Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Wasimsahau kumpatia heshima ya kuwa mkuu wa chuo kama walivyo wastaafu wengine
 
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.

Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.



View attachment 1035375View attachment 1035381


Jiwe asijione kwamba yupo salama sana!

Kuna coup de'tat hapo,hataamini macho yake!

CCM sio ya jiwe,asijidanganye!

Waache wapige makofi sana,karudi,karudi.....
 
Naskia kuna wanaosema hana IMPACT sasa balaa ni pale mtapoona kasimamishwa 2025 ndo mtajua CCM ni ma MAFIA na mtaona impact za huyu mzee mlomuita Fisadi..OLE wenu nisikie mnamuita fisadi.
 
Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Mimi nipo samaki samaki hapa Mlimani city. Nitakunywa kwa kusherehekea. Maana mimi kama mpenda mabadiliko, sipendi sanaa za siasa na unafiki kama huu.
Napenda wanasiasa kama Lissu.
 
Nimeandika kuwakaribisha hawa malaya wa kisiasa yalikuwa makosa makubwa sana. 2020 iko jirani kaamua tena kuonyesha umalaya wake. Nilijua atarudi baada ya kumkataza mwanae kugombea ubunge kupitia chadema.

Ila kuna aibu lazima
Haaa ha haa, wanasiasa woooooteeee wako after their personal interests... Huo ndio ukweli. 100%
 
Fisadi karudi nyumbani kwake sehemu salama kwa mafisadi
 
Siasa bhana....unaweza kuamka asubuhi nakuskia Lissu yuko CCM
 
Back
Top Bottom