Edward Lowasa aliandaa vijana makini. Hussein Bashe ni mmoja wapo, yupo focused na mawazo ya kitajiri

Edward Lowasa aliandaa vijana makini. Hussein Bashe ni mmoja wapo, yupo focused na mawazo ya kitajiri

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimwombee Mzee Lowasa afya njema huko aliko. Ninapomsikia Bashe na hoja zilizoegemea kwenye mikakati iliyopo beyond hata muda wake wa uwaziri nafarijika kwamba Taifa bado tuna viongozi wanaoweza kurithi yale tuliyoanzisha huko nyuma.

Vision aliyonayo Bashe inapaswa kwenda kuwafungua macho mawaziri waache kupiga bla bla bungeni wajibu hoja. Vijana pia mnapopewa nafasi au kubebwa msibaki mgongoni bali shukeni mtembee ili waliokuwa wamewabeba wasijilaum kwamba mmekuwa mizigo bali mmekuwa baraka kwenye safari.

Mhe. Bashe anafanya afya ya mzee Lowasa iwe imara kutokana na ukweli kwamba mzee anaona wazi kwamba maono yake yakutoogopa kushindwa yamepata wakuyasogeza mbele.Nikutakie kila la kheri Mhe. Bashe ila usijione mkubwa, endelea kujinyenyekeza ufike uendako
 
Nimwombee Mzee Lowasa afya njema huko aliko. Ninapomsikia Bashe na hoja zilizoegemea kwenye mikakati iliyopo beyond hata muda wake wa uwaziri nafarijika kwamba Taifa bado tuna viongozi wanaoweza kurithi yale tuliyoanzisha huko nyuma.

Vision aliyonayo Bashe inapaswa kwenda kuwafungua macho mawaziri waache kupiga bla bla bungeni wajibu hoja. Vijana pia mnapopewa nafasi au kubebwa msibaki mgongoni bali shukeni mtembee ili waliokuwa wamewabeba wasijilaum kwamba mmekuwa mizigo bali mmekuwa baraka kwenye safari.

Mhe. Bashe anafanya afya ya mzee Lowasa iwe imara kutokana na ukweli kwamba mzee anaona wazi kwamba maono yake yakutoogopa kushindwa yamepata wakuyasogeza mbele.Nikutakie kila la kheri Mhe. Bashe ila usijione mkubwa, endelea kujinyenyekeza ufike uendako
Umenikumbusha mbali sana...daah makamarada akina Sambala ,Mussa Abdallah,Jumbe Brown et al daaah those memorable days....Arusha CCM Staminaz kaka James Ole Millya ,Ally Mwatiga Bananga et al.....

Viva CCM[emoji120]
 
Why nguvu kubwa unatumia kumsifia mtu Kwa kitu ambacho bado hakijaleta matunda?
Nafikiri mafanikio hayapaswi kufanyiwa kampeni ya kuwaaminisha watu... mafanikio yanajitangaza yenyewe
 
Usifanye tu akarogwa.
Arogwe mtoto wa marehemu mzee Mohamed wa Nzega ?!!!

Muulizie sifa zake Nzega na Igunga....[emoji1787]

Watu wakiondoka duniani hawaachi kuacha baadhi ya ELIMU ZAO.....

#SiempreSSH[emoji120]
 
Nimwombee Mzee Lowasa afya njema huko aliko. Ninapomsikia Bashe na hoja zilizoegemea kwenye mikakati iliyopo beyond hata muda wake wa uwaziri nafarijika kwamba Taifa bado tuna viongozi wanaoweza kurithi yale tuliyoanzisha huko nyuma.

Vision aliyonayo Bashe inapaswa kwenda kuwafungua macho mawaziri waache kupiga bla bla bungeni wajibu hoja. Vijana pia mnapopewa nafasi au kubebwa msibaki mgongoni bali shukeni mtembee ili waliokuwa wamewabeba wasijilaum kwamba mmekuwa mizigo bali mmekuwa baraka kwenye safari.

Mhe. Bashe anafanya afya ya mzee Lowasa iwe imara kutokana na ukweli kwamba mzee anaona wazi kwamba maono yake yakutoogopa kushindwa yamepata wakuyasogeza mbele.Nikutakie kila la kheri Mhe. Bashe ila usijione mkubwa, endelea kujinyenyekeza ufike uendako
[emoji106][emoji109][emoji109][emoji123][emoji1732][emoji1696][emoji2956][emoji2956]
 
Arogwe mtoto wa marehemu mzee Mohamed wa Nzega ?!!!

Muulizie sifa zake Nzega na Igunga....[emoji1787]

Watu wakiondoka duniani hawaachi kuacha baadhi ya ELIMU ZAO.....

#SiempreSSH[emoji120]
Hebu nipe za jikoni, kuna jamaa aliniambia Mganga wake ni Mzee wa Kinyamwezi anaishi Mwisi hivi ni kweli?
 
Why nguvu kubwa unatumia kumsifia mtu Kwa kitu ambacho bado hakijaleta matunda?
Nafikiri mafanikio hayapaswi kufanyiwa kampeni ya kuwaaminisha watu... mafanikio yanajitangaza yenyewe
AKIFELI SI TATIZO ILA KWA UDHUBUTU WAKE WA KUFANYA TOFAUTI ANASTAHILI PONGEZI... hata kina Newton alijaribu mara kibao alifel ya mwisho akafanikiwa so lets be positive na tuzidi kumshauri
 
Nimwombee Mzee Lowasa afya njema huko aliko. Ninapomsikia Bashe na hoja zilizoegemea kwenye mikakati iliyopo beyond hata muda wake wa uwaziri nafarijika kwamba Taifa bado tuna viongozi wanaoweza kurithi yale tuliyoanzisha huko nyuma.

Vision aliyonayo Bashe inapaswa kwenda kuwafungua macho mawaziri waache kupiga bla bla bungeni wajibu hoja. Vijana pia mnapopewa nafasi au kubebwa msibaki mgongoni bali shukeni mtembee ili waliokuwa wamewabeba wasijilaum kwamba mmekuwa mizigo bali mmekuwa baraka kwenye safari.

Mhe. Bashe anafanya afya ya mzee Lowasa iwe imara kutokana na ukweli kwamba mzee anaona wazi kwamba maono yake yakutoogopa kushindwa yamepata wakuyasogeza mbele.Nikutakie kila la kheri Mhe. Bashe ila usijione mkubwa, endelea kujinyenyekeza ufike uendako
Nyuma ya hoja zake ni kulinda wafanya biashara wakubwa wa mazao ili wayauze nje na kuagiza maGMO yasiyo na virutubisho bali madawa ya kuangamiza afya. Isitoshe kupata kibali cha kuagiza nje ni "deal" kubwa ya kifisadi
 
Nyuma ya hoja zake ni kulinda wafanya biashara wakubwa wa mazao ili wayauze nje na kuagiza maGMO yasiyo na virutubisho bali madawa ya kuangamiza afya. Isitoshe kupata kibali cha kuagiza nje ni "deal" kubwa ya kifisadi
Mkuu pasi na kumuonea mwingine....

Mh.Bashe haungi mkono "GMO" zenye kuhatarisha afya na KILIMO chetu .....huo ndio ukweli buddy!
 
Mabeberu na Vibaraka wake wanahangaika sana. Yaani wao kuona Wananchi kumilikishwa Ardhi, kuwezeshwa mbinu maarifa na vifaa kazi inahatarisha ajenda zao ambazo Wamekuwa wakijaribu kupenyeza! Ati tuwafundishe Ukarani wa Kilimo! Nani anakumbukua tulivyo hamasishwa tuwe na shule za Upishi, Unesi, Udereva na N.k? Uzuri hao wapishi manesi na madereva Walituvusha. Hakika, tukaanza kuwa na Madokta, Mafundi Gari na Hata wamiliki wa Gesti House. Wakajenga na Karakana, wakaendeleza na wakajenga Viwanda na Kuanza kujenga mahoteli na Mahospitali na Viwanda kuendesha Wakatuvusha-Wakaja tena Oh mnatumia Fedha nyingi kuendesha Viwanda, Mmevimbirwa na Utapiamlo na mmejaa magonjwa! Kha!

Suluhisho-Punguza mashirika, (tutawajengea hospitali) tutaondoa magonjwa fungeni viwanda, acheni kulima hamna viwanda vya kununua mazao, Wasomesheni wananchi Kujenga,Udaktari, na Uhasibu- Tutawapa kila kitu-Mazao yake tukayaona!
Ahh Oh eh Tulikosea, Wacheni tumiliki na Kuendesha shughuli kibinafsi, watu washafilisika, ukiachiwa brifikesi ahhh alhamdulahi, unakula mkono unamilikisha mtu Ardhi miaka 100 Kulima mtu halimi Sasa tunaona tuna uwezo ahh ati mnatumia fedha nyingi! Yaan yale yale Tuwaachie (Private Sector) Aka Wawekezaji Aka Walioendelea Aka beberu n.k .nk
Ni mengi na chai sijamaliza.

Bashe piga kazi. Wanataka wakuondoe kwenye Reli. Utapata ujumbe na maarifa mengine haters hawa waufyate.
 
Back
Top Bottom