Ebrahim Raisi, mchinjaji wa Tehran(The Butcher of Tehran) atakayekumbukwa kwa madhila mengi na makubwa

πŸ˜€ πŸ˜›Taifa la Mungu kitovu cha ushoga , huyo Mungu wenu ana matatizo sana ndio kaleta ushoga.
Ushoga upo kila pahali na umekuwepo enzi na enzi,so unapolenga shabaha kwa kumsema Mungu wa Israel ndiye kaleta ushoga ni sawa na unakubaliana na Mange kimambi na madai yake ya rais wako kuwa mdau wa usagaji.

Jitahidi kuwa mfukunyuku, hakuna jipya hapa duniani.
 
Shoga ni tatizo la kidunia , ila ishu ni kusapot hilo suala kwa kulinda huo jinga, kama Mungu aliwapa adhabu saodoma inakuwaje Mungu huyo ashindwe kuwapa hao wanaofanya live
 
If you can't beat them join them.
 
Kwa hiyo unakubaliana na Mange kuhusu madai yake ya rais wa nchi yako kuwa ni mdau wa usagaji?
Shoga ni tatizo la kidunia , ila ishu ni kusapot hilo suala kwa kulinda huo jinga, kama Mungu aliwapa adhabu saodoma inakuwaje Mungu huyo ashindwe kuwapa hao wanaofanya live
 
Iran ingekuwa salama Ebrahim Raisi asingetoweka kirahisi hivyo.
ile sio Uganda , kuna utaratibu umewekwa maana wanajua Rais wa nchi ni mtu anaweza kufa muda wowote, kwahiyo Iran iko salama makamu anachukua nchi baada ya siku 50 uchaguzi kisha mambo mengine kama kawaida
 
Kwa katiba ya IRAN huyu siyo Mkuu wa nchi na hana maamuzi ya Mwisho. Huyu ni kama waziri Mkuu huku kwetu. Iran ina kiongozi Mkuu wa Nchi wa maisha (Ayatola).
 
Ingekuwa salama Ebrahim hangekuwa myongaji wa raia
ile sio Uganda , kuna utaratibu umewekwa maana wanajua Rais wa nchi ni mtu anaweza kufa muda wowote, kwahiyo Iran iko salama makamu anachukua nchi baada ya siku 50 uchaguzi kisha mambo mengine kama kawaida
 
Shida siyo Yeye! Shida ni mfumo wa Utawala unaoongozwa na Sharia za Kiislamu!
Hata akitoka huyo anaweza kuingia mwingine ambaye ni mbaya zaidi kuliko huyo!
Iran itakuwa huru mpaka Mfumo huo utakapovunjwa!

Mfumo mara nyingine unatengeneza watu makatili, wanaofikiri wengine hawana haki ya kuishi. Kumbe wote waja...tunakuja na kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…