Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo ,sawa.Hivi Mtoa Mada Una Uhakika Kweli Wewe Ni Mwanaume??.
Mbona Wanaume Halisi Hatuna Tabia Za Kike Kike Kama Zako??.
Achana na mimiWewe jamaa sio mzima wallah kama kweli wewe ni mwanaume basi jiongeze
Umefuata nini humu kama na wewe si mbeya?mwanamme ukiwa mbea halafu "umbea wa kuhusu wanawake" inatupa walakini sana
Kumbuka yule ni mhaya dharau iko kwenye genetics.Hahahhah namuelewa sana Ebitoke kwa nyodo zake,ana dharau kweli kweli yani
Mie nimeongelea kwako wewe kama uncle wangu kwamba sio vizuri
humu nimekuja kukupa somo we kijana acha umbea wa kike kike, nilikuona shababi sana kwenye zile nyuzi zako za wacheza ndondi/mabondia, sasa kwa thread yako hii usinifanye nianze kuku discreditUmefuata nini humu kama na wewe si mbeya?
usinizoee.humu nimekuja kukupa somo we kijana acha umbea wa kike kike, nilikuona shababi sana kwenye zile nyuzi zako za wacheza ndondi/mabondia, sasa kwa thread yako hii usinifanye nianze kuku discredit
kijana, naamini ujumbe umeupatausinizoee.
Bora afanye dharau kama ana maisha mazuri, mtu mwenyewe mlala hoi huyo halafu analeta nyodo za kipuuzi.Kumbuka yule ni mhaya dharau iko kwenye genetics.
Kumbuka yule ni mhaya dharau iko kwenye genetics.
mwanamme ukiwa mbea halafu "umbea wa kuhusu wanawake" inatupa walakini sana
kwa hiyo?Mwanaume kamili hawezi kuandika sentensi hii...
"Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa."
kwa hiyo?