East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.

Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city..

Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2

Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..

Otile ana kipaji
Jamaa mpambanaji
 
𝙾𝚝𝚒𝚕𝚎 𝚑𝚊𝚢𝚞𝚔𝚘 𝒓𝒆𝒅 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝒃𝒓𝒐𝒘𝒏,
𝚗𝚊 𝙺𝚒𝚗𝚐 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝒆𝒎𝒑𝒕𝒚 𝚑𝚊𝚗𝚊 𝒄𝒓𝒐𝒘𝒏.
 
Simu yangu imejaa nyimbo za huyu jamaa ila nazozielewa sana
1.Such kind of love
2.Dusuma
3.Watoto na Pombe
4.Jeraha
5.Chaguo la moyo
6.quarantine
7.Get enough
8.Pretty girl
9.liwe
10.Hug me
11.Regina
12.Crush


Zipo nyingi ila hizo kwangu ni best of the best
 
𝙾𝚝𝚒𝚕𝚎 𝚑𝚊𝚢𝚞𝚔𝚘 𝒓𝒆𝒅 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝒃𝒓𝒐𝒘𝒏,
𝚗𝚊 𝙺𝚒𝚗𝚐 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝒆𝒎𝒑𝒕𝒚 𝚑𝚊𝚗𝚊 𝒄𝒓𝒐𝒘𝒏.
King kaka au sio.
Jamaa mimi nilianza kumwelewa sana na mpaka leo nauelewa Swahili Shakespear way back hiyo nadhani 2013 au 14.
Simple things hufurahisha tiny minds
Present teacher, the swahili shakespeare
 
Back
Top Bottom