East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.

Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city.

Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2

Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana.

Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana.

Otile ana kipaji
 
Very true... Sema ni vile wakenya sio watu wanaopenda nyimbo za kubembeleza sana. Otile ni fundi sana aiseee... Ila mimi katika nyimbo zake zote naipenda sana ile ya "Mapenzi hisia"
Wao wanapenda zile za Fukuza mapepo na dawa ya moto.

Otile nyimbo zake nyingi zinapigwa harusini
Ila hii dusuma ni Kali kiongozi now days wakenya wengi wameanza muelewa sio Mombasa tu
 
Dusuma X Meddy ni bonge la pini..

Otile anaimba Rnb kubwa sana.
SanaaSanaaaa mkuu ila tuseme ukweli pale meddy ndo kaua sana kutokana na verse ya kwanza ilivyokuwa ngumu kuanza nayo.

Japo otile aliua sana kwenye kiitikio.

Jamaa halafu hakaagi sana anaachia jiwe
 
Achana na hyo ana ngoma yake ya kitambo inaitwa "kistaarab" ni balaa yule jamaa ila haimbwiimbwi sana sijui kwa kua si mtu wa matukiotukio
Ntaitafuta hiyooo yaani jamaa hakoseagi huyu
 
Mimi ungeniuliza mwanamuziki wa Kenya namu admire zaidi obviously ningemtaja Otile Brown, Mshkaji hanaga nyimbo inayoitwa mbaya, ila ndugu zetu siwaelewi sijui wanapenda nini, nahisi hapati support anayo deserve!
 
Mimi ungeniuliza mwanamuziki wa Kenya namu admire zaidi obviously ningemtaja Otile Brown,
Mshkaji hanaga nyimbo inayoitwa mbaya, ila ndugu zetu siwaelewi sijui wanapenda nini, nahisi hapati support anayo deserve..!!
Kweli ndugu yangu wao wanapenda zile za utawezana na fukuza mapepo.

Jamaa kwao Mombasa na huku Tz anaeleweka ..wao wanamuangusha
 
Mimi ungeniuliza mwanamuziki wa Kenya namu admire zaidi obviously ningemtaja Otile Brown,
Mshkaji hanaga nyimbo inayoitwa mbaya, ila ndugu zetu siwaelewi sijui wanapenda nini, nahisi hapati support anayo deserve..!!
Hiyo dusuma nimeikariri namuimbia mama peter hapa anasema tufunge ndoa Mara ya pili mpka
 
Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.

Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city..

Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2

Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..

Otile ana kipaji
Kweli kila mtu na taste yake.

Mimi huyo jamaa huwa naona hajui kabisa kuimba. Huwezi kumlinganisha hata na Abby Skills.

Kuna wimbo wake mmoja unaitwa Samantha

Yaani kwenye huo wimbo maneno utakayoyasikia ni Samantha Samantha mmmmhh Samatha mmmh.

Ingawa kwa Kenya huwezi kushangaa maana Kenya wasanii wa kuhesabu sana, vipaji vya kulazimisha sana.

Angekuwa bongo, asingeweza hata kufua dafu mhele ya kina Nuh Mziwanda, Osama na Podo ( wale wasanii wa Aslay ) au hata kulingana na Harmorapa.

Msanii mwingine kituko Kenya lile jamaa lilikuwa linammega Rosa Ree, lakini kwa Kenya Lina jina KUBWA.

Hata Rap ya King Kaka , kibongobongo watu wanaorap zaidi yake ili hawafanyi Miziki ni LUNDO.
 
Huyu unayemzungumzia ngoma zake zinapenya bongo wakati hao kina nuhu wapo dsm na wanashindwa fanya maajabu.
Tafuta wimbo wake unaitwa chaguo la moyo .[emoji1666]
Muziki wa sasa siyo kipaji mkuu, ni connection.

It's not all about good music and how talented and your hit songs are, it's all about whom you know.

Inategemea unamjua nani.

Ndio maana leo kina Nai na Gig Money wanapata shows lakini kina Steve RnB, Barnaba, Mwasiti, Ruby hawapati.

Nchi hii sasa hivi ukiwa na media, unakuwa na uwezo wa kupush Takataka yoyote kwenye masikio ya watu na ukawa msanii mkubwa tu bila kipaji.
 
Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.

Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city..

Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2

Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..

Otile ana kipaji
Sk hizi mwimbo ku "hit" si lazima sana uwe na ubora. Kuna vigezo vitatu.

1. Brand na fan base ya artist.
2. Weka vionjo "sticky" kwenye mwimbo wako (hata kama vya kitoto/kijinga). Mwimbo lazima ubaki vichwani mwa wa2 waucheze tena na tena. "Dusuma" haina vionjo "sticky"
3. Weka vionjo "sticky" kwenye video, mfano, uchezaji unaoendana na mwimbo huo tu. Hii inaupa utambulisho huo mwimbo na kuutofautisha na nyingine na fans watajifunza namna ya kuucheza. Video ya "Dusuma" ni kama documentary. Wale madogo madansa ni kama wamekusanywa. So video yao haivutii kuangalia na hata ukitengenezea "Dusuma challenge" haileti.

"Sticky lyrics" na "sticky video" ndio vinaleta views ambazo zinaleta "hype" kufanya "hit song". Domo wa madale kaweza sana ku master hii siri.
 
Otile anajua kichizi..nyimbo zake zimetulia sana za taratibu flani hivi,
1:Aiyana ft Sanaipei Tande
2:Hi
3:Mapenzi hisia
4:Tamu sana ft Shetta
5:Mungu wetu sote
6:Baby love
7😀usuma
8:Regina
9:Kistaarabu
10:Samantha,,sema hii Samantha inafanana na African Beauty ya Chibu kila kitu ispokua video
 
Back
Top Bottom