DUWASA-Dodoma punguzeni bei ya maji

DUWASA-Dodoma punguzeni bei ya maji

Mbona bei ya kawaida sana hiyo. Dar tunalipia zaidi ya hiyo kwa unit moja na ni kawaida tu.

Unit moja ni lita 1,000 za maji. Wewe unatumiaje maji hebu tuambie. Sio unapiga kelele hapa kumbe nyumbani kuna uharibifu unaendelea.

Unakuta watoto wana mwaga mwaga maji hovyo, dada wa kazi hayupo makini,mke hajui kusimamia familia ufujaji umetawala. Mwisho wa mwezi idara ya maji wamekuletea bill yako unaanza kulalamika.

Chunguza mfumo wa maji hapo kwako. Anza na ripoti za usomaji wa mita. Kiwango cha unit unazotumia kila mwezi kipo sawa sawa kulingana na matumizi yako nyumbani?

Kama unit zinasoma nyingi kuliko matumizi halisi then ita fundi bomba kagua mifumo ya maji pengine inavuja au kuna upotevu unaosababishwa na uzembe wa matumizi mabaya.

Mtu anaingia chooni hajakojoa wala kukata gogo amejamba tu ,anavuta flusher mwaaaaaaaaaaah ana mwaga maji ya bure,lile drum la kuflush linabeba lita 10 kwa wastani ingawa zipo za ujazo mdogo ila nyingi ni lita 10,watu wakiwa wanaflush hovyo kwa siku watu wanaflush mara 50 then jua choo tu kwa siku kinakata nusu unit hapo haujaongeza matumizi mengine ya maji ya nyumbani.

So jikague.
Umeongea vyema, Sasa bila kulalamika,huu ushauri wako mzuri,ningeupata wapi?JF Safi kabisa!
 
Flat rate inakuwa ngumu kwa sababu kuna mikoa mingine vyanzo vya maji ni shida kama hapo Dodoma nk
Kuna ule mradi wa kuvuta maji toka ziwa Victoria na kuyaleta kwenye station ya kusafisha hapo Dodoma then usambazaji uendelee, magufuri alishaanzisha mchakato wake sijui iliishia wapi.
 
Kuna ule mradi wa kuvuta maji toka ziwa Victoria na kuyaleta kwenye station ya kusafisha hapo Dodoma then usambazaji uendelee, magufuri alishaanzisha mchakato wake sijui iliishia wapi.
Bado Upo Mkuu.
 
Huyu ndiyo wale wapumbavu wanao sema bora unitukanie baba yangu kuliko mama yangu 😁😁😁😁😁😁
Sawa Anduje,jifurahishe ndio maisha,uliyochagua kwa umri wako!
 
Nimeona hapa,Shida yetu Watanzania ni kiangalia upande wetu tuu!Hoja hapo juu ilikuwa umuhimu wa Maji na Bei zake,wachangiaji Wengi wanaona ni sahihi na kutoleta mifano ya watu,wanaonunua ndio Moja kwa shs500,kama vile hao watu wanafurahia Hali hiyo!Kumbuka kwamba wanaonunua hivyo kwa Sababu ilieile Maji ni Uhai Ndio maana hata Wabunge wetu huongea watakavyo bungeni na kupitisha maamuzi bila kuwashirikisha wananchi! Wananchi wakija kuyashtukia,tayari yameshakuwa Sheria!
 
Nimeona hapa,Shida yetu Watanzania ni kiangalia upande wetu tuu!Hoja hapo juu ilikuwa umuhimu wa Maji na Bei zake,wachangiaji Wengi wanaona ni sahihi na kutoleta mifano ya watu,wanaonunua ndio Moja kwa shs500,kama vile hao watu wanafurahia Hali hiyo!Kumbuka kwamba wanaonunua hivyo kwa Sababu ilieile Maji ni Uhai Ndio maana hata Wabunge wetu huongea watakavyo bungeni na kupitisha maamuzi bila kuwashirikisha wananchi! Wananchi wakija kuyashtukia,tayari yameshakuwa Sheria!
Haa Sasa Hivi Ukiwa Na Kisima Hawa Hapa Wanataka Kodi
Ukumbuke Mwananchi Anajipambania Apate Japo Maji Hata Ya Kupilkia
 
Huko Kahama nilikuta wao ni sh 2089 unit Moja , eeh yote MAISHA.
Duuh maji kama maji, serikali ilitazame itoe Bure Ili nchi watu walime hata kilimo Cha umwagiliaji,Ili nchi iwe na ziada hata kuuza nje.
 
Back
Top Bottom