Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Acha uongo bhana mayele is far best than sarpong kwa kila kitu yaaniYawezekana Sarpong alikuwa ana offer vitu vingi kuliko Mayele ila alikuwa kwenye timu mbovu zaidi kuliko hii.
Mayele ana movement nyingi kwenye box na ni mzuri nje ya box tofauti na Sarpong
Mwambie Edger kibwana amwambie Jonh Bocco aliyecheza dakika nyingi dhidi ya Kagere na Hana hata goli moja.Kumfananisha mayelle na Kagere si sawa Kagere ni mzoefu wa ligi hiiMchambuzi wa kipindi cha michezo cha Clouds Fm, Edgar Kibwana akichambua mechi ya jana ya Simba dhidi ya Namungo, amesema mshambuliaji wa Yanga mkongomani Fiston Mayele ana mengi ya kujifunza kwa mshambuliaji wa Simba Meddi Kagere!
Edgar Kibwana aliendelea kufafanua zaidi, " Mayele ambaye ameanza mechi nne na kucheza dakika nyingi mpaka sasa ana magoli mawili sawa na Kagere ambaye yeye huanzia benchi na kucheza dakika chache nae ana magoli mawili"
" Mayele amezungukwa na wachezaji bora wengi lakini bado anasuasua katika ufungaji wa magoli tofauti na Kagere ambaye timu yake kwasasa haichezi vizuri" Edgar Kibwana aliongeza zaidi.
Kwahyo Edgar Kibwana akahitimisha kwa kusema, ni wakati sasa wa Fiston Mayele kujifunza zaidi kwa mkongwe Kagere kwenye ufumaniaji wa magoli ili awe bora zaidi!!
NB:
Namuunga mkono Edgar kwani Fiston anacheza soft soft sana anahitaji kupambana zaidi
Kwa nini amlinganishe huyo na asilinganishwe na mchezaji mwingine tz tumezoea kusema Jambo lolote lile lilivyo yanga basi na Simba likojeMchambuzi wa kipindi cha michezo cha Clouds Fm, Edgar Kibwana akichambua mechi ya jana ya Simba dhidi ya Namungo, amesema mshambuliaji wa Yanga mkongomani Fiston Mayele ana mengi ya kujifunza kwa mshambuliaji wa Simba Meddi Kagere!
Edgar Kibwana aliendelea kufafanua zaidi, " Mayele ambaye ameanza mechi nne na kucheza dakika nyingi mpaka sasa ana magoli mawili sawa na Kagere ambaye yeye huanzia benchi na kucheza dakika chache nae ana magoli mawili"
" Mayele amezungukwa na wachezaji bora wengi lakini bado anasuasua katika ufungaji wa magoli tofauti na Kagere ambaye timu yake kwasasa haichezi vizuri" Edgar Kibwana aliongeza zaidi.
Kwahyo Edgar Kibwana akahitimisha kwa kusema, ni wakati sasa wa Fiston Mayele kujifunza zaidi kwa mkongwe Kagere kwenye ufumaniaji wa magoli ili awe bora zaidi!!
NB:
Namuunga mkono Edgar kwani Fiston anacheza soft soft sana anahitaji kupambana zaidi
[emoji28][emoji28][emoji28],hamna cha bunge wala baraza la madiwani mkuu,ni kuwekana sawa tu.Naona mmeniundia bunge
Hakuna mtu asiyependa sifa dunia hii hata mtoto wa mwaka mmoja na nusu akisifiwa atafanya vzr zaidiNdio nakubali hata mm Fiston Mayele na Yanga yake wanapenda misifa mingi wakati ligi ndo kwanza inaanza, ngoja tuone nani atakua mkali wa kufumania nyavu kati yake na MK 14
Mkuu uhalisia una upata ndani ya mashabiki wenyewe wa Simba, baada ya kocha kulalamikiwa kumpanga Mugalu badala ya Kagere na kuwakosesha ushindi, mechi iliyofuata alianzishwa Kagere na kilichofuata na kuoga matusi tu vibandani na kukumbukwa Mugalu. Halafu leo hii mchambuzi anakwambia Mayele ana cha kujifunza kwa Kagere.Nimeufwatilia huu uzi ila comment yako imenifurahishaa sanaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Siyo tegemezi,tegemeo,aucho majeruhiVile vitu havifundishiki ule ni uwezo binafsina nishasema mpaka msimu unaisha hakutakuja kuwa na heading matata kama ya kagere
Mayele ni upepo tu na ndio maana hata magoli yake anashangilia saaana as if ye mwenyewe haamini (mbahatishaji)
Kinachomponza zaidi ni kulewa sifa, jamaa anavimba sana anajikuta ni mchezaji tegemezi kila time camera inammulika yeye tu. Hiyo tuliiona kwa aucho lakini taratibu tunaona uelekeo wa upepo ni tofauti, mechi ya juzi sijui hata kama bechi alikuwepo
Wamuulize manulaDuhh....kweli mayele ni kama sarpong??[emoji1][emoji1]
Hakuna mt atakarkujibu hili swali.Mkuu uhalisia una upata ndani ya mashabiki wenyewe wa Simba, baada ya kocha kulalamikiwa kumpanga Mugalu badala ya Kagere na kuwakosesha ushindi, mechi iliyofuata alianzishwa Kagere na kilichofuata na kuoga matusi tu vibandani na kukumbukwa Mugalu. Halafu leo hii mchambuzi anakwambia Mayele ana cha kujifunza kwa Kagere.
Mayele aliyefunga magoli yake wachezaji wakiwa kamili vs Kagere aliyepata magoli alicheza na wachezaji walio pungufu. Kama kigezo ni dakika, je kinachomfanya Kagere asianze ni kitu gani kama ni mashambuliaji anayetoa funzo kwa wachezaji wengineo?
Ni sahihi Simba kweli mpaka sasa first 11 haija julikanaaMkuu uhalisia una upata ndani ya mashabiki wenyewe wa Simba, baada ya kocha kulalamikiwa kumpanga Mugalu badala ya Kagere na kuwakosesha ushindi, mechi iliyofuata alianzishwa Kagere na kilichofuata na kuoga matusi tu vibandani na kukumbukwa Mugalu. Halafu leo hii mchambuzi anakwambia Mayele ana cha kujifunza kwa Kagere.
Mayele aliyefunga magoli yake wachezaji wakiwa kamili vs Kagere aliyepata magoli alicheza na wachezaji walio pungufu. Kama kigezo ni dakika, je kinachomfanya Kagere asianze ni kitu gani kama ni mashambuliaji anayetoa funzo kwa wachezaji wengineo?
Usijali mkuu kwa kupitia chapa GSM hawa wachambuzi tutamalizana nao mapema sana iwezekanavyoAcha mikwara😂😂
ila kuna watu hawamjui bolu mpaka mnatia aibuVile vitu havifundishiki ule ni uwezo binafsina nishasema mpaka msimu unaisha hakutakuja kuwa na heading matata kama ya kagere
Mayele ni upepo tu na ndio maana hata magoli yake anashangilia saaana as if ye mwenyewe haamini (mbahatishaji)
Kinachomponza zaidi ni kulewa sifa, jamaa anavimba sana anajikuta ni mchezaji tegemezi kila time camera inammulika yeye tu. Hiyo tuliiona kwa aucho lakini taratibu tunaona uelekeo wa upepo ni tofauti, mechi ya juzi sijui hata kama bechi alikuwepo
Siku mashabiki wa UTO mkijua kuwa Feisal ni Ndemla aliyechangamka ndio mtajua hiki alichokisema Edgar KibwanaMakolo mnachekesha sana[emoji23]
Lkn si mnajua Simba 3-Fei toto 3
Powa sikukatalii kwa sababu wakati ndo hunena lakn kwa MK 14 tumeshaona na tunaendelea kuona,lakini kwa Mayele nahisi watu wamepigwa.Hakuna mtu asiyependa sifa dunia hii hata mtoto wa mwaka mmoja na nusu akisifiwa atafanya vzr zaidi
Binfasi tusubilie contribution ya mayele kwenye mafanikio ya timu yake kwani M14 tumeshaona miaka mitatu aliyochezs Tz