Duru za siasa: Matukio nchini na duniani kwa ujumla

Duru za siasa: Matukio nchini na duniani kwa ujumla

Nimeangalia sijaona mahali panapochanganya, kama kupo basi mada zirudishwe kule kwa ACT mpini.

Kuna uwezekano mtu akachangia katika uzi tofauti, naomba kama imetokea basi bandiko lirudishwe eneo husika

Ahsante kwa angalizo
Ok wewe ndio umeitoa huku na kuipeleka kula unaona unavyochanganya. Nenda Duru ACT mpini wa CCM utakuta pia maelezo yako #70 kule, Ukanivuta huku..
 


Hizi Mada zimechanganywa au? naona zipo pande mbili katika Duru za siasa - ACT kama mpini wa CCM na hii na Matukio ya dunia. imekuwaje?

Mkuu naomba takwimu za maoni ndani ya CCM maana mnapenda sana kuamini vitu. Ikiwa kweli leo mnaamini chama ni zaidi ya mtu kama Zitto imekuwaje, wanachama wa CCM wamwambie Dr.Slaa ahamie Chadema, chama wanachopingana nacho ili wampe kura zao. Inaingia akiini kweli?

..kilichotokea siyo cha kustaajabisha kama utakuwa umefuatilia historia ya Wambulu tangu enzi za TANU.

..Wambulu wana historia ya kumkataa mgombea wa Tanu Chifu Amri Dodo na badala yake kumchagua independent candidate Herman Elias Sarwatt ktk uchaguzi wa 1960.

..inasemekana Tanu walishaonywa kwamba wasimsimamishe Amri Dodo lakini hawakusikia, hivyo Wambulu wakawapiga chini.

cc Nguruvi3, Mchambuzi
 
Last edited by a moderator:
Hili ni tukio lililotokea Geneva wakati Viongozi wa Houthi (wanaoitwa wanamgambo wa Yemen) walipokuwa wanatoa maelezo kwa wahandishi wa habari.




http://m.deseretnews.com/photo/765675725

Melee Erupts at Yemen Peace Talks | Al Jazeera America


http://www.dailymail.co.uk/wires/af...-Yemen-talks-slipper-hurled-rebel-leader.html



Yemen iko kwenye mgogoro mkubwa baina ya wanamgambo hawa na serikali ya zamani ya nchi hiyo inayosaidiwa na saud arabia. Wanamgambo hawa inasemekana wanasaidiwa na Iran. Saud Arabia imesababisha maafa makubwa ya kibanadamu na makazi kwa kuishambulia nchi hiyo kwa ndege za kivita huku ikidondoshea raia mabomu yaliyokatazwa ....!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom