M Mamy K JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 3,154 Reaction score 11,082 May 12, 2023 #21 The Boss said: Why nguvu kubwa unatumia kumsifia mtu Kwa kitu ambacho bado hakijaleta matunda? Nafikiri mafanikio hayapaswi kufanyiwa kampeni ya kuwaaminisha watu... mafanikio yanajitangaza yenyewe Click to expand... Uthubutu wake unavutia.
The Boss said: Why nguvu kubwa unatumia kumsifia mtu Kwa kitu ambacho bado hakijaleta matunda? Nafikiri mafanikio hayapaswi kufanyiwa kampeni ya kuwaaminisha watu... mafanikio yanajitangaza yenyewe Click to expand... Uthubutu wake unavutia.
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 May 12, 2023 #22 Yuko wapi Lowassa ? Huyo aliyeandaliwa amefanya nini?
Escrowseal1 JF-Expert Member Joined Dec 17, 2014 Posts 4,618 Reaction score 4,605 May 12, 2023 #23 DIVISHENI FOO said: RICHMONDULI ni FISADI SUGU LA TANGANYIKA. Click to expand... Fisadi lenye nyigu masikioni. Haaaa haaa haaaa
DIVISHENI FOO said: RICHMONDULI ni FISADI SUGU LA TANGANYIKA. Click to expand... Fisadi lenye nyigu masikioni. Haaaa haaa haaaa
Palina JF-Expert Member Joined Oct 9, 2021 Posts 3,551 Reaction score 9,522 May 12, 2023 #24 Na m crush huyu muheshimiwa, Long live 🤗
Papasa JF-Expert Member Joined Nov 2, 2018 Posts 2,619 Reaction score 5,780 May 12, 2023 #25 Nadhani unacho maanisha ni kwamba kaacha majambazi wa kutosha wanao endelea kukwapua Kila sehemu, lijifie kibudu huko lilipo
Nadhani unacho maanisha ni kwamba kaacha majambazi wa kutosha wanao endelea kukwapua Kila sehemu, lijifie kibudu huko lilipo