Mwaka Jana kuna dada alijinyonga baada ya kuachwa vibaya na mwanaume ambaye alimfundisha mchezo mbaya wa nyuma na akawa ashamharibu (Nadhani alianza kuvuja Huko nyuma), pamoja na kushauriwa kote haikusaidia mwishowe akajinyonga. Mwanamke mwenye akili zake hawezi kuachwa na mwanaume akawa na hasira kiasi hiko Kama Hajaachwa na mimba, Hajaachwa na ukimwi, au hajatapeliwa kiasi kikubwa cha hela na pengine kuharibiwA Kama ilivyo kuwa kwa huyo. Ebitoke hao ndo wanaume akikuvua Kwisha habari yako.....ukimpata mmoja ukaweza kumkomoa na kulipa kisasi Fanya hivyo upite hiviiii[emoji1542]
Haha kweli kabisa mwanamke anaejiamini haezi muonga mwanaume ili ampende.Sawa ndg ila sisi ujue tuna janga kubwa na tunajua kuhonga ndy true love maana wanaume wanajua ukimuomba hela anajua ww Golden digger sasa inabidi utoe ili ajue unampenda na hapo ndipo tunapokufa, huu upuuzi sifanyagi
Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai
Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa Ebitoke anamtuhumu bwana Mlela kumwaribia maisha dada yake.
Hata hivyo waliondolewa ukumbini na mabaunsa.
Mbaya zaidi ametoa matusi mazito adharani,nitashangaa sana BASATA na TCRA wakikaa kimya katika hili.
Pia nadhani mnaona umuhimu wa kuwa na mlinzi.,coz bila wao hali ingekuwa tete.
Hivi mlela ni HB?Ngumu sana kumshauri mwanamke aliezama penzini, au mwanaume mwenye pesa! Ni ngumu sana!!!
Akicheki jamaa HB alijua kashamteka kumbe mwamba yupo ki miamala zaidi.
Atakuwa aliipatia ile katerero [emoji16]Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ingia kwenye mwananchi twitter account...walimhoji meneja akafunguka ile ilikuwa drama...ilipangwa kuweka attention kwa ajili ya ule uzinduzi wa ile tamithilia....hata wenye hotel walitaarifiwa kuhusu ile drama...ile ni kick...bongomuvi bila drama za kijinga haiwezi kukamilika.
sitoshangaa nikisikia lilikuwa ni tukio la kutengeneza ili wapromoti kifilamu chao.
Kwa minajili ya walimbwende sindio wanamuita HBHivi mlela ni HB?
Wewe huyo unauliza?Hivi Ebitoke nae alikuwa anajiamini nini kutoka na Mlela
Ndio [emoji23][emoji23]Wewe huyo unauliza?