Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

Duru za Siasa: Matokeo ya Uchaguzi Marekani

Ahsante sana Mkuu,
Nimekupata vizuri sana.
Moja: "Make America Great Again" ni slogan ya Trump na Republican yake,je slogan hii haikujengwa katika misingi ya nini kinakwenda kufanyika na Kwa namna gani? Ili kufanya America Great Again?


Pili: Hakuna utaratibu wa kuwa na sera Ambazo zimeandikwa kwaajili ya wananchi kujisomea na Mara wafanyapo maamuzi wana hakika juu ya maamuzi yao pasi kutegemea maneno ya majukwaani pekee?
Mkuu tunarudi pale pale kuwa 'make America great again' haikuwa na maelezo ya kutosha. Great again kama wakati gani? Na lini imekuwa inferior? N great katika eneo gani?

Kuna siku aliulizwa na kusema great again kama ilivyokuwa na jeshi kubwa wakati wa WWII
Hoja hiyo ikajibiwa kuwa ukubwa wa jeshi mwaka 1946 hauwezi kuwa sawa na leo kwasababu ya technology. Palipohitajika battalion 1 leo ni section platoon tu.

Hii slogan ni yake na Republican wengi tu hawaelewi ina maanisha nini
Inaweza kuwa ni 'nationalist' kwamba great again kama Enzi za utumwa n.k. hakuna ajuaye kwa uhalisia.

Pili, kila chama huandika platform kuelekea uchaguzi. Ninavyokueleza platform ya Trump ipo kuhusu kutengeneza ajira. Imepitiwa na GOP wataalam na independents na kuonyesha ina tatizo la deficit. Trump akiulizwa kuhusu hilo haelezi ni kwa namna gani atafanya

Hii ndiyo maana ya kampeni, kufafanua pale ambapo sera halisi inahitaji ufafanuzi katika lugha inayoeleweka si kitaalam tu bali kwa Raia wa kawaida

Swali lako linalenga hoja kuwa Trump alichaguliwa kwasababu zipo sera walizosoma wananchi.
Nakuhakikishia ukisoma sera zile bila maelezo ya ziada utakuwa na mahaba au chuki bila sababu

Hivyo waliompigia si kuwa waliongozwa na sera, wapo walioongozwa na hofu ya usalama na kujikuta tu wakikubaliana naye bila kuingia kwa undani. Labda nikuulize kwa kupitia sera za Trump tueleze amekusudia kupambana na ISIS kwa njia gani

Kumbuka vita ya ISIS ni mchanganyiko , conventional and non, groups and lone wolf

Si suala la makombora tu, mtu mmoja tu au wawili kama wale wa Boston walileta madhara. Mtu mmoja kule Venice Ufaransa aliua watu karibia 100

Marekani kuna watu wanaamini kabisa Obama hakuzaliwa huko kutokana na kauli za Trump. Hawa ukiwapa sera unategemea nini?

Si suala la sera tu bali how do you define them, hapo ndipo kuna tatizo na kutokana na hilo unaweza kuona amerudi nyuma kwa kukana yale aliyosema atayafanya siku ya kwanza oval office
 
Mkuu tunarudi pale pale kuwa 'make America great again' haikuwa na maelezo ya kutosha. Great again kama wakati gani? Na lini imekuwa inferior? N great katika eneo gani?

Kuna siku aliulizwa na kusema great again kama ilivyokuwa na jeshi kubwa wakati wa WWII
Hoja hiyo ikajibiwa kuwa ukubwa wa jeshi mwaka 1946 hauwezi kuwa sawa na leo kwasababu ya technology. Palipohitajika battalion 1 leo ni section platoon tu.

Hii slogan ni yake na Republican wengi tu hawaelewi ina maanisha nini
Inaweza kuwa ni 'nationalist' kwamba great again kama Enzi za utumwa n.k. hakuna ajuaye kwa uhalisia.

Pili, kila chama huandika platform kuelekea uchaguzi. Ninavyokueleza platform ya Trump ipo kuhusu kutengeneza ajira. Imepitiwa na GOP wataalam na independents na kuonyesha ina tatizo la deficit. Trump akiulizwa kuhusu hilo haelezi ni kwa namna gani atafanya

Hii ndiyo maana ya kampeni, kufafanua pale ambapo sera halisi inahitaji ufafanuzi katika lugha inayoeleweka si kitaalam tu bali kwa Raia wa kawaida

Swali lako linalenga hoja kuwa Trump alichaguliwa kwasababu zipo sera walizosoma wananchi.
Nakuhakikishia ukisoma sera zile bila maelezo ya ziada utakuwa na mahaba au chuki bila sababu

Hivyo waliompigia si kuwa waliongozwa na sera, wapo walioongozwa na hofu ya usalama na kujikuta tu wakikubaliana naye bila kuingia kwa undani. Labda nikuulize kwa kupitia sera za Trump tueleze amekusudia kupambana na ISIS kwa njia gani

Kumbuka vita ya ISIS ni mchanganyiko , conventional and non, groups and lone wolf

Si suala la makombora tu, mtu mmoja tu au wawili kama wale wa Boston walileta madhara. Mtu mmoja kule Venice Ufaransa aliua watu karibia 100

Marekani kuna watu wanaamini kabisa Obama hakuzaliwa huko kutokana na kauli za Trump. Hawa ukiwapa sera unategemea nini?

Si suala la sera tu bali how do you define them, hapo ndipo kuna tatizo na kutokana na hilo unaweza kuona amerudi nyuma kwa kukana yale aliyosema atayafanya siku ya kwanza oval office
Shukrani brother,
Nimekupata vizuri sana,naliona tatizo la wapiga kura US linashabihiana na matatizo yetu Kwa namna Fulani.

Ikiwa watu wanaweza kumpigia mtu Kwa kuhofia usalama wao,au kutokujua undani wa yanayopaswa kutendewa kazi na contestant ni tatizo.

Hivi,Trump ni mkubwa kiasi gani mpaka chama(Republican) kisiwe na udhibiti wa nini anapaswa kuongea na wakati gani?
 
Projected popular vote update: Unofficial...
Hillary Clinton: 62,562,377
Donald trump: 61,332,151
Difference: 1,230,226
Kwa kweli hali hii haikutegemewa...kwamba mshindwa anaongoza kwa kura zaidi ya milioni moja!
Sir, katika demokrasia iliyokomaa ambayo popular vote ni muhimu, mgombea anapaswa kupata 50%+ ya kura zote na si chini ya hapo , haijalishi ni kwa kiasi gani mgombea anaongoza kwakuwa kama wapo wagombea wawili ambao wote hawajafika 50% huwa uchaguzi unarudiwa ili mgombea aweze kuungwa mkono na zaidi ya nusu ya wananchi.

Hillary pamoja na kuonekana anaongoza kwa popular vote lakini bado yeye na Trump wapo chini ya 50% ya popular vote. Hillary hawezi kufikisha 50% ya PV maana Michigan ipo kwa Trump. Trump ana 47.1%, ila tunasubiri matokeo ambayo ni certified.

Rais wa US kutopata 50% ya PV ni kitu cha kawaida kwenye historia ya US.

Ma-Rais wafuatao wa US hawakufikisha 50% ya PV katika miaka yao ya uchaguzi:

John Quincy Adams 30.5% ya Popular Vote (PV) in 1824
Abraham Lincoln 39.8% ya PV in 1860
Woodrow Wilson 41.9% ya PV in 1912
William Clinton 42.9% ya PV in 1992
Richard Nixon 43.4% ya PV in 1968
James Buchanan 45.3% ya PV in 1856
Grover Cleveland 46.1% ya PV in 1892
Zachary Taylor 47.4% ya PV in 1848
George W. Bush 47.8% ya PV in 2000
Benjamin Harrison 47.9% ya PV in 1888

Ila usisahau, D. Trump ameshinda States 30 wakati Hillary ameshinda States 20 tu na D.C. Ina maana States nyingi zinamkubali Trump.
Ili uchaguliwe kuwa Rais wa Marekani unahitaji kura za wajumbe 270 wa Electoral College. Marekani ina majimbo 50 lakini majimbo manne (California, Texas, Florida na New York) tayari yana EV 152 idadi ambayo ni zaidi ya nusu ya inayotakiwa Hii ina maana kwamba wajumbe 370 waliobaki watatokana na majimbo 46 sawa na wastani wa wajumbe 8 kila jimbo. Hali hii inaondoaje uwezekano wa majimbo makubwa kuwachagulia Rais majimbo madogo?
Suala lililopo hapa ni kwamba ikiwa mgombea atatumia mda wake mwingi kufanya kampeni katika majimbo makubwa ili kufikisha EV 270 anaweza kushinda. Ila ushindi wenyewe sio kirahisi kiasi kwamba mgombea anaweza kuacha kufanya kampeni katika States ndogo, maana kwenye hizo States kubwa akizidiwa hata kura mmoja tu kwenye PV ya States anapata EV sifuri haijalishi wanakaribiana kiasi gani.

Issue sio idadi ya Electoral Votes per se, bali uwezekano wa mgombea kupuuza Majimbo madogo na kukomaa na majimbo makubwa ili kufikisha 270. Majimbo madogo huwa nayo yanahusika kubadilisha matokeo. Electoral College is a genious system.
Wataalamu wote wa Uchumi wanasema hizo mil.200 alizorithi mwaka 1982 kama angeziweka tu kwenye benki ya akiba hivi leo angekuwa na matrilioni ya fedha. Tajiri wa kweli (Warren Buffet) mwenye hisa milioni 2 kwenye benki kubwa ya Wells Fargo hakurithi hela kama hizo alizorithi Donald Trump lakini leo hii utajiri wake unazidi bilioni 30! Pamoja na hayo hajawahi kufilisika ama kumdhulumu mtu yeyote.
Hillary amewadhulumu hela watu kibao wakiwemo wa Haiti + Hillary ametumia ofisi ya Secretary of State kujitajirisha na kufanya ufisadi. Sidhani kama utamuweka kwenye list yako ya 'Matajiri wa kweli'.
Tatizo letu Tanzania ni kuwa hatujawahi kuwa huru kwa hiyo hatujui maana ya kuwa huru na hii ndiyo maana wapo wenzetu wanashangilia kukandamizwa. Uhuru wa Marekani ulipatikana baada ya umwagaji wa damu na raia wengi wa Marekani ni watu waliohamia huko wakikimbia ufashisti nchini kwao. Subirini, mtawaona Wamarekani wanavyotetea huo uhuru.
Hakuna jipya kutoka kwa hao 'watetea uhuru'. Cha ajabu kuna wengine wanaandamana ila hawajui kwanini wanaandamana, mara wengine wanalipwa na akina George Soros, wengine hawakupiga kura, wengine wanafanya uharibifu, wengine wanapigana wao kwa wao, wengine wanafanya fujo, wanaogopa camera za waandishi wa habari n.k yaani vichekesho vitupu. Wafuasi wa Trump pia walikuwa na frustrations zao ila walizimaliza kwenye sanduku la kura na sio barabarani. Rais wa US hachaguliwi barabarani.

Hapo ulipo-bold inaonekana unaamini waandamanji watamzuia Trump kutimiza ahadi zake. Fuatilia tu kwa karibu anavyoteua team yake pale Trump Tower utagundua Trump sio wa kupelekeshwa na Washington Establishment wala Liberal Media.
 
"El Jefe, post: 18539688, member: 387168"]Sir, katika demokrasia iliyokomaa ambayo popular vote ni muhimu, mgombea anapaswa kupata 50%+ ya kura zote na si chini ya hapo , haijalishi ni kwa kiasi gani mgombea anaongoza kwakuwa kama wapo wagombea wawili ambao wote hawajafika 50% huwa uchaguzi unarudiwa ili mgombea aweze kuungwa mkono na zaidi ya nusu ya wananchi
.Mkuu ingawa hoja zako umezielekeza kwa Mag3 naomba nichangie kidogo katika kubadilishana mawazo

Kama ungefuatilia nyuzi kuhusu uchaguzi wa Marekani tulizojadili ungebaini jibu la hoja yako.

Labda nikukumbushe tuliyosema.

Tulisema katika dempokrasia hakuna 'one size fits all' kwamba kuna model iliyokubalika kote

Kilichopo ni kuwa kile kilichokubaliwa kinatimizwa na kufanyika kwa makubaliano?

Kuna nchi Rais anachaguliwa kwa 2/3, kuna nchi 50% na zipo majority tu.
Tulikuwa na mfumo 50% sasa ni majority. Kama ndiyo makubaliano yetu hakuna tatizo

Tatizo ni pale tusipoheshimu makubaliano, na hapo ndipo wenzetu wanatuzidi
Trump amepata EV 270 kama katiba inavyosema ni pres elect.period na kila mtu anaheshimu

Marekani wana EV system, UK wana parliamentary system, India wana wao n.k.

Katika mifumo yote hakuna perfect 100% kwa mtazamo wa kila mtu.

Juzi UK wapo waliosema May kachaguliwa na Bunge.
Hoja si namna gani kachaguliwa, hoja, waliyokubaliana kwa model yao? Na wanatekeleza hayo?

Sisi Rais akitoka upande mmoja ,VP upande wa pili hata kama hakuchaguliwa na wananchi.

Kuna uwezekano VP akawa Rais bila kura, ndio muundo na hauna tatizo kama tumekubaliana.

Tatizo ni kama yale yaliyotokea, kutoheshimu makubaliana tuliyojiwekea.

Hivyo kusema kuna demokrasia iliyokomaa na iliyo duni ni kutokuangalia mambo objectively

Hebu tupe mfano mmoja tu wa demkorasia unayodhani imekomaa kwa kuwa na 50%, nasi tutakuonyesha mapungufu yake.

Hoja ya pili inaendelea
 
El Jefe Hillary pamoja na kuonekana anaongoza kwa popular vote lakini bado yeye na Trump wapo chini ya 50% ya popular vote. Hillary hawezi kufikisha 50% ya PV maana Michigan ipo kwa Trump. Trump ana 47.1%, ila tunasubiri matokeo ambayo ni certified.

Rais wa US kutopata 50% ya PV ni kitu cha kawaida kwenye historia ya US.
Ma-Rais wafuatao wa US hawakufikisha 50% ya PV katika miaka yao ya uchaguzi:
Mkuu hapa tena una miss point. Ni kweli Marais wengi tu akiwemo maarufu kama Bill hawakupata 50%

Popular vote si kipimo cha ushindi wa kwenda WH. Hili tumelisema mapema
Hoja ya popular vote ipo katika utawala kwa ujumla wake

Kwa mfano, kila kitu atakachofanya Trump au Republican lazima ki reflect matakwa ya waliowapigia kura na wasiompigia.

Impact ya popular vote ipo katika Congress. Obama aliingia na majority upper and lower house. Midterm akapoteza house na Senate na hilo likamkwaza sana katika sera zake

Ni kwa mtazamo huo, wewe utaiangalia Marekani kwa EV 270.

Senate na Congress inategemea sehemu kubwa popula vote si jumla bali wingi.
Naomba uelewe, si jumpa bali wingi uliosambaa

Nimesoma unavyoiangalia popular vote, EV, Senate na Congress una miss connections kubwa ya vitu hivyo
Ila usisahau, D. Trump ameshinda States 30 wakati Hillary ameshinda States 20 tu na D.C. Ina maana States nyingi zinamkubali Trump
.Mkuu umekosa mengi sana katika nyuzi zetu. Ukweli ni kuwa Trump 'kashinda'state 3 ambazo ni Wisconsin, Penny na Michigan.

Tunasema hivi kwasababu kuna Red states iwe isiwe ni Republican tu
Zipo Blue state ambazo iwe usiwe zitapiga Democrat. Halafu kuna swing states

Tunasema hayo kwasababu moja. Trump alibadilisha Wisconsin na Michigan ambazo ni Blue states na hizo ndizo zimempa ushinda.

Bila state hizo mbili asingefikisha 270, alikuwa na 268 kwa kushinda swing state zote.
Suala si kashinda 30, bali alifanikiwaje kunyakua state 3 za Democrat zilizomfikisha hapo

Nadhani utaelewa hii concept na hata kama hutaelewa sitaweza kukulaumu kwasababu umekosa mengi ya nyuma ikiwemo ramani , EV, Red and Blue states, swing states n.k.
Suala lililopo hapa ni kwamba ikiwa mgombea atatumia mda wake mwingi kufanya kampeni katika majimbo makubwa ili kufikisha EV 270 anaweza kushinda. Ila ushindi wenyewe sio kirahisi kiasi kwamba mgombea anaweza kuacha kufanya kampeni katika States ndogo, maana kwenye hizo States kubwa akizidiwa hata kura mmoja tu kwenye PV ya States anapata EV sifuri haijalishi wanakaribiana kiasi gani.

Issue sio idadi ya Electoral Votes per se, bali uwezekano wa mgombea kupuuza Majimbo madogo na kukomaa na majimbo makubwa ili kufikisha 270. Majimbo madogo huwa nayo yanahusika kubadilisha matokeo. Electoral College is a genious system.
Yes majimbo madogo yanaweza kuamua.

Kwa mfano, Michigan na Wisconsin zingebaki Democrats , New Hampshire ilikwenda kwa Clinton. Jimbo ambalo linge break tie ni Maine ambayo Clinton alishinda.

Hata hivyo Maine haitumii mfumo wa winner takes all, unatumia congressional district.

Lazima uelewe uchaguzi wa Marekani unaambatana na study.
Kwa mfano, Trump alishinda Michigan na Wisconsin ambako hakutumia nguvu.

Alielekeza nguvu Iowa, NC na kwingine kama Arizona na hata Utah.

Clinton alitaka kumbana kwa swing states bila kujua Michigan na Wisconsin zingeweza kubadilisha matokeo kwa kuamini ni blue states tu.

Hivyo kuamka na kukampeni, kuna watu wanajua kazi hiyo kwa miaka nenda Rudi

David Gergen ameshauri Marais 4 wa Marekani. Ukimsikiliza atakueleza mshangao
Hillary amewadhulumu hela watu kibao wakiwemo wa Haiti + Hillary ametumia ofisi ya Secretary of State kujitajirisha na kufanya ufisadi. Sidhani kama utamuweka kwenye list yako ya 'Matajiri wa kweli'.
Mkuu madai mengine jaribu Kuyafanyia utafiti.

Kwa taarifa tu Clinton hayupo katika 'familia' ya matajiri wa US.
Hayo ya wizi unaweza kutusaidia kwa info Zaidi
Hakuna jipya kutoka kwa hao 'watetea uhuru'. Cha ajabu kuna wengine wanaandamana ila hawajui kwanini wanaandamana, mara wengine wanalipwa na akina George Soros, wengine hawakupiga kura, wengine wanafanya uharibifu, wengine wanapigana wao kwa wao, wengine wanafanya fujo, wanaogopa camera za waandishi wa habari n.k yaani vichekesho vitupu. Wafuasi wa Trump pia walikuwa na frustrations zao ila walizimaliza kwenye sanduku la kura na sio barabarani. Rais wa US hachaguliwi barabarani.
Mkuu wanaoandama wana kitu kinaitwa 'anxiety' inayotokana na mambo mengi.

Anxiety yao inazidi wanapoona yanayoendelea. Unajua matamshi ya Trump na misimamo yake ya Xenophobia, Islamophobia, Sexism, racism n.k.

Teuzi zake za washauri wa mambo ya ulinzia na usalama yanaibua hisia kubwa sana

Hao anaoteua hadi sasa wengine wapo katika record za KKK, wengine wametamka maneno makali kuhusu yale aliyosema Trump wakati wa kampeni

Kama unafuatilia appointment zake zote hadi sasa zimekumbana na upinzani mkubwa

Ni Reince Prebius peke yake ambaye hadi sasa anaungwa mkono na pande zote

Rudi Guillian tayari yupo katika matatizo. Mshauri wa kijeshi Gen Flynn ndiye alikuwa katika dinner na Putin na ana mahusiano yenye mashaka achilia mbali kauli yake nzito dhidi ya Waislam na si radical islam kama wengine. Kuna Bannon ambaye ni nationalist, n.k.

Katika frustrations na anxiety za makundi yanatotokea mengine yasiyotarajiwa.
Hapo ulipo-bold inaonekana unaamini waandamanji watamzuia Trump kutimiza ahadi zake. Fuatilia tu kwa karibu anavyoteua team yake pale Trump Tower utagundua Trump sio wa kupelekeshwa na Washington Establishment wala Liberal Media.
Impact za Waandamanaji mbona zinaonekana kwa uteuzi wake wa sasa?

Mkuu nadhani upo behind siku kadhaa. Unadhani kwanini Rudi Guillian yupo pending?

Kama unafuatilia jina lake limejitokeza sana katika maandamano.

Sababu kubwa ni uhusika wake katika kashfa ya Jame Comey. Na Inspector kutoka DOJ anachunguza kuhusu kupata habari za FBI kutoka kwa retired staff waliopata kupitia active staff.

FBI wana kiapo cha maisha, Rudi alipataje? Hilo limemweka kiporo pamoja na madai ya waandamanaji. Trump anaona resistance kubwa kama akimtaja mapema. Down the road atamteua lakini kwasasa anapata upinzani si kutoka makundi, bali Dem na GOP kwa pamoja

Hapo Trump Tower amekutana na Nick Hailey na kesho anakutana na Mitt Romney
Hawa ni the establishment na orodha ya the establishment anaokutana nao ni kubwa

Sina uhakika una maana ipi. Je,Ryan na Mconnel siyo the establishment?

Ni sum up kwa kukumbusha kuwa jitihada za Trump ni ku unite Taifa.
Anajua hawezi kudharau popular vote ambayo leo inasimama kwa 1.1M more.

Hili linatoa picha ya divided nation
Kwa US kuna maana kubwa, si suala la EV ambayo kwasasa haina maana

Maamuzi ya Trump yata impact Republican kwa matokeo mazuri au mabaya mbeleni.

Kwa mfano, antipathy dhidi ya Trump automatically Republican wataathirika.
Kama ujuavyo, GOP wana tatizo na colored people na minority ikiwemo religion

Ni kwa mtazamo huo usidhani majority katika senate na house itampa leeway.

Unakumbuka walivyo repeal executive order ya Obama majuzi kabla ya uchaguzi wakisadiwa na Democrat waliokuwa wanakwenda katika uchaguzi!
 
.Mkuu ingawa hoja zako umezielekeza kwa Mag3 naomba nichangie kidogo katika kubadilishana mawazo

Kama ungefuatilia nyuzi kuhusu uchaguzi wa Marekani tulizojadili ungebaini jibu la hoja yako.

Labda nikukumbushe tuliyosema.

Tulisema katika dempokrasia hakuna 'one size fits all' kwamba kuna model iliyokubalika kote

Kilichopo ni kuwa kile kilichokubaliwa kinatimizwa na kufanyika kwa makubaliano?

Kuna nchi Rais anachaguliwa kwa 2/3, kuna nchi 50% na zipo majority tu.
Tulikuwa na mfumo 50% sasa ni majority. Kama ndiyo makubaliano yetu hakuna tatizo

Tatizo ni pale tusipoheshimu makubaliano, na hapo ndipo wenzetu wanatuzidi
Trump amepata EV 270 kama katiba inavyosema ni pres elect.period na kila mtu anaheshimu

Marekani wana EV system, UK wana parliamentary system, India wana wao n.k.

Katika mifumo yote hakuna perfect 100% kwa mtazamo wa kila mtu.

Juzi UK wapo waliosema May kachaguliwa na Bunge.
Hoja si namna gani kachaguliwa, hoja, waliyokubaliana kwa model yao? Na wanatekeleza hayo?

Sisi Rais akitoka upande mmoja ,VP upande wa pili hata kama hakuchaguliwa na wananchi.

Kuna uwezekano VP akawa Rais bila kura, ndio muundo na hauna tatizo kama tumekubaliana.

Tatizo ni kama yale yaliyotokea, kutoheshimu makubaliana tuliyojiwekea.

Hivyo kusema kuna demokrasia iliyokomaa na iliyo duni ni kutokuangalia mambo objectively

Hebu tupe mfano mmoja tu wa demkorasia unayodhani imekomaa kwa kuwa na 50%, nasi tutakuonyesha mapungufu yake.

Hoja ya pili inaendelea
Mkuu, ukisema kwamba kwakuwa mfumo fulani ni makubaliano kwahiyo hakuna tatizo, nadhani unapingana na waandamanaji wanaokataa mfumo wa EC uliompata Rais Mteule Trump na badala yake wanadai mfumo wa popular vote utumike ili umbebe Hillary.

Ingawa kiuhalisia wanaandamana kwakuwa mgombea wao kashindwa kupitia mfumo wa EC, nadhani utakubaliana na mimi kwamba wanapingana na mfumo waliojiwekea wenyewe.

Kukubaliana hakumaanishi kwamba hakuna tatizo, bali kunaweza kumaanisha kuwa sauti za wengi zimeamua. Ndiyo maana overtime huwa kuna mabadiliko ya makubaliano.

Lakini sio kila kinachopaswa kufuatwa ni makubaliano. Mifumo mingine inaweza kuwekwa kulinda maslahi ya watu au kundi fulani na wala sio ya nchi au wananchi. Mfano Hong Kong wanadai uhuru wa kumchagua Rais wao wenyewe kwa sababu hawakukubaliana namna Rais wao atakavyochaguliwa.

Nilivyosema 50%+, ni kuwa mtu anashinda kwa kupata zaidi ya nusu ya kura. Pengine wengine hawaitaki ili kukweka gharama za kurudia uchaguzi. Ila two-round system ni more representative.

Sidhani kwamba kwa kusema mfumo fulani umekomaa kunamaanisha kwamba huo mfumo upo perfect 100%, hapana, bali una mapungufu kidogo.

Ukomavu au uduni kwa demokrasia hakutemegei uchaguzi tu, bali kuna mambo mengine kwa mfano haki za binadamu, utawala wa sheria, utawala bora, uwazi na uwajibikaji, n.k
 
Mkuu hapa tena una miss point. Ni kweli Marais wengi tu akiwemo maarufu kama Bill hawakupata 50%

Popular vote si kipimo cha ushindi wa kwenda WH. Hili tumelisema mapema
Hoja ya popular vote ipo katika utawala kwa ujumla wake

Kwa mfano, kila kitu atakachofanya Trump au Republican lazima ki reflect matakwa ya waliowapigia kura na wasiompigia.

Impact ya popular vote ipo katika senate na Congress. Obama aliingia na majority upper and lower house. Midterm election akapoteza congress na Senate na hilo likamkwaza sana katika sera zake

Ni kwa mtazamo huo, wewe utaiangalia Marekani kwa EV 270.

Senate na Congress inategemea sehemu kubwa popula vote si jumla bali wingi.
Naomba uelewe, si jumpa bali wingi uliosambaa

Nimesoma unavyoiangalia popular vote, EV, Senate na Congress una miss connections kubwa ya vitu hivyo.


Mkuu, ukisema 'Senate na Congress' unakuwa haupo sahihi kwa sababu Congress ni Senate na House of Representatives. Senate imo ndani ya Congress.

Obama alipoteza House majority 2010 kwa sababu ya hasira za wananchi, Obama Care na uchumi mbaya.

Naona unavyolink wingi wa popular vote na Congress. Lakini kumbuka kwamba mwaka 2012, Republicans walizidiwa Popular Vote millioni 5 za Uchaguzi wa Rais na wakazidiwa Popular Vote Millioni 1.4 na House Democrats, na bado wakashinda House Majority.

Ila hiyo sio mara ya kwanza, Mwaka 1996, Democrats walishinda House Popular Vote 43.6 Million kwa 43.4 Million na bado Republicans wakashinda House Majority.

Kwahiyo inawezekana chama kikashinda House Seats bila uwingi wa kura.

Mkuu umekosa mengi sana katika nyuzi zetu. Ukweli ni kuwa Trump 'kashinda'state 3 ambazo ni Wisconsin, Penny na Michigan.

Tunasema hivi kwasababu kuna Red states iwe isiwe ni Republican tu
Zipo Blue state ambazo iwe usiwe zitapiga Democrat. Halafu kuna swing states

Tunasema hayo kwasababu moja. Trump alibadilisha Wisconsin na Michigan ambazo ni Blue states na hizo ndizo zimempa ushinda.

Bila state hizo mbili asingefikisha 270, alikuwa na 268 kwa kushinda swing state zote.

Suala hapa si kashinda 30, bali alifanikiwaje kunyakua state 3 za Democrat zilizomfikisha hapo

Nadhani utaelewa hii concept na hata kama hutaelewa sitaweza kukulaumu kwasababu umekosa mengi ya nyuma ikiwemo ramani , EV, Red and Blue states, swing states n.k.
Mkuu, Ronald Reagan alishinda States 49 kati ya 50 katika uchaguzi wa mwaka 1984 na States 44 kati ya 50 mwaka 1980.

California iliwahi ku-vote Republicans katika Election 6 (1968 - 1988) na baada ya hapo ikaanza ku-vote Democrat katika Election 7 (1992- 2016).

Hivi kuna mtu hajui masuala ya Red, Blue na Battleground/Swing States? Lakini Ushindani unavyoongezeka the bold colours are getting dimmer and slowly changing.

Nadhani bado niko sahihi kuwa Trump ameshinda States 30. Nikiangalia matokeo ya Arizona, Texas siwezi kusema ilikuwa 'iwe isiwe' per se. Ukweli ni kwamba matokeo hayakuwa marahisi kwa Trump. Alipigania ushindi wake hata kwenye 'Red' States.

Yes majimbo madogo yanaweza kuamua. Kwa mfano, Michigan na Wisconsin zingebaki Democrats , New Hampshire ilikwenda kwa Clinton. Jimbo ambalo linge break tie ni Maine ambayo Clinton alishinda.

Hata hivyo Maine haitumii mfumo wa winner takes all, unatumia congressional district.

Lazima uelewe uchaguzi wa Marekani unaambatana na study. Kwa mfano, Trump alishinda Michigan na Wisconsin ambako hakutumia nguvu.

Alielekeza nguvu Iowa, NC na kwingine kama Arizona na hata Utah.

Clinton alitaka kumbana kwa swing states bila kujua Michigan na Wisconsin zingeweza kubadilisha matokeo kwa kuamini ni blue states tu.

Hivyo si suala la kuamka na kukampeni, kuna watu wanajua kazi hiyo kwa miaka nenda Rudi

David Gergen ameshauri Marais 4 wa Marekani. Ukimsikiliza atakueleza mshangao
Nimefuatilia kampeni za Trump, na ametumia nguvu Wisconsin na Michigan pia. Ilimlazimu akafungie kampeni zake Michigan badala ya New Hamphire kama alivyopanga kutokana na wasiwasi aliokuwa nayo.

Wisconsin (T= 47.9% kwa H=46.9%)
Michigan (T= 47.6% kwa H= 47.3%)

Hizo range tu zinakuonyesha kwamba kulikuwa na mchuano mkali.

Mkuu madai mengine jaribu Kuyafanyia utafiti.

Kwa taarifa tu Clinton hayupo katika 'familia' ya matajiri wa US.
Hayo ya wizi unaweza kutusaidia kwa info Zaidi
Nimefanya utafiti na bahati nzuri sijategemea source za Liberal Media ambazo zilikuwa biased sana kwa Trump.

Mkuu, chunguza utagundua corruption ya Hillary Clinton.

Kila kitu kipo wazi. Hiyo hapo ni moja ya source ya Liberal media:

High Hopes for Hillary Clinton, Then Disappointment in Haiti

Mkuu wanaoandama wana kitu kinaitwa 'anxiety' inayotokana na mambo mengi.

Anxiety yao inazidi wanapoona yanayoendelea. Unajua matamshi ya Trump na misimamo yake ya Xenophobia, Islamophobia, Sexism, racism n.k.

Teuzi zake za washauri wa mambo ya ulinzia na usalama yanaibua hisia kubwa sana

Hao anaoteua hadi sasa wengine wapo katika record za KKK, wengine wametamka maneno makali kuhusu yale aliyosema Trump wakati wa kampeni

Kama unafuatilia appointment zake zote hadi sasa zimekumbana na upinzani mkubwa

Ni Reince Prebius peke yake ambaye hadi sasa anaungwa mkono na pande zote

Rudi Guillian tayari yupo katika matatizo. Mshauri wa kijeshi Gen Flynn ndiye alikuwa katika dinner na Putin na ana mahusiano yenye mashaka achilia mbali kauli yake nzito dhidi ya Waislam na si radical islam kama wengine. Kuna Bannon ambaye ni nationalist, n.k.

Katika frustrations na anxiety za makundi yanatotokea mengine yasiyotarajiwa. Impact za Waandamanaji mbona zinaonekana kwa uteuzi wake wa sasa?

Mkuu nadhani upo behind siku kadhaa. Unadhani kwanini Rudi Guillian yupo pending?

Kama unafuatilia jina lake limejitokeza sana katika maandamano.

Sababu kubwa ni uhusika wake katika kashfa ya Jame Comey. Na Inspector kutoka DOJ anachunguza kuhusu kupata habari za FBI kutoka kwa retired staff waliopata kupitia active staff.

FBI wana kiapo cha maisha, Rudi alipataje? Hilo limemweka kiporo pamoja na madai ya waandamanaji. Trump anaona resistance kubwa kama akimtaja mapema. Down the road atamteua lakini kwasasa anapata upinzani si kutoka makundi, bali Dem na GOP kwa pamoja

Hapo Trump Tower amekutana na Nick Hailey na kesho anakutana na Mitt Romney
Hawa ni the establishment na orodha ya the establishment anaokutana nao ni kubwa

Sina uhakika una maana ipi. Je,Ryan na Mconnel siyo the establishment?

Ni sum up kwa kukumbusha kuwa jitihada za Trump ni ku unite Taifa.
Anajua hawezi kudharau popular vote ambayo leo inasimama kwa 1.1M more.

Hili linatoa picha ya divided nation
Kwa US kuna maana kubwa, si suala la EV ambayo kwasasa haina maana

Maamuzi ya Trump yata impact Republican na yatakuwa na matokeo ima mazuri au mabaya mebeleni. Kwa mfano, kutakapokuwepo na antipathy dhidi ya Trump automatically Republican wataathirika. Kama ujuavyo, GOP wana tatizo na colored people na minority ikiwemo religion

Ni kwa mtazamo huo usidhani majority katika senate na Congress itampa leeway.

Unakumbuka walivyo repeal executive order ya Obama majuzi kabla ya uchaguzi wakisadiwa na Democrat waliokuwa wanakwenda katika uchaguzi!

Mkuu sipo behind,

Trump alishasema yeye ndiye anaejua finalists. Hizo analysis za Liberal media za kuchambua watu ambao hawajateuliwa, wanaofikiri watateuliwa au walioteuliwa ni subjective na one-sided.

Nadhani waandamaji hawajui wanachotaka, upande fulani hawamtaki Rais mteule, upande mwigine inaonekana wamekubaliana na matokeo ila wanapinga teuzi zake.

Kukutana na kuzungumza na Speaker na Senate Majority leader McConnell ni kitu cha kawaida na kilitegemewa.

Trump anaunganisha Republicans kwanza, kumuita mtu kama Romney ni ishara tosha.

Anachoshauriwa Trump ni kuhakikisha ana keep promises zake. Effect kubwa ni asipotimiza ahadi zake.

Anajua akizilegeza imekula kwake na atabomoa Trump base na hao hao wanaomwambia alegeze ahadi zake, mara a-act Presidential watakuwa wa kwanza kumponda kuwa hajatimiza alichokisema.

Trump anajaribu ku-strike balance kati ya ku-assemble team ya kufanikisha kazi na kuunganisha taifa. Lakini ukimsikiliza Kellyanne Conway ni kwamba pamoja na mambo mengine , Trump yupo focused kutimiza ahadi zake.
 
"El Jefe, post: 18544928, member: 387168"]Mkuu, ukisema kwamba kwakuwa mfumo fulani ni makubaliano kwahiyo hakuna tatizo, nadhani unapingana na waandamanaji wanaokataa mfumo wa EC uliompata Rais Mteule Trump na badala yake wanadai mfumo wa popular vote utumike ili umbebe Hillary.
Pres elect ni Trump na transition inaendelea.Hakuna wa kubadili hali Hillary atabebwaje?

Tayari kuna concession ndiyo maana alimpigia simu Trump.
Hii ni US si kule mtu anakopelekwa kwenye TV chini ya ulinzi na kutangaza upuuzi

Waandamanaji wana anxiety ambayo ina frustrations n.k. nimelifafanua na wala sina sababu za kupingana au kukubaliana nao, ninachokifanya ni kuwa na perspective tu
Ingawa kiuhalisia wanaandamana kwakuwa mgombea wao kashindwa kupitia mfumo wa EC, nadhani utakubaliana na mimi kwamba wanapingana na mfumo waliojiwekea wenyewe.
Ndio maana nakuambia umeingia kati hukusoma kuanzia mwanzo.

Wiki moja tu iliyopita nilieleza kuhusu hili na 15th amendment kuanzia 3/5 black vote mpaka women right iliyotokea less than a century ago.
Tulieleza kwa undani kwanini EV na chanzo chake.
Please pitia mabandiko kwanza
Kukubaliana hakumaanishi kwamba hakuna tatizo, bali kunaweza kumaanisha kuwa sauti za wengi zimeamua. Ndiyo maana overtime huwa kuna mabadiliko ya makubaliano.
Ndilo nililosema kuwa kukubaliana hata kwa kutokubaliana ndiyo demokrasia nikakuonyesha mfumo wa Tanzania wa 50% hadi simple majority. Sielewi hapa ulimaanisha nini kwakweli
Nilivyosema 50%+, ni kuwa mtu anashinda kwa kupata zaidi ya nusu ya kura. Pengine wengine hawaitaki ili kukweka gharama za kurudia uchaguzi. Ila two-round system ni more representative.
Kwa mtazamo wako upo sahihi, wengine wana mitazamo pia ni makosa kusema ina makosa
Ukomavu au uduni kwa demokrasia hakutemegei uchaguzi tu, bali kuna mambo mengine kwa mfano haki za binadamu, utawala wa sheria, utawala bora, uwazi na uwajibikaji, n.k
Hapa si tunaongelea uchaguzi kama sehemu ya demokrasia? I mean sielewi hoja yako ni nini kwa muktadha wa uzi
 
Mkuu, Lakini ukimsikiliza Kellyanne Conway ni kwamba pamoja na mambo mengine , Trump yupo focused kutimiza ahadi zake.
Yaani unamsikiliza Kellyanne halafu unakuja kutuekeza jambo.
Please kuna watu wa 'reference'

Kelly ni punditis wiki nzima hajaweza kujibu hoja za teuzi. Unajua anachosema 'msikilzeni Obama kuhusu ku unite Taifa' please please ! kuna watu wa kufanyia reference! Kelly si mmoja wao

Ahsante sana Bw EL Jefe , hoja zako zinafanana sana na za magode

Anyways niliingia tu kutia senti sumuni, mkuu Mag3 atapitia hoja kama ulivyozielekeza
 
Mkuu Nguruvi3, kosa la El Jefe ni moja tu...anatulaumu kwa kuegemea liberal outlets halafu reference yake anatoa maoni ya mtu kama KellyAnne. Nina wasi wasi kwamba anawasikiliza zaidi watu kama Hannity wa FoxNews na Rush Limbaugh na kiredio chake. Tofauti naye ni kwamba sisi wengine tunasikiliza pande zote na hatuko upande wa Democrats wala Republicans siku zote, tunawahukumu wote kwa nyakati tofauti kulingana na hali ilivyo wakati huo.

Kama El Jefe, angefanya reference angegundua kwamba sababu zilizotolewa kwenye Constitutionaql Convention ya mwaka 1787 zilizowezesha kuanzishwa kwa mtindo wa Electoral College katika kumchagua Rais nyingi zimepitwa na wakati. Wakati huo kulikuwa na shida kubwa zilizohusu haki sawa katika upigaji kura na hivyo kuleta tofauti kubwa kati ya majimbo ya Kusini na yale ya Kaskazini kutokana na haki za weusi kwa upande moja na wanawake kwa upande mwingine.

Mambo mengi sana yamebadilika na kuondoa kabisa umuhimu uliokuwa unapewa mfumo huo kutokana na marekebisho na mabadiliko yaliyoweza kufanyika Kikatiba. Pamoja na hilo mgombea bado anaweza akashinda majimbo mengi lakini asipate hizo kura 270. Mathalani tumesema jimbo moja na California lina EV zinazozidi majimbo yanayokaribia 20 madogo madogo na hivyo kulifanya jimbo hilo kuonekana kuwa na umuhimu kuliko tuseme North Dakota.

Linapokuja swali la Mama Clinton, Republicans walimshuku toka awali kabisa mtu atakayeteuliwa na Democrats baada ya Obama na walijiandaa kikweli kweli kuhakikisha jina lake linakuwa dragged kwenye mud. Kwa miaka zaidi ya miwili walitumia kila mbinu kwenye vitabu kumchafua na kosa walilofanya Democrats likawa lile lile walilofanya kwa Obama nalo ni la kutomtetea kwa nguvu. Democrats walipogutuka, hata mtoto mdogo alimuona Clinton kama shetani.

Hili El Jefe anaweza kabisa kutolikubali kwa sababu kama ingekuwa sumu waliolishwa walishaathirika kiasi cha kupoteza kabisa matumaini ya kupona. FoxNews wanakesha wakiongelea kinachoitwa Clinton machine lakini ukimbana muamini hiyo mashine ni nini hasa hutakuta majibu. Ukoo wa Clinton haupo kwenye listi ya wenye mapesa nchini Marekani na hata hiyo foundation imefanya makubwa ikilinganishwa na foundations nyingi zinazoanzishwa kama uyoga.

Lengo kubwa la wabaguzi wa Marekani ni kufuta Legacy ya Obama, mweusi wa kwanza kuupata Urais. Sina hakika kama El Jefe anakumbuka, pamoja nia yake nzuri ya kutaka ushirikiano wa wote, Republicans walivyoapa kumkwamisha toka siku yake ya kwanza ofisini. Wanaoandamana wanazo kumbukumbu hizo na wanaona watu wanaomuunga mkono Trump na misimamo yao. Pamoja na hilo Trump angeshindwa, hali ingekuwa mbaya kuliko hii tunayoshuhudia hii leo.

Wakati Michael Jackson, mwanamuziki wa kwanza aliyeiteka dunia nzima Mashariki hadi Magharibi, Kusini hadi Kaskazini alitengenezewa tuhuma na legacy yake ikifutwa kimya kimya, ya mvuta bangi Elvis Presley inaadhimishwa kila mwaka. Wakati Bing Cosby, katengenezewa tuhuma za kubaka, mbakaji bilionea Donald Trump anapewa Urais wa taifa kubwa duniani. El Jefe, hata wewe nimekuona ukimtuhumu Obama kwa utawala wa hovyo kama wanavyofanya hao wabaguzi wanaomuunga mkono Trump...kila la heri!
 
Yaani unamsikiliza Kellyanne halafu unakuja kutuekeza jambo.
Please kuna watu wa 'reference'

Kelly ni punditis wiki nzima hajaweza kujibu hoja za teuzi. Unajua anachosema 'msikilzeni Obama kuhusu ku unite Taifa' please please ! kuna watu wa kufanyia reference! Kelly si mmoja wao

Ahsante sana Bw EL Jefe , hoja zako zinafanana sana na za magode

Anyways niliingia tu kutia senti sumuni, mkuu Mag3 atapitia hoja kama ulivyozielekeza
Mwalimu wangu hapo ndo huwa unanichanganya Mwanafunzi wako. Kubagua reference wakati huo huo kutumia reference hizo kujenga hoja. Ilitikokea kipindi cha nyuma uka'refute' kauli za wanasiasa walizotoa kupitia twitter baadaye ukatumia twitter hizo kujenga hoja. Siamini kama unataka kufanya hivyo katika suala hili!! Hivi unamuamini sana Obama kuwa haiwezi kupitosha jambo? Kweli?
 
Mwalimu wangu hapo ndo huwa unanichanganya Mwanafunzi wako. Kubagua reference wakati huo huo kutumia reference hizo kujenga hoja. Ilitikokea kipindi cha nyuma uka'refute' kauli za wanasiasa walizotoa kupitia twitter baadaye ukatumia twitter hizo kujenga hoja. Siamini kama unataka kufanya hivyo katika suala hili!! Hivi unamuamini sana Obama kuwa haiwezi kupitosha jambo? Kweli?
Sijabagua reference nilichokifanya ni kueleza reference na umuhimu wake

Kama utakumbuka mabandiko mawili au matatu nyuma nilieleza kuhusu David Gergen. Sikuishia hapo nilieleza sifa zake kwamba ni mhadhiri wa JFK institute of democracy kama sikosei. Amekaa WH na Marais 4, Carter , Reagan Bush na Clinton. Huyu anaweza kueleza jambo

Kellyann ni kampeni meneja Trump sasa unadhani anaweza kueleza nini kuhusu Trump Zaidi ya kuzungumzia anachotumwa na Trump? Wiki nzima ameulizwa kuhusu teuzi za wabaguzi na wanachama wa KKK hajaweza kujibu, anachosema media ziunganishe taifa

Hivi unaweza kufanya reference ya Rush Limbaugh? Unachoweza ni kutumia kauli zake kuonyesha jambo si reference itakayokuwa rational and unbalance

Tunachosema hapa lazima watu wasome maoni kutoka vyanzo vyote. Nilikuwa nasoma Wall street, Huffington post, LA Times, n.k. kupata insight za nini kianendelea.
Kuna kusoma na kuchota kila kilichopo, halafu kuna kusoma au kusikiliza between the lines na kisha ku digest. Sasa wengine huingia katika mitandao na kuzoa tu kila kilichotupwa

Jana niliangalia CNN walionyesha 'hoax' karibia 7 zilizofanya watu wakaamini
Hizo ni pamoja na ile ya FBI kumfikisha mahakamani Clinton.

Hapa ndipo kuna tofauti maana baadhi watabeba tu kama ilivyo bila kutafuta source kama DOJ na AG kama kuna ukweli

Kellyann hayupo katika idadi ya watu tunaoweza kuzungumzia katika uzi huu, please please
 
Mkuu Mag3 tusijifiche kwenye vichaka vinavyoelekea kuungua moto! Ni kwamba, unapotumia kejeli kujenga hoja.... Mara nyingi hoja hiyo upunguziwa 'credibility '. Fox News wanafanya kazi yao waliyoichagua! Ni muhimu kuwakosoa kwa utaratibu ambao unajali uchaguzi wa kazi yao hiyo. Pia hata wale wanaojenga hoja zao kupitia Fox News revelations ni muhimu kuwapa nafasi inayostahili unapojaribu kuweka sawa hoja zao.
======
Obama hukufanya lolote kwa sababu yeye alikuwa remote control ya White Power ambao ni wamiliki wa White House(Rejea Hotuba ya J.Kenedy (R.I.P) juu ya secret societies). HRC hakufaa hata kidogo kuwa rais wa US!! Ninashangaa mnavyopuuzia issue ya Haiti!!!Wakati huo mnalalamika ubaguzi wa warepablicans! Haiti ni Waafrika wenzetu! Walichokifanya demo kwenye Majanga ya Haiti si sahihi! Ni ubaguzi wa kiuaji!!
 
Mkuu Mag3 tusijifiche kwenye vichaka vinavyoelekea kuungua moto! Ni kwamba, unapotumia kejeli kujenga hoja.... Mara nyingi hoja hiyo upunguziwa 'credibility '. Fox News wanafanya kazi yao waliyoichagua! Ni muhimu kuwakosoa kwa utaratibu ambao unajali uchaguzi wa kazi yao hiyo. Pia hata wale wanaojenga hoja zao kupitia Fox News revelations ni muhimu kuwapa nafasi inayostahili unapojaribu kuweka sawa hoja zao.
======
Obama hukufanya lolote kwa sababu yeye alikuwa remote control ya White Power ambao ni wamiliki wa White House(Rejea Hotuba ya J.Kenedy (R.I.P) juu ya secret societies). HRC hakufaa hata kidogo kuwa rais wa US!! Ninashangaa mnavyopuuzia issue ya Haiti!!!Wakati huo mnalalamika ubaguzi wa warepablicans! Haiti ni Waafrika wenzetu! Walichokifanya demo kwenye Majanga ya Haiti si sahihi! Ni ubaguzi wa kiuaji!!
Wengine tunajikita katika angalau kutafuta ukweli huku wewe TUJITEGEMEE ukijikita katika kufukua makaburi ya conspiracy theorists lakini kaa ukijua wako watu wamefuzu katika kuzijenga hadi kuandika kabisa vitabu. Kila kitu kitaelezwa katika mizani ya conspiracy theory na hapa ndipo unatakiwa kuchagua kipi cha kuamini na kipi cha kulitilia shaka. Wakati wewe unaongelea hilo la Obama kuwa remote control ya White power, wenzio wanapanga kuhakikisha kila alilofanikisha Obama halibaki kwenye historia.

Fox News, pamoja na kujiita fair and balanced, imekuwa proven kwamba siyo news outlet kwa watu na kwa namna inavyoendeshwa...mimi muda mwingi napenda kuwasikiliza katika kutaka kujua maoni yao katika mambo yenye utata. Afadhali hata CCN inaweza kuwahoji pamoja watu wenye maoni tofauti na kuruhusu mijadala mikali lakini si FoxNews. Hata hivyo ukitaka kujua hasa misimamo huru ya Wamarekani sikiliza vituo vya redio na hasa vinvyoruhusu vipindi vyenye misimamo tofauti kutoka kwa watu wa kawaida tofauti.
 
Kosa la El Jefe ni moja tu...anatulaumu kwa kuegemea liberal outlets halafu reference yake anatoa maoni ya mtu kama KellyAnne. Nina wasi wasi kwamba anawasikiliza zaidi watu kama Hannity wa FoxNews na Rush Limbaugh na kiredio chake. Tofauti naye ni kwamba sisi wengine tunasikiliza pande zote na hatuko upande wa Democrats wala Republicans siku zote, tunawahukumu wote kwa nyakati tofauti kulingana na hali ilivyo wakati huo.
Mkuu, mimi ni kama Swing States, huwa na-swing Democrats na Republicans.

Nikiwa na mda wa kutosha napitia media outlets nyingi tu kwa mfano:

ABC, Associated Press, CNBC, CNN, Huffington Post, Reuters, LA Times, MCClatchy, Bloomberg, MSNBC, Buzzfeed, National Journal, AURN, NBC, New York Times, NPR, CBS, Politico, The Hill, Wall Street Journal, Washington Post, Fox News, Non-Mainstream Media (NMM) outlets n.k

Ukiacha Fox News na NMM, media oulets zilizobaki (hapo juu) zilikuwa BIASED sana na zilitumia mda mrefu kuaminisha watu kuwa Trump ni unfit, unqualified na hawezi kushinda.

Huwa naweka reference kutoka kwenye hizo liberal sources kwakuwa unaziamini kwa kiasi kikubwa. Kupitia kwao uliaminisha watu wengi humu kuwa Trump hatashinda Urais wa US.

Kama El Jefe, angefanya reference angegundua kwamba sababu zilizotolewa kwenye Constitutionaql Convention ya mwaka 1787 zilizowezesha kuanzishwa kwa mtindo wa Electoral College katika kumchagua Rais nyingi zimepitwa na wakati. Wakati huo kulikuwa na shida kubwa zilizohusu haki sawa katika upigaji kura na hivyo kuleta tofauti kubwa kati ya majimbo ya Kusini na yale ya Kaskazini kutokana na haki za weusi kwa upande moja na wanawake kwa upande mwingine.

Mambo mengi sana yamebadilika na kuondoa kabisa umuhimu uliokuwa unapewa mfumo huo kutokana na marekebisho na mabadiliko yaliyoweza kufanyika Kikatiba. Pamoja na hilo mgombea bado anaweza akashinda majimbo mengi lakini asipate hizo kura 270. Mathalani tumesema jimbo moja na California lina EV zinazozidi majimbo yanayokaribia 20 madogo madogo na hivyo kulifanya jimbo hilo kuonekana kuwa na umuhimu kuliko tuseme North Dakota.

Mag3, naamini kwamba Electoral College sio perfect. Ila tukumbuke, katika mapendekezo (takriban 3000) ya mabadiliko ya Katiba ya US katika historia, ni mapendekezo 27 tu ndiyo yaliyoidhinishwa. Ila mfumo wa Electoral College bado umesimama.

Pengine kwa sababu wengi wanaona imeweza kuwakilisha popular vote kwa miaka mingi na imefeli mara nne tu au tano.

Nadhani Electoral College sio kwamba ni outdated bali sio perfect. States zikibadilisha sheria zao zikawa kama za Maine kwa mfano (kutumia congressional districts), US inaweza ku-address mapungufu mengi ya EC. Ina maana Mgombea Urais wa Rep anaweza kupata baadhi ya EV za California, New York n.k na Mgombea Urais wa Dem anaweza kupata baadhi ya EV za Texas, Arizona n.k

Linapokuja swali la Mama Clinton, Republicans walimshuku toka awali kabisa mtu atakayeteuliwa na Democrats baada ya Obama na walijiandaa kikweli kweli kuhakikisha jina lake linakuwa dragged kwenye mud. Kwa miaka zaidi ya miwili walitumia kila mbinu kwenye vitabu kumchafua na kosa walilofanya Democrats likawa lile lile walilofanya kwa Obama nalo ni la kutomtetea kwa nguvu. Democrats walipogutuka, hata mtoto mdogo alimuona Clinton kama shetani.

Hili El Jefe anaweza kabisa kutolikubali kwa sababu kama ingekuwa sumu waliolishwa walishaathirika kiasi cha kupoteza kabisa matumaini ya kupona. FoxNews wanakesha wakiongelea kinachoitwa Clinton machine lakini ukimbana muamini hiyo mashine ni nini hasa hutakuta majibu. Ukoo wa Clinton haupo kwenye listi ya wenye mapesa nchini Marekani na hata hiyo foundation imefanya makubwa ikilinganishwa na foundations nyingi zinazoanzishwa kama uyoga.
Mkuu, sidhani kwamba Fox News na Republicans wanapaswa kulaumiwa kwa Hillary kushindwa kwenye uchaguzi. Hakuna Republican aliyemwambia Hillary atumie private e-mail server yake isivyo halali au kutokushughulikia issues za Benghazi ipasavyo.

Ukimsikiliza kiongozi wa House Oversight Committee, Rep. Jason Chaffetz (R-Utah) ni kwamba GOP bado wataendelea kumchunguza Hillary pamoja na ukweli kuwa ameshindwa uchaguzi.

Kamati kama nne za House na Senate zinazodeal na uchunguzi wa Mama Clinton zimesema bado zitaendelea na uchunguzi katika Congress ijayo.

Ndio maana wadau tunasubiri kuona kama Rais Obama atam-pardon au atamuachia mama Clinton.

Kuhusiana na Clinton Foundation ni kwamba inaweza kuwa imefanya makubwa, lakini kuchunguza namna inavyoendeshwa sidhani kama ni tatizo. Foundations nyingi zinachunguzwa duniani kote. Kufanya makubwa hakupaswi kuhalalisha Foundation yoyote kupokea contributions zenye harufu ya rushwa au mambo yanayohusiana na hayo.

Lengo kubwa la wabaguzi wa Marekani ni kufuta Legacy ya Obama, mweusi wa kwanza kuupata Urais. Sina hakika kama El Jefe anakumbuka, pamoja nia yake nzuri ya kutaka ushirikiano wa wote, Republicans walivyoapa kumkwamisha toka siku ya kwanza. Wanaoandamana wanazo kumbukumbu hizo na wanaona watu wanaomuunga mkono Trump na misimamo yao. Pamoja na hilo Trump angeshindwa, hali ingekuwa mbaya kuliko hii tunayoshuhudia hii leo.
Mag3, Rais Obama alivyoingia WH aliwadharau sana GOP hasa baada ya kuona ana majority kwenye House na Senate, nadhani hakuwaza kuwa upepo utambadilikia mapema sana.

Aliwahi kuwaambia waandishi wa habari kuwa kama GOP wanataka kushirikiana naye, wanakaribishwa ila wakakae siti za nyuma kwa sababu hawezi kuchukua ushauri kutoka kwa watu waliotengeneza matatizo. Aliwakejeli, aliwaringia na kuwatupia lawama kila sehemu alikokwenda.

Mwaka 2010 GOP walipochukua House Majority mambo yakaanza kuwa magumu kwa Rais Obama. Rais akawa anawabembeleza sana House Reps, akahubiri sana umoja lakini wapi.

Mwaka 2012 GOP wakachukua tena House Majority. Ni kweli walitaka Rais Obama awe Rais wa awamu moja, lakini ikashindikana. Hilo halihusiani na Rais Obama kuwa Rais wa kwanza mweusi bali ni siasa tu za Congress.

Mwaka 2014 GOP walivyochukua majority Senate na House wamefanya awamu ya pili ya Rais Obama kuwa ngumu sana kwake.

Hata Trump naye atakapoanza kazi atakumbana na ugumu wa kudeal na Minority Democrats wa Senate na House, na sidhani kama ni siri kwamba Democrats wanataka na wanapanga namna ya kumkwamisha Rais Trump kutotimiza ahadi zake na kumfanya kuwa Rais wa awamu moja.

Wanapanga kufanya hivyo sio kwa sababu Trump ni Rais wa kwanza outsider kwa asilimia 100, hapana, ni nature ya congress politics. Rais yeyote wa US anakumbana na ugumu wa ku-deal na Congress, awe au asiwe na majority.

Wakati Michael Jackson, mwanamuziki wa kwanza aliyeiteka dunia nzima Mashariki hadi Magharibi, Kusini hadi Kaskazini alitengenezewa tuhuma na legacy yake ikifutwa kimya kimya, ya mvuta bangi Elvis Presley inaadhimishwa kila mwaka. Wakati Bing Cosby, katengenezewa tuhuma za kubaka, mbakaji bilionea Donald Trump anapewa Urais wa taifa kubwa duniani. El Jefe, hata wewe nimekuona ukimtuhumu Obama kwa utawala wa hovyo kama wanavyofanya hao wabaguzi wanaomuunga mkono Trump...kila la heri!
Mag3, umetaja allegations za kufuta legacy za watu wengi, mwingine ana kesi mahakamani, naamini mahakama itamu-acquit mwenye tuhuma za kutengeneza.

Mag3, mimi sio mbaguzi, nilifurahi sana Obama alivyokuwa Rais wa kwanza mweusi wa US, sikupenda McCain ashinde. Hata 2012, nilifurahi alivyomshinda Romney. Ila 2016, Democrats walivyomleta Hillary nika-swing kama Pennsylvania, Michigan n.k.

Sio sahihi kusema wanaomuunga mkono Trump ni wabaguzi, Ben Carson sio mbaguzi. Hizo battleground States alizoshinda Trump mwaka huu na zilichukuliwa na Obama mwaka 2012 unaweza ukazi-attribute na ubaguzi kweli?

Rais Obama alifanya kazi kubwa sana kurudisha uchumi wa US kwenye mstari na hiyo ni legacy yake, ingawa recovery bado ipo weak. Rais Obama pia ni Rais wa kwanza mweusi US, hiyo nayo ni legacy yake, haifutiki. Ila ObamaCare na Executive orders za Rais Obama zinafutika.

Kama Bill Clinton alisema "Obama Care is the craziest thing in the world" unategemea Republicans watasema nini kuhusiana na hiyo legacy/signature law ya Rais Obama?

Naomba kuuliza, hivi Trump aliwahi kumbaka mtu? naomba info zaidi, nani alibakwa, alibakwa wapi na summary ya maamuzi ya mahakama. Ila upande wa pili tunaye Bill Clinton ambaye ni mbakaji aliyepatikana na hatia mahakamani.
 
Yaani unamsikiliza Kellyanne halafu unakuja kutuekeza jambo.
Please kuna watu wa 'reference'

Kelly ni punditis wiki nzima hajaweza kujibu hoja za teuzi. Unajua anachosema 'msikilzeni Obama kuhusu ku unite Taifa' please please ! kuna watu wa kufanyia reference! Kelly si mmoja wao

Ahsante sana Bw EL Jefe , hoja zako zinafanana sana na za magode

Anyways niliingia tu kutia senti sumuni, mkuu Mag3 atapitia hoja kama ulivyozielekeza
Nguruvi3, Kellyanne (sasa ni Trump Senior Advisor) ni mwanamke wa kwanza kuongoza Kampeni za Mgombea Urais wa US na kushinda uchaguzi. At least mpe credit kwa hilo.

Ulisema umeridhika na uteuzi wa Reince Priebus lakini Conway hajibu vizuri maswali kuhusu teuzi, mi nadhani ukijaribu kusikiliza maoni ya watu wengine wanaowafahamu au waliofanya kazi na hao walioteuliwa utagundua kuwa wengi tu wanawaongelea vizuri.

Reince amefanya kazi na Steve Bannon na amuongelea vizuri, wengine wanam-link Bannon na kkk, feminism, n.k. Inasemekana articles zingine hakuhusika katika kuandaa. Conway anachowaambia waandishi wa habari ni kuwa wapewe chance.

Sen. Sessions wengi wanamuongelea vizuri hadi kuna Dem Senators wanaokataa kum-judge na hawatoi negative comments kabla ya review.

Mike Pompeo kila mtu anamuongelea vizuri hadi Democratic members wa Congress.

Kwa maoni yangu, transition inavyoenda, so far so good.
 
El Jefe, post: 18552645, member: 387168"]Nguruvi3, Kellyanne (sasa ni Trump Senior Advisor) ni mwanamke wa kwanza kuongoza Kampeni za Mgombea Urais wa US na kushinda uchaguzi. At least mpe credit kwa hilo
Namjua Conway kabla ya kuwa kampeni meneja. Kwangu simsikilizi achilia mbali kumpa credit.
Kuna watu wa maana ninaoweza kuwapa muda wa kuwasoma na kuwasikiliza
Ulisema umeridhika na uteuzi wa Reince Priebus lakini Conway hajibu vizuri maswali kuhusu teuzi, mi nadhani ukijaribu kusikiliza maoni ya watu wengine wanaowafahamu au waliofanya kazi na hao walioteuliwa utagundua kuwa wengi tu wanawaongelea vizuri
.Soma vizuri maandiko ya watu bila kuwawekea maneno, ni jambo jema
Reince amefanya kazi na Steve Bannon na amuongelea vizuri, wengine wanam-link Bannon na kkk, feminism, n.k.
Ulitegemea Chief of the staff aongelee vibaya appointment ya pres. elect! please
Sen. Sessions wengi wanamuongelea vizuri hadi kuna Dem Senators wanaokataa kum-judge na hawatoi negative comments kabla ya review.
Kwanini alikosa u federal judge 1986? Hao Dem wanaomungolea vizuri ni wapi?
Kwa maoni yangu, transition inavyoenda, so far so good
Kuna kitu gani kimetokea transition chair Christ Christie akawa demoted?

Unamjua mtu aanayeitwa Jared Kushner? Unajua mahusiano ya Charles Kushner na Christ? Kwanini Jared amekuwa katikati ya mijadala?
 
"
El Jefe, post: 18552510, member: 387168"]Ukiacha Fox News na NMM, media oulets zilizobaki (hapo juu) zilikuwa BIASED sana na zilitumia mda mrefu kuaminisha watu kuwa Trump ni unfit, unqualified na hawezi kushinda.
Unjua ukiongelea jambo ni muhimu sana ukawa na background.
Unaweza kuitenga Fox na New York post au Wall street journal?

Pili, vyombo vya habari havitengenezi habari , vinapata habari na kuzifanyia kazi
Ulitegemea nini wakati mkanda wa Hollywood ulipotoka hadharani na Trump kukubali?
Jiulize kwanini kampeni ilimzuia Trump katika tweets?
Ukimsikiliza kiongozi wa House Oversight Committee, Rep. Jason Chaffetz (R-Utah) ni kwamba GOP bado wataendelea kumchunguza Hillary pamoja na ukweli kuwa ameshindwa uchaguzi.

Kamati kama nne za House na Senate zinazodeal na uchunguzi wa Mama Clinton zimesema bado zitaendelea na uchunguzi katika Congress ijayo.

Ndio maana wadau tunasubiri kuona kama Rais Obama atam-pardon au atamuachia mama Clinton.
Kama unasema kamati zitaendelea kumchunguza, Obama atamsamehe kwa kosa gani au tuhuma gani na kutoka wapi? Please!

Unasema anachunguzwa halafu hitimisho anamakosa na kutoa suluhisho Obama amsamehe!

''Yaani kamati zitaendelea na uchunguzi kwa congress ijayo'' halafu Obama amsamehe hata uchunguzi wa kamati unazosema haujaanza.
Muhimu pia ukajiuliza kwanini Obama hakuweza kumzuia Comey na unadhani anaweza kuzuia house committee. Aisee !
Rais Obama alifanya kazi kubwa sana kurudisha uchumi wa US kwenye mstari na hiyo ni legacy yake, ingawa recovery bado ipo weak.
Rais Obama pia ni Rais wa kwanza mweusi US, hiyo nayo ni legacy yake, haifutiki.

Ila ObamaCare na Executive orders za Rais Obama zinafutika.
Sijui kama una taarifa kuwa waliojiandikisha Obamacare kwa mwaka huu katika kipindi kama hiki mwaka jana ni 1Million more, 100,000 post election. Unaweza kujiuliza kwanini imetokea hivyo

Trump alisema ata repeal Obamacare siku ya kwanza. Sasa hivi hilo halipo, na amesema atafanyia amendment na kuacha conditions kama za pre existing conditions

Sasa kama ni kitu kibaya kwanini hata repeal day one in the office kama unavyodhani wewe pia? Hebu tueleze ubaya wa Obamacare kwa mtazamo wako ni upi?

Pili, hebu tueleze executive order zitakazofutwa ni zipi?
Ila upande wa pili tunaye Bill Clinton ambaye ni mbakaji aliyepatikana na hatia mahakamani
Hapa kidogo sina kumbu kumbu, hebu nifahamishe sakata la Billy Clinton lilikuwaje kwa ufupi hadi akahukumiwa mahakamani?
 
Kwanini alikosa u federal judge 1986? Hao Dem wanaomungolea vizuri ni wapi? Kuna kitu gani kimetokea transition chair Christ Christie akawa demoted?

Unamjua mtu aanayeitwa Jared Kushner? Unajua mahusiano ya Charles Kushner na Christ? Kwanini Jared amekuwa katikati ya mijadala?
Sen. Sessions alikosa Fed Judge (10-8) miaka 30 iliyopita kwa sababu ya 'racist remarks'. Ila kati ya wale Republicans wawili waliompinga mmoja (Specter) anajutia maamuzi yake.

Ni sawa na Hillary alivyowaita wale watoto weusi wa US 'super predators' miaka 20 iliyopita (1996), hiyo ni racist remarks na Hillary angekuwa kwenye nafasi ya Sen. Sessions baada ya kutoa hizo kauli hiyo nayeye angekosa Fed Judge.

Lakini haijawa issue maana Hillary amekua mgombea wa Urais wa Dems. 2016 na hukuwa na tatizo na hilo.

Democratic Senator wa West Virginia Joe Machin amesema atampigia kura Sen. Sessions kumuidhinisha kuwa AG.

Jared Kushner ni mume wa Ivanka Trump, Charles Kushner ni baba yake Jared, Murray Kushner ni kaka yake Charles. Chris Christie alimfunga Charles miaka miwili jela ingawa alitumikia mwaka mmoja. Jared alikasirishwa na kitendo hicho cha Christie na anafikiri baba yake alionewa.

Beef la Chris Christie na Jared & Charles pia ilikuwa ni kwasababu Murray alikuwa na urafiki na Christie na alikuwa treated tofauti kisheria ukilinganisha na Christie alivyowa-treat Jared na Charles.
 
Sen. Sessions alikosa Fed Judge (10-8) miaka 30 iliyopita kwa sababu ya 'racist remarks'. Ila kati ya wale Republicans wawili waliompinga mmoja (Specter) anajutia maamuzi yake.

Ni sawa na Hillary alivyowaita wale watoto weusi wa US 'super predators' miaka 20 iliyopita (1996), hiyo ni racist remarks na Hillary angekuwa kwenye nafasi ya Sen. Sessions baada ya kutoa hizo kauli hiyo nayeye angekosa Fed Judge..
Very flimsy argument ab initio

Hillary amehukumiwa kwa makosa yake kama yapo. Makosa yake hayawezi kufuta makosa ya mtu mwingine.

Jina linalokwenda seneti ni la Sessions, kama atafuta unayosema hatapata confirmation.

Nimejaribu sana kukueleza lazima uwe na background ya hoja kabla ya kuiweka hapa

Historia ya matatizo ya Session
1. Kuna racial remarks unayosema iliyomnyima u judge (confirmed)
2. Kuna tuhuma za kumwita layer mweusi a boy
3. Kuna tuhuma za kuita NAACP un-American

Infact democrat wengi wameonyesha kutaka kufukua mambo hayo kuona kama yana umuhimu kutokana na unyeti wa nafasi anayotarajia kupata

Sen Dianne Feinsten amesema kutakuwa na fair hearing kwa Session wakati wa confirmation akiwa mwenyekiti wa judiciary committee kipindi kijacho.
Hili ni baada ya dep concern ya Democrats

Utetezi
Nilidhani ungetuletea utete kuhusu rekodi ya Sessions na kama kuna elements za kujirudi

Ningalikuwa wewe pengine ningesema haya:
1. Alipiga kura ya kuongeza miaka 30 ya civil rights
2.Aifanya confirmation ya Eric Holder ambaye ni AG wa Obama na mweusi
3. Alipiga kura ya kumpa hadhi mwana mama Rosa Parks katika kupewa medali

Haya ungetueleza kuonyesha anastahili benefit of doubts na si hoja ya 'Clinton alifanya hivyo!

Pamoja na utetezi wa mambo 3 hapo juu, nafasi ya AG inalalamikiwa kuwa ni chanzo cha Injustice katika America.

Ni nafasi nyeti sana ambayo maamuzi yake yanagusa sehemu kubwa ya jamii ya America yenye tension katika mambo ya civil rights

Faida za Sessions
Senate inaweza kumpigia kura 51 bila Democrats na akawa confirmed

Hasara
Atakuwa amekosa bipartisan support na hilo kumfanya aonekane ni AG wa Republican

Political ramifications

Kwavile AG anasimama mambo ya justice , kumuidhinisha kutaangaliwa kwa namna hii;

1. Strong tie na Trump na itaonekana kama yeye ni shoka na Trump ni mpini.
Kumbuka racial remark za Trump zinawiana na Sessions seneta wa kwanza kumuidhinisha Trump

2. Republican watabeba mzigo wa lawama zitakazotokana na Seneti, Trump na Sessions
Hivyo kutakuwa na tatizo la GOP kupata support ya minority kama blacks

3. Kutakuwa na political tension kwasababu remark zake na za Trump zina prejudice.

Maamuzi yoyote yawe fair au unfair yatakuwa linked na historia za wawili hao

Ni kwasababu hizo, uteuzi wake una matatizo ya muda mfupi na muda mrefu

At least ungeliangalia jambo hili kwa mtazamo mpana na si 'mbona Clinton alifanya'

Niliwahi kukaribishwa nyumbani kwa rafiki yangu. Ukutani mwa sebule yake kulikuwa na karatasi ilmaneno hayo 'Jesus is a silent listener of all conversations in this house''
 
Back
Top Bottom