Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Matola, ninaunga mono hoja.
Masahihisho kidogo: haya maneno niliyopigia rangi nyekundu ni baadhi ya maneno ya msingi katika kuzungumzia siasa. Sio wewe pekee, nimeshaona wana-JF wengine wanakosea tahajia zake sahihi. 'Mabadiriko' liandikwe na kutamkika 'mabadiliko' na 'ajihudhuru' liandikwe na kutamkika 'ajiuzulu'.
 
Mtajiuliza maswali mengi majibu wala hamtoyapata aliingia usiku chadema watu wasimuone ametoka mchana kweupe watu wanamuona!

Kuondoka kwa Lowasa Chadema ni sawa na mtu aliyemaliza mkopo wa benki, what a relief! Siku si nyingi Kitilya,Sioi na Shose watakuwa huru. Mimi binafsi nimefurahi na nimefarijika sana huyu mzee kuondoka Chadema.
 
Longo longo unazo wewe unayelazimisha vitu pasi kufikiri,kumbuka msiba kuna leo mpaka j3 kama Mh Rais aliweza kutoa hadi ndege ibebe maiti unadhani hii haitoshi kueleza kuwa ameguswa?....ninyi ndo mnapenda kujuza vitu vidogo viwe vikubwa ona aibu
Acha longolongo wewe.
Unataka kuniambia pale Lumumba kwenye kumpokea Lowasa hakukuwa na Wawakilishi wa Rais au Mwenyekiti wa CCM(T)?
I'll never buy that cheap and non-sense!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
 
Najua, ila ni nani mpaka rais aende nyumbani kwake?

Wewe inaelekea ubongo wako ni wa rangi ya kijani.....!!! Kwani Rais alipoingia Tweeter na ku-tweet alikwa ana maanisha nini? Rais yeyote makini na mwenye hekima anahusika na kifo cha Mtanzania awaye yote......!!Unakumbuka ile siku Rais alipowalazimisha Ruge na Makonda kupatana kule Tanga??Alikwa akiwapatanisha Ruge kama nani na Makonda?? Try to think big.
 
Kuna Kipindi nilikuwa najiuliza ni Lini Lowassa atarudi Ccm au kustaafu Siasa Kabisa..
Sababu uchaguzi wa 2015 ulipoisha nilikuwa sioni Jipya kutoka kwake .

Asante Yametimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…