Ingawa sio muhaya ni mkerewe Ila inaonekana alitorewa marindaKwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Abeee...Yaani mfano siku nakukuta na Khantwe lazima ngumi sielewi kitu.
Au kama phonebook yako haina jina Happy wewe sio mwanaumeKama hujawahi kula mhaya basi we si mwanaume
🤣🤣🤣 Aisee kwahio utapasua mtu vipande vipande!Yaani mfano siku nakukuta na Khantwe lazima ngumi sielewi kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fikiria hela yenyewe kamevunja kibubu kuigiza kwa kupaka masizi kote kule leo marioo mmoja anachukua kilaini anasepa.
Kalale sio kila thread unacomentKiki
na wewe memkwa mmeshamaliza mitihani yenu mlokuwa mnatafuta credit?kumbe ushajua ni upumbavu sasa kwanini tuwekeze nguvu ya kufatilia upumbavu??
Nadhani mabaunsa walijua ni muigizaji mwenzieNimeangalia ile video mwanzo Ebitoke anaingia kwenye mkutano nimejiuliza maswali hao mabaunsa ilikuwaje wakamuachia apite maana anamvua mpenzi mpya wa Mlela wigi anamkunja. Kingine kilichonishangaza ni Mlela kuzubaa laiti kama Ebitoke angekuja na siraha nina hakika yule mwanamke mpya angeumia.
Majibu yako kwa nyimbo ya BoB Rudala! Simply play that SongUkitaka chagua mmoja
Umefurahi unajua nitapigana na best wangu Khantwe mimi nazikunja na wewe ujinga wa kupigana na mwanamke mwenzangu sitokaa nifanye nadili na wewe uliyetongoza ukijua uko na mimi.🤣🤣🤣 Aisee kwahio utapasua mtu vipande vipande!
Mpunguzane Ugwadu sio, tatizo shobo dundo ndio zimemponza.Haka ka manzi bana, si kangekuwa tu na mimi tisaidiane kupunguza ugumu.
Kalale sio kila thread unacoment
🤣🤣🤣🤣🤣 bas mama mi sitongozi tena, nahidi nitastaafu ubaharia kwa ajili ya kuepusha hizo ndondi!Umefurahi unajua nitapigana na best wangu Khantwe mimi nazikunja na wewe ujinga wa kupigana na mwanamke mwenzangu sitokaa nifanye nadili na wewe uliyetongoza ukijua uko na mimi.
Hahahaa aisee Bongo Movie ndo sababu sijawahi kununua kazi yaoKuna tetesi zisizo rasmi zinasemekana kwamba jamaa alijifanya kaka nayeye sio ndugu wa Ebitoke, na taarifa za kunyapia zinasema kwamba mshkaji pia anamtafuna Ebitoke.....
Mkerewe!!!! Basi Mlela arudishe mpunga fastaHistoria yake huyu binti anaonekana kateseka sana....katoka familia maskini sana...... kafanya kazi za kimaskani sana....anaanza kutoka kidogo.....familia sasa inaanza kutabasamu kidogo .....lakini akiwa hajafanya cha maaana......anaingia adui mapenzi.......anaivuruga akili yake......anasahau kutafuta mchumba wa kaliba yake kijijini .....anajiona wa mjini....anaokota na yeye magumekonki yaliyokubuhu mjini...yanayotumia kila ya haramu...eti naye aonekani wa mjini.....ona..sasa!!!!! si mkatoliki huyu??? kwanini asingefuata tamaduni za kikatoliki kumpata mume bora!!!!!?? si mkerewe huyu!!!!??? kwa nini asingefuata mila za ku ukerewe kumpata Mume anayeendana naye!!!!?? haya mchuma janga hula na wa kwao
[emoji23][emoji23][emoji23] hange yabhi shene!!Sawa kaka wa Ebitoke, nimekuelewa...teh[emoji23]
Kwani hao wakerewe ni majini why mnawaogopa hivyo?Mkerewe!!!! Basi Mlela arudishe mpunga fasta
Ni mkerewe huyo sema kakulia huko mulebaWahaya wanajua kuwa huyu binti ni mhaya wakati binti ni mkerewe