Jo Assistant
Senior Member
- Jun 20, 2014
- 195
- 199
- Thread starter
- #61
Ni kweli dada... Nadhani hali ya maisha ya sasa inalazimu wengi kufanya hivyo. Bado tuna hatua kubwa ya kupiga.hivi waulize kwa elimu ya Tanzania watu wanasoma ili nini? kama sio kupata ajira na hela.
so if money is there no need of education..tutasonga na zile elimu za kuzaliwa na tutavuka tu.