Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Acha uongo we mbumbumbu fc fan
 
simba timu ilianzishwa na wahindi wa kariakoo, wamshukuru nyerere kuwatimua wale wahindi, la sivyo mpaka leo ungekuta inaitwa sunderland.
 
Unayejitekenya ni wewe, tena unaruka kwa nguvu kweli kweli. Mo aliitwa akawekwa chini na kupigwa mikwara ndio akarudi kwenye ndoa. Na tangu hapo 5imba Koko akaanza kushinda kwa mbeleko...mpumbavu mwenyewe kabla sijasahau
 
Kumbe alipigwa mikwara,si kama nye kwa GSM hadi mkawafukuza wajumbe na kumlilia gsm aliyesusa
Unayejitekenya ni wewe, tena unaruka kwa nguvu kweli kweli. Mo aliitwa akawekwa chini na kupigwa mikwara ndio akarudi kwenye ndoa. Na tangu hapo 5imba Koko akaanza kushinda kwa mbeleko...mpumbavu mwenyewe kabla sijasahau

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…