Shukran Nguruvi3,
Binafsi yangu leo sijapata usingizi na saa hizi ni saa tisa Usiku nipo macho makavuu..Kuhusiana na KATIBA wananchi wengi wameweka tumaini ktk ujenzi wa mwongozo mpya ambao kusema kweli nisingependa kuwakatisha tamaa, badala yake nitajaribu kuwa objective ktk hli maana sina jinsi..
A (i) Ningeandika isomeke - UZALENDO - NATIONALISM
Why? ni kwa sababu this is what we are missing...Watanzania tumepoteza Uzalendo kabisa, hatuna National pride, Patriotism maana tayari tumeisha poteza tumaini hivyo sii rahisi watu kuwa devoted na loyal kwa Utaifa wetu. Hivyo uzalendo kwa nchi ni lazima wala sio ombi na pekee ndio utaweza kufanikisha mengine yote yanayohusu tofauti zetu. Uzalendo utaondoa Ufisadi, Uzalendo utaondoa chuki, fitna na kuipenda nchi yetu badala ya nafsi zetu..
ii) Kitu cha kwanza kabisa katiba lazima itazame WATU na MAZINGIRA tuliyopo leo ili kutunga katiba inayofanana nasi ili tupate dira ya wapi tutakwenda. Kwa kuzingatia UTU wa mwafrika ni lazima tuendelee kuenzi yaliyo asisiwa na katiba ya mwanzo ya mwaka 1976 kwa kulinda UHURU, HAKI na USAWA.
WATU
Kwa kuzingatia UTU kiholela hakuwezi kuwa na maana yoyote ndani ya katiba kama katiba hiyo haitawalenga WATU wake na nadhani hakuna tafsiri ya walengwa zaidi ya WAZAWA.. Wapo watu wanaosema Uzawa ni fikra za Kibaguzi lakini nani ulimsikia akinadi Uzalendo pasipo kuhusiana na uzawa?..Nchi zote duniani zinatunga kativba zao kwa kuwalenga wazawa, wewe mgeni ukienda makwao ndiye unayetakiwa ubadilike uwe kama wao japokuwa hukatazwi kufuata Utamaduni wako usiopingana na katiba yao..
Katiba lazoma iwalenge wazawa mna sio wageni ama kuwafurahisha wageni - interes zetu kwanza. Hivyo kizazi cha watanzania na tofauti zao ndicho kinatangulia kuwa sababu ya kutungwa katiba mpya. Maadam nchi yetu ni TAJIRI lakini wananchi wake ndio maskini basi ni lazima tukubali kujitazama sisi, kama kile kifungu kisemacho Nchi yetu haina dini isipokuwa watu wake ndio wenye dini na makabila (nimeongezea langu)..Hivyo kwa ujumla nasema nchi yetu ni tajiri, haina dini wala kabila isipokuwa wananchi wake..
Hawa ndio watu tulokuwa nao hivyo katiba kwa ujumla wake ni lazima pzingatie tofauti hizi maana huwezi kusimamisha UHURU, HAKI na USAWA (equal opportunity) in order to create a unified community na ikiwa katiba yenyewe itachelea kuwatazama watu wake kwa tofauti ili kuwajenga desire for national unity and advancement basi haya yatakuwa makosa ya kwanza.
Katiba hii mpya itaweza vipi kuwahamasisha wananchi hawa maskini na wenye dini na makabila tofauti? Bila shaka kwa kusimamisha doctrine inayojali UTU kwa tafsiri niliyoiweka hapo juu. Sisi Watanzania hatuhitaji kubadilika, nimewahi kuwasikia watu wengi sana wakisema jamani eeh tubadilike..eeeh? Tubadilike ili tuwe nini? tuwe kama wazungu au! Jamani Sisi ndio sisi kama tulivyoumbwa kwa vipaji vyetu na tunapobadilika ina maana tunaiga mila na desturi za watu wengine ambao kwao ndivyo Walivyo. Kwa nini tuvae suti kuubwa jua la nyuzi 40? mbona mzungu akija Afrika huvua hadi shati akatembea tumbo wazi sasa tubadilike kivipi ilihali sisi ni maskini na wajinga eeeh! - tutaweza vipi kubadilika?. Tunachotakiwa ni UZALENDO. na sio kubadilika.
MAZINGIRA
Kama nilivyosema huko nyuma mazingira ni sehemu kubwa sana utata tunaokabiliana nao na sehemu kubwa ya umaskini wetu imetokana na kutojali mazingira yetu zaidi ya kuuza kutumia na kufaidika ilihali tunashindwa kuelewa kwamba tuna maziwa mengi kuliko nchi yoyote ya Afrika lakini idadi kubwa ya wananchi hawana maji..Sasa ikiwa maji ni UHAI na asilimia sijui 80 hawana maji hivi kweli tunategemea tunaweza kuendelea. Mazingira yetu sii kuwepo kwa madini na wanyama pekee bali ni pamoja na matumizi bora ya riziki hizi alotujalia Mwenyezi Mungu.
Kuna wakati huwa nikisikia ule wimbo wa -Ukitazama ramani utaona nchi nzurii - yaani huwa natamani kulia machozi jinsi mwenyezi Mungu alivyotupendelea. Pia tazama basi na vipaji tulivyokuwa navyo ktk kilimo, uvuvi na mifugo lakini maajabu tumekuwa watumwa wa ukoloni mamboleo ambao wanajipanga kuivamia Afrika. Mzungu haji Afrika kuijenga Afrika bali kutazama fursa za kutajirika yeye ama kwao.. Hawa wana Uzalenfo tayari kwa nchi zao hivo hawezi kuja kichwa kichwa wekeza mahala ambapo kesho mnaweza kumfukuza. I mean huhitaji Phd kulifahamu hili. Pasipo kuthamini MAZINGIRA yetu hatuwezi ku overcome Umaskini na Maradhi maana hatutaweza kuwa na chakula cha kutosha (food insecurity), kuwa na maji safi, malazi mazuri kuzalisha kazi wala adequate energy supply.
Hayo maswali mengine ya B yote yamejibiwa ndani ya mtazamo wangu..Kuuthamani UTU kwa kusimamisha uhuru, haki na usawa tukajitazama kwenye kioo na kujiuliza sisi ni watu gani, kisha tunakubali for who you are, tuujenge Uzalendo wa kuwa sisi ni Watanzania japokuwa maskini, wajinga na wenye maradhi kisha basi lazima tutakuwa na kiburi cha kuchukia Ukoloni mamboleo kwa umaskini wetu. Na mfumo pekee unaotufaa sasa hivi ni NATIONALISM, kupiga vita fikra za kubadilika na sijui kuiga sana ya nje ambayo ndio chachu ya Ufisadi...
Napingana na mawazo ya Ujamaa uloogopa wezi (wakoloni) tukajifungia wenyewe gereza tuloyajenga sawa na majumba ya Mikocheni na masaki yaani hawa wanaogopa wezi badala ya kuweka ulinzi kuzuia wezi, wanajenga uzio wa kuta futi 12, na waya za umeme juu kuzunguka nyumbani mzima..minondo hadi vyumbani, kiasi kwamba wao wenyewe wanakuwa wafungwa kwa majumba yao wenyewe na kwa gharama kubwa sana lakini kumbe ndio kwanza wanawavuta majambazi wakiona vile wanakuwa curious kujua kuna nini ndani mle!..Sasa kama wao wanaona raha kuishi ktk mazingira yale ama ya Ujamaa, binafsi yangu siyapendi na mara nyingi mtu alofungiwa akipata mwanya hufanya mabaya zaidi ya yule aliyeko huru..
Binafsi yangu leo sijapata usingizi na saa hizi ni saa tisa Usiku nipo macho makavuu..Kuhusiana na KATIBA wananchi wengi wameweka tumaini ktk ujenzi wa mwongozo mpya ambao kusema kweli nisingependa kuwakatisha tamaa, badala yake nitajaribu kuwa objective ktk hli maana sina jinsi..
A (i) Ningeandika isomeke - UZALENDO - NATIONALISM
Why? ni kwa sababu this is what we are missing...Watanzania tumepoteza Uzalendo kabisa, hatuna National pride, Patriotism maana tayari tumeisha poteza tumaini hivyo sii rahisi watu kuwa devoted na loyal kwa Utaifa wetu. Hivyo uzalendo kwa nchi ni lazima wala sio ombi na pekee ndio utaweza kufanikisha mengine yote yanayohusu tofauti zetu. Uzalendo utaondoa Ufisadi, Uzalendo utaondoa chuki, fitna na kuipenda nchi yetu badala ya nafsi zetu..
ii) Kitu cha kwanza kabisa katiba lazima itazame WATU na MAZINGIRA tuliyopo leo ili kutunga katiba inayofanana nasi ili tupate dira ya wapi tutakwenda. Kwa kuzingatia UTU wa mwafrika ni lazima tuendelee kuenzi yaliyo asisiwa na katiba ya mwanzo ya mwaka 1976 kwa kulinda UHURU, HAKI na USAWA.
WATU
Kwa kuzingatia UTU kiholela hakuwezi kuwa na maana yoyote ndani ya katiba kama katiba hiyo haitawalenga WATU wake na nadhani hakuna tafsiri ya walengwa zaidi ya WAZAWA.. Wapo watu wanaosema Uzawa ni fikra za Kibaguzi lakini nani ulimsikia akinadi Uzalendo pasipo kuhusiana na uzawa?..Nchi zote duniani zinatunga kativba zao kwa kuwalenga wazawa, wewe mgeni ukienda makwao ndiye unayetakiwa ubadilike uwe kama wao japokuwa hukatazwi kufuata Utamaduni wako usiopingana na katiba yao..
Katiba lazoma iwalenge wazawa mna sio wageni ama kuwafurahisha wageni - interes zetu kwanza. Hivyo kizazi cha watanzania na tofauti zao ndicho kinatangulia kuwa sababu ya kutungwa katiba mpya. Maadam nchi yetu ni TAJIRI lakini wananchi wake ndio maskini basi ni lazima tukubali kujitazama sisi, kama kile kifungu kisemacho Nchi yetu haina dini isipokuwa watu wake ndio wenye dini na makabila (nimeongezea langu)..Hivyo kwa ujumla nasema nchi yetu ni tajiri, haina dini wala kabila isipokuwa wananchi wake..
Hawa ndio watu tulokuwa nao hivyo katiba kwa ujumla wake ni lazima pzingatie tofauti hizi maana huwezi kusimamisha UHURU, HAKI na USAWA (equal opportunity) in order to create a unified community na ikiwa katiba yenyewe itachelea kuwatazama watu wake kwa tofauti ili kuwajenga desire for national unity and advancement basi haya yatakuwa makosa ya kwanza.
Katiba hii mpya itaweza vipi kuwahamasisha wananchi hawa maskini na wenye dini na makabila tofauti? Bila shaka kwa kusimamisha doctrine inayojali UTU kwa tafsiri niliyoiweka hapo juu. Sisi Watanzania hatuhitaji kubadilika, nimewahi kuwasikia watu wengi sana wakisema jamani eeh tubadilike..eeeh? Tubadilike ili tuwe nini? tuwe kama wazungu au! Jamani Sisi ndio sisi kama tulivyoumbwa kwa vipaji vyetu na tunapobadilika ina maana tunaiga mila na desturi za watu wengine ambao kwao ndivyo Walivyo. Kwa nini tuvae suti kuubwa jua la nyuzi 40? mbona mzungu akija Afrika huvua hadi shati akatembea tumbo wazi sasa tubadilike kivipi ilihali sisi ni maskini na wajinga eeeh! - tutaweza vipi kubadilika?. Tunachotakiwa ni UZALENDO. na sio kubadilika.
MAZINGIRA
Kama nilivyosema huko nyuma mazingira ni sehemu kubwa sana utata tunaokabiliana nao na sehemu kubwa ya umaskini wetu imetokana na kutojali mazingira yetu zaidi ya kuuza kutumia na kufaidika ilihali tunashindwa kuelewa kwamba tuna maziwa mengi kuliko nchi yoyote ya Afrika lakini idadi kubwa ya wananchi hawana maji..Sasa ikiwa maji ni UHAI na asilimia sijui 80 hawana maji hivi kweli tunategemea tunaweza kuendelea. Mazingira yetu sii kuwepo kwa madini na wanyama pekee bali ni pamoja na matumizi bora ya riziki hizi alotujalia Mwenyezi Mungu.
Kuna wakati huwa nikisikia ule wimbo wa -Ukitazama ramani utaona nchi nzurii - yaani huwa natamani kulia machozi jinsi mwenyezi Mungu alivyotupendelea. Pia tazama basi na vipaji tulivyokuwa navyo ktk kilimo, uvuvi na mifugo lakini maajabu tumekuwa watumwa wa ukoloni mamboleo ambao wanajipanga kuivamia Afrika. Mzungu haji Afrika kuijenga Afrika bali kutazama fursa za kutajirika yeye ama kwao.. Hawa wana Uzalenfo tayari kwa nchi zao hivo hawezi kuja kichwa kichwa wekeza mahala ambapo kesho mnaweza kumfukuza. I mean huhitaji Phd kulifahamu hili. Pasipo kuthamini MAZINGIRA yetu hatuwezi ku overcome Umaskini na Maradhi maana hatutaweza kuwa na chakula cha kutosha (food insecurity), kuwa na maji safi, malazi mazuri kuzalisha kazi wala adequate energy supply.
Hayo maswali mengine ya B yote yamejibiwa ndani ya mtazamo wangu..Kuuthamani UTU kwa kusimamisha uhuru, haki na usawa tukajitazama kwenye kioo na kujiuliza sisi ni watu gani, kisha tunakubali for who you are, tuujenge Uzalendo wa kuwa sisi ni Watanzania japokuwa maskini, wajinga na wenye maradhi kisha basi lazima tutakuwa na kiburi cha kuchukia Ukoloni mamboleo kwa umaskini wetu. Na mfumo pekee unaotufaa sasa hivi ni NATIONALISM, kupiga vita fikra za kubadilika na sijui kuiga sana ya nje ambayo ndio chachu ya Ufisadi...
Napingana na mawazo ya Ujamaa uloogopa wezi (wakoloni) tukajifungia wenyewe gereza tuloyajenga sawa na majumba ya Mikocheni na masaki yaani hawa wanaogopa wezi badala ya kuweka ulinzi kuzuia wezi, wanajenga uzio wa kuta futi 12, na waya za umeme juu kuzunguka nyumbani mzima..minondo hadi vyumbani, kiasi kwamba wao wenyewe wanakuwa wafungwa kwa majumba yao wenyewe na kwa gharama kubwa sana lakini kumbe ndio kwanza wanawavuta majambazi wakiona vile wanakuwa curious kujua kuna nini ndani mle!..Sasa kama wao wanaona raha kuishi ktk mazingira yale ama ya Ujamaa, binafsi yangu siyapendi na mara nyingi mtu alofungiwa akipata mwanya hufanya mabaya zaidi ya yule aliyeko huru..