Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Ukitaka chagua mmojaEti eeh,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka chagua mmojaEti eeh,
Mkuu, hiyo ni kiki tu, kwani huyo mlela alikua na ishu gani mpk aitishe press.?! Au kumtambulisha demu mpya?!We ungekuwa ndio demu wa mlela ungefanyaje!?
Problem with loving deeply makes it so hard to let go of someone you be's with!🤣🤣🤣 Utam stalk tu...ujue yuko na nani, anafanya nini yani shida tu! Mwisho kuvamia hafla za watu kuleta ngumi!
Na tena upande wa baba mnyamweziMlea mwenyewe mama mzigua Ngoma droo halogwi mtu hapo labda walogane [emoji3][emoji3][emoji3]
Mademu bhanaWarembo wanavyodai ni HB
Ni komenti bebi kwani we huoni[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahio hii ndio nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuita baada ya kuona picha yako serious kama utaamua kuwa Celebritie utawatafuna sana.Mbona mi sina chunusi ila unAniita hb
Haijalish,kwani maisha ubishi 🤣🤣🤣Ni komenti bebi kwani we huoni[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio akili zao etMademu bhana
Ukivaa hereni na kusuka unaitwa HB heheheh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti eeh,
Ningefanyaje? Ngumi singepigwa kwa masaa😁😁We ungekuwa ndio demu wa mlela ungefanyaje!?
Problem with loving deeply makes it so hard to let go of someone you be's with!🤣🤣🤣 Utam stalk tu...ujue yuko na nani, anafanya nini yani shida tu! Mwisho kuvamia hafla za watu kuleta ngumi!
MovieHuo mkutano ulikuwa unahusu nini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ungemtia jebuNingefanyaje? Ngumi singepigwa kwa masaa😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣 aikataiNdio, wewe ni wa mimi peke yangu hata ukifurukuta
Yaani mfano siku nakukuta na Khantwe lazima ngumi sielewi kitu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ungemtia jebu
Au alikua anafaidika na yeye
kumbe ushajua ni upumbavu sasa kwanini tuwekeze nguvu ya kufatilia upumbavu??Dar hampo SERIOUS kabisa, yani waTanzania wapo bize na Mambo ya Uchaguzi serikali za Mitaa na upumbavu wa Waziri JAFUU nyie mnaleta upumbuani, kwanza mmetumwa na UVCCM kupoteza watu na yanayojiri, wapumbavu sana
Kumbe Ebitoke kamshambulia yule dem wa mlela wa sasa kamuumiza,dem nae kasema lazima amuoneshe yeye mchaga.