Ebu niambie unapoona hii kitu unamkumbuka nani katika mahusiano


Dah mie kuna mtoto mmoja alikuwa anaitwa esta kajigiri nilikuwa nampenda ila kumwambia ndo vile mpaka namaliza kimya nakumbuka darasa la 6 nilikuwa nakaa nae dawati moja hiyo ilikuwa jangwani primary school sumbawanga
 
Mmmhhh
Mi sijawahi mpenda mtu shule mpaka namaliza bt kitaan kuna kaka nilikuwa nampenda na yy ananipenda kuniambia anaigopa utoto jamani! walipokuja kuhama basi sikumuona tena!
Adolf cjui yupo wapi. ..

Nipo dar
 
Wale mliosoma nyakato, gedeli, buzuluga. Mhandu , maina . ndani ya jiji LA mwanza mtakuwa mnanikumbuka. Hasa ile kesi Iliyonikumba nikalala mwatex
 

Darasa LA kinshuli au mafuru. Biology umefundishwa na togoray?.
Au miaka ile ya marwa . sasa reproduction form three ilikuwaje
 
Duh, kuna vitu vingi vinagusa hisia zangu, kuwahi namba, kushindana kuwa wa kwanza class, mkipewa majibu ya mtihani mnajumlisha kabla ya matokeo na mnakuwa mnajua nani wa kwanza, kuchungulia mademu wakati wanakojoa au kuweka kioo chini ili uone demu kavaa chupi gani, kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa Paul aliwahi kumtia demu fulani, jamaa nilikuwa namuona binadamu wa ajabu sana kwa ujasiri aliokuwa nao. Kukimbia mchaka mchaka na mnachelewa kurudi hasa tulipokuwa darasa la saba ili shule nzima wasikie vidume tunavyokoroma. Long memories!!!


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Wale mliosoma nyakato, gedeli, buzuluga. Mhandu , maina . ndani ya jiji LA mwanza mtakuwa mnanikumbuka. Hasa ile kesi Iliyonikumba nikalala mwatex

dah! ukitaja gedeli unanikumbusha bhoke! nlimpenda na nlihisi na yeye alinipenda ila kumwambia sikuweza
 
Nacheka
 

Attachments

  • 1420140012885.jpg
    8.6 KB · Views: 765
Hakika kila enzi na matukio yake, mi inanikumbusha dem wangu alikuwa anaitwa SIKITU MACHIBYA kuna jamaa yangu akaja kunizunguka nikawastukia wanaelekea vichakan niliwaponda mawe mpaka wakaahirisha kula papuchi
 
Hakika kila enzi na matukio yake, mi inanikumbusha dem wangu alikuwa anaitwa SIKITU MACHIBYA kuna jamaa yangu akaja kunizunguka nikawastukia wanaelekea vichakan niliwaponda mawe mpaka wakaahirisha kula papuchi

ulitisha mkuu
 
hyo nakmbka bwilingu primar . chalinze .
darasa la 7. kulkua na mtoto anaitwa anifa. nlimpenda ila tatzo kfnguka.. baada ya kmalza shle wajanja wakampa mimba mtaani
..iliniuma sana
 
Dah mie kuna mtoto mmoja alikuwa anaitwa esta kajigiri nilikuwa nampenda ila kumwambia ndo vile mpaka namaliza kimya nakumbuka darasa la 6 nilikuwa nakaa nae dawati moja hiyo ilikuwa jangwani primary school sumbawanga

uyo dada ni mdogo wa mwalm wangu wa english!!!! ndo basi tena ashakutoka
pole saaana!!!!
 

mamb uliyo taja ndo yanapeleka memory mbaaali!!!!
 
Nimekumbuka kudaka panzi na kuwinda kware pale moshi airport
Kwa kutongoza aisehhh domo zege mpaka sasa miaka 25
 
Eeeeh bana eeh, nakumbuka nilikuwa timekeeper ss nikiwa darasa la 6 tuna mechi na drs la 7 muda wa lunch time si nikarudisha madakika nyuma ili tuendelee kucheza haikuzidi hata dk 20 ikagongwa na ticha wa zamu,nikaitwa ofisini nadhani unajua nn kilifuata miaka ya 85 hy!!
 
Unanikumbusha adhabu tulopewa darasa zima kila siku asubuhi na jioni kwa wiki moja kama dozi. Kosa eti kuna mwanafunzi aliandika herufi "K" kwenye ukuta wa darasa, na hakujulikana ni nani. Walimu wakafosi kuwa ile "K" ilitaka kuzaliwa TUSI. Kuna Baadhi Ya Wanafunzi ndiyo ulikuwa mwisho wao wa safari ya elimu. Waliacha Shule Kabisa.
 
Mimi nimekumbuka hilo chuma tu,nilikuwa time keeper afu liliibiwa na wauza vyuma ikawa shida katka kazi yangu hiyo...
 

Alikugegeda au????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…