Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] wenzetu hawanunui magunia ya mkaa wala kuchapa mtu risasi,wanafanya hivyo tu yaan..[emoji119][emoji119]
 
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
Unaambiwa, ebi alitoa tgo ili aolewe, unaambiwa baada ya kutoa, jamaa akampotezea.
Sasa kaka yake kamsindikiza kudai uharibifu.
 
Huyu bibie huko Instagram walimwengu walikuwa wanamwambia bibie jiongeze huyo mpaka poda atakuliza siku akawa anajibu utumbo😁😁😁
Ngumu sana kumshauri mwanamke aliezama penzini, au mwanaume mwenye pesa! Ni ngumu sana!!!

Akicheki jamaa HB alijua kashamteka kumbe mwamba yupo ki miamala zaidi.
 
🀣🀣🀣 Acha roho mbaya bas mama, kutoa ni moyo
Hapo lazima tugawane majengo ya serikali mbona nyinyi tukiwazingua mnatuwasha nazo za kichwa au magunia ya mkaa 😁😁😁
 
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
Mlela amesema sio kaka yake baharia tuu yule tena wanapigana miti.
Halafu huyo jamaa anatafuta kuonekana au kuwa maarufu kupitia ebitoke.
 
huyo jamaa mwenye tshirt nyeupe alikuwa na nia ya kumzuia ebitoke au na yeye kapata kautamu ka kubambia😎 πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kumbe jamaa ni marioo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…