DV-2023 program ( bahati nasibu ya kuhamia U.S.A.) inaanza rasmi kuchezwa tarehe 6/10/2021

DV-2023 program ( bahati nasibu ya kuhamia U.S.A.) inaanza rasmi kuchezwa tarehe 6/10/2021

Mijadala unaitengeneza wewe ndani ya taarifa.

Lakini kwakuwa inaelekea unajua sana, Mimi kama mleta Uzi, naufunga mjadala nawe.

Hapo palipokolezwa panaonyesha wewe ni msomi wa kuhali ya juu,
Sio 'level' zetu🤣
Kwakuwa unafunga mjadala, so be it, ila hii ndio iwe comment ya mwisho. Akicomment mwingine baada ya hii, then mjadala unaendelea.
 
Kwakuwa unafunga mjadala, so be it, ila hii ndio iwe comment ya mwisho. Akicomment mwingine baada ya hii, then mjadala unaendelea.

Nilicholeta mimi si mjadala ni taarifa.
Unatuchanganyia habari.
Acha kichaa chako.
 
Nimefanikiwa kuapply na nimepata confirmation number yangu, ntaanza fatilia ombi langu kuanzia May 7 2022
Mkuu changamoto gani uliyokutana nayo wakati wa kuapply?
Me ntaanza nikishapata picha ya passport. Kitu gani kingine ni muhimu?
 
Mkuu changamoto gani uliyokutana nayo wakati wa kuapply?
Me ntaanza nikishapata picha ya passport. Kitu gani kingine ni muhimu?
Ni ile picha ya passport wanataka size iwe below 240k dimension isiwe below 600 x 600 na iwe square yaan width na height ziwe sawa. Hakuna ugumu wowote ambao nimeona, unatakiwa upate pass ya kusafiria maana kuna sehemu utajaza details za passport yako.
Vinginevyo ni njia rahisi ya kujaribu bahati yako na ni free kabisa.
View attachment 1966824
 
Ni ile picha ya passport wanataka size iwe below 240k dimension isiwe below 600 x 600 na iwe square yaan width na length ziwe sawa. Hakuna ugumu wowote ambao nimeona, unatakiwa upate pass ya kusafiria maana kuna sehemu utajaza details za passport yako.
Vinginevyo ni njia rahisi ya kujaribu bahati yako na ni free kabisa.
View attachment 1966824
Passport ipo mkuu, nikipata muda nitaenda studio kupiga picha.
 
Passport ipo mkuu, nikipata muda nitaenda studio kupiga picha.
Kama una passport haina shida jaribu bahati yako. Sio kwamba hatuwezi kuishi TZ ila tunatafuta maisha mazuri zaidi. Bongo mshahara wa 2.3 ukitoa makato ya heslb, kodi, chama cha wafanyakazi, Bima ya afya, PSPF unajikuta na kamilioni na point pungufu ya 5 mpaka unatamani kulia.
 
Kuna watu tuko nao na tunadhani wazima lakini ni wagonjwa wa kuwahurumiwa🤔
 
Huna hoja, ni wa kuhurumia tu. Mi nikikupa tusi moja tu, unachimba kaburi unajifukia hapo hapo. Nitukane mimi, ila usimtaje mama yangu. Sasa rudia tena.
Ntamtaja kima wewe kumbe unaleta uk*ma wako hapa badala umpelekee mamako huko, dawa imeanza kukuingia. Tukana matusi yako tuone ulivo v*zi
 
Huna hoja, ni wa kuhurumia tu. Mi nikikupa tusi moja tu, unachimba kaburi unajifukia hapo hapo. Nitukane mimi, ila usimtaje mama yangu. Sasa rudia tena.
Tobah!!

Inawezekena ndani ya ukoo wako hakuna Tabibu wa kisasa,
Vipi 'wapiga madogori'?
Watumie kama mbadala ili kutatua changamoto inayokukabili.

'Kwa jina la jamhuri yetu,
Una shida mahala🤔'
 
Tobah!!

Inawezekena ndani ya ukoo wako hakuna Tabibu wa kisasa,
Vipi 'wapiga madogori'?
Watumie kama mbadala ili kutatua changamoto inayokukabili.

'Kwa jina la jamhuri yetu,
Una shida mahala🤔'
Huyu k ndio zake kuharibu thread za watu. Na kila nikikutana nae kachafua mimi namchana. Si anajifanya anahoja, tutaona zitamfikisha wapi kama hatamrudishia mamake huo uk wake
 
Back
Top Bottom