Mikael
kama wabunge 15 kati ya mamia wa CCM hiyo ni fair, ni sawa na shule kuna walimu wanafundisha si ajabu kuona kuna ndugu zao. mmoja au wawili.
sasa katika wabunge 11 wa chadema halafu tizama wenye ujamaa na viongozi au watoto wao karibu 95%.na huo ndio mwanzo tu.
nakubali Chadema kuwa na urafiki na conservative party sababu sera zao zinafanana kwani conservative wanapalilia ubaguzi similar 2 Chadema ambao nao wanapalilia ubaguzi wa kimajimbo na ukabila.
kwa mtaji huo ndoa yao itakuwa na nguvu kubwa sana.
kuna sehemu bwana Mnyika anadai kuwa tayari mwenyekiti wa chadema atakayemfuatia Mbowe anajulikana kwa wale wanaoifuatilia chadema. kwa kauli hiyo inaonyesha kuwa demokrasia haipo huko, sababu tayari mwenyekiti
watu wanaye mfukoni.hata kabla ya uchaguzi ndani ya chama. kinachosubiriwa kwenye uchaguzi ni mchezo wa kuigiza kama kesi ya saddam ambapo hukumu imeshatolewa.
chukulia mfano mwezi wa nne mwaka jana hakuna aliyejua nani atakuwa mgombea wa ccm hadi ulipokwisha uchaguzi ndio akajulikana nani atakuwa mgombea. jifunzeni demokrasia ndogo kama hizo kama kweli mna claim mna chama cha siasa otherwise nazidi kuamini ni NGO ya Mzee Mtei.
Mheshimiwa Mnyika pole na safari na wala usipoteze kujibu tena hoja zangu kwani wapambe wako hawataki tujue zaidi juu ya chadema ndio unaona tunaambiwa hatuna fikra na tumetumwa na makamba.
jifunze siasa za ulaya ambapo kila jambo linajadiliwa kwa uwazi na viongozi wako tayari kukosolewa na kupingwa.
kuna mtu ameuliza kazi ya kanisa naomba pitia mwanakijiji.podomatic.com kwenye mahojiano murua aliyofanya mwanakijiji na DR.Njozi kwenye kitabu chake kuna facts nyingi sana kuhusiana na hujuma za kanisa katoliki na elimu tanzania.
Mnyika
uhuru wa kweli unadai mbona hata kuhoji tunazuiwa na kuambiwa tumetumwa na makamba?
kingine jitahidi upate maoni ya weusi UK juu ya siasa za conservative party hata kama mnakula mlungula wao ila mjue vipi sera zao. huo nao ushauri wa bure kwenye NGO ya mzee Mtei.
kama wabunge 15 kati ya mamia wa CCM hiyo ni fair, ni sawa na shule kuna walimu wanafundisha si ajabu kuona kuna ndugu zao. mmoja au wawili.
sasa katika wabunge 11 wa chadema halafu tizama wenye ujamaa na viongozi au watoto wao karibu 95%.na huo ndio mwanzo tu.
nakubali Chadema kuwa na urafiki na conservative party sababu sera zao zinafanana kwani conservative wanapalilia ubaguzi similar 2 Chadema ambao nao wanapalilia ubaguzi wa kimajimbo na ukabila.
kwa mtaji huo ndoa yao itakuwa na nguvu kubwa sana.
kuna sehemu bwana Mnyika anadai kuwa tayari mwenyekiti wa chadema atakayemfuatia Mbowe anajulikana kwa wale wanaoifuatilia chadema. kwa kauli hiyo inaonyesha kuwa demokrasia haipo huko, sababu tayari mwenyekiti
watu wanaye mfukoni.hata kabla ya uchaguzi ndani ya chama. kinachosubiriwa kwenye uchaguzi ni mchezo wa kuigiza kama kesi ya saddam ambapo hukumu imeshatolewa.
chukulia mfano mwezi wa nne mwaka jana hakuna aliyejua nani atakuwa mgombea wa ccm hadi ulipokwisha uchaguzi ndio akajulikana nani atakuwa mgombea. jifunzeni demokrasia ndogo kama hizo kama kweli mna claim mna chama cha siasa otherwise nazidi kuamini ni NGO ya Mzee Mtei.
Mheshimiwa Mnyika pole na safari na wala usipoteze kujibu tena hoja zangu kwani wapambe wako hawataki tujue zaidi juu ya chadema ndio unaona tunaambiwa hatuna fikra na tumetumwa na makamba.
jifunze siasa za ulaya ambapo kila jambo linajadiliwa kwa uwazi na viongozi wako tayari kukosolewa na kupingwa.
kuna mtu ameuliza kazi ya kanisa naomba pitia mwanakijiji.podomatic.com kwenye mahojiano murua aliyofanya mwanakijiji na DR.Njozi kwenye kitabu chake kuna facts nyingi sana kuhusiana na hujuma za kanisa katoliki na elimu tanzania.
Mnyika
uhuru wa kweli unadai mbona hata kuhoji tunazuiwa na kuambiwa tumetumwa na makamba?
kingine jitahidi upate maoni ya weusi UK juu ya siasa za conservative party hata kama mnakula mlungula wao ila mjue vipi sera zao. huo nao ushauri wa bure kwenye NGO ya mzee Mtei.