Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Wewe unaishi Tanzania na Dunia ya wapi....???
Rugemalira Mutahaba(Boss Ruge)-Mkurugenzi na mzalishaji wa Vipindi vya CLOUDS MEDIA GROUP(CMG).
acha undezi anatuhusu nini sasa....watu wamefiwa na baba,mama na watoto wao.kinacho kuskitisha wewe usiforce kila mtu i feel unavyo feel.Wabongo tuna unafki wa hali ya juu sana,usikute huyo ruge hujawai hata kumuona zaidi ya kwenye tv unashidadia tu.
 
Kwa Mtazamo wangu mimi CCM imuweke Mtu mwingine yeyote hata huyo Lowassa au Membe Sawa ila Magufuli hii Mitano yake inamtosha kabisa,hatumtaki Mpambano uwe Lissu na Yeyote yule kutoka CCM lakini Sio Magufuli.
Wenye chama wameingilia baada ya kuona athari za jiwe
 
Kazi ya Kwanza ya Rostam ulikuwa kumrudsha Ngoyai Na ameikamilisha kwa a haraka Sana Kuliko ilivyotarajiwa

Kazi ya pili kutafuta 'mawakala wa Tigo pesa' Kwenye Vyama vya Upinzani Na Ni rahisi Sana kwake Kuliko ya kumrudisha ngoyai
Kazi ya tatu Ni kurudisha Na Kuwa Middleman kati ya Wafanyabiashara Na SerIkal


Ila tukumbuke Rostam Ni Muajemi ukizubaa unaokota Mpira Nyavuni
Umetisha mkuu[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada unataka kila kitu kisimame kisa msiba? Huyu ni rais wa JMT na ameshatoa pole na amesha toa ndege.

Ulitakacasaidie kupanga vitu na kutandika majamvi Musiba ni roho yako iridhike?
 
Baada ya mzee Lowasa kurudi nyumbani sasa wapenda mabadiriko tunataka radical politics, kale kazee kalikosema muache siasa za uanaharakati aliwapoteza, Jiwe linahitaji radical politics za jino kwa jino, Mbowe amuondowe sasa Katibu mkuu, na ajihudhuru uenyekiti apewe Lisu na Mbowe arudi kwenye ukatibu mkuu, Mashinji ni mzigo aondolewe haraka, ni Lisu pekee mwenye sifa za kuliongoza jahazi la chadema kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu. Mwisho samahani kwa uandishi mbovu device yangu ina matatizo nimeshindwa kuweka paragraph

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tuliliona hilo muda mrefu.

Katibu Mkuu CHADEMA(Taifa) na Mwenyekiti BAVICHA(Taifa) ni mizigo kwa chama, waondolewe haraka - JamiiForums
 
CCM wamempokea malaya wa kisiasa asiye muadilifu. Hivi ndani ya ccm ya majizi na mafisadi nani ni mwadilifu?




alafu hawajua ndo tumekuwa strong zaidi jaman ntahama wote mie sitok upinzani..tena ngoja nije nilipie kadi yngu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Akili yangu inanituma kuwa ushindi upo kwa JK na CCM halisi, anayeonekana kuchemka kwa ushamba wake ni huyo aliyempokea Lowasa, Rostam bado anaishi, na utatu mtakatifu bado unafanya kazi kwa team work

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakuja na maneno meengi sana, ila ccm kiboko yenu na itawafunza siasa for a vry long time.
Wastaafu urais wote na elites wote wa chama wako pamoja na ni kitu kimoja. Endeleeni kujidanganya meko kila kitu anajifanyia mwenyewe na hana ushirikiano nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa alienda jana lumumba akijua wakuu wa chama wana kikao. Magufuli na wakuu wengine walikuwa katika kikao jana ndio lowassa akafika sio kwamba Magufuli alienda mpokea. Ilikuwa ni surprise.
Furahini tu kuwa jembe lenu limerudi nyumbani inatosha, hayo mengine ni mbwembwe mbona kwenye mapokezi ya kumpokea hakuna mahali paliposemwa kuwa viongozi wakuu wa CCM walikuwa na kikao halafu Lowassa akaibuka kama mzuka kwenye kikao hicho, kama ni kweli wakuu walikuwa na kikao,kikao chenyewe kitakuwa kilikuwa kinahusu namna ya kumpokea Lowassa, ndiomaana kuna kiongozi mkuu mmoja wa CCM kasema kuwa kabla ya kukubali kumpokea walimjadili kwa muda wa masaa 4.
 
Chadema ni mabingwa wa propaganda wakati Zito anautaka uwenyekiti wakatengeneza bonge la propaganda ni Yuda ni Ccm B anatumika wakatumia nguvu kubwa sana kuaminisha umma ya kwamba ZITO ni Yuda
Leo tunaona ZITO huyo huyo anataka ACT haiuze kwa Maalim seif ili yeye arudi pale chadema kama katibu mkuu wa chama
Na chadema hao hao wameshasahau kama ZITO ni yuda

Sasa chadema wamebaki na propaganda ya kumuhita lipumba ni Ccm baada ya kushindwa kuiua cuf upande wa bara makubaliano yao na Maalim seif chadema ifanye siasa Tanzania bara na cuf Maalim seif ifanye siasa Zanzibar

Dill limekwama baada ya lipumba kustukia mchezo wao sasa wamemgeuza lipumba ni adui na kusambaza propaganda kibao kwa wapiga dhumari ya kwamba lipumba ni Ccm
na
Mwisho wa siku ili nalo wanakwenda kuferi hakuna mtu yeyote wa kumtoa lipumba pale cuf

2020 ndio hiyo inakuja lipumba hana cha kupoteza ila yule babu ndio atakaye poteza yeye anautaka urais wa Zanzibar na kesi kibao zimefunguliwa mahakamani ....


Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihii mkuu wakti lipumba anavunjwa mkono bwana yule kakimbilia ulaya huko ila yeye ndio mpinzan lipumba ni ccm sasa leo yako wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Furahini tu kuwa jembe lenu limerudi nyumbani inatosha, hayo mengine ni mbwembwe mbona kwenye mapokezi ya kumpokea hakuna mahali paliposemwa kuwa viongozi wakuu wa CCM walikuwa na kikao halafu Lowassa akaibuka kama mzuka kwenye kikao hicho, kama ni kweli wakuu walikuwa na kikao,kikao chenyewe kitakuwa kilikuwa kinahusu namna ya kumpokea Lowassa, ndiomaana kuna kiongozi mkuu mmoja wa CCM kasema kuwa kabla ya kukubali kumpokea walimjadili kwa muda wa masaa 4.
Mimi sio shabiki wa lowasa na nitabaki hivyo. Simkubali.
 
Kama kuna Chama ambacho kipo makini na kina Vyombo vyake makini vya kufanya ' Tathmini ' na huwa ' hakikurupuki ' katika mambo ( maamuzi ) yake basi ni CCM. Nakuhakikishia huyo unayemuogopa au unayemtaka Bernard Membe hawezi kuwa ' CCM Flag Bearer ' hata Siku moja hata iweje na kama amekutuma upime ' upepo ' au umpigie ' chapuo ' mwambie kuwa asahau na awaze tu kufanya Kazi zingine. Na sijui ni kwanini baadhi yenu mnapenda sana kupoteza muda Wenu ' Kumjadili ' Membe wakati Mimi binafsi sioni ana ' threat ' gani ndani ya Chama changu imara na ' tukuka ' kabisa cha CCM.
Temea mate chini mkuu. Siasa ni kama hali ya hewa. Nani alidhani jiwe angekuwa rais awamu hii? Nani alidhani chadema wangempa Lowasa nafasi ya kugombea urais kupitia chama chao?
 
Kwa wana ccm tuwe makini na huyu mtu , tunaweza furahi kumpokea lakini kilichoko kichwani mwake ni siri nzito.

Watu kama hawa sio wa kuchekea chekea hata kidogo ndani ya chama, yawezekana ni mkakati wa siri wa ndugu yetu membe na kundi lake pamoja na lowassa.

Time will tell, nimekaa siti ya mbele huku

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo kaja kuimarisha kambi kwa kuwa inasemekana toka mwanzo Magufuli alikuwa team Lowasa.
 
Lissu akigombea 2020 itakuwa ndiyo mwisho wake kisiasa. Baada ya uchaguzi hatakuwa na cheo chochote cha kumfanya apatate jukwaa la kusemea. Bora apambanie kurudi bungeni, vinginevyo, atabaki kuwa raia wa kawaida kama mimi. Atakuwa kama Dr. Silaa japo Dr.Silaa yeye alizawadiwa ukatibu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lissu ana taaluma yake hawezi kufanya njaa kwa kukosa ubunge
 
Back
Top Bottom