Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Tumia akili ...nilikuwa nashauri jinsi ya kuleta nyuzi za takwimu ni lazima uelezee vizuri la sivyo uzi unakosa mantiki ...U
Unaonekana jinsi ulivyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili ...nilikuwa nashauri jinsi ya kuleta nyuzi za takwimu ni lazima uelezee vizuri la sivyo uzi unakosa mantiki ...U
Unaonekana jinsi ulivyo!
Kweli mkuu!Unashangaa bili laki na upo na mkeo tuu,wakija watoto Toka shule Bado bill ni Ile Ile.Sema wanabambika kwenye usomaji
Ungenijua hata usingeniambia hayo,Huenda Mimi ndio nilimshauri mama Yako asikutoe mimba Yako,ndio haya unayonifanyia!Tumia akili ...nilikuwa nashauri jinsi ya kuleta nyuzi za takwimu ni lazima uelezee vizuri la sivyo uzi unakosa mantiki ...
Lita 1000 shs 1525mngesema unit moja ni lita ngapi mngekuwa wa maana sana kwa watu hapa jf maana nyuzi zinafunguliwa dhaifu azijiyoshelezi hadi mtu atafute vyanzo vingine vya habari .
Usipende sana,kujiona Bora kuliko unawafikiria,jishushe Mkuu katika maisha,mengine Wacha yapite.Tumia akili ...nilikuwa nashauri jinsi ya kuleta nyuzi za takwimu ni lazima uelezee vizuri la sivyo uzi unakosa mantiki ...
Tstizo lake huyo ni akili siyo udogo wa pension...wafanya kazi wengi wa serikali wana akili finyu .Unazo kwa Sasa,hata jamaa Mmoja akiwa kijana akisema pension ya mwezi inatosha sana,alipostaafu, Sasa hivi analalamika ndogo! Ndivyo tulivyo Binadamu mpaka yakukute!
Duuh wewe ndiyo unataka kuleta malalamiko zaidi maana watu hawana matumizi sawa kuna watu per month matumizi yake hayazidi unit tano ambayo hayafiki 7,000+ sasa kumtaka alipe buku tatu ya ziada ambayo hatumii ni kumuonea au wengine matumizi yao ni zaidi ya hiyo bei ni kuipa hasara mamlaka za majiMimi Kwa kuwa maji ni uhai flate rate,ingependeza hata iwe elfu kumi(10'000)!
The great genius of all the time nijishushe how 🤔 yani nijishushe kwa wapumbavu🙄👉💩💩Usipende sana,kujiona Bora kuliko unawafikiria,jishushe Mkuu katika maisha,mengine Wacha yapite.
Pia wengine tuko kama hatupo,Tumia akili ...nilikuwa nashauri jinsi ya kuleta nyuzi za takwimu ni lazima uelezee vizuri la sivyo uzi unakosa mantiki ...
Hapana mkuu sio malalamiko zaidi,Ifikie mahali maji yatolewe Bure,si uhai?!!Kama nchi zilizoendelea ,zinawalipa wasio na ajira kwa kujikimu!Maji na sisi si yatolewe Bure,ndio wazo langu,hapo je?Duuh wewe ndiyo unataka kuleta malalamiko zaidi maana watu hawana matumizi sawa kuna watu per month matumizi yake hayazidi unit tano ambayo hayafiki 7,000+ sasa kumtaka alipe buku tatu ya ziada ambayo hatumii ni kumuonea au wengine matumizi yao ni zaidi ya hiyo bei ni kuipa hasara mamlaka za maji
Kulipa kulingana na matumizi ni option nzuri
Kila mtu ni Bora kwa upande wake Hilo lazima ulijue!The great genius of all the time nijishushe how 🤔 yani nijishushe kwa wapumbavu🙄👉💩💩
Kuna jukwaa la dharau,Huenda likaanzishwa,changamkia fursa,pia Hawa waanzilishi wa jamii Forum,Wana Akili sana! Maana tungetifuana sana kwa kuweka idd fake!Kila mtu ni Bora kwa upande wake Hilo lazima ulijue!
Mnaokula kwa mama zenu,mnashida,unajiona una Akilii!The great genius of all the time nijishushe how 🤔 yani nijishushe kwa wapumbavu🙄👉💩💩
hiyo unit moja ndiyo lita ngapi za maji?Kama elfu Moja na mia Tano(1,500).
Ukiweza kumiliki hata asilimia 10 ya akili yangu wewe utakuwa mtu mwenye akili kuliko wote waliopo JF isipokuwa mimi.Kila mtu ni Bora kwa upande wake Hilo lazima ulijue!
Lita 1,000hiyo unit moja ndiyo lita ngapi za maji?
Unit moja sawa na Lita ngapi!?Ooh basi ukija Dar utawalalamikia Dawasa pia na kuwaona Duwasa wana afadhali maana huku unit moja ni sh. 1679.63
Karibu Mirembe hospital!Ukiweza kumiliki hata asilimia 10 ya akili yangu wewe utakuwa mtu mwenye akili kuliko wote waliopo JF isipokuwa mimi.
Too cheap!!Lita 1,000
1000Unit moja sawa na Lita ngapi!?