Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mfumo wowote wa Dunia utakaobadilika,Russia hana pesa wa Ushawishi wa kubadili mfumo wa Dunia. Huyo China mwenye Uchumi mkubwa na ushawishi kuliko Russia alipigwa vikwazo vya hatari mpaka akaomba poo lakini hakuna mfumo wowote wa Dunia uliobadilika.Huo ndio Ukweli wenyewe.
Na baada ya vita hii,mifumo mingi sana ya kidunia itabadilika.
Putin kamchapa mtoto mbele ya baba yake na kaka zake nyumbani kwao Huku wakubwa zake mtoto huyo wakiangalia TU bila kumsaidia.
Kibaya zaidi mtoto analia na anaomba msaada kwa uchungu na maumivu wanamwngalia TU,yaani hata majirani wanatazama wakiwa madirishani bila msaada wowote.
Da inasikitisha sana aisee.
Hiyo ndio mikataba anayolilia Ukraine huku Putin akiipinga kwa nguvu zote. Unadhani Ukraine angekuwa member wa NATO Mrusi angethubutu kumfanyia huu utopolo au ni sawa na Taiwan mwenye Mkataba na Marekani kuwa endapo Taiwan itavamiwa U.S ataingia Vitani moja kwa moja kumsaidia Taiwan zidi ya mvamizi.Ila marekani bwana yani kaingia mkataba eti ikitokea vita mmoja amsaidie mwenzake.
Basi naamini rais putin anayo akili mingi mno.Hiyo ndio mikataba anayolilia Ukraine huku Putin akiipinga kwa nguvu zote. Unadhani Ukraine angekuwa member wa NATO Mrusi angethubutu kumfanyia huu utopolo au ni sawa na Taiwan mwenye Mkataba na Marekani kuwa endapo Taiwan itavamiwa U.S ataingia Vitani moja kwa moja kumsaidia Taiwan zidi ya mvamizi.
Mziki wa US sio wa kitoto broh, harafu pesa ipo. Bajeti yw jeshi ya US ni mara 100 ya Russia. Chukua nchi zote za Asia ktk bajet ya jeshi kisha compare na US uone balaa lake.Basi naamini rais putin anayo akili mingi mno.
AnajikoooooLini alishawahi kutuma Majeshi kuisaidia Marekani?
Watoto wa kibongo ambao ni waoga hata wa virungu vya polisi wa ccm wanadhani vita ni sawa la game la kwenye simu, kazi yao kuleta ushabiki wa kitoto usio na tija yoyote.Russia hana ubavu hata robo wa kupambana na NATO. sema NATO wameamua kutumia busara tuu ili dunia ibaki salama maana urusi anajua kupambana na NATO hawezi atakimbilia kutumia nyuklia sasa akiitumia tuu na wenzanke pia wanazo nao watatumia mwisho wa siku dunia itapitia kipindi kigumu na watu wengi sana kufaaa.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Wengi historia hawajui, wamebaki kushabikia mambo wasiyoyajua.Akina URUSI walikuwa na umoja wao ulioitwa Warsaw Pact. Ukasambaratika ,njaa kali ikiwa ni moja ya sababu. Wengi wao wakahamia NATO akiwemo Poland
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Niambie wewe maana yake. Tafadhali sana usomapo ujumbe huu unikosoe kwa kureply,sio kimya kimya. Usione na kukaa kimya. Ninaamini utausoma
Namsubiri.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
sana.Anajikooooo
Anajikoshaaaa
Hawa madogo wa kukariri vitu wanazingua sanaNamsubiri.
Mkuu Marekani ni muoga sana, hawezi kusimama yeye kama yeye hadi apate sapotiIla marekani bwana yani kaingia mkataba eti ikitokea vita mmoja amsaidie mwenzake.
sana upo sahihi mnooooHuyu jamaa kaweka unafiki pembeni.
Mkuu, mimi nitakuambia kitu. Dunia haitakaa na amani mpaka marekani, israel na hata uingereza wafutwe kwenye ramani ya dunia. Dunia itakuwa sehemu salama.
sio marekani ni super power eti [emoji23][emoji23][emoji23]Ila marekani bwana yani kaingia mkataba eti ikitokea vita mmoja amsaidie mwenzake.
Kamuulize Marekani ambaye aliiomba Ufilipino waingie nae mkataba wa kusaidiana kijeshi.Ana wanajeshi au migambo wale WA kukamata mateja........anafiri Vita kama migambo wake wanavowakimbiza mateja ........hili kweli kiazi mbatatata
Huo ndio Ukweli wenyewe.
Na baada ya vita hii,mifumo mingi sana ya kidunia itabadilika.
Putin kamchapa mtoto mbele ya baba yake na kaka zake nyumbani kwao Huku wakubwa zake mtoto huyo wakiangalia TU bila kumsaidia.
Kibaya zaidi mtoto analia na anaomba msaada kwa uchungu na maumivu wanamwngalia TU,yaani hata majirani wanatazama wakiwa madirishani bila msaada wowote.
Da inasikitisha sana aisee.
Embu tupe mifano ya ushawishi wa urus bwashee maana tuongee kwa mifanoU.s.a ushawishi wake wakijeshi umeshaanza kuporomoka ,putin kaleta heshima duniani, putin ndio kiumbe pekee baada ya miaka mingi kupita kutoa kauli moja tu ya kupiga mwenye mbwa na mbwa wake wote endapo watavuka mstari mwekundu na wote wakatii amri wakibaki wanabweka hovyo kwenye vyombo vya habari...
Busara ipi acha uongo,hiyo busara mbona hwakuitumia Syria,Afghanistan,somalia,Libya ,Vietnam , na kwingineko ,Leo Russia anamchapa mbwa wake ndo busara imemrudi!!?? NATO waoga Kama waoga wengine ,wamekutana na kidume wameufyata mkia,pumbavu!!Russia hana ubavu hata robo wa kupambana na NATO. sema NATO wameamua kutumia busara tuu ili dunia ibaki salama maana urusi anajua kupambana na NATO hawezi atakimbilia kutumia nyuklia sasa akiitumia tuu na wenzanke pia wanazo nao watatumia mwisho wa siku dunia itapitia kipindi kigumu na watu wengi sana kufaaa.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app