Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #41
Mmmh mkuu kwamba otile.nyimbo yake nzuri ni hiyo tu?Umemaliza vema kwa kukiri kuwa ngoma imebebwa na Meddy, huo ndo ukweli japo sijasikiliza huo wimbo.
Otile nilipenda wimbo wake mmoja tu, Chaguo la Moyo... ambao pia ungeweza kusema ulibebwa na Sanaipei!
Mmmh mkuu kwamba otile.nyimbo yake nzuri ni hiyo tu?
Mbona lakini chaguo la moyo aliimba vizuri mwanzo?
Kwa hii dusuma ..Kati ya Meddy na Otile, we unampa nani?
Kwa hii dusuma ..
Meddy 98%
Ob 60%
Hivi meddy alijifunzia muziki wapi?
Jamaa habahatishi yaani anazijua nota vizuri sana ..
Halafu anaonekana hazijui shida wakishua
Acha zako wewe , unamjua kijana toka Rwanda wewe ? , anaitwa Meddy ?Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.
Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city..
Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2
Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..
Otile ana kipaji
Umelewa?Acha zako wewe , unamjua kijana toka Rwanda wewe ? , anaitwa Meddy ?
Otile ana ngoma nyingi Kali sio hiyo tu[emoji3][emoji3][emoji3] Basi rudi juu uhariri uzi wako, japo hizo 'percent' zako ni utata... Meddy ni namba nyingine overall ukiacha hiyo kolabo yao.
Usimfananishe Meddy na Otile. Otile ni kama Brown Mauzo, hakuna wasanii pale ni wauza sura tu.Kati ya Meddy na Otile, we unampa nani?
Hahhahah wewe jamaa toka mchana naona umelewa bado .Usimfananishe Meddy na Otile. Otile ni kama Brown Mauzo, hakuna wasanii pale ni wayza sura tu.
Ni kama leo kibongobongo waanze kuimba kina Kusa na Calisah
Kesho anatoa goma lake na king kiba.Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa.
Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city..
Imeingia kama wimbo bora kwa muongo mmoja kwa EA sambamba na Diamond alieingiza nyimbo 2
Hii ngoma ni kama zouk moja hivi matata sana .
Otile amemshirikisha meddy kwenye wimbo huo ambapo huyu mnyarwanda ndo kaubeba wimbo sababu alianza na verse ya kwanza ngumu sana ..
Otile ana kipaji
Kwenye code kwa kweli ana style ya kipekee sana kabisa ...sio ya kihuni kama unavyosema mkuu.
Huwa ukisema kitu ujue kweli ni kitu .
Hebu sindikiza na kapicha kaka
Eeh bwana nimeiskia saizi aseeh ni piniIn love otile brown ft alikiba nimeweka play and repeat
Moja tu kakaNyimbo yake ninaye ikubali moja Regina ft Jux.
Hiyo moja tu nyingine nasikiliza lkn bado hazijafikia hii ya Regina.Moja tu kaka