Edo Kumwembe: Ningekuwa mshauri wa Mbowe, ningemshauri ajiondoe katika kinyang'anyiro

Edo Kumwembe: Ningekuwa mshauri wa Mbowe, ningemshauri ajiondoe katika kinyang'anyiro

Mbona mnaogopa sanduku la kura, halafu mbona huyu mbaba mmemshambulia sana badala kueleza sera mbadala tofauti za Mbowe?
Sanduku la kura kwa Afrika haliaminiki, mshindwa anakuwa mshindi!!.
 
Yani huyoo mjinga mmoja apo Wasafi ameshiba makande na viazi vitamu ndo aje atoe ushauri kwa Mbowe kweli???
Mods hizi ni dharau tunaombaa mfutee huuu uzii.
 
Demokrasia ni uchaguzi, tuwaache wajumbe waamuwe.

Nilikuwa namuunga mkono sana Lisu, lakini nchi ni zaidi ya Lisu.

Genge la Lisu halina nia njema na nchi yetu na wala shida yao siyo kuchukuwq dola maana huwezo haupo kwa sasa kwa chama chocote kuitowa ccm madarakani, bali wana movement zao za kushindana na serikali.

Ni Mbowe pekee ndio anaweza kuleta utulivu wa kisiasa nchini.
Sijui nia yako katika kumpotosha Mbowe ila naomba nikuulize swali dogo tu, kwa nini unaamini Mbowe akishinda kutakuwa na utulivu zaidi?

Kwa hiyo huo utulivu utaendea kulindwa kwa nguvu zaidi kama unavyolindwa hivi sasa kwa utekaji, uteswaji na mauaji na hii ni baada ya kinachodaiwa aridhio?

Come on Dr Matola PhD, you’ve got another think coming! Kuwa na moyo uwaonee japo huruma wanaopotezwa wapendwa wao, kisa? Wanapinga kinachoendelea ndani ya taifa lao!
 
Sijui nia yako katika kumpotosha Mbowe ila naomba nikuulize swali dogo tu, kwa nini unaamini Mbowe akishinda kutakuwa na utulivu zaidi?

Kwa hiyo huo utulivu utaendea kulindwa kwa nguvu zaidi kama unavyolindwa hivi sasa kwa utekaji, uteswaji na mauaji na hii ni baada ya kinachodaiwa aridhio?

Come on Dr Matola PhD, you’ve got another think coming! Kuwa na moyo uwaonee japo huruma wanaopotezwa wapendwa wao, kisa? Wanapinga kinachoendelea ndani ya taifa lao!
Lisu hana uwezo wa kuzuia hayo uliyoyasema tusidanganyane, kikubwa anachoweza kufanya Lisu ni kukimbia nchi na Assylum yake Belgium iko active kama ya Lema Canada.
 
Lisu hana uwezo wa kuzuia hayo uliyoyasema tusidanganyane, kikubwa anachoweza kufanya Lisu ni kukimbia nchi na Assylum yake Belgium iko active kama ya Lema Canada.
Lakini Mbowe atazuia au siyo! Kwa hiyo nchi hii imekuwa ya kukimbiwa kama unapiga vita utekaji, utesaji na mauaji. Hivi unajua implication ya unachodai hapa?
 
hivi wale watu aliokuwa anasema mbowe kwa wamepigia simu wako wapi?
 
Demokrasia ni uchaguzi, tuwaache wajumbe waamuwe.

Nilikuwa namuunga mkono sana Lisu, lakini nchi ni zaidi ya Lisu.

Genge la Lisu halina nia njema na nchi yetu na wala shida yao siyo kuchukuwq dola maana huwezo haupo kwa sasa kwa chama chocote kuitowa ccm madarakani, bali wana movement zao za kushindana na serikali.

Ni Mbowe pekee ndio anaweza kuleta utulivu wa kisiasa nchini.
Mkuu nakuheshimu sana kwa michango Yako humu jukwaani, lkn hivi unadhani unaweza kuitoa CCM madarakani bila ku- battle na serikali?? Ukimaanisha kuing'oa CCM madarakani inamaana unatangaza vita na mifumo yote ya Dora"elewa neno ukimaanisha"

Huwezi kuitoa CCM madarakani kwa sanduku la kura hili hili la Toka mwaka 1995. Na kama unataka sanduku la haki kubattle na dora hakuepukiki mkuu, vinginevyo mnachezea akili za Watanzania. Unadhani CCM ni wajinga wakupe tume huru kwa maneno matupu?? Wakupe katiba mpya kwa porojo za maridhiano? Kwani wao hawajui kufanya hivyo ni kujipiga bastora ya utosi??
That's why na Mimi nafikiria wapewe wengine chama tuone watakuwa na njia zipi za kuikabili Dora kwenye kivuli Cha CCM
 
Mkuu nakuheshimu sana kwa michango Yako humu jukwaani, lkn hivi unadhani unaweza kuitoa CCM madarakani bila ku- battle na serikali?? Ukimaanisha kuing'oa CCM madarakani inamaana unatangaza vita na mifumo yote ya Dora"elewa neno ukimaanisha"

Huwezi kuitoa CCM madarakani kwa sanduku la kura hili hili la Toka mwaka 1995. Na kama unataka sanduku la haki kubattle na dora hakuepukiki mkuu, vinginevyo mnachezea akili za Watanzania. Unadhani CCM ni wajinga wakupe tume huru kwa maneno matupu?? Wakupe katiba mpya kwa porojo za maridhiano? Kwani wao hawajui kufanya hivyo ni kujipiga bastora ya utosi??
That's why na Mimi nafikiria wapewe wengine chama tuone watakuwa na njia zipi za kuikabili Dora kwenye kivuli Cha CCM
Achana nalo hilo taahira!
.
Kwake mama Abdul ndio mungu
 
MbOWe akiiba uchaguzi

natamani LiSU aanzishe chama kitakachoitwa

"chama Cha democrasia na HAKI( haki isimame kama maendeleo ,uhuru wa kuishi ,kulipa Kodi ,uchaguzi huru na aina yake)

Ili ,itokee pandisha kangha shusha khanga
 
Watu wazito ni wengi wanaomuunga mkono lissu wengine hawajioneshi waziwazi, cha ajabu hata CCM wapo!
 
Hilo tukio lilinifurahisha lakini kiukweli nilihuzunika sana, Mbowe sio wa kufikia hatua ile.

Mbowe anatupa wakati mgumu wa kumkataa kwa heshima aliyoijenga juu yetu.
Sijui nini kimemkuta, ila kukaa muda mrefu kwenye madaraka unajenga mazowea. Na Mbowe amefikia hapo haoni tofauti ya uenyekiti wa CHADEMA na yeye.
 
Demokrasia ni uchaguzi, tuwaache wajumbe waamuwe.

Nilikuwa namuunga mkono sana Lisu, lakini nchi ni zaidi ya Lisu.

Genge la Lisu halina nia njema na nchi yetu na wala shida yao siyo kuchukuwq dola maana huwezo haupo kwa sasa kwa chama chocote kuitowa ccm madarakani, bali wana movement zao za kushindana na serikali.

Ni Mbowe pekee ndio anaweza kuleta utulivu wa kisiasa nchini.
Acha uongo na unafiki hujawahi kumuunga mkono Lissu kwa lugha unayoitoa hapa.

Genge la Mbowe ambalo manaibukatibu wakuu bara na Zanzibar wake zao ni covid 19 hawa wana nia njema?

Alivyotaka kuwatoa wote wasiokubaliana na maridhiano yalivyoendeshwa akina Lema, Msigwa, Wenje na Lissu ndio nia njema hiyo?

Kumfukuza Msigwa na kukataa hata kumuona lakini kuwakaribisha akina Halina Mdee na Easter Bulaya waluokisaliti chama ndio nia njema?
 
Mkuu hakuna sawa hapo waambie kweli nyumbu wa Mbowe kuwa Mbowe must go. Wajumbe ndio hao kila uchwao wanatangaza kumuunga mkono Lissu.

Yericho Nyerere alisema Mbowe ndio alfa na omega wakashangilia.
Akasema hadi abebwe na machela wakashangilia, uhalisia wa mambo unaonekana Mbowe amechokwa. Angezungukwa na watu wenye akili angepumzika.

Na kusema kupumzika siyo kuogopa sanduku la kura bali kupreserve legacy yake
 
Back
Top Bottom