Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
 
Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mdada anasema alimpa Mlela kila kitu anashangaa kamcheat.
 
Badala ya kuachiwa mimba kaachiwa miwaya. Ndo maana kafura kama Nyati.
 
Huyo kaka mtu ni mpumbavu wa mwisho kabisa duniani, yaani anamsindikiza dada yake kufanya fujo udangani....!!??
Nimejikuta nawaza mara kadhaa kama huyo kaka wa Ebitoke ni mwanaume kamili ama tayari nayeye anapaka poda...
Kwa kweli kajidhalilisha mnoo
Maana mlela na ebitoke hawakufunga ndoa wala kuzaa
Wamedangiana hata miezi miwili haijafika
 
Dar hampo SERIOUS kabisa, yani waTanzania wapo bize na Mambo ya Uchaguzi serikali za Mitaa na upumbavu wa Waziri JAFUU nyie mnaleta upumbuani, kwanza mmetumwa na UVCCM kupoteza watu na yanayojiri, wapumbavu sana
 
Hivi Ebitoke ndiyo aliyetolewa bikra na Ben pol?
 
Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Acha kufafanisha Wahaya na mambo ya kijinga
 
Hivi mlela ni wa kuzaa na mtu yule huyo mtoto si atakuwa bwabwa

Wanawake bhana mnaweza zaa hata na masokorindo [emoji1787][emoji1787]

Bora umshauri akatafute hela aanze upya maisha yake .

Sasa kujibebesha mimba ndio ushauri [emoji44]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…