Jo Assistant
Senior Member
- Jun 20, 2014
- 195
- 199
- Thread starter
-
- #61
Ni kweli dada... Nadhani hali ya maisha ya sasa inalazimu wengi kufanya hivyo. Bado tuna hatua kubwa ya kupiga.hivi waulize kwa elimu ya Tanzania watu wanasoma ili nini? kama sio kupata ajira na hela.
so if money is there no need of education..tutasonga na zile elimu za kuzaliwa na tutavuka tu.
Congrats brother... Utukumbuke na sisi wadau wa JF (tusikose hizo kadi pia jamani).Aisee ni kweli kabisa namshukuru Mungu yanaenda adoado,
natarajia kuoa mwakani nimeaumua kukupa taarifa mapemaa
Nimekuelewa vizuri sana! Ila naomba nikuulize... Unafanya kazi gani kwa sasa?basi uwe si ujinga utoboe angalau..hela bhana ni ishu ya mujini
Hahaha asante sana mkuu nyie ni familia pia hamtakosa.Congrats brother... Utukumbuke na sisi wadau wa JF (tusikose hizo kadi pia jamani).
hahahahah unanitega weye..mimi nina kazi inayokimu tu maisha yangu and i am happy that wayNimekuelewa vizuri sana! Ila naomba nikuulize... Unafanya kazi gani kwa sasa?
haswaaa...mpe mtaji ambaye sio msomi anatoboa haraka kuliko msomiNi kweli dada... Nadhani hali ya maisha ya sasa inalazimu wengi kufanya hivyo. Bado tuna hatua kubwa ya kupiga.
acha nianze kupashaUtapewa nafasi ya kuimba wimbo wa kusifu/ pambio zurii [emoji1]
Jamani sikuwa namaanisha hivyo unavyofikiri... Ila Nimekupenda bure tu π You're simple and promising!hahahahah unanitega weye..mimi nina kazi inayokimu tu maisha yangu and i am happy that way
Nahitaji watu kama nyie kwa kweli...haswaaa...mpe mtaji ambaye sio msomi anatoboa haraka kuliko msomi
nina maana gani..ukimpa msomi milion ataanza kupiga mahesabu ya loss and gain na kuona hiyo haitoshi kabisa while ambaye hajasoma anafanya tu na mbele kwa mbele atatoboa
somi atakuambia huo ni mtaji mdogo sana na atasubiri mkubwa while huyu wa upande wa pili anaendelea kusonga mbele
BTW msomi atakuwa hana hiyo hela kwa wakati huo..Elimu ni nzr sana ila kwa maisha ya sasa huwezi compare elimu na pesa mkuu
kusanya vyeti na mimi nikusanye pesa zangu tuone nani mwamba mjini
nawakilisha tu
Inategemea ni elimu ipi unayoizungumzia. Kama ni hii ya kwetu huku ya kuipata ili upate hela, basi hela ni bora kuliko elimu. Ila kama ni ile elimu ya kuvumbua mavitu ambayo sisi hatupewi, basi bora elimu maana kwa kutumia ile elimu tunaweza solve matatizo yatatuliwayo na pesaDebate za enzi hizo shuleni... Nani opposer na nani proposer?
Inategemea ni elimu ipi unayoizungumzia. Kama ni hii ya kwetu huku ya kuipata ili upate hela, basi hela ni bora kuliko elimu. Ila kama ni ile elimu ya kuvumbua mavitu ambayo sisi hatupewi, basi bora elimu maana kwa kutumia ile elimu tunaweza solve matatizo yatatuliwayo na pesa
Arusha ukuje tu nikupe mashule ya kutumia hela kidogo ulonayoNahitaji watu kama nyie kwa kweli...
Unapatikana wapi dada yangu?
and lovelyJamani sikuwa namaanisha hivyo unavyofikiri... Ila Nimekupenda bure tu π You're simple and promising!
Lazima nije Arusha...Arusha ukuje tu nikupe mashule ya kutumia hela kidogo ulonayo
Basi naongezea...and lovely
teh teh teh
umesahau kumalizia
loooh nitanenepa mie..thanks for making my Friday the best day ..start of the weekendBasi naongezea...
And ELEGANT and APPEALING and DELIGHTFUL and ADMIRABLE and GLEEFUL, you are. ππΌ
ukuje kabisa shule hapa ni bure kabisaLazima nije Arusha...
Seriously speaking, ningependa kufanya kazi na wewe.
Usijali πloooh nitanenepa mie..thanks for making my Friday the best day ..start of the weekend
thanks darling, it was not easy to go into JF over the weekend. busy busy but all fine.Usijali π
Enjoy your weekend!
how are you and how was your weekend? mine was fantasticUsijali π
Enjoy your weekend!