Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #181
ACA NA GOP
Kuanzia leo na kuendelea CBO itatoa taarifa ya makisio kuhusu nini kitatokea kama Obamacare itafutwa kwa watu waliosajiliwa na walioajiriwa kutoka kwayo
Itatoa gharama zinazotarajiwa kwa ujumla na kwa watu kutokana na proposal mpya
Rep wanaipinga taarifa hiyo wakijua itakuwa mwiba katika kuuza healthcare plan yao.
Wanasema takwimu za CBO zinakuwa off mark mark na si za kuaminika.
Hata hivyo, GOP walitumia takwimu hizo hizo kuisema Obamacare siku za nyuma
Ni mwendelezo wa kukataa taarifa zinapopinga na Republicans na kuzikubali zikionyesha uelekeo mzuri kwao.
Hayo yakiendelea timbwili la tuhuma za Trump dhidi ya Obama linachukua sura mpya.
Wabunge na maseneta wameonyesha mshangao kama kweli jambo hilo limetokea.
Kamati ya Bunge ya intelejensia imetoa hadi leo Jumatatu WH ifikishe ushahidi kupitia wizara ya sheria DOJ ili uchunguzi ufanyike
WH hadi sasa haina ushahidi na ilisema haitazungumzia suala hadi lichunguzwe.
Hii ilikuwa njia ya kukwepa maswali yanayotokana na kauli ya Trump
Kama WH haitafikisha ujumbe, Trump atadhalilika kwa kumdhalilisha mtanguilizi wake.
Ikizingatiwa alihoji uzawa na alitumia muda kum deligitimize Obama, hali si nzuri kwake
Hilo limeendelea kuchagiza uchunguzi kuhusu Russia kuendelea.
Hadi hapo taarifa zitakapotolewa suala hilo tulipe subira.
Muhimu ni kamati ya bunge ya intelejensia imeagiza IC kuwasilisha vielelezo
Kama mtakumbuka IC zilisema Russia iliingilia uchaguzi, zikasema zina ushahidi wa watu waliohusika na kwamba zilinasa mawasiliano uya Russia wakishangilia.
Tusemezane
Kuanzia leo na kuendelea CBO itatoa taarifa ya makisio kuhusu nini kitatokea kama Obamacare itafutwa kwa watu waliosajiliwa na walioajiriwa kutoka kwayo
Itatoa gharama zinazotarajiwa kwa ujumla na kwa watu kutokana na proposal mpya
Rep wanaipinga taarifa hiyo wakijua itakuwa mwiba katika kuuza healthcare plan yao.
Wanasema takwimu za CBO zinakuwa off mark mark na si za kuaminika.
Hata hivyo, GOP walitumia takwimu hizo hizo kuisema Obamacare siku za nyuma
Ni mwendelezo wa kukataa taarifa zinapopinga na Republicans na kuzikubali zikionyesha uelekeo mzuri kwao.
Hayo yakiendelea timbwili la tuhuma za Trump dhidi ya Obama linachukua sura mpya.
Wabunge na maseneta wameonyesha mshangao kama kweli jambo hilo limetokea.
Kamati ya Bunge ya intelejensia imetoa hadi leo Jumatatu WH ifikishe ushahidi kupitia wizara ya sheria DOJ ili uchunguzi ufanyike
WH hadi sasa haina ushahidi na ilisema haitazungumzia suala hadi lichunguzwe.
Hii ilikuwa njia ya kukwepa maswali yanayotokana na kauli ya Trump
Kama WH haitafikisha ujumbe, Trump atadhalilika kwa kumdhalilisha mtanguilizi wake.
Ikizingatiwa alihoji uzawa na alitumia muda kum deligitimize Obama, hali si nzuri kwake
Hilo limeendelea kuchagiza uchunguzi kuhusu Russia kuendelea.
Hadi hapo taarifa zitakapotolewa suala hilo tulipe subira.
Muhimu ni kamati ya bunge ya intelejensia imeagiza IC kuwasilisha vielelezo
Kama mtakumbuka IC zilisema Russia iliingilia uchaguzi, zikasema zina ushahidi wa watu waliohusika na kwamba zilinasa mawasiliano uya Russia wakishangilia.
Tusemezane