Duh noma sana. Kilikuwa kipindi kibaya kuliko kipindi Cha ukoloniAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mwenyewe alijaribu kugombea Lushoto 2005 akapigwa chini na ShekifuToka mtoto wake akatwe Ubunge kule Korogwe na JPM kwa issue ya ufisadi huyu mzee hana hamu na JPM. Yaani mzee aliamini mtoto angepita kabisa
Ni ujinga wa watanzania karibu wote, mtu mmoja anafanya anavyotaka yaani tuna umia nchi nzima sababu ya mtu mmoja! hovyo snAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tena ndiyo wanazidi kuwa wajingawengi mkuu wanaishi jana na kujipendekeza wanaamini wakiuzima mshumaa wa mwingine wakwao utawaka vizuri. tumetumia pesa nyingi sana kuwasomesha wajinga lakini ujinga haukuondoka!
Hata Hitler alikuwanao waliomuona ndiye mungu wao.Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Atakuja kugombea tena?Na wewe unaona kweli?
2025 utajua hujui. Ndio maana sasa kila anae simama anajaribu kuchafua lakini Umma wa TZ haujasahau mzee.
Ikipotea wala hautasikia wa kuponda wala kusifia.
Bado iko Imara
Ma CCM yote haya MarindaKwa hiyo hana marinda baada ya kulia misumali?
Asante sanaDuh noma sana. Kilikuwa kipindi kibaya kuliko kipindi Cha ukoloniView attachment 2291460
Watetea legacy, pale chato bado Kuna nafasi, nendeni mkazikwe naye, shamba bado kubwa sanaAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nenda Chato ukazikwe naye, ukitaka ubebwe kwenye kiroli Cha jeshi na bendera ya taifa, tutakufunika na kukutembeza mitaa yote kwa gharama zakoKweli anatokea Lushoto namfahamu,
Anaongea kujifurahisha, aliteuliwa na JPM huyohuyo anaemnanga,
Alipoona amekalia misumari angejiuzulu kwani ni mtu aliewkeeza sana hadi ana hotel ya kitalii Lushoto Tanga,
Au anajikosha kwa akina Makamba asisahaulike kwenye chungu cha asali?
Nenda kazikwe naye, legacy ya hovyo kabisa ndio inakuhangaisha? Jamaa ameshaoza,Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?
Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?
Tutegemee kuona Samia akitukanwa baada ya utawala wake.
Wanasiasa wa namna ya Mndolwa hawafai hata kiti cha ujumbe wa nyumba kumi maana hawana vision ya kuangalia mbele badala yake wanafanya mambo yasiyo na tija.
Ndugu Erythrocyte!!!Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Muasisi wa kutukana wastaafu alikua Magufuli,Mara aseme wanawashwa washwa.Sasa acha legacy yake ya kutukana wastaafu iendelezwe.Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?
Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?
Tutegemee kuona Samia akitukanwa baada ya utawala wake.
Wanasiasa wa namna ya Mndolwa hawafai hata kiti cha ujumbe wa nyumba kumi maana hawana vision ya kuangalia mbele badala yake wanafanya mambo yasiyo na tija.
Sasa hivi anakalia mkunyenge tu siyo msumari ndiyo maana anafurahaKwa hiyo hana marinda baada ya kulia misumali?
Nina wasiwasi umesharambishwa ASALI,Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Katiba inaruhusu ni utashi Tu atakayekuwa madarakani awe na huruma au akaze!Kwa hiyo ana makovi ya matundu ya mosumari?.
Ni kweli mwanamme mmoja alotunyamazisha kiasi hicho?
Mazombie ya chattle yatakuja kutetea legacy wakiongozwa na EtwegeAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app