Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Kama Nini?Sasa hivi ataliwa yeye boweee.. kama samaki
Akanywe konyagiAjitoe ili iweje? Mafi yako wewe Edo Kumwembe
kama samaki 😅😅🤣🤣🤣 Kama Nini?
kwani edo hajui kuwa chadema ni chama cha ukoo?Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo kutoka Wasafi Fm, Edo Kumwembe amesema angekuwa mshauri wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe angemshauri kujiondoa katika kinyang'anyiro cha Uenyekiti kisha atangaze kumuunga mkono mpinzani wake Tundu Lissu
Edo amesema “ningekuwa mshauri wa Mbowe ningemwambia Mbowe ajiondoe kwenye kinyang'anyiro na ajiondoe kable ya boksi la kura na atangaze kumuunga mkono Lissu”
Soma: Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA
Edo ameeleza sababu ya yeye kuwaza hivyo ni kutokana na Lissu kuungwa mkono na watu wenye ushawishi na nguvu katika siasa za upinzani hasa CHADEMA.
“watu ambao wanatangaza kuwa upande wa Lissu ni watu wazito sana kwa CHADEMA, John Heche Heche na ana kanda yake, Lema kwa kaskazini lema na kama angesema anamuunga mkono Mbowe kidogo watu wangeyumba, Lissu hao wote ni watu wazito sana kwenye hicho chama”
Ameongeza kuwa kama Mbowe atashinda atakuwa na wakati mgumu kuongoza bila uwepo wa watu hao watatu “fanya Mbowe umeshinda unaongozaje bila hao makamanda, na hao makamanda wana vitu moyoni ukiwasikiliza kulikuwa na mipango ya kuwaondoa kutoka kwa Freeman aweke watu wengine”
Pamoja na hayo amejaribu kuelezea namna watu hao walivyopambania CHADEMA kwa kukaa jela pamoja na kupigwa na polisi wakati mwingine.
Aidha amekumbusha kuwa moja ya pigo alilopata Mbowe ni kushinda kwa Wakili Deogratius Mahinyila Adv Mahinyila kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA ambapo pia anamuunga mkono Lissu
Eddo ni mwananchi na chadema ni mali ya Umma maana wanapewa ruzuku ambayo ni kodi za wananchi wote wenye vyama na wasio na vyamaKwani Edo ni nani kwenye uchaguzi wa Chadema au taifa kwa ujumla.
unadhani Mbowe hajui nini kinaenda kutokea hyo tarehe 21.1.2025? Unadhani kwanini ameng'ang'ania?Hapo tutadanganywa eti anafuata Democrasia sio kweli ngoja tusubili hyo democrasia yake baada ya uchaguzi halafu tuilete humu kuijadili.Jinsi upepo unavyovuma ndani ya CHADEMA kwa asilimia kubwa Mhe. Mbowe hana chake tena. Mhe. Mbowe kubali yaishe na ujitoe kwenye uchaguzi wa tarehe 21.1.2025. Wanachama bado wanakupenda na utaendelea kupendwa kwa sababu umekitoa CHADEMA mbali.
Kwa sababu amesema usilotaka kusikia,kuwa mchambuzi wa mpira hakumzuii kuchambua siasa na hii siyo mara yake ya kwanza kuchambua mambo ya siasa ameshaandika makala nyingi tu juu ya siasa za Chadema, na huyu ni mshabiki wa Chadema na inawezekana kabisa ni mwanachama pia. Hajavunja sheria yoyote ile kutoa maoni yake.Inakera sana mtu kujifanya kila kitu ni mjuwaji.
Yeye ni mchambuzi wa soccer, awaachie wachambuzi wa siasa wachambuwe nyege tu zinamsumbuwa.
Nyumbu wa Sultan mna hasira sana angalieni mtapata magonjwa yasiyoambukizaAjitoe ili iweje? Mafi yako wewe Edo Kumwembe
Kama hivi kudadadadeq mwamba alipiga bapa tatu ndiyo kapanda jukwaani tena mchana wa jua kali.Akanywe konyagi
Hizo mbinu haziwez fanya kazi ndani ya CDMIla mkumbuke huyu jamaa anasaidiwa na CCM,na CCM Wana Mbinu 1000 za kushinda....
Siasa za Tanzania ni Shaghalabaghala [emoji706]
Anawasikiliza wapambe nuksi akina yeriko acha akaaibike tarehe 21!Mbowe ni sikio la kufa
Mbung'o kama hii itampa ushauri ganiAnawasikiliza wapambe nuksi akina yeriko acha akaaibike tarehe 21!
Anzisha basiIfikie hatua uanzishwe uzi mmoja wa mbowe special thread
Mwamba tuvushe.Ifikie hatua uanzishwe uzi mmoja wa mbowe special thread
Mi najiuliza zile busara za mbowe zumeenda wapi??Hilo tukio lilinifurahisha lakini kiukweli nilihuzunika sana, Mbowe sio wa kufikia hatua ile.
Mbowe anatupa wakati mgumu wa kumkataa kwa heshima aliyoijenga juu yetu.
Kama hawamtaki si ndio sasa wampige chini kwenye kura ili wamchague huyo wanayemtaka. Hawamtaki wasimpigie kura. period.Jamaa sijui kwanini haelewi watu hawamtaki kabisa