East Africa hapa hakuna wa kumfikia Otile kwenye muziki wa RnB

Jamaa mpambanaji
 
π™Ύπšπš’πš•πšŽ πš‘πšŠπš’πšžπš”πš˜ 𝒓𝒆𝒅 πš’πšžπš”πš˜ π’ƒπ’“π’π’˜π’,
πš—πšŠ π™Ίπš’πš—πš πš’πšžπš”πš˜ π’†π’Žπ’‘π’•π’š πš‘πšŠπš—πšŠ π’„π’“π’π’˜π’.
 
Simu yangu imejaa nyimbo za huyu jamaa ila nazozielewa sana
1.Such kind of love
2.Dusuma
3.Watoto na Pombe
4.Jeraha
5.Chaguo la moyo
6.quarantine
7.Get enough
8.Pretty girl
9.liwe
10.Hug me
11.Regina
12.Crush


Zipo nyingi ila hizo kwangu ni best of the best
 
King kaka au sio.
Jamaa mimi nilianza kumwelewa sana na mpaka leo nauelewa Swahili Shakespear way back hiyo nadhani 2013 au 14.
Simple things hufurahisha tiny minds
Present teacher, the swahili shakespeare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…