Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahhahahah





Ooooooooohahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahhahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tuliokuwa na Msimamo na kutaka mabadililo ya kweli tulipinga Lowassa kuja CHADEMA since day one. Sasa Mbowe achia chama kwa damu ya Mageuzi halisi iongoze Chama
Naunga mkono nakumbuka siku hiyo anatangazwa mpk nilipigana na jamaaa kwa kuamini tu Lowasa kaja kimkakati Chadema. #Mbowe must go
 
Wampe agombee na Lisu 2020 jiwe hatoshi ataua chama wakimrudisha
 
1551453069898.png
 
Safi sana. Hongereni sana CCM kwa kutuondolea hili zogo la misumari. Lowasa alikuwa liability. Naona mafisadi mmemchukua fisadi mwenzenu.
 
We knew kabla hata ya tetesi nina wasiwasi ndio atakua mgombea wao 2020
aje kumsaidia lisu ku kampeni
lakini hasahau uraisi kupitia chadema


hata ivyo movie ishakosewa toka lini jiwe akafanikisha mambo?
 
Sasa nadhani rafiki yangu nayemuheshimu Dr Slaa atarudi CHADEMA,maana asiyempenda kaja.
Hapana mkuu barafu akina slaa ni kama watoto wa kondoo kwenye shamba la mfuga mbwa! Vitoto vyote vya mbuzi huwa vinafungiwa ndani na kutupiwa vimajani kwanza kabla ya muda wa kufungulia mbwa!! Huyo hawezi tena kutoka bandani!! Keshapigwa kamba shingoni!
 
Back
Top Bottom