Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
- #61
Sasa bill unashangaa hadi laki,hata tembo angeshangaa!Lita 1,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa bill unashangaa hadi laki,hata tembo angeshangaa!Lita 1,000
Wachanao hao...hiyo ni bei ndogo ya maji yaani 1500 unauziwa ndoo 50 za lita 20 kila mojahiyo unit moja ndiyo lita ngapi za maji?
Bado huna familia kijana!Too cheap!!
Na unajua unit moja ni sawa na ndio ngapi za lita ishirini?Kama elfu Moja na mia Tano(1,500).
Kuna mlango mwembamba sana baina ya genius na mgonjwa wa akili hivyo usiogope siku zote ma genius uweza kuonekana kama vichaaKaribu Mirembe hospital!
We mburula,unayosema ndogo,unalinganisha na nani na WA kipato Gani? Don't generalize issue!Wacha nao hao hiyo ni bei ndogo ya maji yaani 1500 unauziwa ndoo 50 za lita 20 kila moja
Mkuu Nina mke na watoto 3, ninanunua maji Kwa dumu la Lita 20 Kwa sh 500 ,ninalipa bill ya umeme Kwa mwezi sh 18000 ,sijawahi lia lia mtandaoni,wewe mzembe tuBado huna familia kijana!
Masikini uswahilini wananunua ndoo moja ya maji kwa sh 100 hadi sh 200 kwa ndoo ya lita 20 sasa wewe huoni hiyo bei ya serikali ni chini sana au ujui hesabu..tena wananua na kuyachota kwa gharama ya mchotaji au house girl nk na gharama ya mikokoteni juu... nyinyi mna lalamikia maji ambayo unafungua bomba tu bila ya gharama ya kuyateka day by dayWe mburula,unayosema ndogo,unalinganisha na nani na WA kipato Gani? Don't generalize issue!
Anza mwanzo kusoma,kuna majibu mengi Mkuu!Na unajua unit moja ni sawa na ndio ngapi za lita ishirini?
Shida Yako unajifikiria wewe tuu,ninapotoa mada,naangalia na wengine,ndivyo nilivyofundishwa Toka utoto,usijedhani Nina shida ya hizo habari mkuu, nenda taratibu!Mkuu Nina mke na watoto 3, ninanunua maji Kwa dumu la Lita 20 Kwa sh 500 ,ninalipa bill ya umeme Kwa mwezi sh 18000 ,sijawahi lia lia mtandaoni,wewe mzembe tu
Bora Wewe Mr Devil,humu wengine wanakuja na kujimwambafyii!Afu ya chumvi
Kwa taarifa yako unit moja ni sawa na ndio 50 za lita ishirini na unachajiwa kwa 1500/=.....ulitaka upewe maji bure ????....Sasa ukae kwa kutulia zinakuja mita za pre-paid hapo ndio utahamia HOMBOLO ukatumie maji ya bwawani.Kama elfu Moja na mia Tano(1,500).
Sawa,itapendeza mkuu!Kwa taarifa yako unit moja ni sawa na ndio 50 za lita ishirini na unachajiwa kwa 1500/=.....ulitaka upewe maji bure ????....Sasa ukae kwa kutulia zinakuja mita za pre-paid hapo ndio utahamia HOMBOLO ukatumie maji ya bwawani.
Utakuwa Anduje,si kwa misifa hii!Masikini uswahilini wananunua ndoo moja ya maji kwa sh 100 hadi sh 200 kwa ndoo ya lita 20 sasa wewe huoni hiyo bei ya serikali ni chini sana au ujui hesabu..tena wananua na kuyachota kwa gharama ya mchotaji au house girl nk na gharama ya monotonic juu nyinyi mna lalamikia maji ambayo unafungua bomba tu bila ya gharama ya kuyateka day by day
Watu Gani unawaongelea wewe,kama unalalama juu ya maji ya Bomba vipi sisi tunaotumia maji ya kwenye vidumu,ulitakiwa kama kweli unawasemeq watu ungeongelea sisi tunaotumia maji ya vidumuShida Yako unajifikiria wewe tuu,ninapotoa mada,naangalia na wengine,ndivyo nilivyofundishwa Toka utoto,usijedhani Nina shida ya hizo habari mkuu, nenda taratibu!
Mbona bei ya kawaida sana hiyo. Dar tunalipia zaidi ya hiyo kwa unit moja na ni kawaida tu.Kama elfu Moja na mia Tano(1,500).
Sasa usipotumia si mita HaisogeiAnza mwanzo kusoma,ila kwa Faida ya wengine,nakujibu: Busokelo Mbeya ni flat rate utumie,usitumie 3500kwa mwezi,huko Kilimanjaro pia!
Ndio maana mnakufa mapema,Kisa kuitwa mwanaume!Sifa za kitoto,toa hoja,huko kuuziwa hizo bei juu hao uliowataja,unadhani wanapenda?Acha kulalama mwanamme,huku niliko dumu moja la Lita 20 ni sh 500/ wewe unakuja na kilio Cha Lita 1000 Kwa shilingi 15,000+ wakati huo ni maji safi na salama!!!