Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Poa,ulipotelea wapi?mambo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa,ulipotelea wapi?mambo yako
kaka ako alinificha mkuuPoa,ulipotelea wapi?
hii 2020 ilikuwa sio ya mchezo. ila Mungu ametuvusha tena.Poa,ulipotelea wapi?
Aisee nipo rafiki aisee sio kwa kupotea hukoweweeee dingimtoto upo buddy? miss you a lot
acha kabisaa..hii JF ilipoletewa shida mara ya kufungiwa ilinyima stimuAisee nipo rafiki aisee sio kwa kupotea huko
Aisee ni kweli kabisa namshukuru Mungu yanaenda adoado,acha kabisaa..hii JF ilipoletewa shida mara ya kufungiwa ilinyima stimu
am back officially kabisa
mambo mengine vipi mkuu..best yangu wa siku zote
Karibu karibu tena sanaacha kabisaa..hii JF ilipoletewa shida mara ya kufungiwa ilinyima stimu
am back officially kabisa
mambo mengine vipi mkuu..best yangu wa siku zote
santeeeeKaribu karibu tena sana
usininyime kadi pls, nitakuja hata kwa ungo teh tehAisee ni kweli kabisa namshukuru Mungu yanaenda adoado,
natarajia kuoa mwakani nimeaumua kukupa taarifa mapemaa
Pwahahah!usininyime kadi pls, nitakuja hata kwa ungo teh teh
nitapewa nafasi ya u comedian kwenye hafla yako naona..unipatie tu kanafasi ka 5 minutes
[emoji23][emoji23] itapendeza zaidiinitapewa nafasi ya u comedian kwenye hafla yako naona..unipatie tu kanafasi ka 5 minutes
Nitafurahi kumuona Inna,...tupigage hapo ka picha ketu ka ukumbusho
Unasoma miaka 15 c ujinga huohivi waulize kwa elimu ya Tanzania watu wanasoma ili nini? kama sio kupata ajira na hela.
so if money is there no need of education..tutasonga na zile elimu za kuzaliwa na tutavuka tu.
Amekua, adimu kama shilingi ya JPM sijui anakula uzazi. Ila salaam hizi nahisi amezionaInna kafichwa na nani siku hizi? salamu zangu zimfikie popote alipo
pls niweke kwenye hako karatiba[emoji23][emoji23] itapendeza zaidii
azione tu jaman akuje hapa..naona foot print zake kimya kimyaAmekua, adimu kama shilingi ya JPM sijui anakula uzazi. Ila salaam hizi nahisi ameziona
basi uwe si ujinga utoboe angalau..hela bhana ni ishu ya mujiniUnasoma miaka 15 c ujinga huo
Utapewa nafasi ya kuimba wimbo wa kusifu/ pambio zurii [emoji1]pls niweke kwenye hako karatiba
nitawaambia mwimbo wa Dangote haka kapya
nina kasauti kazuri mkuu utafurahi