal relations between Znz na Tanzania bara;usiwe mgumu kukubalo ukweli;


Sijasema mimi bali watafiti ambao study yao ipo cited all over the developing world on intergovernmental fiscal relations;


Utasemaje kwamba tatizo sio gharama za muungano, bali muundo wa uchumi ambao hauna ufanisi; are you serious? Hauoni kwamba ukiweka maneno hayo kinyume nyume tutakuwa on the same page? i.e muundo wa uchumi hauna ufanisi kwa sababu ya mfumo wa muungano. Ningependa tulijadilo hili katika muktadha wa "fiscal autonomy" kwani hapo ndio mahala pake; nilikualika humu tujadili hilo, hadi leo unakimbia;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi:

Nimekwenda shule hapa Marekani na historia yao naijua. Sijaona migogoro iliyotokana na uchumi kusababisha wao kutaka kutengana. Federal Government ya mwanzo ya G. Washington haikuwa na madaraka makubwa na sijaona vitabu vinavyosema kuwa walitaka kutengana kwa sababu majimbo fulani yalikuwa yanafaidika kuliko mengine. Naomba unielimishe.

Toka mwanzo wa republic, majimbo ya marekani yana madaraka makubwa. Miaka ilivyozidi kwenda ndio madaraka ya Federal government yakaongezeka. Hivyo si kweli kuwa kulikuwa devolution nchini Marekani. Marekani ilianza na weak federal government na miaka ilivyozidi kwenda federal government ikaawa inaongeza nguvu zake. Na ongezeko la federal government lilikuwa halina nia ya kupunguza nguvu za states. lilikuwa na nia ya kuimarisha common values. Mmoja wa Federalists alikuwa Abraham Lincoln. Alitumia nguvu za Federal government kujenga reli ya kuunganisha nchi.

Kwa Tanzania tulianza Federal government yenye nguvu. Kila miaka ilivyozidi kwenda serikali ilichukua kila kitu. Hata serikali za mitaa zilizokuwa na nguvu nchini Tanganyika zilipoteza hadhi yake miaka 10 baada ya uhuru. Hivyo toka mwanzo kulikuwa hakuna nia ya kujenga nchi yenye decentralized system. Na bado kuna watu wengi wanaoamini kuwa muungano kamili ni wa serikali moja tu.

Kuhusiana na uchumi, uchumi wa Tanzania hauna ufanisi. Na chanzo cha kutokuwa na ufanisi sio Zanzibar. Ni nchi kuongozwa na watu wenye mapungufu ya uzoefu wa kazi na moyo wa kujenga nchi.
 
Hakuna sehemu niliyodai serikali mbili. Hila sioni hoja ya kutumia gharama za muungano kama msingi wa serikali tatu. Hatuwezi kujenga nchi kwa kuangalia nani ametoa nini. Tutajenga nchi kwa kuangalia common values.

Muundo wa sasa wa serikali haungalii common values za watanzania. Toka nchi ipate uhuru ni wakina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete wanaotuhamulia mambo ya nchi. Umefika wakati wananchi wawe ndio wenye kutoa mawazo ya mwelekeo wa nchi yao.

Watanzania wengi wanataka serikali tatu. Hata kama muundo huu utakuwa na gharama kubwa, wasikilizwe. Gharama zisiwe hoja katika muundo wa serikali.

Gharama kubwa zilizopo sasa ni za kutetea status quo ambazo waZnz and watanganyika wengi hawazitaki.
Hapa unapiga U-turn bila kuangalia traffic.

''Hatuwezi kujenga nchi kwa kuangalia nani ametoa nini'' maneno ya Zakumi.
Elewa kuwa muungano wa Tanganyika na znz ni wa nchi mbili.

Malengo ya zamani yamebadilika na sasa tunaelekea muungano wa kichumi.
Tanganyika ilisharidhia hayo kwa kuamini kuwa tuna common values. Ikapoteza Utanganyika na kubeba furushi la zigo la muungano na zigo la znz.

Wazanzibar wakaacha common values, kwanza kwa kutotaka kuwa sehemu ya sisi Tanzania (Katiba 2010)Pili, kwa kuangalia nani anatoa nini. Nitafafanua

1. Kwanini udhani si muhimu kuangalia nani anachangia nini, lakini iwe muhimu kwa znz kudai Tanganyika inainyonya kwa kuinyima misaada ya nje na mikopo? Hapa znz haiangalii nani katoa nini. Ni miaka mingapi Watanganyika wamesingiziwa kuiba znz.

Leo tunaonyesha ukweli kuwa misaada na mikopo ni ni kidogo sana ukilinganisha na mbeleko waliobebewa ya muungano. Tunaendesha muungano na serikali ya mapinduzi, kwanini udhani si halali kuangalia nani anaweka nini lakini ni halali kuangalia nani achukue nini.

2. Tulikubali kuwa na common values, wenzetu ndio hao kila kwenye manufaa wanatuacha na kukimbia.Hivi klichowakimbiza kuondoa mafuta na gesi, bandari na anga, taasisi kama ZMO, Baraza la mitihani n.k. ni kipi, na je nani anakiuka commona values.

Kuhusu muundo wa gharama za serikali 3, si kweli, narudia si kweli kuamini kuwa utaongoza gharama. Mkuu Mtanganyika amekuja na hesabu zake na kuonyesha kuwa serikali 3 zitaongeza gharama kwa asilimia 21.Tumemuuliza kuongeza gharama kivipi?

Tulichogundua ni kuwa ongezeko la gharama la asilimia 21 ni kwa znz.
Kwa Tanganyika kutakuwa na punguzo la gharama.
Kuondoa mambo 15 kati ya 22 na kuacha 7 ambayo ni ya lazima muungano uwepo au usiwepo ni kupunguza gharama kwa Mtanganyika.

Kumbe wenzetu akina Mtanganyika na Mkandara wanapozungumzia ongezeko la gharama wanamaanisha kule znz ingawa hawasemi. Ni wepesi wa kusema katika senti 42 za mikopo hakuna inayokwenda znz, wanasahau gharama kubwa alizobeba mwananchi wa Tanganyika

Tumewaonyesha wazi na kuwauliza, kama serikali 3 ni gharama basi watuonyeshe serikali 2 zinapunguzaje gharama? Hawana jibu, na sababu ni rahisi wana attack serikali 3 bila kuwa na political au hoja za kiuchumi.

Kesi wanayojenga mahakamani ni kuwa huyu ni mwizi, lakini hawana evidence za ku substantiate ni kwanini wanasema hivyo.

Wakiulizwa vipi mtoto wao serikali 2 hawezi kuwa mwizi, wanachosema ni kuwa tuna mazoea ya kuishi na kijana huyu hivyo tuna common values.

Hata kama ni mwizi bado ni bora tatizo linalosumbua mtaa ni mtoto wa mzee Kiyoba ambaye tunahisi ni mwizi.

 
Last edited by a moderator:
Hapa unapiga U-turn bila kuangalia traffic.

''Hatuwezi kujenga nchi kwa kuangalia nani ametoa nini'' maneno ya Zakumi.
Elewa kuwa muungano wa Tanganyika na znz ni wa nchi mbili.

Malengo ya zamani yamebadilika na sasa tunaelekea muungano wa kichumi.
Tanganyika ilisharidhia hayo kwa kuamini kuwa tuna common values. Ikapoteza Utanganyika na kubeba furushi la zigo la muungano na zigo la znz.

Wazanzibar wakaacha common values, kwanza kwa kutotaka kuwa sehemu ya sisi Tanzania (Katiba 2010)Pili, kwa kuangalia nani anatoa nini. Nitafafanua

1. Kwanini udhani si muhimu kuangalia nani anachangia nini, lakini iwe muhimu kwa znz kudai Tanganyika inainyonya kwa kuinyima misaada ya nje na mikopo? Hapa znz haiangalii nani katoa nini. Ni miaka mingapi Watanganyika wamesingiziwa kuiba znz.

Leo tunaonyesha ukweli kuwa misaada na mikopo ni ni kidogo sana ukilinganisha na mbeleko waliobebewa ya muungano. Tunaendesha muungano na serikali ya mapinduzi, kwanini udhani si halali kuangalia nani anaweka nini lakini ni halali kuangalia nani achukue nini.

2. Tulikubali kuwa na common values, wenzetu ndio hao kila kwenye manufaa wanatuacha na kukimbia.Hivi klichowakimbiza kuondoa mafuta na gesi, bandari na anga, taasisi kama ZMO, Baraza la mitihani n.k. ni kipi, na je nani anakiuka commona values.

Kuhusu muundo wa gharama za serikali 3, si kweli, narudia si kweli kuamini kuwa utaongoza gharama. Mkuu Mtanganyika amekuja na hesabu zake na kuonyesha kuwa serikali 3 zitaongeza gharama kwa asilimia 21.Tumemuuliza kuongeza gharama kivipi?

Tulichogundua ni kuwa ongezeko la gharama la asilimia 21 ni kwa znz.
Kwa Tanganyika kutakuwa na punguzo la gharama.
Kuondoa mambo 15 kati ya 22 na kuacha 7 ambayo ni ya lazima muungano uwepo au usiwepo ni kupunguza gharama kwa Mtanganyika.

Kumbe wenzetu akina Mtanganyika na Mkandara wanapozungumzia ongezeko la gharama wanamaanisha kule znz ingawa hawasemi. Ni wepesi wa kusema katika senti 42 za mikopo hakuna inayokwenda znz, wanasahau gharama kubwa alizobeba mwananchi wa Tanganyika

Tumewaonyesha wazi na kuwauliza, kama serikali 3 ni gharama basi watuonyeshe serikali 2 zinapunguzaje gharama? Hawana jibu, na sababu ni rahisi wana attack serikali 3 bila kuwa na political au hoja za kiuchumi.

Kesi wanayojenga mahakamani ni kuwa huyu ni mwizi, lakini hawana evidence za ku substantiate ni kwanini wanasema hivyo.

Wakiulizwa vipi mtoto wao serikali 2 hawezi kuwa mwizi, wanachosema ni kuwa tuna mazoea ya kuishi na kijana huyu hivyo tuna common values.

Hata kama ni mwizi bado ni bora tatizo linalosumbua mtaa ni mtoto wa mzee Kiyoba ambaye tunahisi ni mwizi.


Mkuu Nguruv3;

Vitu vyote unavyotaja kama common values sio common values. Baraza la mitihani sio common values. Ni matatizo ya kukariri yanayoona kuwa baraza la mitihani ni common values. Chukua mfano wa UK. Hawa ni mabaraza ya mitihani:

  • AQA (Assessment and Qualifications Alliance)
  • CIE (University of Cambridge International Examinations)
  • CCEA (Council for the Curriculum, Examinations & Assessment)
  • Edexcel
  • ICAAE (International Curriculum and Assessment Agency Examinations)
  • OCR (Oxford, Cambridge and RSA Examinations)
  • WJEC (Welsh Joint Education Committee)

Hivyo hata mikoa ya Tanzania bara inaweza kuwa na mabaraza yake. Kuna umuhimu gani mitihani ya darasa la saba itoke baraza la mitihani?

Swali la kujiuliza kama Tanganyika inapata gharama za kuendesha muungano, vipi Znz ianzishe vyombo vyake? Kama inafaidika na Baraza la mitihani la Taifa kwanini ianzishe la kwake?

Kuhusiana na muundo wa serikali ya muungano? Sija-support serikali mbili. Na vilevile sija-support serikali moja. Kwa upande wangu, decentralization ni muhimu ndani ya muungano na ndani ya Tanganyika.
 
Mkuu Nguruv3;

Vitu vyote unavyotaja kama common values sio common values. Baraza la mitihani sio common values. Ni matatizo ya kukariri yanayoona kuwa baraza la mitihani ni common values. Chukua mfano wa UK. Hawa ni mabaraza ya mitihani:
  • AQA (Assessment and Qualifications Alliance)
  • CIE (University of Cambridge International Examinations)
  • CCEA (Council for the Curriculum, Examinations & Assessment)
  • Edexcel
  • ICAAE (International Curriculum and Assessment Agency Examinations)
  • OCR (Oxford, Cambridge and RSA Examinations)
  • WJEC (Welsh Joint Education Committee)

Hivyo hata mikoa ya Tanzania bara inaweza kuwa na mabaraza yake. Kuna umuhimu gani mitihani ya darasa la saba itoke baraza la mitihani?

Swali la kujiuliza kama Tanganyika inapata gharama za kuendesha muungano, vipi Znz ianzishe vyombo vyake? Kama inafaidika na Baraza la mitihani la Taifa kwanini ianzishe la kwake?

Kuhusiana na muundo wa serikali ya muungano? Sija-support serikali mbili. Na vilevile sija-support serikali moja. Kwa upande wangu, decentralization ni muhimu ndani ya muungano na ndani ya Tanganyika.
Inategemea unaangaliaje maana halisi ya common values. Mimi nadhani elimu ni sehemu ya common values!
Tunaposema common values ina awanja mpana, lakini kwa aufupi ni mambo yanayotuunganisha kwa pamoja.

Anyways,sioni tatizo la baraza lao la mitihani na hakika ni jambo jema kabisa. Lakini wasilalamike kuwa hawan uwakilishi ndani ya NECTA. Hivi bodi ya NECTA inasababu gani za kuwa na wzn. Lakini pia wasijelalamika viwango vyao vitakapohojiwa na wala wasilalamike nafasi za upendeleo zikapoondolewa.

Kwa Tanzania huwezi kuwa na standards tofauti kimfumo wa elimu. Uingereza elimu ipo karne na imepita viwango.
Hata huko Uingereza kuna bodi za kitaifa kwa mambo mazito

Kwanini Znz ianzishe vyombo vyake ikiwa inafaidika na Tanzania? Jibu la swali lako ni hili.
Kuna Tanzania Maritime Organization. Zanzibar wakaanzisha ZMO. Ada za ZMO kule International maritime zinalipwa na Tanganyika a.k.a Tanzania. Hujaona logic hapo?

Kuna Tanzania standard of bureau. Inayojulikana na kuandikishwa kimataifa ni TBS na ndio inalipa ada za Uanachama.
Znz wana ZBS ambayo haina gharama zozote isipokuwa kukusanya mapato kwa jina la ZSB kama ilivyo ZMO.

Wznz wanajondoa katika vyombo vya bara ili kutengeneza nafasi za ajira. Kule bodi ya bandari wapo kibao, lakini wana bodi yao. Kwanini, jibu ni rahisi ni ajira zinazolipwa na Mtanganyika.

Wizara ya Afya si jambo la muungano. Vipi iongozwe na mznz na wawepo wafanyakazi wa znz. Jibu ji rahisi, kutengeneza ajira kwa gharama z Mtanganyika.

Wizara ya ulinzi ni jambo la muungano. Znz inalipia vikosi vyake maalumu. Kwanini? Jibu ni kuwa wakati wamelala kwa starehe na gharama za ulinzi anazibeba Mtanganyika, wao wanaunda vikosi kutengeneza ajira kwa watu wao.

Kuna ZESCO ya umeme, deni la umeme likija wanasema ni suala la muungano. Mtanganyika anapinda mgongo kulipia gharama. ZESCO inafanya kazi gani!!

Usichoelewa ni kuwa znz inatumia mwanya wa jina Tanzania kumbebesha Mtanganyika mzigo.
Tume imseme mambo 7, mengine kila mtu aangalie ustaarabu wake. Je, unadhani Mtanganyika anasononeka na hilo?
 
Inategemea unaangaliaje maana halisi ya common values. Mimi nadhani elimu ni sehemu ya common values!
Tunaposema common values ina awanja mpana, lakini kwa aufupi ni mambo yanayotuunganisha kwa pamoja.

Anyways,sioni tatizo la baraza lao la mitihani na hakika ni jambo jema kabisa. Lakini wasilalamike kuwa hawan uwakilishi ndani ya NECTA. Hivi bodi ya NECTA inasababu gani za kuwa na wzn. Lakini pia wasijelalamika viwango vyao vitakapohojiwa na wala wasilalamike nafasi za upendeleo zikapoondolewa.

Kwa Tanzania huwezi kuwa na standards tofauti kimfumo wa elimu. Uingereza elimu ipo karne na imepita viwango.
Hata huko Uingereza kuna bodi za kitaifa kwa mambo mazito

Kwanini Znz ianzishe vyombo vyake ikiwa inafaidika na Tanzania? Jibu la swali lako ni hili.
Kuna Tanzania Maritime Organization. Zanzibar wakaanzisha ZMO. Ada za ZMO kule International maritime zinalipwa na Tanganyika a.k.a Tanzania. Hujaona logic hapo?

Kuna Tanzania standard of bureau. Inayojulikana na kuandikishwa kimataifa ni TBS na ndio inalipa ada za Uanachama.
Znz wana ZBS ambayo haina gharama zozote isipokuwa kukusanya mapato kwa jina la ZSB kama ilivyo ZMO.

Wznz wanajondoa katika vyombo vya bara ili kutengeneza nafasi za ajira. Kule bodi ya bandari wapo kibao, lakini wana bodi yao. Kwanini, jibu ni rahisi ni ajira zinazolipwa na Mtanganyika.

Wizara ya Afya si jambo la muungano. Vipi iongozwe na mznz na wawepo wafanyakazi wa znz. Jibu ji rahisi, kutengeneza ajira kwa gharama z Mtanganyika.

Wizara ya ulinzi ni jambo la muungano. Znz inalipia vikosi vyake maalumu. Kwanini? Jibu ni kuwa wakati wamelala kwa starehe na gharama za ulinzi anazibeba Mtanganyika, wao wanaunda vikosi kutengeneza ajira kwa watu wao.

Kuna ZESCO ya umeme, deni la umeme likija wanasema ni suala la muungano. Mtanganyika anapinda mgongo kulipia gharama. ZESCO inafanya kazi gani!!

Usichoelewa ni kuwa znz inatumia mwanya wa jina Tanzania kumbebesha Mtanganyika mzigo.
Tume imseme mambo 7, mengine kila mtu aangalie ustaarabu wake. Je, unadhani Mtanganyika anasononeka na hilo?

Nguruv3:

Elimu haituunganishi. Kinachotuunganisha ni mkataba wa muungano na matukio yalioleta uhuru wa Tanganyika, mapinduzi na muungano. Hizi ndio common values zetu.

Kwa mfano elimu ya msingi Zanzibar ni darasa la tisa. Elimu ya msingi Tangayika ni darasa la saba. Hivyo sio lazima tuwe na elimu ya mfumo mmoja hili tuungane.

Mznz analalamika kuwa hana mwakilisha NECTA kwa sababu ana vyombo vya kumfanya atoe malalamiko yake. Siku devolution itakapokuja Tanganyika na kuwapa watu vyombo vya kutoa malalamiko, na mimi mluguru nitaomba niwe na NECTA yangu au niwe na wawakilishi wetu.

Nasubiri mmalize drama za muungano nianze drama zangu za majimbo ya Tanganyika.
 
Last week nilikuwa Europe i.e. Uingereza & Spain kikazi.......Habari in the UK....ni kuwa Scotland iko mbioni kujitoa ijitegemee, kwani uchumi wao ni mkubwa na wana uwezo kuwa peke yao......kule Spain....habari ni......jumuiya ya jimbo la Catalonia nao wanaona majimbo mengine ndani ya Spain ni mizigo....nao wanataka kuwa kivyao.......

Ukiangalia kule Urusi Vs Ukraine & Crimea......vita ni hivyo hivyo i.e. kiuchumi, kijamii na kisiasa......si huku Tanzania tu bali kuna sehemu mbali mbali ulimwenguni zenye tension na baadhi ya majimbo yao........

Kama Wazanzibari wanataka kuondoka kwneye Muungano....tuachane nao.....siku hizi watu wanaungana wanaangalia faida zaidi kwa mataifa yaokuliko hizi "sintofahamu/sifahamu/kero".......kwanini tujisikie sifa...eti tuna muungano uliodumu muda mrefu......eti sijui ni mfano....wakati muungano huo kila upande unalalamika.....lets go back to square one....kila mtu awe kivyake ila ikitokea umuhimu wa kuunganisha mambo fulani...then tutaamua wakati huo kwa faida ya pande zote mbili......

Hivi sasa Tanzania tunasua sua kule EAC....kwa sababu hizo hizo za kimaslahi....kwanini hii philosophy isiwe applied katika Muungano wetu na Visiwani?.......ndio maana other countries in EAC wanatuona sisi ni "wanafiki".......

mniwie radhi kama nimetoka nje ya mstari wa majadiliano hapo juu....lakini hili suala la Muungano na Zanazibar linanikera sana sana......na hasa nikimuona mtu kama Jusa sasa hivi yuko Dodoma Bungeni....tena kwenye kamati nyeti kabisa ya mustakabali wa Taifa letu......Jusa katutukana sana sisi Wabara, video zipo tena wazi wazi....hivi kweli huyu mtu anavumilika kuingia Bara!!?
 
Last week nilikuwa Europe i.e. Uingereza & Spain kikazi.......Habari in the UK....ni kuwa Scotland iko mbioni kujitoa ijitegemee, kwani uchumi wao ni mkubwa na wana uwezo kuwa peke yao......kule Spain....habari ni......jumuiya ya jimbo la Catalonia nao wanaona majimbo mengine ndani ya Spain ni mizigo....nao wanataka kuwa kivyao.......

Ukiangalia kule Urusi Vs Ukraine & Crimea......vita ni hivyo hivyo i.e. kiuchumi, kijamii na kisiasa......si huku Tanzania tu bali kuna sehemu mbali mbali ulimwenguni zenye tension na baadhi ya majimbo yao........

Kama Wazanzibari wanataka kuondoka kwneye Muungano....tuachane nao.....siku hizi watu wanaungana wanaangalia faida zaidi kwa mataifa yaokuliko hizi "sintofahamu/sifahamu/kero".......kwanini tujisikie sifa...eti tuna muungano uliodumu muda mrefu......eti sijui ni mfano....wakati muungano huo kila upande unalalamika.....lets go back to square one....kila mtu awe kivyake ila ikitokea umuhimu wa kuunganisha mambo fulani...then tutaamua wakati huo kwa faida ya pande zote mbili......

Hivi sasa Tanzania tunasua sua kule EAC....kwa sababu hizo hizo za kimaslahi....kwanini hii philosophy isiwe applied katika Muungano wetu na Visiwani?.......ndio maana other countries in EAC wanatuona sisi ni "wanafiki".......

mniwie radhi kama nimetoka nje ya mstari wa majadiliano hapo juu....lakini hili suala la Muungano na Zanazibar linanikera sana sana......na hasa nikimuona mtu kama Jusa sasa hivi yuko Dodoma Bungeni....tena kwenye kamati nyeti kabisa ya mustakabali wa Taifa letu......Jusa katutukana sana sisi Wabara, video zipo tena wazi wazi....hivi kweli huyu mtu anavumilika kuingia Bara!!?
Ogah upo katika mstari kabisa

Kuna video ya maalim Seif akiongelea muungano alipotembelewa na tume.
Aliulizwa maswali ya uchumi hakika hakujibu.

Nakumbuka alisema znz imeondoa mafuta na gesi kwa vile Tanganyika inavuna gesi na hakuna kinachokwenda znz.

Hili jibu la makamu wa rais linasikitisha sana, angejiuliza kwa gharama za ulinzi kiasi gani kinatumika znz na znz inachangia nini, kabla ya kubwawaja.

Angejiuliza gharama za kuendesha muungano ambazo znz haina mchango zinatoka wapi.
Kama walivyo wznz hoja yake ikawa misaada, kwamba makamu wa rais wa znz anafikiria misaada na si kingine. Wala hajiulizi kuwa umeme anaotumia ni bure, watoto wao wanaosoma bure kwa kodi za Mtanganyika ni msaada. Maalim anaamini msaada ni lazima utoke Ulaya aua Uarabuni.
Makamu huyo, halafu watu wanasema eti kuna kero za muungano, hivi hawaoni kero halisi kweli!!!

Akaulizwa kuhusu kuchangia, jibu lake likawa, Tanganyika haipo iliyopo ni Tanzania ambayo znz imo hivyo kile cha Tanzania ndicho kilichochangiwa na znz. Tazana akili za wzn, wanaamini kabisa kuwa kuna chanzo cha mapato kingine kwa Tanzania. Halafu akaenda mbali na kusema Tanganyika ndiyo imevaa koti la Tanganyika.
Hapa unaweza kuona hana jibu la akili bali ubabaishaji tu wa meneno. Mstari mmoja anasema Tanganyika haipo, mwingine Tanganyika inanyonya.

Makamu huyo wa Pemba na Unguja akasema kodi zimepunguza mapato ya znz kutoka Ts 900 kwa mwezi hadi 400 na kwamba kodi za bidhaa kutoka znz zinatozwa zikiingia bara.
Mjumbe mmoja akaonyesha uhuni uliokuwa unafanywa, jibu la Maalim 'Kwani Hamtaki znz inufaike, sasa mnaisaidiaje znz'
Kwamba, watu walete bidhaa bila kodi au kodi ziingine mifukoni mwa watu, halafu ziingie bara bure kwasababu tu pesa zinatakiwa zikusanywe znz. Makamu huyo antoa majibu hayo.

Kuna mahali kasema muungano ni koti likikubana unalivua. Alipoulizwa ana maana gani akasema anataka muungano wa mkataba. Maalim kama kachangyikiwa, ukivua koti huvai tena unalitupa, mkataba na znz unawahusu nini Watanganyika?

Na mwisho kaulizwa, CUF ina sera ya serikali 2, yeye mkataba sasa anasimamia nini? Hakuwa na jibu lolote hata la kubabisha. Hii maana yake ni kuwa hizi kero ni gubu tu na zinapoteza muda wetu sana.

Wasi wasi alioonyesha ni kuwa muungano ukifa lazima wznz walioko bara walindwe.
Tunamwambia Maalim, muungano ukifa hakuna atakayedhuriwa isipokuwa wataishi kama raia wa kigeni. Hilo halina mjadala tena. Ni lazima Watanganyika wanufaike na rasilimali zao.

Ni uhuni kuchukua kodi mahenge kwa ajili ya nchi jirani (2010).


 
Last edited by a moderator:
Ogah upo katika mstari kabisa

Kuna video ya maalim Seif akiongelea muungano alipotembelewa na tume.
Aliulizwa maswali ya uchumi hakika hakujibu.

Nakumbuka alisema znz imeondoa mafuta na gesi kwa vile Tanganyika inavuna gesi na hakuna kinachokwenda znz.

Hili jibu la makamu wa rais linasikitisha sana, angejiuliza kwa gharama za ulinzi kiasi gani kinatumika znz na znz inachangia nini, kabla ya kubwawaja.

Angejiuliza gharama za kuendesha muungano ambazo znz haina mchango zinatoka wapi.
Kama walivyo wznz hoja yake ikawa misaada, kwamba makamu wa rais wa znz anafikiria misaada na si kingine. Wala hajiulizi kuwa umeme anaotumia ni bure, watoto wao wanaosoma bure kwa kodi za Mtanganyika ni msaada. Maalim anaamini msaada ni lazima utoke Ulaya aua Uarabuni.
Makamu huyo, halafu watu wanasema eti kuna kero za muungano, hivi hawaoni kero halisi kweli!!!

Akaulizwa kuhusu kuchangia, jibu lake likawa, Tanganyika haipo iliyopo ni Tanzania ambayo znz imo hivyo kile cha Tanzania ndicho kilichochangiwa na znz. Tazana akili za wzn, wanaamini kabisa kuwa kuna chanzo cha mapato kingine kwa Tanzania. Halafu akaenda mbali na kusema Tanganyika ndiyo imevaa koti la Tanganyika.
Hapa unaweza kuona hana jibu la akili bali ubabaishaji tu wa meneno. Mstari mmoja anasema Tanganyika haipo, mwingine Tanganyika inanyonya.

Makamu huyo wa Pemba na Unguja akasema kodi zimepunguza mapato ya znz kutoka Ts 900 kwa mwezi hadi 400 na kwamba kodi za bidhaa kutoka znz zinatozwa zikiingia bara.
Mjumbe mmoja akaonyesha uhuni uliokuwa unafanywa, jibu la Maalim 'Kwani Hamtaki znz inufaike, sasa mnaisaidiaje znz'
Kwamba, watu walete bidhaa bila kodi au kodi ziingine mifukoni mwa watu, halafu ziingie bara bure kwasababu tu pesa zinatakiwa zikusanywe znz. Makamu huyo antoa majibu hayo.

Kuna mahali kasema muungano ni koti likikubana unalivua. Alipoulizwa ana maana gani akasema anataka muungano wa mkataba. Maalim kama kachangyikiwa, ukivua koti huvai tena unalitupa, mkataba na znz unawahusu nini Watanganyika?

Na mwisho kaulizwa, CUF ina sera ya serikali 2, yeye mkataba sasa anasimamia nini? Hakuwa na jibu lolote hata la kubabisha. Hii maana yake ni kuwa hizi kero ni gubu tu na zinapoteza muda wetu sana.

Wasi wasi alioonyesha ni kuwa muungano ukifa lazima wznz walioko bara walindwe.
Tunamwambia Maalim, muungano ukifa hakuna atakayedhuriwa isipokuwa wataishi kama raia wa kigeni. Hilo halina mjadala tena. Ni lazima Watanganyika wanufaike na rasilimali zao.

Ni uhuni kuchukua kodi mahenge kwa ajili ya nchi jirani (2010).



Nguvu kwa mara ya kwanza nadhani umeandika what you believe on it. Kitu ambacho hata mimi nakikubali. "Nitasema ukweli daima kusema uongo Mwiko". Kinachotakiwa ni common sense zote ziwekwe hadhari na tusipotezeane muda wa kuanzisha serikali nyingine.
 
UTEGEMEZI WA ZNZ KUPITIA MUUNGANO

SHAMSA VUAI AFICHUA SIRI ILIYOJIFICHAM KASAHAU KATIBA YA ZNZ 2010
GHARAMA ZA MCHELE ULIOAGIZWA ZNZ ZAUMIZA TANGANYIKA

Majadiliano yanaendelea Dodoma, huku upotoshaji wa kutumia sentensi 'wengi wanasema na wachache wanasema' ukiendelea. Soma hii kwa undani bandiko# 6
https://www.jamiiforums.com/great-thinkers/638314-duru-za-siasa-mbinu-za-ccm-kuingiza-katiba-yao-ya-mafichoni.html

Waziri kiongozi mstaafu Shamsa Vuai anasema serikali 3 zitadhoofisha serikali ya shirikisho katika ulinzi na usalama. Nahodha anasema, kuna rasilimali nyingi ndani ya badari ya Hindi ambazo zinaweza kuchukuliwa na mataifa makubwa kwa kuwarubuni washirika wasichangie serikali ya shirikisho.

Maneno ya Nahodha yanashangaza. Tunajua znz iliamua kuwa nchi (katiba 2010) na mipaka yake ambayo si sehemu ya Tanzania.

Kusudio la kwanza lilikuwa kulinda mafuta na gesi yanayosemekana yapo.
Hivyo ardhi ya znz si ya Tanzania ni ya znz!

Mswada ukapelekwa haraka na Mansour Himid kuondoa mafuta na gesi kama mambo ya muungano.Hadi hapo ni kuwa znz kama nchi ina mipaka yake na Rais wake anaweza kuigawa. Rasilimali zake ni za znz.

Shamsha anaposema eti kutakuwa na udhaifu wa ulinzi ana maana moja kubwa.
Kwamba, suala la ulinzi na usalama ambalo Tanganyika imelibeba yenyewe kwa jina la Tanzania ndilo linalinda mali ya wazanzaibar iliyopo katika bahari ya znz na visiwa vyake kama katiba inavyotamka. Mipaka hiyo ni ile kabla ya muungano ya mwaka 1964.

Ni kwanini basi Mtanganyika alipie ulinzi na usalama wa rasilimali ambayo si ya muungano na wala hatarajii kupata hata senti tano?
Hapa ndipo tunapoona suala la gharama linavyomwelemea Mtanganyika.

Ili kuonyesha jinsi gani znz inachukua advantage ya Tanzania kutuumiza, mtakumbuka znz iliwahi kusajili meli kihuni za Iran kupitia chombo chao cha ZMO.

Hata hivyo ada za ZMO kule International Maritine analipa Mtanganyika.
Kwamba, znz inasema hilo ni suala la muungano, wakati ikikusanya mapato bila kupeleka katika muungano.

Gharama kubwa zaidi ni ile ya Mtanganyika kutishiwa na mataifa makubwa kuwekewa vikwazo kwa pesa wasizochukua.

Hali hiyo imejirudia tena mwezi huu huko Nairobi. Zanzibar iliagiza Mchele kama chakula kupitia kampuni za Kenya zijulikanazo kama Kinaynjui na Lamshore. Znz ikashindwa kuwalipa na wao kufungua kesi ya kudai zaidi ya sh milioni 742 kutokana na muda na gharama za malipo.

Kesi ipo mahakama kuu ya Kenya, washatakiwa wakiwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kama itakwenda kinyume na matarajio , walalamikaji wameomba kiwanja kinachotarajiwa kujengwa ubalozi kiuzwe ili kufidia gharama zao

Serikali ya Tanzania inaingia gharama za kuweka mawakili kuokoa mali zake kutokana na SMZ kuagiza mchele kupitia shirika la Bizanje na kugoma kulipa.

Hapa ndipo unapoona huu muungano ulivyo na matatizo. Znz hawana ubalozi, wanawakilishwa na JMT. Walalamikaji wana haki ya kuikaba koo JMT kwasababu znz ni sehemu ya.

Hata pale kunapokuwepo na vyombo viwili, yaani serikali ya JMT na SMZ ni ngumu kutenga shughuli zao. Mwisho wa siku mkulima wa Tanganyika analazimika kulipia mchele ulioagizwa na nchi jirani ya znz.

Mbele ya safari tutalipia mahindi ya Malawi na Mchele wa Zambia.
Pitia hapa kwa habari zaidi.Dar fights to save its embassy in Nairobi - National - thecitizen.co.tz

Matatizo kama haya ndiyo ambayo CCM wanataka kuyaendekeza. L
azima ufike wakati kila mmoja awe mshirika wa muungano si mshirika wa jina bali uchumi.

Tabia ya wznz kutolipa gharama za muungano na hata umeme sasa wanazihamisha hadi nje ya nchi. Kwanini SMZ iagize mchele bill za mchele ziende JMT.

Kwanini mchele uliwe na mtu wa kisonge, gharama apelekewa mtu wa Sikonge Tabora?

Tusemezane
 

GHARAMA ZISIZOSEMWA

Katika mjadala tumewasikia watetezi wa muungano wa S2 wakisema Tanganyika inachukua misaada bila kuipa znz.

Hoja inayozunguka vichwani mwa watu baada ya kutumbukizwa wakijua yale yaliyofichika hayatajulikani. Mkandara ameongoza kundi la kudai unayonyaji unaofanywa na Tanganyika.

Kabla ya kuahirishwa kikao cha bunge, Mbunge wa ZNZ ambaye ni waziri amesimama na kusema, muungano unawasaidia. Bila kutarajia kasema gharama ambazo hazitajwi kama msaada bali watu wanasubiri '' cheki'' kutoka Washington.

Mohamed Aboud alitoa mfano,umeme wa Pemba kutoka Tanga umegharimu takribani dola milioni 50.
SMZ ikatoa milioni 11 na Norway milioni 39. Kiasi cha dola milioni 5 kati ya 11 zimetolewa na JMT.

Hapa tukumbuke kiasi hicho ni kodi za Mtanganyika. Hakuna kumbu kumbu inayooneysha znz kuchangia muungano.Kumbu kumbu zinaonyesha kodi zote za TRA na ZRA zinabaki huko.

Waziri akasema, Pemba ilikuwa inagharimu SMZ kiasi cha sh milioni 800 kwa mwezi.
Hapa alimaanisha kuwa kiasi hicho sasa ni deni la TANESCO na wala si SMZ au ZESCO.
Mtanganyika atalipa tena zigo la umeme wa Pemba achilia mbali lile la umeme wa Unguja.

Watu wanasahau madeni ya SMZ yanapelekwa JMT ikalipe ambayo ni Tanganyika.
Sh milioni 800 zilizokuwa zinakwenda Pemba zitatumika kwa shughuli za maendeleo ya Pemba na Unguja.

Kiasi hicho kwa mwezi ambacho ni sawa na bilioni 9.6 sh kwa mwaka kitakabidhiwa kwa wananchi wa Muleba, Tunduru, Naliendele na kwingine kulipia kwa kupitia TANESCO.

TANESCO inasukuma mzigo huo kwa JMT.
Hizi gharama wabunge wetu kama Mama Anna Tibaijuka, HKigwangalla , John Mnyika Paul Makonda Mwigulu Nchemba na wengine wanridhia kabisa kuwa ni haki na halali na wanasimama kusema mfumo uliopo ni mzuri sana na kwamba yafanywe maboresho.

Maboresho ndiyo hayo ya gharama za znz kubeba Mtanganyika, huku raia wenu wakihangaika kulipa gharama hizo licha ya matatizo makubwa yanayowapata.

Waziri Aboud akaweaka wazi, board ya elimu ya znz inasomesha wanafunzi wachache kuliko ile ya JMT.
Kwamba, kule wasipochangia ndiko wamepata na msaada zaidi.
Hilo halina taabu, tatizo ni pale ambapo gharama hizo anabeba Mtanganyika kwa kauli ya muungano wa serikali 2 ni mzuri. Uzuri upo wapi?

Kwamba nilipe kodi, mwanangu akose nafasi na mikopo kwasababu napenda sana muungano wa S2 unaomfurahisha mzanzibar kwa free ride.

Wabunge wetu akina Mama Tibaijuka wanalifahamu hili, kinachowakwamisha ni kuwa wapo'magereza' Wamefungwa gereza la CCM wakisubiri kutoka asubuhi na kurudi jioni.

Minyororo inazidi kukazwa na sasa wanao mwingine wa kura za wazi.
Labda niwaulize wabunge hawa, uzalendo wa huduma kwa nchi jirani unatoka wapi?

Katiba ya znz ya 2010 inawakana ninyi na raia mnaowaongoza, leo ni kwa jema mumeamua kupinda migongo ya raia wenu ili walipie garama za nchi jirani ya znz?

Heri ya ndugu yangu Mkandara aliyesema 'znz ina haki ya kuwa na chake, na haki ya kumega hata kisicho chake'


Tusemezane


 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom