Edo Kumwembe na uchambuzi wa goli la Azizi Ki

Edo Kumwembe na uchambuzi wa goli la Azizi Ki

Halafu hilo goli la pili huyo manyele si angempa pasi mwenzie Aziza alikua kwny position nzuri tuu mpk ahangaikee afunge mwenyewe. Kiatu cha mwaka jana kinamsumbua sana kichwa
 
Halafu hilo goli la pili huyo manyele si angempa pasi mwenzie Aziza alikua kwny position nzuri tuu mpk ahangaikee afunge mwenyewe. Kiatu cha mwaka jana kinamsumbua sana kichwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka huu sio mpolee, ni Phiri yuko kwa ajiri ya kiatu hicho,

Mgonjwa wa degedege, tabu iko pale pale weraaaaaah.
 
Sijaliona hilo goli, lakini aina ya magoli ya kupress, yameshafungwa saana hapa, feisal kafunga national team.. Msimu uliopita rally in bwalya alifunga pia zote hizo hazikuwa habari,

Shida nini ni kwakuwa ki aziz hajafunga toka aje ama?
Hapa unakili hujaliona hilo goli halafu unashupaza shingo kuchangia kitu usichokijuwa, wewe kichwani ni mzima kweli?
 
Haji ameongea meeengi ila kunikumbushia George Hagi (10) umenikumbusha mbali sana, Jamaa alikua anajua kupiga faul Hatari, Alikua Captain wa Romania kiburisana, anajua soka sana yaani kama Ibramovic ila kajamaa hakakua karefu kiviile na kanautege wa namba 10. Hataree
 
Back
Top Bottom