Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
Nguruvi3,
Samahani kwa kutofafanua zaidi hili. Kuhusu Uzalendo, Kuhusu Uzalendo, sipingani na hoja zako, ni kwamba nina mtazamo wa ziada tu. Naomba nifafanue kidogo juu ya Utaifa. Sikuwa na maana kwamba all nationalists are gone, bado wapo wengi tu, and I believe you and I among them, and there are many other sisters and brothers of Nationalism ambao leaders the likes of Nyerere, Nkrumah, Samora Machell… made them (still do) proud of being Tanzanian, African…
When I say the project of Nationalism has stalled maana yangu ni kwamba: Kwanza, if you mention majina ya viongozi hawa to many of our university students (of Tanzanian origin) both at home and abroad, utakutana na one of the following:
So hilo ni la kwanza;
Pili, ni kwamba ingawa bado brothers and sisters of nationalism tupo, uweo wetu hauna maana sana kama viongozi wetu don't act the same way or enact policies zinazoendana na aspirations zetu. Tukumbuke kwamba Nationalism was an ideology in itself iliyolenga kutupatia self determination kisiasa, kiuchumi, na kijamii kama nilivyokwisha jadili juu ya TANU. Lakini kwa bahati mbaya sana, haikuchukua zaidi ya miaka 25 tokea uhuru kwa hizi hopes and aspirations zetu kuanza kupata msuko suko; Since then, ideology of domination spearheaded na Liberalization, Privatization, and Marketization has replaced our Ideology of Self Determination as it was envisaged by TANU.
Viongozi wetu baada ya Nyerere have simply aborted the Nationalism Project, and bear in mind, this project is a big threat to Liberalization, Privatization, and Marketization. Ndio maana hivi sasa, badala ya viongozi wetu kutumia muda mwingi kuwa karibu na wananchi (nationalists) na kuelewa matatizo yao, hence follow up with appropriate actions and policies, viongozi wanatumia more of their time and our resources to ‘wine and dine' with the "imperialists."
Nationalism has an ideology has been man slaughtered; the imperialists in association with wakala wao ambao kwa bahati mbaya sana ni hawa hawa wanasiasa/viongozi wetu, are just ridiculing Utaifa wetu:
That was my point – and I insist, our Nationalism project has been impaired, way beyond repair.
Ntarudi baadae kujaribu kujibu swali lako kuhusu the way forwad. Lakini lazima tuanze kwa kujitambua kwanza.
Samahani kwa kutofafanua zaidi hili. Kuhusu Uzalendo, Kuhusu Uzalendo, sipingani na hoja zako, ni kwamba nina mtazamo wa ziada tu. Naomba nifafanue kidogo juu ya Utaifa. Sikuwa na maana kwamba all nationalists are gone, bado wapo wengi tu, and I believe you and I among them, and there are many other sisters and brothers of Nationalism ambao leaders the likes of Nyerere, Nkrumah, Samora Machell… made them (still do) proud of being Tanzanian, African…
When I say the project of Nationalism has stalled maana yangu ni kwamba: Kwanza, if you mention majina ya viongozi hawa to many of our university students (of Tanzanian origin) both at home and abroad, utakutana na one of the following:
- Either, many have no interest to hear more;
- Many do not recognize these names; or
- Many have very marginal knowledge about these names…
So hilo ni la kwanza;
Pili, ni kwamba ingawa bado brothers and sisters of nationalism tupo, uweo wetu hauna maana sana kama viongozi wetu don't act the same way or enact policies zinazoendana na aspirations zetu. Tukumbuke kwamba Nationalism was an ideology in itself iliyolenga kutupatia self determination kisiasa, kiuchumi, na kijamii kama nilivyokwisha jadili juu ya TANU. Lakini kwa bahati mbaya sana, haikuchukua zaidi ya miaka 25 tokea uhuru kwa hizi hopes and aspirations zetu kuanza kupata msuko suko; Since then, ideology of domination spearheaded na Liberalization, Privatization, and Marketization has replaced our Ideology of Self Determination as it was envisaged by TANU.
Viongozi wetu baada ya Nyerere have simply aborted the Nationalism Project, and bear in mind, this project is a big threat to Liberalization, Privatization, and Marketization. Ndio maana hivi sasa, badala ya viongozi wetu kutumia muda mwingi kuwa karibu na wananchi (nationalists) na kuelewa matatizo yao, hence follow up with appropriate actions and policies, viongozi wanatumia more of their time and our resources to ‘wine and dine' with the "imperialists."
Nationalism has an ideology has been man slaughtered; the imperialists in association with wakala wao ambao kwa bahati mbaya sana ni hawa hawa wanasiasa/viongozi wetu, are just ridiculing Utaifa wetu:
- Interests za nationalists ni kushinda vita dhidi ya our three main enemies of development Umaskini, Maradhi na Ujinga; Lakini eti tunaambiwa kwamba hilo linawezekana tukishirikiana na mapacha watatu wa imperialism Liberalization, Privatization, and Marketization?
That was my point – and I insist, our Nationalism project has been impaired, way beyond repair.
Ntarudi baadae kujaribu kujibu swali lako kuhusu the way forwad. Lakini lazima tuanze kwa kujitambua kwanza.