Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Na hapa sijaanza kukutukana, ninajitahidi sana kutumia lugha ya kiungwana. Lakini ukihitaji matusi fresh2Huna hoja, ni wa kuhurumia tu. Mi nikikupa tusi moja tu, unachimba kaburi unajifukia hapo hapo. Nitukane mimi, ila usimtaje mama yangu. Sasa rudia tena.
Kwani we choko nani hajui kama unafir@na na mama yako mzazi? Ngoja nikupige block kabisa shxga mchuruzika kinyesi wewe. Ignore is on, atleast sitasikia tena harufu ya huo mknd ulioozaNtamtaja kima wewe kumbe unaleta uk*ma wako hapa badala umpelekee mamako huko, dawa imeanza kukuingia. Tukana matusi yako tuone ulivo v*zi
Sasa hilo nalo tusi, we ni kum kweli. Kamsimlie mamako sasa eti umetukana. Vuzi wewe. Kujifanya mjuaji kumbe tak0 tuKwani we choko nani hajui kama unafir@na na mama yako mzazi? Ngoja nikupige block kabisa shoga mchuruzika kinyesi wewe
Mkuu picha bora za green card nitazipata sehem ganTAARIFA MPYA
DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021,
MWISHO NI TAREHE 9/11/2021.
JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA.
HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI.
KWA MASWALI AU MSAADA/ USHAURI BURE NIPIGIE SIMU WAKATI WOWOTE.
ANGALIZO:
IWAPO UTANIHITAJI KWA MAJADILIANO/KUKUTANA ANA KWA ANA NAMI AU KUCHEZEWA/KUJAZIWA FOMU KWENYE MTANDAO,
ITAKUGHARIMU WEWE KUFIDIA MUDA WANGU,- KIUNGWANA.
SIMU/WHATSAPP: +255 714 59 15 48.
Usiumize kichwa picha piga popote kinachotakiwa mjue masharti ya picha inayohitajika.Habari zenu wana Jukwaa?
Naombeni ushauri, ni wapi ntaweza kupiga picha ya passport kwaajili ya DV program? Nipo Mwanza
Kwani kuna mtu kakwambia anaenda kuwa CEO?Hamna dili huko Marekani. Mnaenda kuwa vibarua McDonald's. So-called "American Dream" is non-existent. Chance of establishing generational wealth is next to zero.
Tulia wee choko. Kwanza usini quote. Maliza bifu na choko mwenzako achana na mimiKwani kuna mtu kakwambia anaenda kuwa CEO?
Sina bifu na mtu, muulize yupo wapi? Alikimbia mapema tu. Anaehitaji maelekezo lazima tumpeTulia wee choko. Kwanza usini quote. Maliza bifu na choko mwenzako achana na mimi
Mods piga ban huyu mbwa.Tulia wee choko. Kwanza usini quote. Maliza bifu na choko mwenzako achana na mimi
Tafadhali naomba kujua mda wa kuanza kuicheza hii hapa bongo....maada tatizo saa ngapi?Nimefanikiwa kuapply na nimepata confirmation number yangu, ntaanza fatilia ombi langu kuanzia May 7 2022
Acha uvivu mwishowe utatapeliwa DV LOTTERY ni program ya muda mrefu sana so ukiingia online kutafuta taarifa zake unapata fasta na za uhakika ila ukumbuke kuna madalali wengi sana wa DV so kuwa makin ila program ni FREE FREE FREEE.Tafadhali naomba kujua mda wa kuanza kuicheza hii hapa bongo....maada tatizo saa ngapi?
Unaakili wewe,Hamna dili huko Marekani. Mnaenda kuwa vibarua McDonald's. So-called "American Dream" is non-existent. Chance of establishing generational wealth is next to zero.
Wee jamaa unataka kuwaingiza wenzako kingi?Usiumize kichwa picha piga popote kinachotakiwa mjue masharti ya picha inayohitajika.
Hata kwa simu unaweza kupiga ingawa haishauriwi sana.
Ndugu hawa watu wasiwasumbue sana vichwa, yule mmoja kapotea kabisa baada ya kumfedhehesha. Nilimpa onyo mara kadhaa hakuelewa.Mods piga ban huyu mbwa.
Unakariri.Wee jamaa unataka kuwaingiza wenzako kingi?
kuhusu picha kama upo dar nenda posta kuna photo shop benjamin mkapa tower au nenda mlimani city kwa photo shop waambie unataka passport size za USA wanazijua ila sio hawa wa mtaani.
Nimekwambia kwa waliopo Dar kama upo mwanza zipo photo point za kueleweka same na arusha ila mikoa mingine kama mbeya cjaona, ruvuma, rukwa, cjaona weng ni wapiga picha wahuni tu nakwambia kwa experience nilizunguka sana mkoa wa ruvuma kuanzia tunduru, songea, mbinga ckupata photo studio ya maana.Unakariri.
Huu ni ugonjwa unaoambatana na uzembe katika kufikiri.
Hivi, wanaoshiriki miaka yote Tanzania nzima lazima wawe Dar na waende huko unakosema wewe?
Mimi naongea ninachokifanya sio kubahatisha au kujaribu.
Kinachotakiwa ni kufuata maelekezo ya kinachotakiwa sio nani akakufanyie, tuelewe sio kukariri na Waswahili tuna kaugonjwa ka kukuza mambo pasi na lazima.
Narudia tena, hata kwa Simu unaweza kupiga.
Kinachotakiwa ujue nini kinatakiwa, na maelekezo mbona yako wazi jamani🤔