Fursa za kiuchumi NATO sio kipaumbele kuliko usalama?Teh...teh...teh...Ukiona watu 30 wanajikusanya kuunda grupu la kujilinda dhidi ya mtu mmoja, fahamu yafuatayo:
View attachment 2155469
- Kwanza huyo mtu mmoja ni mbabe
- Hao watu 30 ni madhaifu
- Hao watu 30 wanamuogopa huyo mtu mmoja.
Ukijiuliza kwa nini nchi zajiunga NATO, utaambiwa ili ziwe salama dhidi ya Putin[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zamani niliamini sana mbabe ni mwenye mashine. Niliiadmire mno Russia lakini kwa sasa naanza kutambua hakuna mbabe zaidi ya aliye na pesa.Ajiangalie sana, mkubwa hatunishiwi msuli. USA inayo uwezo wa kuwafadhili magaidi na kuivamia Ufilipino na baadae wakaomba msaada kwenda kuisaidia Tena.
Au yeye anadhani Donesk ilipataje msaada wa Russia? Huyo Durtete haijui nguvu ya pesa na teknolojia.
Kwa sababu Marekani alikua anapigana na vi nchi dhaifu kama Iraq,Somalia na vikundi kama Taliban,Al qaeda.hivyo hakua katika hatari ya kuzidiwa.Lini alishawahi kutuma Majeshi kuisaidia Marekani?
Huo ndio Ukweli wenyewe.U.s.a ushawishi wake wakijeshi umeshaanza kuporomoka ,putin kaleta heshima duniani, putin ndio kiumbe pekee baada ya miaka mingi kupita kutoa kauli moja tu ya kupiga mwenye mbwa na mbwa wake wote endapo watavuka mstari mwekundu na wote wakatii amri wakibaki wanabweka hovyo kwenye vyombo vya habari...
Wapambe wanamkana mchana kweupe.Maisha yanenda kasi Sana.......leo hii Marekan anatolewa kauli hizi[emoji23][emoji23]
Kama USA alivyotumia atomic bomb huko Japan au?Russia hana ubavu hata robo wa kupambana na NATO. sema NATO wameamua kutumia busara tuu ili dunia ibaki salama maana urusi anajua kupambana na NATO hawezi atakimbilia kutumia nyuklia sasa akiitumia tuu na wenzanke pia wanazo nao watatumia mwisho wa siku dunia itapitia kipindi kigumu na watu wengi sana kufaaa.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Fursa za kiuchumi unaweza kuzi-access hata ukiwa kwenye EU pasi na kuwa NATO. Finland na Sweden zina access na soko la EU lakini hazijajiunga na NATO.Fursa za kiuchumi NATO sio kipaumbele kuliko usalama?
Ukweli huu mchungu watu hawapendi kuukubali.Teh...teh...teh...Ukiona watu 30 wanajikusanya kuunda grupu la kujilinda dhidi ya mtu mmoja, fahamu yafuatayo:
View attachment 2155469
- Kwanza huyo mtu mmoja ni mbabe
- Hao watu 30 ni madhaifu
- Hao watu 30 wanamuogopa huyo mtu mmoja.
Ukijiuliza kwa nini nchi zajiunga NATO, utaambiwa ili ziwe salama dhidi ya Putin🤣🤣🤣
Ahaa kwa hiyo Marekani anasifika na anajulikana kwa kupeleka machafuko kwa nchi nyingine.Aisee.Ajiangalie sana, mkubwa hatunishiwi msuli. USA inayo uwezo wa kuwafadhili magaidi na kuivamia Ufilipino na baadae wakaomba msaada kwenda kuisaidia Tena.
Au yeye anadhani Donesk ilipataje msaada wa Russia? Huyo Durtete haijui nguvu ya pesa na teknolojia.
Jamaa ni mropokaji na ni jamii ya jiwe na Putin
big up duterte
Hizi ni akili za Wafuasi wa Jiwe waliokuwa wakimwita eti ni Shujaa wa Africa,ukiwauliza ushujaa gani hao alioufanya wanaanza kukwambia wewe si Mzalendo.U.s.a ushawishi wake wakijeshi umeshaanza kuporomoka ,putin kaleta heshima duniani, putin ndio kiumbe pekee baada ya miaka mingi kupita kutoa kauli moja tu ya kupiga mwenye mbwa na mbwa wake wote endapo watavuka mstari mwekundu na wote wakatii amri wakibaki wanabweka hovyo kwenye vyombo vya habari...
Saudi huyu huyu ambae ufalme wake uhai wake unategemea Ulinzi wa Marekani?[emoji23][emoji23][emoji23]hadi Saud wamewatolea nje Noma sana
NakusubiriUnajua Maana ya Warsaw pact au umeamua kuongea tu
Mbona walishampelekea waasi kusini mwa Philippines kwenye wailsam wengi,pale Philippines ilipoanza kupiga kelele eti majeshi ya Marekani yaondoke nchini kwake U.S akawaundia kikundi cha Abu Sayyaf Group kikaanza kuleta vurugu kudai Uhuru wa Wailsam au Philippines Mindanao baadae ikabidi aite jeshi la Marekani kuwasaidia.Ajiangalie sana, mkubwa hatunishiwi msuli. USA inayo uwezo wa kuwafadhili magaidi na kuivamia Ufilipino na baadae wakaomba msaada kwenda kuisaidia Tena.
Au yeye anadhani Donesk ilipataje msaada wa Russia? Huyo Durtete haijui nguvu ya pesa na teknolojia.
Kwahiyo wewe ndio msemaji wa NATORussia hana ubavu hata robo wa kupambana na NATO. sema NATO wameamua kutumia busara tuu ili dunia ibaki salama maana urusi anajua kupambana na NATO hawezi atakimbilia kutumia nyuklia sasa akiitumia tuu na wenzanke pia wanazo nao watatumia mwisho wa siku dunia itapitia kipindi kigumu na watu wengi sana kufaaa.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Mbona huitaji Afghanistan Mrusi alipokimbia kwa miguu hata kabla hajateka Nchi kama inavyomkuta leo hii hapo Ukraine?Kwa sababu Marekani alikua anapigana na vi nchi dhaifu kama Iraq,Somalia na vikundi kama Taliban,Al qaeda.hivyo hakua katika hatari ya kuzidiwa.
Lakini Sasa kama USA atajaribu kuiingiza jeshi kukabiliana na Urusi Hali yake itakua dhofuli Hali.
Na hilio ndio Dutertte ndio hataki kujiingiza katika janga la kumsaidia USA maana a ajua TU huko mbele Kuna kuombwa msaada na USA.
Kwa kifupi Dutertte kashasoma mchezo,
Kaweka akina ya maneno kabisa kuwa kama USA akijiingiza yeye Dutertte hayumo.hataki maneno.