East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.

Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city..

Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2

Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..

Otile ana kipaji

Yupo vizuri alizingua alipoleta FUTUHI zake na lile demu lidangaji.
 
Otile n jembe Sana jaman jamaa hakosei
Kwenye nyimbo zake ameua Sana
Hasa "Aiyana, na baby love"
Nyimbo tamu Sana hiz
 
Otile anajua kichizi..nyimbo zake zimetulia sana za taratibu flani hivi,
1:Aiyana ft Sanaipei Tande
2:Hi
3:Mapenzi hisia
4:Tamu sana ft Shetta
5:Mungu wetu sote
6:Baby love
7😀usuma
8:Regina
9:Kistaarabu
10:Samantha,,sema hii Samantha inafanana na African Beauty ya Chibu kila kitu ispokua video
Hakika unamjua vizuri
 
Very true... Sema ni vile wakenya sio watu wanaopenda nyimbo za kubembeleza sana. Otile ni fundi sana aiseee... Ila mimi katika nyimbo zake zote naipenda sana ile ya "Mapenzi hisia"
Jamaaa ni fundi aisee , talented Sana huyo mwamba
 
Otile is the best of the best kwa upande wangu,sina nyimbo yake mbaya masikioni mwangu....

hiyo haitoshi otile ana code flani za mavazi,bwana weee mimi ni nani nisimuige ana pigo flani....

ukivaa sio za kihuni wala sio za kibaba paroko yani code universal,90% ya code zangu nmem copy jamaa asee.....

huyu kiumbe anajua sana kwangu mimi ni maana halisi ya mwanamuziki wangu pendwa,kizuri kisemwe aseee.....
 
Otile is the best of the best kwa upande wangu,sina nyimbo yake mbaya masikioni mwangu....

hiyo haitoshi otile ana code flani za mavazi,bwana weee mimi ni nani nisimuige ana pigo flani....

ukivaa sio za kihuni wala sio za kibaba paroko yani code universal,90% ya code zangu nmem copy jamaa asee.....

huyu kiumbe anajua sana kwangu mimi ni maana halisi ya mwanamuziki wangu pendwa,kizuri kisemwe aseee.....
Kwenye code kwa kweli ana style ya kipekee sana kabisa ...sio ya kihuni kama unavyosema mkuu.

Huwa ukisema kitu ujue kweli ni kitu .
Hebu sindikiza na kapicha kaka
 
Very true... Sema ni vile wakenya sio watu wanaopenda nyimbo za kubembeleza sana. Otile ni fundi sana aiseee... Ila mimi katika nyimbo zake zote naipenda sana ile ya "Mapenzi hisia"

WaKenya hao hao ndio wanaupa muziki wa bongo airtime hadi wanamuziki wao wanalalamika so, hiyo sio sababu

Tuweke mainstream Hype pembeni. Otile kiukweli naona yupo kawaida tu na hata spot aliyonayo inamtosha, Binafsi nilimuona kawaida since day one namuona kwenye collabo na kiba kama memory yangu ipo vizuri. labda nyimbo alizoshirikiana na sanaipei at least nimesikiliza

Simuoni kama ni outstanding artist kama Nyashiski au hata Phy japo sijui kapotelea wapi.
 
Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..

Otile ana kipaji

Umemaliza vema kwa kukiri kuwa ngoma imebebwa na Meddy, huo ndo ukweli japo sijasikiliza huo wimbo.

Otile nilipenda wimbo wake mmoja tu, Chaguo la Moyo... ambao pia ungeweza kusema ulibebwa na Sanaipei!
 
Back
Top Bottom