mngesema unit moja ni lita ngapi mngekuwa wa maana sana kwa watu hapa jf maana nyuzi zinafunguliwa dhaifu azijiyoshelezi hadi mtu atafute vyanzo vingine vya habari .Ooh basi ukija Dar utawalalamikia Dawasa pia na kuwaona Duwasa wana afadhali maana huku unit moja ni sh. 1679.63
Unazo kwa Sasa,hata jamaa Mmoja akiwa kijana akisema pension ya mwezi inatosha sana,alipostaafu, Sasa hivi analalamika ndogo! Ndivyo tulivyo Binadamu mpaka yakukute!Bei kawaida tu
Sana, maji huko Dodoma inaonekana ni bei rahisi sanaKumbe analalamika bure tu
Anza mwanzo kusoma,ila kwa Faida ya wengine,nakujibu: Busokelo Mbeya ni flat rate utumie,usitumie 3500kwa mwezi,huko Kilimanjaro pia!Mkuu hadi useme bei juu umelinganisha na mkoa Gani??
Unawapangiaje na kila mtu ana gharama zake za uzalishaji?Hayakupaswa kuwa bei juu!Walitakiwa wapige flat rate.Basi yatoke Sasa!
Unit moja ni litre 1000, kama sitakuwa sahihi nipo tayari kurekebishwamngesema unit moja ni oita ngapi mngekuwa wa maana sana kwa watu hapa jf maana nyuzi zinafunguliwa dhaifu azijiyoshelezi hadi mtu atafute vyanzo vingine vya habari .
Hebu acheni utani mkuu, jambo Muhimu hili,acha siasa,maji ni uhaiSana, maji huko Dodoma inaonekana ni bei rahisi sana
Sasa si mmwagilie Mashamba kama cost ni fixed @ 3500 ? Au hiyo ni service charge inakua ontop ya unit ulizotumia ?Busokelo _Mbeya,utumie ,usitumie unalipa 3,500Nchi hii hii Moja,Maji sio Anasa,Hata Musa alilalamikiwa tuu kwa ajili ya na Wana wa Israel!
Unaonekana mdogo sana,Lita hazipimwi kwa vipimo vya dukani,acha utani kwa mambo Muhimu!mngesema unit moja ni oita ngapi mngekuwa wa maana sana kwa watu hapa jf maana nyuzi zinafunguliwa dhaifu azijiyoshelezi hadi mtu atafute vyanzo vingine vya habari .
Hujafika huko!Watumishi wakikaa huko,hawataki kuhamia!Wengi wanastaafu na kufia huko.Sasa si mmwagilie Mashamba kama cost ni fixed @ 3500 ? Au hiyo ni service charge inakua ontop ya unit ulizotumia ?
Hebu acheni utani mkuu, jambo Muhimu hili,acha siasa,maji ni uhai
1Unit of water = 1000 litre=ndoo 50 za lita 20Unaonekana mdogo sana,Lita hazipimwi kwa vipimo vya dukani,acha utani kwa mambo Muhimu!
Kama huna hoja Bora upite,hakuna Sehemu nimewapangia Mkuu,Hata mpumbavu akinyamazs huonekana ana Hekima!Unawapangiaje na kila mtu ana gharama zake za uzalishaji?
Kumbe unajua,Halafu unadharau watu!Acha hizo.1Unit of water = 1000 litre=ndoo 50 za lita 20
Mimi najua ila mleta uzi alitakiwa kutoa ufafanuzi kabla ya lawama ...hizo ni ndoo 50 za lita 20 kila moja ni bei ndogo sana mitaani maji ya watu binafsi yanauzwa ndoo moja sh100 ukizidisha kwa 50 ni sh 5000 wakati serikali inauza maji kwa hiyo sh1600 au 1700Unit moja ni litre 1000, kama sitakuwa sahihi nipo tayari kurekebishwa
Soma nilicho andika sikusema sijui wewe kengeKumbe unajua,Halafu unadharau watu!Acha hizo.
Sema wanabambika kwenye usomajiDuuh Hatari!
Sijatoa lawama,ni maoni yangu,namba heshimu Uhuru wa mtu kuongea,unachoona kwako Kiko sawa,mwingine haoni hivyo mkuu!Mimi najua ila mleta uzi alitakiwa kutoa ufafanuzi kabla ya lawama ...hizo ni ndoo 50 za lita 20 kila moja ni bei ndogo sana mitaani maji ya watu binafsi yanauzwa ndoo moja sh100 ukizidisha kwa 50 ni sh 5000 wakati serikali inauza maji kwa hiyo sh1600 au 1700
Unaonekana jinsi ulivyo!Soma nilicho andika sikusema sijui wewe kenge
Mimi Kwa kuwa maji ni uhai flate rate,ingependeza hata iwe elfu kumi(10'000)!Mkuu wewe ungependa wauze kwa kiasi gani maana kwa bei hiyo iko fair ukilinganisha na gharama za uzalishaji