Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #61
KIFO CHA ESCROW KIMEWADIA
WANANCHI WAMEFUNGWA MIDOMO KWA KAMBA ZA MAHAKAMA
CCM IMETEKA HOJA BAADA YA ADHABU YA WANANCHI
http://www.mwananchi.co.tz/habari/K...bani/-/1597296/2589796/-/ysq9pyz/-/index.html
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=76315
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=76317
Hii ni sehemuyamabandiko takribani 20 tukieleza kwaundani kuhusu mbinu za serikali za kuficha uozo wa Escrow. Reference ya mada hii ni bandiko 50-54
Tulisema lengo la serikali nikuiteka hoja na kuitumia kwanjia zisizo sahihi
Tulieleza kuwa wapinzani walifanya makosa kushiriki kamati yamaridhiano.
CCM hainahistoriaya maridhiano, lini wanaweza kuja na hoja ya maridhiano ikaaminiwa?
Tulisema Mbowe na Zitto waliuza hoja na walioshindwa niwananchi.
CCM inatumia vikaovyao inatumia udhaifu wamaridhiano kujijenga baada ya kujeruhiwa uchaguzi serikali mitaa.
Serikali nayo inahakikisha suala la Escrow halisemwi walahalizungumzwi tena.
Leo wamekamatwa watu wawili kwa kutuhuma za kula rushwa ya kupewa mamilioni na Rugemalira.
Huo ni usanii, ukisoma mashtaka yanayowakabili ni pamoja na kuchukua rushwaili kufanikisha suala la IPTL . Inachekesha sana kwasababu sheria za nchi zinakataza kutoaa u kupokea rushwa. Iweje sasa Rugemalira anayejulikana katoa rushwa asifunguliwe mashtaka?
Hili la mahakamani limefanywa makusudi. Tuliwahi kuelezakuwa mbinu itakayotumika kuzima mjadalawa escrow nikukamata watu wawili, ili suala hilo liwe mahakamani na lisiandikwe au kuzungumzwa tena.
Njia ya pili, ni kuwafariji wafadhili , tatizo linashughulikiwa na wapo waliofikishwa mahakamani tayari.
Na tatu, ni kuridishaimanikwawananchi katikamantiki ile ileya kushughulikia tatizo.
Kitendo cha kukubali kulirudisha sualala escrow serikali ilikuwakosa kubwa.
Kitendocha kukubali uwepowa kamati yamaridhiano ilikuwa ni kosa kubwa.
Na kitendo chawananchikushangiliakuondolewa kwa Tibaijuka nikosa kwa kuondoa jicho sehemu husika.
Sasa Escrow imezuiliwa kusemwa, ipo mahakamani na kifo chake kimefika rasmi.
Serikali inapumua kama tulivyowahi kuandika huko nyuma.
Wananchi wapigwa changa la macho. Wasubiri khanga na kofia za CCM kwa pesa zao kupitia ufisadi.
Tusemezane
WANANCHI WAMEFUNGWA MIDOMO KWA KAMBA ZA MAHAKAMA
CCM IMETEKA HOJA BAADA YA ADHABU YA WANANCHI
http://www.mwananchi.co.tz/habari/K...bani/-/1597296/2589796/-/ysq9pyz/-/index.html
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=76315
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=76317
Hii ni sehemuyamabandiko takribani 20 tukieleza kwaundani kuhusu mbinu za serikali za kuficha uozo wa Escrow. Reference ya mada hii ni bandiko 50-54
Tulisema lengo la serikali nikuiteka hoja na kuitumia kwanjia zisizo sahihi
Tulieleza kuwa wapinzani walifanya makosa kushiriki kamati yamaridhiano.
CCM hainahistoriaya maridhiano, lini wanaweza kuja na hoja ya maridhiano ikaaminiwa?
Tulisema Mbowe na Zitto waliuza hoja na walioshindwa niwananchi.
CCM inatumia vikaovyao inatumia udhaifu wamaridhiano kujijenga baada ya kujeruhiwa uchaguzi serikali mitaa.
Serikali nayo inahakikisha suala la Escrow halisemwi walahalizungumzwi tena.
Leo wamekamatwa watu wawili kwa kutuhuma za kula rushwa ya kupewa mamilioni na Rugemalira.
Huo ni usanii, ukisoma mashtaka yanayowakabili ni pamoja na kuchukua rushwaili kufanikisha suala la IPTL . Inachekesha sana kwasababu sheria za nchi zinakataza kutoaa u kupokea rushwa. Iweje sasa Rugemalira anayejulikana katoa rushwa asifunguliwe mashtaka?
Hili la mahakamani limefanywa makusudi. Tuliwahi kuelezakuwa mbinu itakayotumika kuzima mjadalawa escrow nikukamata watu wawili, ili suala hilo liwe mahakamani na lisiandikwe au kuzungumzwa tena.
Njia ya pili, ni kuwafariji wafadhili , tatizo linashughulikiwa na wapo waliofikishwa mahakamani tayari.
Na tatu, ni kuridishaimanikwawananchi katikamantiki ile ileya kushughulikia tatizo.
Kitendo cha kukubali kulirudisha sualala escrow serikali ilikuwakosa kubwa.
Kitendocha kukubali uwepowa kamati yamaridhiano ilikuwa ni kosa kubwa.
Na kitendo chawananchikushangiliakuondolewa kwa Tibaijuka nikosa kwa kuondoa jicho sehemu husika.
Sasa Escrow imezuiliwa kusemwa, ipo mahakamani na kifo chake kimefika rasmi.
Serikali inapumua kama tulivyowahi kuandika huko nyuma.
Wananchi wapigwa changa la macho. Wasubiri khanga na kofia za CCM kwa pesa zao kupitia ufisadi.
Tusemezane