Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hutaweza kumuona sababu waandaaji ni EATVLabdo hakuchukua fomu au video na nyimbo zake hazikuwa zimekidhi kwenye muda ambao ulipangwa
Hakuna msanii wa WCB aliyechukua au kujaza hizo fomuHiyo haiwezi kuwa sababu.
Kwa nn au wameogopaHakuna msanii wa WCB aliyechukua au kujaza hizo fomu
Tumewaachia..mulishaanza kupiga kelele kwamba Vodacom na Cocacola watawabeba wcb,basi tumewaachia kabisaKwa nn au wameogopa
mkuu umeniwahi......EATV wamezingua madai yake wanataka kuzikwepa lawama kumbe ndo wanazikimbilia.EATV wamefanya Makosa makubwa sanaaaaaa!!!!
Ujue huwezi toa Form ya kuomba kuwa katika category fulani ya tuzo! Hayo ni makosa makubwa ambayo EATV Wameyafanyaa!!
Wasanii sio wao waombe kuwa katika kinyang'anyiro hapanaa wao waangalie nani anafaa na nani hafai ndio watoe majina lakini sio kuwa msanii fulani aombee!!!
Kiupaande wangu na kimtazamo watakao kuwa katika hizi tuzo basi wao wana uchu sana na tuzo!! Angalia majina yaa wasanii chipukizi hujamuona Harmonize,Rayvanny wala nani walio ingie wote ni kweli wana uchu na tuzo ndo maana waliomba!!!
Sijawahi ona duniani popote pale msanii anaomba kuwa katika category fulani Only in Tanzania!!! Madhara ya hii kitu ni watu wasio stahili watapewa na wanao stahili watabaki bilaa tuzo!
Pia tuzo zitapoteza mvuto! Labda kipindi cha show walizimishe wasanii wakubwa wawepo ila tofauti na hapo tuzo zishapoteza mvuto!!
Kingine tuzo zinatolewa tarehe 10 mwezi ujao hadi leo tarehe 9 vipengele bado havijatoka msanii atapigiwa kura sa ngapi na lini?
Eatv wamekurupuka wajipangee kuna kipengele cha tuzo ya heshima waweke wazi kuwa nacho msanii anaombaa au wao wanaamua kuwa tuzo ya heshima tumpe fulani kulingana na alicho fanya au inakuwaje???
Tanzania kuendelea ni Bado sanaaa hasa hii sekta ya mziki naomba tumuachie tuu Mond na wasanii wengine watoa tuzo wamefail sanaaaaaa
Huwezi omba tuzo kama unaomba kujiunga na ST.Fulani kidato cha kwanza! Msanii ajaze Form aombe tuzo aje aombe kura hivi hawa wamechanganyikiwa?
POOR EATV AWARDS!!! POOOR POOOR POOOR ITS NON-SENSE
Halafu wakongwe karibia wote sijawaona,Weusi wamegoma,Mr Blue sijamuona Au labda bado nominees wanaendelea kutajwamkuu umeniwahi......EATV wamezingua madai yake wanataka kuzikwepa lawama kumbe ndo wanazimbilia.wataumbuka vbaya hawa
dizaini kama watu wamezipa mgongo ivi...........hawakupaswa kukosekana kwenye kundi bora la mwaka.af kwanini wamechanganya makundi ya taradance na ya ubongo wa fleva?Halafu wakongwe karibia wote sijawaona,Weusi wamegoma,Mr Blue sijamuona Au labda bado nominees wanaendelea kutajwa
Sasa EATV wanampa mchakato mzima Dulla eti ndie msimamizi wa kutafuta Nominees mpaka kuwatangaza,unategemea nini hapo,jamaa anaongozwa na ushabiki tu yule!dizaini kama watu wamezipa mgongo ivi...........hawakupaswa kukosekana kwenye kundi bora la mwaka.af kwanini wamechanganya makundi ya taradance na ya ubongo wa fleva?
Dangote amemuachia kibakuli tuzo za uchochoroni.angeshiriki angechukua zote ndo Maana kawaambia kina managing na kibaChibu dangote mbona simuoni
Ndio maana nikasema "Weusi wamegoma"najua kwamba mshiriki lazima aombe kushirikihili ushiriki lazima uchukue fomu...
Acha uongo bana dulla sio mtangaza nominees na wala sio mtafuta nominees... kwanza ni wasanii wanaji nominate wenyewe halafu kuna academy ya kupitia majina na kupata watano..Sasa EATV wanampa mchakato mzima Dulla eti ndie msimamizi wa kutafuta Nominees mpaka kuwatangaza,unategemea nini hapo,jamaa anaongozwa na ushabiki tu yule!
pengine umegeuka msemaji wao au una ropoka...halafu si kila nyimbo ina qualify kushiriki kwenye hizi tunzo..Ndio maana nikasema "Weusi wamegoma"najua kwamba mshiriki lazima aombe kushiriki
yaah sina hakika lakini kama ni hivyo ni uamuzi wao....