Edo Kumwembe: Ningekuwa mshauri wa Mbowe, ningemshauri ajiondoe katika kinyang'anyiro

Edo Kumwembe: Ningekuwa mshauri wa Mbowe, ningemshauri ajiondoe katika kinyang'anyiro

Inakera sana mtu kujifanya kila kitu ni mjuwaji.

Yeye ni mchambuzi wa soccer, awaachie wachambuzi wa siasa wachambuwe nyege tu zinamsumbuwa.
Uchawi huu amevunja sheria gani au hupendi anachosema?

Ndio nyie mnaokufa kwa pressure kwa ujinga wenu, anatumia haki yake kama mtanzania kutoa maoni yake wewe unakereheka kana siyo hulka ya uchawi ni nini?

Wewe humu jf unachambua na kutoa maoni yako ni mchambuzi wa siasa? Hopeless
 
Kwani Edo ni nani kwenye uchaguzi wa Chadema au taifa kwa ujumla.
Kwani hana haki ya kutoa maoni yake?
Ndio maana tunasema Mbowe na wapambe wake wangekuwa na jeshi huenda wangekuwa madikteta kuliko hata madikteta tunaowafamu.
Ukitoa maoni yasiyowafurahisha utaitwa muhaini au msaliti
 
Mkuu hakuna sawa hapo waambie kweli nyumbu wa Mbowe kuwa Mbowe must go. Wajumbe ndio hao kila uchwao wanatangaza kumuunga mkono Lissu.

Yericho Nyerere alisema Mbowe ndio alfa na omega wakashangilia.
Akasema hadi abebwe na machela wakashangilia, uhalisia wa mambo unaonekana Mbowe amechokwa. Angezungukwa na watu wenye akili angepumzika.

Na kusema kupumzika siyo kuogopa sanduku la kura bali kupreserve legacy yake
Hawa ndiyo washauri wa Sultan Mbowe
 

Attachments

  • GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
    GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
    51.3 KB · Views: 1
  • GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    58.9 KB · Views: 1
Mkuu hakuna sawa hapo waambie kweli nyumbu wa Mbowe kuwa Mbowe must go. Wajumbe ndio hao kila uchwao wanatangaza kumuunga mkono Lissu.

Yericho Nyerere alisema Mbowe ndio alfa na omega wakashangilia.
Akasema hadi abebwe na machela wakashangilia, uhalisia wa mambo unaonekana Mbowe amechokwa. Angezungukwa na watu wenye akili angepumzika.

Na kusema kupumzika siyo kuogopa sanduku la kura bali kupreserve legacy yake
Wengine tunaheshimiana Mkuu, inabidi kuepusha mjadala kulinda heshima.
 
Demokrasia ni uchaguzi, tuwaache wajumbe waamuwe.

Nilikuwa namuunga mkono sana Lisu, lakini nchi ni zaidi ya Lisu.

Genge la Lisu halina nia njema na nchi yetu na wala shida yao siyo kuchukuwq dola maana huwezo haupo kwa sasa kwa chama chocote kuitowa ccm madarakani, bali wana movement zao za kushindana na serikali.

Ni Mbowe pekee ndio anaweza kuleta utulivu wa kisiasa nchini.
Utulivu wa kutekana mkuu? Watu wanapoteza wazazi, watoto, ndugu, marafiki wewe unaita utulivu?
 
Jinsi upepo unavyovuma ndani ya CHADEMA kwa asilimia kubwa Mhe. Mbowe hana chake tena. Mhe. Mbowe kubali yaishe na ujitoe kwenye uchaguzi wa tarehe 21.1.2025. Wanachama bado wanakupenda na utaendelea kupendwa kwa sababu umekitoa CHADEMA mbali.
Kwanini ajitoe?.....acha demokrasia ifanye kazi yake. Ashindwe kwenye sanduku la kura.
😀
 
Mnowe mpaka sasa tegemeo lake kuu Ili kushinda ni kuhonga wajumbe. Hilo ndio karata yake ya mwisho. Ndio maana ana Iman atashinda.
 
Mbowe hana washauri wazuri amezungukwa na wapiga dili.
Pili hayupo kwa maslahi ya CHADEMA zaidi bali kwa mama wa maridhiano, kitendo cha kutaka kuwaweka kando wapinga maridhiano na kupata support kutoka makada wa CCM ina maana ameamua kugombea kwa maslahi ya CCM
Kigaila
Boni Yai
John Mrema
Salum Malimu
Mnyika

Haya ndio machawa yake yanaona akitoka ulaji wao umewkisha,kwahiyo yanamwambia bado unapendwa.
 
Swali la kipumbavu kweli kweli, kipi kinachomnyima haki kutoa maoni yake kama mtanzania kwa chama cha siasa cha Tanzania?
Mbona makada wa CCM kama Kigwangalla wanatoa maoni yao kuhusu huu uchaguzi?
Kwanini asishamshauri Lissu ajitoe?
 
Kigaila
Boni Yai
John Mrema
Salum Malimu
Mnyika

Haya ndio machawa yake yanaona akitoka ulaji wao umewkisha,kwahiyo yanamwambia bado unapendwa.
Kigaila na Salum Mwalimu wake zao ni covid 19, na Mbowe ndio wamemzunguka. Je itakanushika kwamba Mbowe na genge lake ndio waliwapa nguvu hawa wanawake kuisaliti CHADEMA?
 
Kwanini asishamshauri Lissu ajitoe?
Mpumbavu mwingine, hivi kichwa umepewa cha kufugia nywele?
Wajumbe wa mikoa ipi waliojitokeza kumuunga mkono Mbowe?

Katika historia ya chaguzi za CHADEMA ambazo Mbowe aligombea ni lini uliona amepata upinzani kama huu?

Licha ya yote yanayoendelea CHADEMA kwa hivi sasa bado legacy ya Mbowe ndani ya chama haipingiki, ila kila zama zina kitabu chake. Kwa heshima aliyonayo CHADEMA ni bora akae pembeni alinde legacy yake.
 
Mpumbavu mwingine, hivi kichwa umepewa cha kufugia nywele?
Wajumbe wa mikoa ipi waliojitokeza kumuunga mkono Mbowe?

Katika historia ya chaguzi za CHADEMA ambazo Mbowe aligombea ni lini uliona amepata upinzani kama huu?

Licha ya yote yanayoendelea CHADEMA kwa hivi sasa bado legacy ya Mbowe ndani ya chama haipingiki, ila kila zama zina kitabu chake. Kwa heshima aliyonayo CHADEMA ni bora akae pembeni alinde legacy yake.
Hao wote sio wapiga kura. Wapiga kelele
 
Back
Top Bottom