Wajumbe wa mikoa wanaojitokeza kumuunga mkono Lissu hadharani siyo wapiga kura? Utakuwa na tatizo kubwa kichwani kuliko unavyofikiria, tafuta daktari wa afya ya akili.Hao wote sio wapiga kura. Wapiga kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbe wa mikoa wanaojitokeza kumuunga mkono Lissu hadharani siyo wapiga kura? Utakuwa na tatizo kubwa kichwani kuliko unavyofikiria, tafuta daktari wa afya ya akili.Hao wote sio wapiga kura. Wapiga kelele
Nyumbu wa Sultan punguzeni jazba mtapata maradhi yasiyotibika shauri yenu,yaani mtu kutoa maoni yake ndiyo povu lote hilo.Yani huyoo mjinga mmoja apo Wasafi ameshiba makande na viazi vitamu ndo aje atoe ushauri kwa Mbowe kweli???
Mods hizi ni dharau tunaombaa mfutee huuu uzii.
Achana na huyo kibwengo wa ACT Wazalendo ameweka kambi hapa anafikiri Chadema itapasuka ili waambulie wanachama kama walivyookota dodo CUF ilivyopasuka.Wajumbe wa mikoa wanaojitokeza kumuunga mkono Lissu hadharani siyo wapiga kura? Utakuwa na tatizo kubwa kichwani kuliko unavyofikiria, tafuta daktari wa afya ya akili.
Kweli kabisa mtu mwenye akili timamu hawezi kusema Slaa ndio alitia mkataba wa kanisa na serikali.Achana na huyo kibwengo wa ACT Wazalendo ameweka kambi hapa anafikiri Chadema itapasuka ili waambulie wanachama kama walivyookota dodo CUF ilivyopasuka.
Hivi wewe na yeye nani mjinga? Hana haki ya kujadili siasa za Tanzania akiwa mtanzania?Yani huyoo mjinga mmoja apo Wasafi ameshiba makande na viazi vitamu ndo aje atoe ushauri kwa Mbowe kweli???
Mods hizi ni dharau tunaombaa mfutee huuu uzii.
Ukisoma comments na reactions za nyumbu wa Sultan utaelewa kwa nini wanachama wamemchoka yaani wao mtu ambaye ana mtazamo tofauti na wa Sultan wao anakuwa adui hawama uvumilivu. Sasa watajibeba tarehe 21 mtu wao atakapochinjiwa bahariniHivi wewe na yeye nani mjinga? Hana haki ya kujadili siasa za Tanzania akiwa mtanzania?
Ila wanatuhumu wengine hawana ustahamilivu, kama wameshindwa kusoma alama za nyakati unategemea nini.Ukisoma comments na reactions za nyumbu wa Sultan utaelewa kwa nini wanachama wamemchoka yaani wao mtu ambaye ana mtazamo tofauti na wa Sultan wao anakuwa adui hawama uvumilivu. Sasa watajibeba tarehe 21 mtu wao atakapochinjiwa baharini
Hizi bangi tuEdo we mshauri baba levo kuhusu kubeti - mbowe ni class nyingine kijana.
Chawa wa Mbowe wakina Yericko ambao wanaacha majina ya Wazazi wao wanamshauri akomae mpaka mwisho..Hawa ndiyo aina ya washauri wa Mbowe